ROHO YA UTULIVU (THE SPIRIT OF CALMNESS)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2020
  • ISAYA 30:15
    [15]Kwa maana Bwana MUNGU, Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa; nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali.
    #KutuliaNaKutumaini
    #SpiritOfCalmnessByPastorTony
    #KurudiNaKustareheNiUamuziTu

Комментарии • 510

  • @MsChocoFlava
    @MsChocoFlava Год назад +11

    This man he is not only a PASTOR but he is a TEACHER, Yani ni kiongozi wa viongozi nacho mpendea ni ukweli wake the way anavyo preach Hata kama shetani yuko ndani yako lazima utatega sikio na kumsikia maana mahubiri yake yana mifano mingi sana MUNGU AZIDI KUMBARIKI

  • @lexiennaturals8366
    @lexiennaturals8366 3 года назад +120

    This pastor will be known all over the world in 5years to come..
    When you teach the word of God Jesus draws people to you...
    Haya mafundisho ni deliverance tosha... Dunia inataka mafundisho haya... Mungu apanue mipaka ya hii huduma..
    Receive love from kenya

  • @iannimrod2834
    @iannimrod2834 Год назад +30

    Unafariji,unabariki,unafundisha na kuelimisha pia.....ubarikiwe katika huduma pamoja na familia yako

  • @rahimfeka6276
    @rahimfeka6276 Год назад +5

    Kaka mimi Naitwa Rahim mimi ni Muslim lakini ndugu yangu nakufatilia sanaaa nakubali sana speech zako tunaitaji watu zaidi kama wew

  • @user-pj7zj4po1b
    @user-pj7zj4po1b 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe San mtumishi wa my Mungu unanipa tumaini San god bless you ❤️❤️

  • @eliasiravuga7539
    @eliasiravuga7539 3 месяца назад +1

    Waoh that great, asante sana Mutumishi wa Mungu, Pastor TK,,, iyo ni kweli kabisa,,,, 📖🕊️❤️

  • @AliciaJonas-gu8ho
    @AliciaJonas-gu8ho Месяц назад

    Amina baba namshukiru MUNGU nina moyo wa utulivu❤❤

  • @CandyVois
    @CandyVois 2 месяца назад

    Upo na roh mtakatifu kabisaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤umenipo somo kabisa na linanius kabisa

  • @mirriumkiamba3455
    @mirriumkiamba3455 3 года назад +36

    Napokea leo roho ya utulivu ,neno nzuri blessed ,nakataa kusumbuka ,🙏🙏

  • @tabbywamtz501
    @tabbywamtz501 3 года назад +6

    True pastor, mie mme wangu alifariki nikiwa na miaka 27 hiyo ilikua 2014,hadi Sasa Nina msubiri Mungu, Sina hofu nina Amani moyoni kwa sababu najua wakati wake ukifika umefika kwa hiyo bado namsubiri

  • @henriettesukari8841
    @henriettesukari8841 3 года назад +14

    Nabarikiwa sana apa Congo RDC 🇨🇩 🙏🙏

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Год назад

    Pastor Kanibariki sana, nitakua na utulivu Kwa Jina La Yesu

  • @neemakanigi1390
    @neemakanigi1390 7 месяцев назад +1

    Jaman hv ,Kuna group maalum la pastor Tony kapola

  • @cathrynyoram4569
    @cathrynyoram4569 Год назад +5

    I receive the spirit of calmness

  • @sarahadonga6149
    @sarahadonga6149 3 года назад +13

    Kwa hakika Pastor huyu ako na wisdom and teachings that will transform this generation.....a blessing to me each and every day I listen to him.....am a Kenyan currently in doha Qatar....

  • @marylenemwanyungu2323
    @marylenemwanyungu2323 Год назад +4

    Amen.uwezo wa kutuliza dhoruba. Storms are not permanent. Nothing stays 4rever

  • @bilhahkabaru7608
    @bilhahkabaru7608 3 года назад +2

    Kwa dakika hii nakataa kuhangaika moyoni na maishani .Mungu tawala mawazo yangu na mienendo yangu kwa maombi hii nibadirishe Amina Amina Amina

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 года назад +6

    Roho ya utulivu iwe juu yangu...ameni

  • @AlbertinaFazili
    @AlbertinaFazili Месяц назад

    Amen 🙏 Holy spirit calm my heart and mind

  • @eveanangisye1999
    @eveanangisye1999 3 года назад +3

    Hakika Mtumishi unakitu tofauti sana sijutii kukujua nabarikiwa kila mahubiri yako
    Mungu azidi kukuinua viwango kwa viwango

  • @greacembwnwilibati8197
    @greacembwnwilibati8197 Год назад +1

    Mungu nipe roho ya kuvumilia na utulivu niwenaamani kwenye ndoa yangu 🙏🙏🙏

  • @Unlimitedfavour575
    @Unlimitedfavour575 Год назад +7

    I receive the sprit of calmness in Jesus Name !!

  • @HatimathJafary-hm6kk
    @HatimathJafary-hm6kk 9 месяцев назад +1

    Dah umibarkiwa isivyo kawaida. Mtumish mungu akulinge mtumish

  • @nicolemulonda8984
    @nicolemulonda8984 3 года назад +2

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
    Unapofundisha, huwa unabadirisha maisha yangu, na akili yangu piya.

  • @kashindiseti4493
    @kashindiseti4493 3 года назад +12

    Yesu nijaliye roho ya utulivu🙏

  • @purityndungu7261
    @purityndungu7261 Год назад +2

    Great wisedom word for the powerfully servant of the most high God

  • @ImanShedrack-py4nm
    @ImanShedrack-py4nm 12 дней назад

    Mungu aliempa hii karama anikumbuke na mimi kwakweli

  • @constanciamosha5144
    @constanciamosha5144 3 года назад +4

    Lord give me Power of Perseverance, I receive this prophet words in Jesus Mighty Name

  • @danielmosota2315
    @danielmosota2315 Год назад

    Pastor kuzema kweli wafundisha na kuelimisha pia ubarikiwe sana tena sana

  • @aikamichael5945
    @aikamichael5945 2 года назад +8

    Napokea leo roho ya utulivu katika jina la Yesu 🙏

  • @emmaculategideon
    @emmaculategideon 10 месяцев назад

    Aminaa...Leo napokea Roho ya kutulia, Roho ya utulivu, nakata Kuhangaika napokea pumziko

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад +2

    Emen,kweli tujifunze kukaa kimya pale dhoruba zinakokuja mbele yetu((Bora waseme unadharau/kiburi au vyovyote lkn wakati wa bwana ukifika wataelewa))

  • @partsonkayange8443
    @partsonkayange8443 11 месяцев назад

    🙋🙋🙋 mfundisho.yako.mzuri.mtumishi

  • @WinfridaMuhiche
    @WinfridaMuhiche Месяц назад

    Mungu akubariki sana mtumish

  • @user-wh1iw4cf5k
    @user-wh1iw4cf5k Месяц назад

    Amina 🙏

  • @nicholausfungo8999
    @nicholausfungo8999 Год назад +4

    God gave this pastor a very different gift. His sermons are never tiring to listen to, and in fact what he teaches has healed my heart a lot. God bless him very much

  • @patrickzihindula7284
    @patrickzihindula7284 3 года назад +7

    Very good man of GOD
    We are SO blessed for all your sermons

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl Год назад

    Napenda mafundisho yako yaan najisikia raha yaan unanifany namuona mungu kila mda

  • @doctoreben9469
    @doctoreben9469 2 года назад +4

    May God increase my praying soul

  • @cathymathew6088
    @cathymathew6088 2 года назад +1

    Akili kubwa Sana hii. MUNGU akupe baraka tele Mwalimu wangu.

  • @edwardmuhia5569
    @edwardmuhia5569 3 года назад +19

    " it's only in stillness that we can find answers"
    "to the mind that is still the whole world surrenders"

  • @lydiah9736
    @lydiah9736 Год назад +2

    Thank you Jesus Christ for this word and prayer man of God be blessed

  • @apostlekathawedaniel7186
    @apostlekathawedaniel7186 3 года назад +11

    Pastor I declare as an Apostle of the Lord that you will preach where God want you to preach in Jesus name .You are blessed Pastor

  • @DoreenAngel-vz9mh
    @DoreenAngel-vz9mh 2 месяца назад

    Ooooh Jesus thank you

  • @mariasamson6055
    @mariasamson6055 Год назад +1

    Napokea roho ya utuliv nienende katka mapenz ya Mwenyezi Mungu 🙏

  • @ladylucky1714
    @ladylucky1714 3 года назад

    Umesema nami kabisa Mtumishi wa MUNGU. Asante ROHO MTAKATIFU kwa maono haya. Naomba unisaidie niwe na moyo wa SUBIRA..Amina na Amina

  • @marthakalebi6965
    @marthakalebi6965 Год назад

    Nimesikiliza April 2023 nimeingia you tube nikitamani neno la kunisaidia na ni perfect word i was looking for; Haleluya!!

  • @rahelgodfrey9242
    @rahelgodfrey9242 Год назад +1

    Napokea roho ya utulivu

  • @MichaelDominic-ht4yq
    @MichaelDominic-ht4yq 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @sheilananjala7625
    @sheilananjala7625 3 года назад +3

    Hili neno limenisaidia kutulia na kumsubiri Mungu.God bless you man of God.

  • @monicamlowezi8596
    @monicamlowezi8596 3 года назад

    Pastor Tony mafundisho yako yananibariki sana na kunivusha.Mungu akubariki sanasana

  • @loicewayesu.official
    @loicewayesu.official 2 года назад +3

    PST nimekupenda Bure,more grace man of God...such sweet prophetic guidance are rare to find

  • @josephineowire1846
    @josephineowire1846 Год назад

    Amen napokea roho ya utulivu kwa Jina la Yesu Christo...be blessed servant of God

  • @user-bm1ei1cj7q
    @user-bm1ei1cj7q Месяц назад

    Pasta ubarikiwe kweli jiwe

  • @elizaddy5806
    @elizaddy5806 Год назад

    Huu ni ujumbe "MNENE",safi sana.

  • @shedrackMgonja-ht5rt
    @shedrackMgonja-ht5rt 15 дней назад

    Amina

  • @coletagamba1802
    @coletagamba1802 3 года назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kuyatunza mafuta amekupaka

  • @user-wv5cq5kt7b
    @user-wv5cq5kt7b 8 месяцев назад

    Amen mtu wa Mungu nimebarikiwa sana Yesu akudhidishe 🙏🙏🙏

  • @subiramwandenga2169
    @subiramwandenga2169 3 года назад +3

    I'm so blessed, pastor Tony my God Protect you forever more!!

  • @majed8488
    @majed8488 Год назад

    AMEN napokea roho ya utulivu Mungu nipe roho ya utuvuli

  • @evaedward877
    @evaedward877 2 года назад

    Asante Yesu kwa neno hili leo limenipa majibu napokea pumziko

  • @AgnesHillary-js4hd
    @AgnesHillary-js4hd Год назад

    Mungu àkubaliki

  • @joycemuigai243
    @joycemuigai243 Год назад +1

    AMEN...patience pays...I pray for peace & waiting upon my God...AMEN, 🙏🙏🙏

  • @user-dn7wo2zw5b
    @user-dn7wo2zw5b 5 месяцев назад

    Eee mungu nifundishe kutulia

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023 Год назад

    Pastor wewe una Mungu Kweli Niko Congo na wa Oba wa minifu WA bwana wetu yesu ni obeyeni mipaka ya pesa ya anguke Nika muobe uyu baba pastor ni ta furhai sana Niko Congo RDC 🇨🇩 😘 🇹🇿🇹🇿

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Год назад +1

    Amen mtumushi barikiwa sana

  • @hilderwanjiku6269
    @hilderwanjiku6269 3 года назад +1

    Naomba Mungu anipe roho ya utulivu

  • @javankilango6533
    @javankilango6533 3 года назад +1

    Mungu akubariki mtumishi kwa huduma unayoifanya.

  • @verovero9379
    @verovero9379 Год назад

    Napokea Leo roho ya utulivu, neno nzurii blessed nakaataa kusumbuka

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Год назад

    Ameni napokea pumziko

  • @SelpherAkala-ue2fr
    @SelpherAkala-ue2fr 8 месяцев назад

    Amen, nimefarijika sana.

  • @naomiaisaac3134
    @naomiaisaac3134 Год назад

    Asante ubarikiwe napokea

  • @editarwaetson4475
    @editarwaetson4475 Год назад

    Mungu yupopamoja na ww

  • @simonjohn1865
    @simonjohn1865 Год назад +1

    Napokea roho ya utulivu ameen🙏🙏

  • @lynmydia2994
    @lynmydia2994 Год назад +1

    I claim the spirit of calmness in Jesus name

  • @yusuphkimaro428
    @yusuphkimaro428 Год назад

    Asante kwa somo zuri mchungaji

  • @vilancelumala7049
    @vilancelumala7049 3 года назад +1

    Mungu tupe roho ya utulivu sana amen

  • @abellabuberwa2977
    @abellabuberwa2977 Год назад

    Yes this word found me in the right time,Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana,

  • @joyeuseswaze3975
    @joyeuseswaze3975 3 года назад

    Napokeya roho ya utulivu kwa Jina La Yesu🙏🏻🙏🏻

  • @dativarichard1987
    @dativarichard1987 2 года назад

    Ee Yesu naomba unijalie roho ya utulivu

  • @constantwanyama1581
    @constantwanyama1581 2 года назад +1

    Hayo mafundisho yamenijenga kweli kweli 💯

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 3 года назад +2

    Mungu naomba nipatie roho ya utulivu

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Год назад

    Ilijaribu na pita katika jina laYESU NAPOKEA PUMZIKO NAKATAA KUHAMAKI AMEN

  • @celestinebenson8183
    @celestinebenson8183 3 года назад

    Oooh Lord........thx for the teaching

  • @edithajiambo3867
    @edithajiambo3867 Год назад

    Napokea Leo roho ya utulivu katika jina la Yesu christo 🙏🏾

  • @eunicebahati2542
    @eunicebahati2542 Год назад

    Hakika mtumishi ni Roho wa Mungu ako juu yako, nimekupata juzi nimepona

  • @edinamandia2754
    @edinamandia2754 3 года назад +1

    Amina,Nabarikiwa Sana na neno la Mungu.

  • @mamiemalendelamatchozi2223
    @mamiemalendelamatchozi2223 3 года назад

    Amen, amen, amen, que Dieu te restaure Pastor

  • @fancytulula9537
    @fancytulula9537 Год назад +1

    Umenibariki sana, sana, God bless you In Jesus Name, Amen🙏

  • @shelizaomary2536
    @shelizaomary2536 Год назад

    This is my message...Thank you Lord.

  • @ivysanga6497
    @ivysanga6497 3 года назад

    Napokea pumziko
    Amen asante sana Pastor...Mungu akubariki sana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Месяц назад

    Wewe Ni zaidi ya tunavokuelewa

  • @cleverjohn169
    @cleverjohn169 Год назад

    Ameen napokea

  • @lenoxkunyapa9111
    @lenoxkunyapa9111 2 года назад

    I need this man of God, so blssing

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Год назад

    Glory to Almighty God be blessed Safi Sana Ilike this Kumb. 28.1.14

  • @ipyanadavid2633
    @ipyanadavid2633 3 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa jehova nimepewa kitu kipya Asante hayo mafuta yasikauke ndani yako

  • @mzalendohuru...4967
    @mzalendohuru...4967 3 года назад +2

    Yesu nijalie Roho ya utulivu

  • @silasteven3929
    @silasteven3929 Год назад

    Toni mungu akubariki Sana mahubri

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 2 года назад

    Napokeaaa pumziko kwa jina la Yesu Amen.

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 3 года назад +1

    Amin napokea roho ya utulivu