SOMO: MAOMBI YANAYO JIBIWA Na Pastor Tony Kapola
HTML-код
- Опубликовано: 15 июн 2022
- Life Chapel International Church, Morogoro, Tanzania.
Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
Facebook: / pastortonykapola
Instagram: / pastortonykapola
Subscribe My RUclips: / @pastortonykapola
Kwa mawasiliano zaidi: +255 659 085 731 au +255 713 702 187
NAMBA YA SADAKA : +255 762 153 539 (NEEMA MASENGA)
Asante Yesu naomba unizidishe! nimekusikia na kukuona kwenye clip za whatup nyingi nikashawishika nikutafute kwenye RUclips hakika nimekuelewa tena na Tena tena hakika sisi ndio wale wanaopendelewa na Bwana Mungu akutumie na kukuzidisha kwa ajili ya utukufu wake Umenibariki sana na nimebarikiwa kwa maombi yako kuna mahali nimevuka
Mungu nizidishe kwenye kila eneo la maisha yangu, nifanye bora mara elfu kwa jina la Yesu
Thanks a lot pastor my mentor I love your teachings watching from kenya❤❤❤❤❤
Asante sana kwa ibada ya leo mchungaji hakika imenijenga na kunipndisha sehemu ingine mungu akubariki sana mtumishi wa mungu na azidi kukupa maarifa ya kuitamgaza injili
Amina kutokea kenya
Amina naomb mung anasaidia San katik hili ninaomb nisaidie nijue na kifunga
Ameen God answer my prayers
Thanks for your divine inspiration be blessed may you multiply in the kingdom of God
For the first time nakuskia niliona una kitu kikubwa pastor umenibadilisha kwenye vitu vingi thanks God for this gift
God multiply what you have...thanks pastor I'm so blessed
Na ijulikane kwamba wewe ndie Mungu💪🏻🙏🏻
Man of God salute to this message
Amen sana❤
Amen
Amina pastor
Ur the best pastor,what a powerful inspirational 🙏.
Ahsante mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huuu..jina la Bwana liinuliwe
Ameen barikiwa Sana mutumishi wa mungu kw kutufunza mengi❤🎉
Thank you baba, timely word. MUNGU akatuzidishe
Am blessed ❤ Bwana najua umenisikia na utanijibu❤
For sure man of God you had really transformed my life sijutii kukufahama mungu aendele kukuzidishia natoka Kenya kilifi
Naku bali mahubiri yako ila hata kama ninge kataa mataifa wange sikilizA tuu,wala hawange kengeuka...Barikiweni wafuasi wa Jehova
Mungu naomba uizidishe biashara yangu
Kwa jina la Yesu
Amen. The key is multiplication
Ubarikiwe mtumishi Kwa huduma
Ameni
Amen Yan MUNGU nirehemu nisaidie maana MTUMISH wako kila anachoongea ni funzo kwangu 🙏
Ameni napenda sana mafundisho yako ❤
Barikiwa sana pastor umenifanya nigeuze maombi
AMEN,,,thanks for teaching me,, God of multiplication
Hakika nimebarikiwa san yan unanikuza mara mbil mungu akutunze
Testimony.. I feel i am elevated and rstored. Thank you Jesus
Mungu akubariki sana mtumishi.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa mafudisho Mazuri ya kutu jenga
Amen Mtumishi. Nimepokea baraka hizi all the way from EU.
Ila kwa Mungu kuna rahaaa kwakweli
Ameniiii❤❤❤
Nakupata Mtumishi wa Mungu kutoka Mwanza Sengerema
🙏🙏🙏Amina mtumishi wa mungu
Amina mtumishi wa Mungu
whatching to day 25th august tangu saa9 umebadilisha akili yangu MUNGU akubariki❤❤
Ubarikiwe niko njombe makambako
Amen unaponya mioyo yetu sana
Naomba kungaa mungu najua umenisikia
Pasta Anthony kapolo
Sisi tunao saidiwa na Bwana tuna matokeo
Mungu nizidishe🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Asante namungu akubarik
Leo nimemjuaa Mungu wangu
Asnte sana nimebalikiwa niko 🇰🇼 Kuwait
Kama Kuna mafundisho matamu yananijenga ni pamoja na ya pastor Tonny
Nabarikiwa sana from Kenya
🙏🙏
Asante YESU kwakuniponya kupitia somo hili kwajina naitwa ESTHER CYPILIAN kutoka shy.ASANTE YESU Kwaujumbe mzr ulioponya kilakitu changu.
Somo Wangu hapa
Amen amen 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ninabarikiwa postor na mahubiri yako kila siku yananitoa sehemu moja na kwenda nyingine
Nafanya hvy pastor uwe mchungaji wang
Asante kwa kuwa Baraka
Nakukubali Sana mchungaji...clips zako za Whatsapp zimenifanya nikutafute kwenye RUclips big respect
Mungu n mwema
Asant mchungaji naangali kutoka mbinga mkoa wa ruvuma
mungu awe upande wako nimesikiza viziuri
Yesu asante kwa huyu mtumishi wako
Nimebarikiwa sana na nmeongeza kitu
Amen amen
Naponaaaa🙏
My spiritually dad
Kweli BABA nisaidiee
Mtumishi wa Mungu,huwa unanibariki sana.nimejengeka Sana Kwa kufatilia mafundisho unayo ya funza ya Mungu.mimi natoka Kenya.Mungu akubariki
We need people who will tell us the truth,hadi nimetafuta ilipo huduma kwenye google maps,hivi kuna matawi ya hii huduma?kongamano la wamama litakua wapi dsm
🙏🙏ubarikiwe sana Man of God
👏👏👏🤝
Asant sana mtumishi kwa neno
Ni ukweli sana
Hawa ndio wachungaji wenye PhD zao...
Amen
Pasta Tony Mungu aku bariki niko Congo DR napenda somo yako kutoka kwa Mungu
Amen