Nilicho kiona mimi kama llisu akigoma kupokea hiyo pesa kisiasa itaonyesha kuwa lisu nimbaguzi maana hiyo ni plani ya CCM ili plani ya CCM ifeli lisu anapaswa aipokee pesa moja kwa moja bila hoja yoyote, nahisi nimeeleweka❤❤❤❤
Hayo ndo yalikuwa malengo ili kuwarubuni wananchi kwamba Mbowe ni mbinafsi, mnyanyasaji, roho mbaya, na kila aina ya ubaya. Ila Lisu kawajibu na kuwaonyesha hana mgogoro wowote na Mbowe, wala hajatelekezwa kama wanavyotaka kuwaaminisha watu. Kasema kama kuchangiwa, kachangiwa hata na wasio CDM; tangu kuuguzwa hadi mchango wa gari. Haijaletwa kwa kificho.
Trump kashambuliwa USA ambako mnapasemea kama mfano. Tatizo lingine, wanachama wa chadema wengi wanahakili za kuambiwa na kushikiwa. Wengi hawajielewi.
Mweshumiwa lisu Wewe pokea hela kwani hizo ambazo simejaa kwenye mifuko mpaka wanaona wakushangie ni kodi zetu sisi wananchi. Ila angaliso tu ni kwamba angalia tu isiwe ni namna ya kukushawishi ili uwisaliti Chadema kama msigwa kwa ajili ya pesa.
Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,
Lisu hana njaa ccm wanajaribu kuchezea sharubu xa mnyama atawanyoosha wanachama tuna uwezo pesa yenu hiyo ni ndogo sana kwetu tunasubiri lisu aseme tu msigwa tombanyoko
Mimi nawapongeza sana wa ccm kumchangia lisu lakini ninaswali najiuliza lisu nimgongwa alichofanyiwa au anacho fanyiwa izo pesa zinakizi? siasa sio ugovi ilipaswa icho mlichokifanya mngewa mna kifanya ata polic wanapo mgasi bila sababu Mungu andelee kuwambusha kwenda mbelezaid
Upo wasiwasi zile risasi zingine zitakuwa zilipenya kwenye Ubongo.Anaona mchango wa ccm ni wa heri kabisa?Kumbe Lissu ni wahovyo vile? Hiyo ni kejeli kwa upinzani na Lisu.Chadema fukuza Lissu msiogope gharama yoyote.Akina Msigwa bado wapo.😊
Ni fedheha CHADEMA kumtelekeza makamu mwenyekiti wa chama. Mbowe ni dictator, anapaswa kujua chadema inaweza kuwepo bila yake. Mshenzi sana Mbowe, chama kakigeuza kuwa familia yake. Kila kitu ni yeye
Ku nchi moja hapa Africa, IMF, World Bank, European Union waliwanyima misaada na kuwakopesha. Wananchi wake walichangia bajeti ya serikali yote na pesa iliyobaki ikafunguliwa special account ambayo kwa sasa ina finance institutions na private sectors. Hii kashfa ya Msigwa na Makara, kwa kweli inapaswa kuifanya CHADEMA iwe solid na kamwe hiyo hera ya matusi isipokelewe. Mwanaume huwa yupo radhi kikalia msumali kuliko kukalia.........
Ccm watu wa hovyo sana mbowe amezaliwa anakuta magari kwao mbowe ni mfanya biashara mkubwa tangu mdogo mpaka leo anazeeka atakosa kweli kuwa na magari kwa umri huo wa biashara anazozifanya
Huu ni uzuzu. Alipigwa risasi 16, serikali ikasimamisha matibabu yake. CCM haikuwahi kutoa neno juu wala kusukuma uchunguzi wa tukio kufanikiwa. Leo hii unatoa wapi upendo wa namna hiyo kama si mwendelezo wa unafiki?
mimi sita Yusuph toka bariadi lusu kweli unafiki mkubwa gabisa kama sio unafiki wakati ailigwa Lisa's hajamchangia chochote leo wachangie gali lakute😂mbelea uongo mtupu
Nyie wanahabari nyie ni wasenge tu kwann muwaze mabaya yaliyopita Kwan alipopigw risas nyie mlijua nani alimpiga risas? Pia kama nyie sio mbwa Koko wakati huo makala alikuwa nani nyi kenge
Ccm bwana kwa utapeli Hiyo huruma wakati ccm hao hao walpotaka kumuua na akakaa hospitali miaka zaidi ya miaka minne mbona hawakumuonea huruma hata ya kwenda kumuona?
Lisu alipo umizwa wanachi walikatazwa hata kumuombea. Iweje Leo achangiwe Hela ya kununulia gari. Huo ulikuwa mtego Ili Lisu akikataa iwe insure. Kuwa si mzalendo. Anabagua wanaccm
Yaani kituo hiki ninaamini ni kituo Cha hovyo kuliko vituo vyote Tanzania maana hajui kujificha mbpaka asiyeelewa kashawaelewa kwamba upipozo unawasumbua
Kupokea huo mchango ni kukubali dhihaka ya Makara na Msigwa. Kwanza Lissu anapaswa kuiga mfano wa kutambua thamani yake kama Hamisa Mabeto alivyo kataa zawadi ya Range rover kutoka kwa Harmonise. Mimi ningeshauri CHADEMA kulinunua hilo gari la Lissu kwa kumununulia Range rover mpya hilo lililopigwa risasi likapelekwa makumbusho au pale makao makuu ya chama. Pesa za kashfa zikipokelewa, zote atafutwe mlemavu mmoja au mwenye mahitaji ya matibabu apewe harafu isomwe risara kuwa ni pesa iliyotoka CCM tumeamua kuilekeza hapo.
@@frankpeter4178issue siyo kuchangia, issue ni hotuba iliyosindikiza mchango. Kwa mfano wewe nikikupa laki moja harafu nikakwambia chukua hizi fedha we msenge, unaweza kuzipokea? Sikufahamu ila tafakari.😮😮
Kweli Watanzania tu wepesi mara hii mmehama kwenye agenda muhimu ya Mbeya ambayo mataifa ya dunia yamepaza sauti mnahangaika na issue personal za michango ya gari la Lisu elimu yetu haina faida kabisa
Makara wataje waliompiga risasi TL usijitoe ufahamu. Hizo ni propaganda za funeral kombe Mbeya lipite. Acha kujitoa ufahamu Uzuri Mungu anyone. Is a matter of Time!
Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,
Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,
Nilicho kiona mimi kama llisu akigoma kupokea hiyo pesa kisiasa itaonyesha kuwa lisu nimbaguzi maana hiyo ni plani ya CCM ili plani ya CCM ifeli lisu anapaswa aipokee pesa moja kwa moja bila hoja yoyote, nahisi nimeeleweka❤❤❤❤
Hayo ndo yalikuwa malengo ili kuwarubuni wananchi kwamba Mbowe ni mbinafsi, mnyanyasaji, roho mbaya, na kila aina ya ubaya. Ila Lisu kawajibu na kuwaonyesha hana mgogoro wowote na Mbowe, wala hajatelekezwa kama wanavyotaka kuwaaminisha watu. Kasema kama kuchangiwa, kachangiwa hata na wasio CDM; tangu kuuguzwa hadi mchango wa gari. Haijaletwa kwa kificho.
Mpeni gari mpya
Mbowe ameanza leo kutemblea hiyo ndege toka 1992 anapand a ndege wachonganishi
Nawapongeza waahabari hawa kwa majadiliano yenu mungu awabariki kwa uchambuzi
Lengo lao ni kufunika yaliyo tokea mbeya
Lisu ana akili nyingi angekataa ingekuwa story lakini kawapangua
Ni unafiki mkubwa mno wa CCM.Alipopigwa risasi CCM hawakuchanga kama chama.Ila Lissu pokea hiyo hela haina tego..
Trump kashambuliwa USA ambako mnapasemea kama mfano. Tatizo lingine, wanachama wa chadema wengi wanahakili za kuambiwa na kushikiwa. Wengi hawajielewi.
Ndugai yuko wapi? Mimi nilifikiri mungeenda kwa msukuma ampe gari moja ningewaona wa maana 😂😂😂😂😂😂tutaona mengi
Asante mwandishi umesema neno zuri hayo ni maneno ya kisiasa wakati alipopigiwa risasi mbona hatukuona ccm wakija Hanga hela
Hizi siasa ni za kitoto sana. Lengo mahususi linaeleweka na Kila mmoja. Halihitaji elimu kubwa.
Hii nikweli nikutaka kumfedhesha mwkiti na chama, huu sio mchango
Chadema sio chawa
Nitarudia chaneli kuiyangalia make imenikosha ❤🎉
Mpendwa wetu Lissu, Roho wa Mungu bado yuko na wewe anakulinda,kaa ulivyo, usimtie kasirani ataondoka utavamiwa!
Lakini kwa nini bunge lisingetengeneza hilo gari kwani shida ilipotokea alikuwa bungeni
Mweshumiwa lisu Wewe pokea hela kwani hizo ambazo simejaa kwenye mifuko mpaka wanaona wakushangie ni kodi zetu sisi wananchi. Ila angaliso tu ni kwamba angalia tu isiwe ni namna ya kukushawishi ili uwisaliti Chadema kama msigwa kwa ajili ya pesa.
Huyo atahamia CCM siyo siku nyingi mbona hajawakata waliompiga mishale
Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,
Lisu hana njaa ccm wanajaribu kuchezea sharubu xa mnyama atawanyoosha wanachama tuna uwezo pesa yenu hiyo ni ndogo sana kwetu tunasubiri lisu aseme tu msigwa tombanyoko
Kama ni mimi siwezi hiyo ni kashfa kwa lisu na Chadama
Lisu asipokee hizo pesa Chadema ina watu wengi sana kumchangia hata magari matatu msigwa ni mchonganishi
Ccm inasumbua tanganyika
Kosa walianza kumsema Mbowe,hivyo Wachanga kwa kejeli
Lisu kwa fedheha utakazopata na kashfa kwa kupokea hizo pesa Za CCm bora urudi ubelgji umekubali kumlamba samia miguu?
LISSU akipokea iyo pesa atadhalilika sana na vilevile ata fedheeka sana MBOWE
Jamani wapande au watumie helikopta wote ili kitokee nini maana hapo Kuna mbinu au mtego ili schema wanase.chadema wanatumia mbinu za kivita.
Chadema mnatuchanganya
Mnajikosha ama kweli mnafik ni mtu hatar kuliko mchawi
Ni halali kupokea asingepokea ingemuathiri kisiasa
Dhihaka na uchonganishi mtupu
Wanapotezea kitendo walichokifanya Mbea
Hakuna kupokea hiyo pesa .
Ccm ndiowalioiharibu
Chadema,pesa ya ccm kwa Lissu iwe ndiyo thank you,lissu afukuzwe kama mbwa koko.Mkishindwa,mimi nitafanya hiyo kazi.Tamaa gani hiyo?
Mimi nawapongeza sana wa ccm kumchangia lisu lakini ninaswali najiuliza lisu nimgongwa alichofanyiwa au anacho fanyiwa izo pesa zinakizi? siasa sio ugovi ilipaswa icho mlichokifanya mngewa mna kifanya ata polic wanapo mgasi bila sababu Mungu andelee kuwambusha kwenda mbelezaid
Angalia msijeangukia penye mkondo wa mto.
Huyo msigwa ndo anatufanya wananchi tustuke kuhusu siasa za tz msigwa huyu huyu juzi tuu alisema nyeupe Leo anasema nyeusi
Aisee. Siasa siyo za kuaminiana. Lisu, ana akili, sidhani atapokea, anaandaa, bomu
Makala ni mjinga
Hapa hakuna Cha kuchangia bali ni kuzima ujinga mliyofanya mbeya
Wao ndiyo walifanya hivyo Alafu Leo wanaleta maigizo
Ubishi wa kitoro kbs
Mbona alikataa za Abduli...hizi kweli atabokea?
Sasa sijui nisemeje?
ametekelezwa..au ametelekezwa..?
Siasa sio ugomvi jamani. Tuendelee kushirikiana.
Mbona kwenye matibabu hamkuchanga??? Acheni unafiki
Hiyo Pesa Haiwezi Kataliwa Wakati Nikodi Yetu Chadema Inawatu Wenye Weledi Kilicho Fanyika Nikusahaulisha Kilicho Fanyika Mbeya
Lisu.hawo.niwanafiki.baada.yakushindwa.kukuuwa.wana.jipendekeza.kwako.ili.wana.chama.wako.wakuzarau.kama.nimchango.wanachama.ndio.walio.anza.kuchanga.msigwa.ni.mnafiki.ndie.anayo.panga.hivyo.ili.mujenge.chuki.nambowe.usichukue.ss.hatuja.shindwa.kuchanga
CCM wametafuta kitu cha ku-trend baada ya Mbeya. Ni unafiki wa kiwango cha juu
Kupigwa amepigwa na pesa anapewa,hii ni drama kweli
Upo wasiwasi zile risasi zingine zitakuwa zilipenya kwenye Ubongo.Anaona mchango wa ccm ni wa heri kabisa?Kumbe Lissu ni wahovyo vile? Hiyo ni kejeli kwa upinzani na Lisu.Chadema fukuza Lissu msiogope gharama yoyote.Akina Msigwa bado wapo.😊
Dada kama mmnyalu maviet viet
Hizo ni njama za ccm wote chadema mnakwisha kwasababu hamuelewani wenyewe kwa wenyewe helkopta sio mali ya chadema acheni kuzungumzia helkopta
Alipopigwa risasi mlimchangia sh ngapi kuokoa uhai wake, mlitaka afe Leo unajifanya unamchangia apate gari. Unafiki wa Hali ya juu
Jamaa anakubarika lissu wewe ni mwamba pesa tunapokea
Radio ya kichaga radio ya chadema ipo imala jana na leo
Tundurisu na mbowe wasiwatenganishe hai ccm pokea Hela lisu mshikamane Wala wasiwatenge hao tupo pamoja chadema
M 5 tu
Niwaambie ukweli Lissu hawez kupokea hiyo hela hata siku moja
😊
Hii pesa ya majungu lissu anaipokeaje
Kwakweli Nina mashaka na lissu
Alipopigwa risasi hamkumchangia na mlikaa kimyaaa
Ni fedheha CHADEMA kumtelekeza makamu mwenyekiti wa chama. Mbowe ni dictator, anapaswa kujua chadema inaweza kuwepo bila yake. Mshenzi sana Mbowe, chama kakigeuza kuwa familia yake. Kila kitu ni yeye
LISASIMLIVYOMPIGA HIZOPESA ZILIKOSEKANEJE,
Ku nchi moja hapa Africa, IMF, World Bank, European Union waliwanyima misaada na kuwakopesha. Wananchi wake walichangia bajeti ya serikali yote na pesa iliyobaki ikafunguliwa special account ambayo kwa sasa ina finance institutions na private sectors. Hii kashfa ya Msigwa na Makara, kwa kweli inapaswa kuifanya CHADEMA iwe solid na kamwe hiyo hera ya matusi isipokelewe. Mwanaume huwa yupo radhi kikalia msumali kuliko kukalia.........
Muongo huyoo Makalla hivyo ni Vituko vya Pweza tuu. Lissu hatahadaika hata chembe
Kwanza CCM ni waoga sana wanajitisha hata kwa Vivuli vyao. Mbona Katiba mpya wanakataa kutupa??
Makala katambua lini kwamba anatoka mkoa mmoja na Lissu mpaka amwonee huruma? Au kafundishaa na Msigwa jana?
Ccm watu wa hovyo sana mbowe amezaliwa anakuta magari kwao mbowe ni mfanya biashara mkubwa tangu mdogo mpaka leo anazeeka atakosa kweli kuwa na magari kwa umri huo wa biashara anazozifanya
ccm wamekuwa wa hovyo kiasi kwamba hata hawawezi kujiona kuwa wao ni wa HOVYO!!?
Childish 😢
Chadema ina watu makini sana.
Hivyo amuwezi kuitetelesha kizembe km kinguvu tuh na bado imesimama pamoja na kuweteza na wasijulikana.
Huu ni uzuzu.
Alipigwa risasi 16, serikali ikasimamisha matibabu yake. CCM haikuwahi kutoa neno juu wala kusukuma uchunguzi wa tukio kufanikiwa.
Leo hii unatoa wapi upendo wa namna hiyo kama si mwendelezo wa unafiki?
Miaka yote walikuwa wapi?. Wasichange. Kweli wanataka kupotezea mambo ya mbeya.
Lengo kuu kuua ishu kuu ya wapinzani mbeya walivopigwa na kujisafisha ktk mashirika ya nje kuwa ndani kupo salama
mimi sita Yusuph toka bariadi lusu kweli unafiki mkubwa gabisa kama sio unafiki wakati ailigwa Lisa's hajamchangia chochote leo wachangie gali lakute😂mbelea uongo mtupu
jaman mnajadili msigwa nmnafkitu amefeli uzeeni amekuwa chawa orijino
Nyie wanahabari nyie ni wasenge tu kwann muwaze mabaya yaliyopita Kwan alipopigw risas nyie mlijua nani alimpiga risas? Pia kama nyie sio mbwa Koko wakati huo makala alikuwa nani nyi kenge
CCM ndio waliofunga mishahara na stahiki za lusu bungeni afu sasahiv wanaleta janja janja za kuwagawa viongizi WA chadema kizembe
Ccm bwana kwa utapeli
Hiyo huruma wakati ccm hao hao walpotaka kumuua na akakaa hospitali miaka zaidi ya miaka minne mbona hawakumuonea huruma hata ya kwenda kumuona?
Hayo ni maneno ya ccm na vyombo vya habari visivyokuwa na uwezo wa habari za uchunguzi, Mbona hospital walizuiana kwenda
Lisu alipo umizwa wanachi walikatazwa hata kumuombea. Iweje Leo achangiwe Hela ya kununulia gari. Huo ulikuwa mtego Ili Lisu akikataa iwe insure. Kuwa si mzalendo. Anabagua wanaccm
Kama mi kweli Lisu kapokea hiyo pesa mimi sina imani tena na huyu Lissu
Umeshamchangia ngapi mpaka sasahv ili umzuie kupokea za CCM, kwanza hela za ccm ni zetu lazima kuzipokea na walete zingine zaidi
Credit kwa CCM wakipokea michango wanatangaza hadharani kiasi kilichopatikana
Yawezekana hujui maana ya Credit!
Yaani kituo hiki ninaamini ni kituo Cha hovyo kuliko vituo vyote Tanzania maana hajui kujificha mbpaka asiyeelewa kashawaelewa kwamba upipozo unawasumbua
Lisupokeatuuhizonipesazawatanzania
Kupokea huo mchango ni kukubali dhihaka ya Makara na Msigwa. Kwanza Lissu anapaswa kuiga mfano wa kutambua thamani yake kama Hamisa Mabeto alivyo kataa zawadi ya Range rover kutoka kwa Harmonise. Mimi ningeshauri CHADEMA kulinunua hilo gari la Lissu kwa kumununulia Range rover mpya hilo lililopigwa risasi likapelekwa makumbusho au pale makao makuu ya chama. Pesa za kashfa zikipokelewa, zote atafutwe mlemavu mmoja au mwenye mahitaji ya matibabu apewe harafu isomwe risara kuwa ni pesa iliyotoka CCM tumeamua kuilekeza hapo.
Wewe ili asipokee za Ccm umeshamchangia ngapi mpaka sasahv?
@@frankpeter4178issue siyo kuchangia, issue ni hotuba iliyosindikiza mchango. Kwa mfano wewe nikikupa laki moja harafu nikakwambia chukua hizi fedha we msenge, unaweza kuzipokea? Sikufahamu ila tafakari.😮😮
Yaani watangazaji wote mnafaa kugombea uchaguzi ujao kupitia pipozi pawa maana mnafanana na huko
Wote hawo ni machawa wa CCM amna kitu hapo
Ilo gari ni mchango ua masimango duuu akizikubari wenye akili wstasems ni timu msigwa Nina imani na lissu sio mtu wa kudhalilishwa
Kama kusoma hujui hata picha huioni?ndio ashasema hivyo kuwa pesa atachukua
Uchawa drama zaCCM mtasema yote
Mbona alipo pigwa risasa hamkumchangia ,CCM wanafiki tu
Mbona na yeye amepokea sasa?Chadema wanafiki pia.....kazi ya siasa waachie wenye siasa..wew nenda kalime😅😅😅
@@thaddeojude7511 hatujamsikia akisema zaidi ya kusemewa Lisu siyo rahisi kutegeka labda kama kalogeka
Wajinga kabisa mda wote mnagombana na mbowe
Kweli Watanzania tu wepesi mara hii mmehama kwenye agenda muhimu ya Mbeya ambayo mataifa ya dunia yamepaza sauti mnahangaika na issue personal za michango ya gari la Lisu elimu yetu haina faida kabisa
😂😂😂
Makara wataje waliompiga risasi TL usijitoe ufahamu. Hizo ni propaganda za funeral kombe Mbeya lipite. Acha kujitoa ufahamu Uzuri Mungu anyone. Is a matter of Time!
Wanapotezea kitendo walichokifanya Mbea
Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,
Alikataa za Abdul amekubali za CCM, inawezekana za Abdul zitarudi kwa njia hiyo, kupitia michango hiyo, Daaa! hizo ndo siasa za Tanzania tumwamini nani na tusimwamini nani, upewacho mbeleni kinafadhira, Mark my ward. Usahau ule msemo usemao, unapo mfadhiri mtu usitegemee fadhira kutoka kwake,
Hizi sio rushwa ni hisani na lisu sio kama msigwa pokea hela kazi iendelee kuwapondo