Huu ni wimbo mzuri sana na hasa biti / Melody yake. Ukitolewa majina ya wachezaji na watu. Hakika huu ni wimbo unaweza kuwa anthem ya yanga ambayo inagusa nyoyo za wanayanga.
Utolewe majina ya wachezaji tena Wanayanga tunafurajia kutajwa kwa majina ya wachezaji wetu hiyo ndo VIBEEEE🎉 mzee..........ukitaka wimbo wa timu ukae mioyon mwa mashabiki bas weka vichombezo vya majina ya wachezaji... I think you gat me clearly🤗😊
Alichosema huu jamaa ni kweli kbs cz huu wimboo una melody tenaa kweny kiitikioo xx wachezaji wajina yatolewee cz wachezaji wanapita lkn Yanga ni taasisi ipo saaana
4 really ukitolewa majina ya watu ikabaki team itakuw ni anthem moja kubwa yenye ladha Kali sana jamaa ametumia melody nzur San na beat imesimama,oya sir jay fany version ya pili ambayo utaimba timu peke ake bila kutaja wachezaji itaweza mbayaaa💪💪💪
Mimi kama Shabiki wa Yanga Huu wimbo kwangu nibonge la wimbo bola kuliko yote. Ushauli wangu kwa wasanii wangu wa Yanga. 1> Umizeni sana kichwa kwa kutunga Mistari na Kubuni Mabiti makali yenye High Sound HD. 2> Kwa wasanii wa Music, acheni kutunga mistari yenye majina ya wachezaji ndani yake. Kwasababu tuna changa moto ya Wachezaji wetu kuama Team na kwenda team nyingine, sasa huwezi kuskiliza nyimbo ambayo katajwa mchezaji na wakati huyo mchezaji hayupo kwasasa. HITIMISHO Wasanii wa Music Tungeni nyimbo isiyo na Jina lamtu, na mtunge Mashairi na Mabiti mazuri sana ndani yake. NAIMANI NZURI SANA NA WASANII WANGU WA MUSIC WATUNGAO NYIMBO NZURI YA TEAM YA YANG AFRICA.
Huu sasa ndo yanga anthem ila majina ya wachezaji na viongozi yasiwepo..sifia yanga tuu ili ngoma iishi miaka yote hao watu wapitaji tu ila yanga ipo na itaendelea kuwepo siku zote
Tumeanza Mwaka kwa kupeperusha bendera yetu ya USHINDI bas tusonge mbele na VIBE la WATOTO WA JANGWANI😍@sir jay tz ni MAFIA wa hit songs za YOUNG AFRICANS💛💚
Mazegele boy umezingua kama uliamuankutaja majina ya wachezaj ungetaja wote hatuja msikia job hatjaskia mudathr hatujaskia mkude hatuja skia skudu hapo umezingua
huu wimbo ni mkali Uwe unatumika wakati wachezaji wanatoka vyumbani lkn pia mashabiki uwanjani, ni kuedit tuu majina kila mwaka, na majina ya wachezaji wote waongezwee
Huu ni wimbo mzuri sana na hasa biti / Melody yake. Ukitolewa majina ya wachezaji na watu. Hakika huu ni wimbo unaweza kuwa anthem ya yanga ambayo inagusa nyoyo za wanayanga.
Utolewe majina ya wachezaji tena
Wanayanga tunafurajia kutajwa kwa majina ya wachezaji wetu hiyo ndo VIBEEEE🎉 mzee..........ukitaka wimbo wa timu ukae mioyon mwa mashabiki bas weka vichombezo vya majina ya wachezaji...
I think you gat me clearly🤗😊
Alichosema huu jamaa ni kweli kbs cz huu wimboo una melody tenaa kweny kiitikioo xx wachezaji wajina yatolewee cz wachezaji wanapita lkn Yanga ni taasisi ipo saaana
Ni kwel aurudie pasipo majina ili iwe nyimbo rasmi ya yanga
4 really ukitolewa majina ya watu ikabaki team itakuw ni anthem moja kubwa yenye ladha Kali sana jamaa ametumia melody nzur San na beat imesimama,oya sir jay fany version ya pili ambayo utaimba timu peke ake bila kutaja wachezaji itaweza mbayaaa💪💪💪
Atengeneze version nyingine without mentioning the names
Oya max wambie sisi ni yanga watoto wa jangwani
Mimi ni Simba lakini hii ngoma ni Bonge la Ngoma, Goma la Taifa hili 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌
Edit this song jamani uwe yanga Anthem hasa apa proffer Pacome pacome pacome, kibwana kimwana kibwana😊
Hii iwe nyimbo yetu rasmi ina vibe sana💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚
Mchizi anajua bc tu na ana talent kubwa.
Congratulation kwa beat maker
Waliorudia ×10 tuonane hapa
Kaka unajua sana❤❤❤
International Ahthem , Akili Kubwa Imetumika Big Up Xan Sir Jay Upew Ulinzi 🎉🎉🎉🎉💛💚💛💚💛💚
🙏🙏🙏
😂😂 huu wimbo ni mkali sana mimi simba lakin huu wimbo ni mkali sana
Club above all..💛
Kanyimbo katamu
🙏 Asante sana kwa Ngoma ya kufungia mwaka
Nyimbo nzuri sana ila majina ndio kazingua
Imba wako
Oyaaa ukikaza Kombe la Dunia Utatunga wimbo maan sio Kwa hiki chupa Ni noma na nusu
Nice Song. Keep it up bro. Unaandika vizuri
Mnataka asitaje majina ya wenye pesa alafu inakuwaje yaani....mjini akili
Mimi kama Shabiki wa Yanga Huu wimbo kwangu nibonge la wimbo bola kuliko yote.
Ushauli wangu kwa wasanii wangu wa Yanga.
1> Umizeni sana kichwa kwa kutunga Mistari na Kubuni Mabiti makali yenye High Sound HD.
2> Kwa wasanii wa Music, acheni kutunga mistari yenye majina ya wachezaji ndani yake. Kwasababu tuna changa moto ya Wachezaji wetu kuama Team na kwenda team nyingine, sasa huwezi kuskiliza nyimbo ambayo katajwa mchezaji na wakati huyo mchezaji hayupo kwasasa.
HITIMISHO
Wasanii wa Music Tungeni nyimbo isiyo na Jina lamtu, na mtunge Mashairi na Mabiti mazuri sana ndani yake.
NAIMANI NZURI SANA NA WASANII WANGU WA MUSIC WATUNGAO NYIMBO NZURI YA TEAM YA YANG AFRICA.
Kweli kabisa huu wimbo usingekuwa na majina ungependeza zaidi na ungetumika miaka nenda rudi kama official ssong
Usijal utatumika miaka nenda tupo sis watoa remix tutakujaga badilisha majina ya wachezaji tu saiv umebamba bhana na majina🤭😊
Na kweli kabisa tutabadilisha tu majina
Goma La Taifa 🔥🔥🔥🔥
Huu sasa ndo yanga anthem ila majina ya wachezaji na viongozi yasiwepo..sifia yanga tuu ili ngoma iishi miaka yote hao watu wapitaji tu ila yanga ipo na itaendelea kuwepo siku zote
Tumeanza Mwaka kwa kupeperusha bendera yetu ya USHINDI bas tusonge mbele na VIBE la WATOTO WA JANGWANI😍@sir jay tz ni MAFIA wa hit songs za YOUNG AFRICANS💛💚
Tena mafia Sana
I don’t speak swahili language ila hii ngoma ya moto sana
My only king 🤴🎑🚀🚀🚀🚀
Sir j toa majina wimbo uwe wa muda wote (Yanga Anthem)
Umeua bonge moja la song 🤗 🔥🔥🔥
NATIONAL ATHEM🔥🔥🔥🔥🔥
Fire kaka🦾mazegele boy☝️
Sijui niseme kitu ganiii tu ila oyaaaaaaaa nina maua yako Alooo Umeuwaaaaa
Mm ni yanga kipenzii nimeupenda ❤
Huu ni miongoni mwa nyimbo zenye vibes za timu ya wananchii
Umetishaa sanaa hili gomaa 🔥🔥🔥🔥
Mwanetu hajawai kutoa nyimbo ya yanga ikawa mbovu
Sir Jay hizi sifa sasa 🤝🤝🤝
Aongeze nyimbo bila ivyo tunaenda mpka makao makuu
Ngoma kali.. Baada ya Usajili afanye Remix aingize wachezaji wote
INTERNATIONAL ANTHEM 💚💛💚
Hujawahi kufeli mwanangu💛💛
Umetishaa sana kwenye hi kazi 🔥🔥🔥🔥
Mwanangu Hii Umechapaa Bakolaa Kali sana🔥👊👊
👏👏💚💚💚💛💛💛🔰🔰
Asingetaja majina ya wachezaji ungekua wimbo bora wa yanga wa muda wote,ila wachezaji watakapo pitwa na wakati nfo kila kitu kitaisha hapo.ila on 🔥
Rekebisha neno "SINGED BY" weke 'SANG BY' Kwenye description yako hapo juu. lakini wimbo mzuri sana.
Waambie ss ndy yangaaaa.... Watoto wa jangwan🎉😊
Hiiii nyimbo unaweza kupata mkopo Bank yoyote
Sir j video yake please iweke ni ile match ya 5G🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉😊😊oyoooo daima mbele ndo sisi apa 😊
Nahis hii ndo ngoma ya yanga ya Kwanza niliyoielewa
Ili goma tutalitumia tukianza robo mbona watajuta
Irudiweeeeee irudiweeee oya sir iongezwe dakika hii nyimbo aisee
Umepigaaaaaaaa 💚💚💛💛💚💚
Wananchiiii
Huu wimbo utakuwa una part two... mbona haujataja minara ya 5G.😅
Hatari Sanaaa Hiii Kaka 🔥🔥🔥
jamaa unajua saana kutunga mpaka unakeraaaaaa
Na bado hawajasemaaaa💚💛💚mpaka waseme
Bonge la ngoma 🔥🔥
Nakubali sana na naipenda sana yanga❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyimbo nzuri sana hiii jamani💚💛
Mazegele boii 🎉 ni mwendo wa kuminya minya matikiti
Mbona hii nihatali kuliko yahamo
Bora tabulele angeimba sir j
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Tuanda nayo mpaka 2025
Ndo HUYOHUYO sir jay
🔥🔥🔥🔥
Mazegele boe huna bayaaaaaaaaaa
Wimbo Bora sanaaa huuu dadeq
Hukoseag mdogowetu
❤❤❤❤😊😊
Hatar na nusuuuuuuuuu
Mbad wa hizi kazi
Mimi ni simba ila naipenda yanga
Nice job ❤
Mmmh we ni fundi sana
Huu wimbo unatakiwa uwe maalum. Yaani kama wimbo wa taifa.
Sema auedit uweze kuimbwa muda wote. Ukitaja majina baada ya miaka mi3 inakuwa timu ingine.
Goma Kali bana
Oya nyimbo ka ya fifa bwana
Hatarii
Hatuboi hatupoi
Nakubali
Hatariiiiiii Yanga forever
Bonge la ngoma
Sir jay ❤
Ungetengeneza hata ina dakika 10 taja wachezaji wote kudadeki 😅😅😅
Mazegele boy umezingua kama uliamuankutaja majina ya wachezaj ungetaja wote hatuja msikia job hatjaskia mudathr hatujaskia mkude hatuja skia skudu hapo umezingua
Hii imeeenda
💚💚💚
Best song ever
gud sanah
Gomaaaa la kwendaaa sana😁🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Huna baya
Hatali
Gud sana kaka 🔥🔥🔥🔥🔥
sirjay umeuua kumamake..
huu wimbo ni mkali Uwe unatumika wakati wachezaji wanatoka vyumbani lkn pia mashabiki uwanjani, ni kuedit tuu majina kila mwaka, na majina ya wachezaji wote waongezwee
Umeupiga mwingiii ckupingiiiiiiii chafu yanguu hukoseagi jomon penda shanaaaaa wewe kazi nzuri 💚💛💚💛💚💛💚💛
Yanga