ROHO YA UTULIVU (THE SPIRIT OF CALMNESS)
HTML-код
- Опубликовано: 12 окт 2020
- ISAYA 30:15
[15]Kwa maana Bwana MUNGU, Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa; nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali.
#KutuliaNaKutumaini
#SpiritOfCalmnessByPastorTony
#KurudiNaKustareheNiUamuziTu
This man he is not only a PASTOR but he is a TEACHER, Yani ni kiongozi wa viongozi nacho mpendea ni ukweli wake the way anavyo preach Hata kama shetani yuko ndani yako lazima utatega sikio na kumsikia maana mahubiri yake yana mifano mingi sana MUNGU AZIDI KUMBARIKI
This pastor will be known all over the world in 5years to come..
When you teach the word of God Jesus draws people to you...
Haya mafundisho ni deliverance tosha... Dunia inataka mafundisho haya... Mungu apanue mipaka ya hii huduma..
Receive love from kenya
Ukweli
Sure your prophet
Hapo kweli. Glory to God 🙏.
Kabisa
Amen powerful words
Unafariji,unabariki,unafundisha na kuelimisha pia.....ubarikiwe katika huduma pamoja na familia yako
Kaka mimi Naitwa Rahim mimi ni Muslim lakini ndugu yangu nakufatilia sanaaa nakubali sana speech zako tunaitaji watu zaidi kama wew
Ubarikiwe San mtumishi wa my Mungu unanipa tumaini San god bless you ❤️❤️
Waoh that great, asante sana Mutumishi wa Mungu, Pastor TK,,, iyo ni kweli kabisa,,,, 📖🕊️❤️
Amina baba namshukiru MUNGU nina moyo wa utulivu❤❤
Upo na roh mtakatifu kabisaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤umenipo somo kabisa na linanius kabisa
Napokea leo roho ya utulivu ,neno nzuri blessed ,nakataa kusumbuka ,🙏🙏
Aminaa
Naomba nikuoe
Napokea roho ya utulivu shetani kaaa kwako
Amen
Amen nimefunguliwa kwa damu ya yesu
True pastor, mie mme wangu alifariki nikiwa na miaka 27 hiyo ilikua 2014,hadi Sasa Nina msubiri Mungu, Sina hofu nina Amani moyoni kwa sababu najua wakati wake ukifika umefika kwa hiyo bado namsubiri
Mungu akutunze,pole sana
Pole mum
Nabarikiwa sana apa Congo RDC 🇨🇩 🙏🙏
❤
Pastor Kanibariki sana, nitakua na utulivu Kwa Jina La Yesu
Jaman hv ,Kuna group maalum la pastor Tony kapola
I receive the spirit of calmness
Kwa hakika Pastor huyu ako na wisdom and teachings that will transform this generation.....a blessing to me each and every day I listen to him.....am a Kenyan currently in doha Qatar....
You are blessed, blessings in abundant
Amen.uwezo wa kutuliza dhoruba. Storms are not permanent. Nothing stays 4rever
Amen.
Kwa dakika hii nakataa kuhangaika moyoni na maishani .Mungu tawala mawazo yangu na mienendo yangu kwa maombi hii nibadirishe Amina Amina Amina
Roho ya utulivu iwe juu yangu...ameni
Amen 🙏 Holy spirit calm my heart and mind
Hakika Mtumishi unakitu tofauti sana sijutii kukujua nabarikiwa kila mahubiri yako
Mungu azidi kukuinua viwango kwa viwango
Mungu nipe roho ya kuvumilia na utulivu niwenaamani kwenye ndoa yangu 🙏🙏🙏
I receive the sprit of calmness in Jesus Name !!
Dah umibarkiwa isivyo kawaida. Mtumish mungu akulinge mtumish
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Unapofundisha, huwa unabadirisha maisha yangu, na akili yangu piya.
Yesu nijaliye roho ya utulivu🙏
Great wisedom word for the powerfully servant of the most high God
Mungu aliempa hii karama anikumbuke na mimi kwakweli
Lord give me Power of Perseverance, I receive this prophet words in Jesus Mighty Name
Pastor kuzema kweli wafundisha na kuelimisha pia ubarikiwe sana tena sana
Napokea leo roho ya utulivu katika jina la Yesu 🙏
Aminaa...Leo napokea Roho ya kutulia, Roho ya utulivu, nakata Kuhangaika napokea pumziko
Emen,kweli tujifunze kukaa kimya pale dhoruba zinakokuja mbele yetu((Bora waseme unadharau/kiburi au vyovyote lkn wakati wa bwana ukifika wataelewa))
🙋🙋🙋 mfundisho.yako.mzuri.mtumishi
Mungu akubariki sana mtumish
Amina 🙏
God gave this pastor a very different gift. His sermons are never tiring to listen to, and in fact what he teaches has healed my heart a lot. God bless him very much
Very good man of GOD
We are SO blessed for all your sermons
Napenda mafundisho yako yaan najisikia raha yaan unanifany namuona mungu kila mda
May God increase my praying soul
Akili kubwa Sana hii. MUNGU akupe baraka tele Mwalimu wangu.
" it's only in stillness that we can find answers"
"to the mind that is still the whole world surrenders"
Amen
Isaiah 30 : 15
Napokea roho ya utulivu kwa damu ya yesu napokea roho ya mafanikio amen
Thank you Jesus Christ for this word and prayer man of God be blessed
Pastor I declare as an Apostle of the Lord that you will preach where God want you to preach in Jesus name .You are blessed Pastor
Ooooh Jesus thank you
Napokea roho ya utuliv nienende katka mapenz ya Mwenyezi Mungu 🙏
Umesema nami kabisa Mtumishi wa MUNGU. Asante ROHO MTAKATIFU kwa maono haya. Naomba unisaidie niwe na moyo wa SUBIRA..Amina na Amina
Nimesikiliza April 2023 nimeingia you tube nikitamani neno la kunisaidia na ni perfect word i was looking for; Haleluya!!
Napokea roho ya utulivu
Ubarikiwe sana mtumishi
Hili neno limenisaidia kutulia na kumsubiri Mungu.God bless you man of God.
Mee too sheila
Pastor Tony mafundisho yako yananibariki sana na kunivusha.Mungu akubariki sanasana
PST nimekupenda Bure,more grace man of God...such sweet prophetic guidance are rare to find
Amen napokea roho ya utulivu kwa Jina la Yesu Christo...be blessed servant of God
Pasta ubarikiwe kweli jiwe
Huu ni ujumbe "MNENE",safi sana.
Amina
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kuyatunza mafuta amekupaka
Amen mtu wa Mungu nimebarikiwa sana Yesu akudhidishe 🙏🙏🙏
I'm so blessed, pastor Tony my God Protect you forever more!!
AMEN napokea roho ya utulivu Mungu nipe roho ya utuvuli
Asante Yesu kwa neno hili leo limenipa majibu napokea pumziko
Mungu àkubaliki
AMEN...patience pays...I pray for peace & waiting upon my God...AMEN, 🙏🙏🙏
Eee mungu nifundishe kutulia
Pastor wewe una Mungu Kweli Niko Congo na wa Oba wa minifu WA bwana wetu yesu ni obeyeni mipaka ya pesa ya anguke Nika muobe uyu baba pastor ni ta furhai sana Niko Congo RDC 🇨🇩 😘 🇹🇿🇹🇿
Amen mtumushi barikiwa sana
Naomba Mungu anipe roho ya utulivu
Mungu akubariki mtumishi kwa huduma unayoifanya.
Napokea Leo roho ya utulivu, neno nzurii blessed nakaataa kusumbuka
Ameni napokea pumziko
Amen, nimefarijika sana.
Asante ubarikiwe napokea
Mungu yupopamoja na ww
Napokea roho ya utulivu ameen🙏🙏
Napokea kwa jina yesu
I claim the spirit of calmness in Jesus name
Asante kwa somo zuri mchungaji
Mungu tupe roho ya utulivu sana amen
Yes this word found me in the right time,Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana,
Napokeya roho ya utulivu kwa Jina La Yesu🙏🏻🙏🏻
Ee Yesu naomba unijalie roho ya utulivu
Hayo mafundisho yamenijenga kweli kweli 💯
Mungu naomba nipatie roho ya utulivu
Nimekuelewa Pastor,Yesu nijalie hiyo neema
Ilijaribu na pita katika jina laYESU NAPOKEA PUMZIKO NAKATAA KUHAMAKI AMEN
Oooh Lord........thx for the teaching
Napokea Leo roho ya utulivu katika jina la Yesu christo 🙏🏾
Hakika mtumishi ni Roho wa Mungu ako juu yako, nimekupata juzi nimepona
Amina,Nabarikiwa Sana na neno la Mungu.
Amen, amen, amen, que Dieu te restaure Pastor
Umenibariki sana, sana, God bless you In Jesus Name, Amen🙏
This is my message...Thank you Lord.
Napokea pumziko
Amen asante sana Pastor...Mungu akubariki sana
Wewe Ni zaidi ya tunavokuelewa
Ameen napokea
I need this man of God, so blssing
Glory to Almighty God be blessed Safi Sana Ilike this Kumb. 28.1.14
Ubarikiwe sana mtumishi wa jehova nimepewa kitu kipya Asante hayo mafuta yasikauke ndani yako
Yesu nijalie Roho ya utulivu
Toni mungu akubariki Sana mahubri
Napokeaaa pumziko kwa jina la Yesu Amen.
Amin napokea roho ya utulivu