TUNDU LISSU AWASHUKURU CCM KWA NAMNA WALIVYO MCHANGIA | AFUNGUKA KWA KUSEMA SINA SABABU YA KUKATAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 114

  • @desmondchelango
    @desmondchelango 2 месяца назад +11

    Nilicho kiona mimi kama llisu akigoma kupokea hiyo pesa kisiasa itaonyesha kuwa lisu nimbaguzi maana hiyo ni plani ya CCM ili plani ya CCM ifeli lisu anapaswa aipokee pesa moja kwa moja bila hoja yoyote, nahisi nimeeleweka❤❤❤❤

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 2 месяца назад

      Hayo ndo yalikuwa malengo ili kuwarubuni wananchi kwamba Mbowe ni mbinafsi, mnyanyasaji, roho mbaya, na kila aina ya ubaya. Ila Lisu kawajibu na kuwaonyesha hana mgogoro wowote na Mbowe, wala hajatelekezwa kama wanavyotaka kuwaaminisha watu. Kasema kama kuchangiwa, kachangiwa hata na wasio CDM; tangu kuuguzwa hadi mchango wa gari. Haijaletwa kwa kificho.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад +3

    Mpeni gari mpya

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 2 месяца назад +4

    Mbowe ameanza leo kutemblea hiyo ndege toka 1992 anapand a ndege wachonganishi

  • @MesiakiKayan-qm7tv
    @MesiakiKayan-qm7tv 2 месяца назад +1

    Nawapongeza waahabari hawa kwa majadiliano yenu mungu awabariki kwa uchambuzi

  • @VailetPiter
    @VailetPiter 2 месяца назад +1

    Lengo lao ni kufunika yaliyo tokea mbeya

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 2 месяца назад +1

    Lisu ana akili nyingi angekataa ingekuwa story lakini kawapangua

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 2 месяца назад +3

    Ni unafiki mkubwa mno wa CCM.Alipopigwa risasi CCM hawakuchanga kama chama.Ila Lissu pokea hiyo hela haina tego..

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 2 месяца назад

      Trump kashambuliwa USA ambako mnapasemea kama mfano. Tatizo lingine, wanachama wa chadema wengi wanahakili za kuambiwa na kushikiwa. Wengi hawajielewi.

  • @julianamwalongo6047
    @julianamwalongo6047 2 месяца назад

    Ndugai yuko wapi? Mimi nilifikiri mungeenda kwa msukuma ampe gari moja ningewaona wa maana 😂😂😂😂😂😂tutaona mengi

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert 2 месяца назад

    Asante mwandishi umesema neno zuri hayo ni maneno ya kisiasa wakati alipopigiwa risasi mbona hatukuona ccm wakija Hanga hela

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 2 месяца назад +3

    Hizi siasa ni za kitoto sana. Lengo mahususi linaeleweka na Kila mmoja. Halihitaji elimu kubwa.

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 2 месяца назад +2

      Hii nikweli nikutaka kumfedhesha mwkiti na chama, huu sio mchango

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 2 месяца назад

    Chadema sio chawa

  • @MesiakiKayan-qm7tv
    @MesiakiKayan-qm7tv 2 месяца назад

    Nitarudia chaneli kuiyangalia make imenikosha ❤🎉

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 месяца назад

    Mpendwa wetu Lissu, Roho wa Mungu bado yuko na wewe anakulinda,kaa ulivyo, usimtie kasirani ataondoka utavamiwa!

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 2 месяца назад

    Lakini kwa nini bunge lisingetengeneza hilo gari kwani shida ilipotokea alikuwa bungeni

  • @PeterSaramba
    @PeterSaramba 2 месяца назад

    Mweshumiwa lisu Wewe pokea hela kwani hizo ambazo simejaa kwenye mifuko mpaka wanaona wakushangie ni kodi zetu sisi wananchi. Ila angaliso tu ni kwamba angalia tu isiwe ni namna ya kukushawishi ili uwisaliti Chadema kama msigwa kwa ajili ya pesa.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад

    Huyo atahamia CCM siyo siku nyingi mbona hajawakata waliompiga mishale

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 2 месяца назад

    Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад

    Lisu hana njaa ccm wanajaribu kuchezea sharubu xa mnyama atawanyoosha wanachama tuna uwezo pesa yenu hiyo ni ndogo sana kwetu tunasubiri lisu aseme tu msigwa tombanyoko

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад

    Kama ni mimi siwezi hiyo ni kashfa kwa lisu na Chadama

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад

    Lisu asipokee hizo pesa Chadema ina watu wengi sana kumchangia hata magari matatu msigwa ni mchonganishi

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 2 месяца назад

    Ccm inasumbua tanganyika

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 2 месяца назад

    Kosa walianza kumsema Mbowe,hivyo Wachanga kwa kejeli

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад

    Lisu kwa fedheha utakazopata na kashfa kwa kupokea hizo pesa Za CCm bora urudi ubelgji umekubali kumlamba samia miguu?

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 2 месяца назад

    LISSU akipokea iyo pesa atadhalilika sana na vilevile ata fedheeka sana MBOWE

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 2 месяца назад

    Jamani wapande au watumie helikopta wote ili kitokee nini maana hapo Kuna mbinu au mtego ili schema wanase.chadema wanatumia mbinu za kivita.

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo 2 месяца назад

    Chadema mnatuchanganya

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 2 месяца назад

    Mnajikosha ama kweli mnafik ni mtu hatar kuliko mchawi

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd 2 месяца назад

    Ni halali kupokea asingepokea ingemuathiri kisiasa

  • @christophershuma623
    @christophershuma623 2 месяца назад +2

    Dhihaka na uchonganishi mtupu

  • @GraceNaftal-x3j
    @GraceNaftal-x3j 2 месяца назад

    Wanapotezea kitendo walichokifanya Mbea

  • @didimusirakoko9437
    @didimusirakoko9437 2 месяца назад

    Hakuna kupokea hiyo pesa .

  • @KaidiMajengo-sv7dd
    @KaidiMajengo-sv7dd 2 месяца назад

    Ccm ndiowalioiharibu

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 2 месяца назад

    Chadema,pesa ya ccm kwa Lissu iwe ndiyo thank you,lissu afukuzwe kama mbwa koko.Mkishindwa,mimi nitafanya hiyo kazi.Tamaa gani hiyo?

  • @musasojamwamengo8220
    @musasojamwamengo8220 2 месяца назад

    Mimi nawapongeza sana wa ccm kumchangia lisu lakini ninaswali najiuliza lisu nimgongwa alichofanyiwa au anacho fanyiwa izo pesa zinakizi? siasa sio ugovi ilipaswa icho mlichokifanya mngewa mna kifanya ata polic wanapo mgasi bila sababu Mungu andelee kuwambusha kwenda mbelezaid

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo 2 месяца назад

    Angalia msijeangukia penye mkondo wa mto.

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 2 месяца назад

    Huyo msigwa ndo anatufanya wananchi tustuke kuhusu siasa za tz msigwa huyu huyu juzi tuu alisema nyeupe Leo anasema nyeusi

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 2 месяца назад

    Aisee. Siasa siyo za kuaminiana. Lisu, ana akili, sidhani atapokea, anaandaa, bomu

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 2 месяца назад

    Makala ni mjinga

  • @mpewashiyawi4628
    @mpewashiyawi4628 2 месяца назад

    Hapa hakuna Cha kuchangia bali ni kuzima ujinga mliyofanya mbeya

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq 2 месяца назад

    Wao ndiyo walifanya hivyo Alafu Leo wanaleta maigizo

  • @saadune
    @saadune 2 месяца назад

    Ubishi wa kitoro kbs

  • @chikondanosimon5126
    @chikondanosimon5126 2 месяца назад

    Mbona alikataa za Abduli...hizi kweli atabokea?

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 2 месяца назад

    Sasa sijui nisemeje?

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 месяца назад

    ametekelezwa..au ametelekezwa..?

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 месяца назад

    Siasa sio ugomvi jamani. Tuendelee kushirikiana.

  • @johnsonmria3824
    @johnsonmria3824 2 месяца назад

    Mbona kwenye matibabu hamkuchanga??? Acheni unafiki

  • @jeremiakalekezi2301
    @jeremiakalekezi2301 2 месяца назад

    Hiyo Pesa Haiwezi Kataliwa Wakati Nikodi Yetu Chadema Inawatu Wenye Weledi Kilicho Fanyika Nikusahaulisha Kilicho Fanyika Mbeya

  • @SwahibuAthuman-wh5wr
    @SwahibuAthuman-wh5wr 2 месяца назад

    Lisu.hawo.niwanafiki.baada.yakushindwa.kukuuwa.wana.jipendekeza.kwako.ili.wana.chama.wako.wakuzarau.kama.nimchango.wanachama.ndio.walio.anza.kuchanga.msigwa.ni.mnafiki.ndie.anayo.panga.hivyo.ili.mujenge.chuki.nambowe.usichukue.ss.hatuja.shindwa.kuchanga

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 2 месяца назад +1

    CCM wametafuta kitu cha ku-trend baada ya Mbeya. Ni unafiki wa kiwango cha juu

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 месяца назад

      Kupigwa amepigwa na pesa anapewa,hii ni drama kweli

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 2 месяца назад

    Upo wasiwasi zile risasi zingine zitakuwa zilipenya kwenye Ubongo.Anaona mchango wa ccm ni wa heri kabisa?Kumbe Lissu ni wahovyo vile? Hiyo ni kejeli kwa upinzani na Lisu.Chadema fukuza Lissu msiogope gharama yoyote.Akina Msigwa bado wapo.😊

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 2 месяца назад

    Dada kama mmnyalu maviet viet

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo 2 месяца назад

    Hizo ni njama za ccm wote chadema mnakwisha kwasababu hamuelewani wenyewe kwa wenyewe helkopta sio mali ya chadema acheni kuzungumzia helkopta

  • @felixmboya1282
    @felixmboya1282 2 месяца назад +3

    Alipopigwa risasi mlimchangia sh ngapi kuokoa uhai wake, mlitaka afe Leo unajifanya unamchangia apate gari. Unafiki wa Hali ya juu

  • @ProsperMsemwa-g8n
    @ProsperMsemwa-g8n 2 месяца назад

    Jamaa anakubarika lissu wewe ni mwamba pesa tunapokea

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 2 месяца назад

    Radio ya kichaga radio ya chadema ipo imala jana na leo

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 2 месяца назад

    Tundurisu na mbowe wasiwatenganishe hai ccm pokea Hela lisu mshikamane Wala wasiwatenge hao tupo pamoja chadema

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    M 5 tu

  • @YohanaYona-o2t
    @YohanaYona-o2t 2 месяца назад

    Niwaambie ukweli Lissu hawez kupokea hiyo hela hata siku moja

  • @annaerineo2388
    @annaerineo2388 2 месяца назад

    😊

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад

    Hii pesa ya majungu lissu anaipokeaje
    Kwakweli Nina mashaka na lissu

  • @simbozconsultancy
    @simbozconsultancy 2 месяца назад

    Alipopigwa risasi hamkumchangia na mlikaa kimyaaa

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 2 месяца назад

    Ni fedheha CHADEMA kumtelekeza makamu mwenyekiti wa chama. Mbowe ni dictator, anapaswa kujua chadema inaweza kuwepo bila yake. Mshenzi sana Mbowe, chama kakigeuza kuwa familia yake. Kila kitu ni yeye

  • @YonahMwamwaja
    @YonahMwamwaja 2 месяца назад

    LISASIMLIVYOMPIGA HIZOPESA ZILIKOSEKANEJE,

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 2 месяца назад

    Ku nchi moja hapa Africa, IMF, World Bank, European Union waliwanyima misaada na kuwakopesha. Wananchi wake walichangia bajeti ya serikali yote na pesa iliyobaki ikafunguliwa special account ambayo kwa sasa ina finance institutions na private sectors. Hii kashfa ya Msigwa na Makara, kwa kweli inapaswa kuifanya CHADEMA iwe solid na kamwe hiyo hera ya matusi isipokelewe. Mwanaume huwa yupo radhi kikalia msumali kuliko kukalia.........

  • @shilogileshilogile4392
    @shilogileshilogile4392 2 месяца назад

    Muongo huyoo Makalla hivyo ni Vituko vya Pweza tuu. Lissu hatahadaika hata chembe

  • @shilogileshilogile4392
    @shilogileshilogile4392 2 месяца назад

    Kwanza CCM ni waoga sana wanajitisha hata kwa Vivuli vyao. Mbona Katiba mpya wanakataa kutupa??

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 месяца назад

    Makala katambua lini kwamba anatoka mkoa mmoja na Lissu mpaka amwonee huruma? Au kafundishaa na Msigwa jana?

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 2 месяца назад

    Ccm watu wa hovyo sana mbowe amezaliwa anakuta magari kwao mbowe ni mfanya biashara mkubwa tangu mdogo mpaka leo anazeeka atakosa kweli kuwa na magari kwa umri huo wa biashara anazozifanya

  • @EmmanuelKiula
    @EmmanuelKiula 2 месяца назад

    ccm wamekuwa wa hovyo kiasi kwamba hata hawawezi kujiona kuwa wao ni wa HOVYO!!?

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 2 месяца назад

    Childish 😢

  • @JumaKitutu-t4s
    @JumaKitutu-t4s 2 месяца назад

    Chadema ina watu makini sana.
    Hivyo amuwezi kuitetelesha kizembe km kinguvu tuh na bado imesimama pamoja na kuweteza na wasijulikana.

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 2 месяца назад

    Huu ni uzuzu.
    Alipigwa risasi 16, serikali ikasimamisha matibabu yake. CCM haikuwahi kutoa neno juu wala kusukuma uchunguzi wa tukio kufanikiwa.
    Leo hii unatoa wapi upendo wa namna hiyo kama si mwendelezo wa unafiki?

  • @ANNAKILLO-o7d
    @ANNAKILLO-o7d 2 месяца назад

    Miaka yote walikuwa wapi?. Wasichange. Kweli wanataka kupotezea mambo ya mbeya.

  • @husseinhumbi6373
    @husseinhumbi6373 2 месяца назад

    Lengo kuu kuua ishu kuu ya wapinzani mbeya walivopigwa na kujisafisha ktk mashirika ya nje kuwa ndani kupo salama

  • @SitaYusufu
    @SitaYusufu 2 месяца назад

    mimi sita Yusuph toka bariadi lusu kweli unafiki mkubwa gabisa kama sio unafiki wakati ailigwa Lisa's hajamchangia chochote leo wachangie gali lakute😂mbelea uongo mtupu

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 2 месяца назад

    jaman mnajadili msigwa nmnafkitu amefeli uzeeni amekuwa chawa orijino

  • @MaulidMjwiga-tb1zu
    @MaulidMjwiga-tb1zu 2 месяца назад

    Nyie wanahabari nyie ni wasenge tu kwann muwaze mabaya yaliyopita Kwan alipopigw risas nyie mlijua nani alimpiga risas? Pia kama nyie sio mbwa Koko wakati huo makala alikuwa nani nyi kenge

  • @Mosmwampa
    @Mosmwampa 2 месяца назад

    CCM ndio waliofunga mishahara na stahiki za lusu bungeni afu sasahiv wanaleta janja janja za kuwagawa viongizi WA chadema kizembe

  • @MwitaIsasi
    @MwitaIsasi 2 месяца назад

    Ccm bwana kwa utapeli
    Hiyo huruma wakati ccm hao hao walpotaka kumuua na akakaa hospitali miaka zaidi ya miaka minne mbona hawakumuonea huruma hata ya kwenda kumuona?

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq 2 месяца назад

    Hayo ni maneno ya ccm na vyombo vya habari visivyokuwa na uwezo wa habari za uchunguzi, Mbona hospital walizuiana kwenda

    • @EnockKanduli-cv8yr
      @EnockKanduli-cv8yr 2 месяца назад

      Lisu alipo umizwa wanachi walikatazwa hata kumuombea. Iweje Leo achangiwe Hela ya kununulia gari. Huo ulikuwa mtego Ili Lisu akikataa iwe insure. Kuwa si mzalendo. Anabagua wanaccm

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 месяца назад

    Kama mi kweli Lisu kapokea hiyo pesa mimi sina imani tena na huyu Lissu

    • @frankpeter4178
      @frankpeter4178 2 месяца назад

      Umeshamchangia ngapi mpaka sasahv ili umzuie kupokea za CCM, kwanza hela za ccm ni zetu lazima kuzipokea na walete zingine zaidi

  • @shaibunyenzi8712
    @shaibunyenzi8712 2 месяца назад

    Credit kwa CCM wakipokea michango wanatangaza hadharani kiasi kilichopatikana

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 месяца назад

    Yaani kituo hiki ninaamini ni kituo Cha hovyo kuliko vituo vyote Tanzania maana hajui kujificha mbpaka asiyeelewa kashawaelewa kwamba upipozo unawasumbua

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw 2 месяца назад

    Lisupokeatuuhizonipesazawatanzania

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 2 месяца назад

    Kupokea huo mchango ni kukubali dhihaka ya Makara na Msigwa. Kwanza Lissu anapaswa kuiga mfano wa kutambua thamani yake kama Hamisa Mabeto alivyo kataa zawadi ya Range rover kutoka kwa Harmonise. Mimi ningeshauri CHADEMA kulinunua hilo gari la Lissu kwa kumununulia Range rover mpya hilo lililopigwa risasi likapelekwa makumbusho au pale makao makuu ya chama. Pesa za kashfa zikipokelewa, zote atafutwe mlemavu mmoja au mwenye mahitaji ya matibabu apewe harafu isomwe risara kuwa ni pesa iliyotoka CCM tumeamua kuilekeza hapo.

    • @frankpeter4178
      @frankpeter4178 2 месяца назад

      Wewe ili asipokee za Ccm umeshamchangia ngapi mpaka sasahv?

    • @karamarwamugema3700
      @karamarwamugema3700 2 месяца назад

      ​@@frankpeter4178issue siyo kuchangia, issue ni hotuba iliyosindikiza mchango. Kwa mfano wewe nikikupa laki moja harafu nikakwambia chukua hizi fedha we msenge, unaweza kuzipokea? Sikufahamu ila tafakari.😮😮

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 месяца назад

    Yaani watangazaji wote mnafaa kugombea uchaguzi ujao kupitia pipozi pawa maana mnafanana na huko

    • @HezroniJonh
      @HezroniJonh 2 месяца назад

      Wote hawo ni machawa wa CCM amna kitu hapo

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 2 месяца назад +1

    Ilo gari ni mchango ua masimango duuu akizikubari wenye akili wstasems ni timu msigwa Nina imani na lissu sio mtu wa kudhalilishwa

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 месяца назад

      Kama kusoma hujui hata picha huioni?ndio ashasema hivyo kuwa pesa atachukua

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 2 месяца назад

      Uchawa drama zaCCM mtasema yote

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 2 месяца назад

    Mbona alipo pigwa risasa hamkumchangia ,CCM wanafiki tu

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 2 месяца назад

      Mbona na yeye amepokea sasa?Chadema wanafiki pia.....kazi ya siasa waachie wenye siasa..wew nenda kalime😅😅😅

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 2 месяца назад

      @@thaddeojude7511 hatujamsikia akisema zaidi ya kusemewa Lisu siyo rahisi kutegeka labda kama kalogeka

  • @TambikoLetu
    @TambikoLetu 2 месяца назад

    Wajinga kabisa mda wote mnagombana na mbowe

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 2 месяца назад +1

    Kweli Watanzania tu wepesi mara hii mmehama kwenye agenda muhimu ya Mbeya ambayo mataifa ya dunia yamepaza sauti mnahangaika na issue personal za michango ya gari la Lisu elimu yetu haina faida kabisa

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA 2 месяца назад

    😂😂😂

  • @solomonmsomba1677
    @solomonmsomba1677 2 месяца назад +1

    Makara wataje waliompiga risasi TL usijitoe ufahamu. Hizo ni propaganda za funeral kombe Mbeya lipite. Acha kujitoa ufahamu Uzuri Mungu anyone. Is a matter of Time!

  • @GraceNaftal-x3j
    @GraceNaftal-x3j 2 месяца назад

    Wanapotezea kitendo walichokifanya Mbea

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 2 месяца назад

    Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 2 месяца назад

    Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 2 месяца назад

      Hizi sio rushwa ni hisani na lisu sio kama msigwa pokea hela kazi iendelee kuwapondo