Baleke na Che Malone wazungumza na Wanasimba hadharani
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Wasikie Wachezaji wa Simba SC, Che Malone Fondoh na Jean Baleke wakizungumzia furaha yao kuwa kwenye kikosi cha ‘Mnyama’. Baleke anasema “Yeye ni mtoto wa Simba” huku Che Malone anasema atafanya kila liwezekanalo kuhakikisha anafanya vyema kwenye kikosi hicho.
- Спорт
Mlete manzoki Leo kawa cha melone,makolo kwa upigaji 😀😀😀😀🤫🤫🤫🤫🤫..
Simb hawan watu weng bhan kusem 2ukweli
Uwanja huwa unaujaza na família yako
Simba guvu moja