Sir Jay Tz-Watoto Wa Jangwani (Official_Audio).

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 дек 2023
  • New Release_Watoto Wa Jangwani is A Special song for Youn Africans Football Club Written and Singed By @Sir Jay Tz
    cc@sutibega entertainment
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 177

  • @makolosaid5232
    @makolosaid5232 4 месяца назад +52

    Huu ni wimbo mzuri sana na hasa biti / Melody yake. Ukitolewa majina ya wachezaji na watu. Hakika huu ni wimbo unaweza kuwa anthem ya yanga ambayo inagusa nyoyo za wanayanga.

    • @Kaju_pait
      @Kaju_pait 4 месяца назад +1

      Utolewe majina ya wachezaji tena
      Wanayanga tunafurajia kutajwa kwa majina ya wachezaji wetu hiyo ndo VIBEEEE🎉 mzee..........ukitaka wimbo wa timu ukae mioyon mwa mashabiki bas weka vichombezo vya majina ya wachezaji...
      I think you gat me clearly🤗😊

    • @miltonmachage2462
      @miltonmachage2462 4 месяца назад +4

      Alichosema huu jamaa ni kweli kbs cz huu wimboo una melody tenaa kweny kiitikioo xx wachezaji wajina yatolewee cz wachezaji wanapita lkn Yanga ni taasisi ipo saaana

    • @THEWORLDEYE3263
      @THEWORLDEYE3263 4 месяца назад +3

      Ni kwel aurudie pasipo majina ili iwe nyimbo rasmi ya yanga

    • @d.mstudio4573
      @d.mstudio4573 4 месяца назад +1

      4 really ukitolewa majina ya watu ikabaki team itakuw ni anthem moja kubwa yenye ladha Kali sana jamaa ametumia melody nzur San na beat imesimama,oya sir jay fany version ya pili ambayo utaimba timu peke ake bila kutaja wachezaji itaweza mbayaaa💪💪💪

    • @n71tz
      @n71tz 4 месяца назад +1

      Atengeneze version nyingine without mentioning the names

  • @KletusMaro-pl6ol
    @KletusMaro-pl6ol 2 дня назад

    Oya max wambie sisi ni yanga watoto wa jangwani

  • @victormoshi8414
    @victormoshi8414 4 месяца назад +16

    Mimi ni Simba lakini hii ngoma ni Bonge la Ngoma, Goma la Taifa hili 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌

  • @euniceezekiel3701
    @euniceezekiel3701 8 дней назад

    Edit this song jamani uwe yanga Anthem hasa apa proffer Pacome pacome pacome, kibwana kimwana kibwana😊

  • @user-et2bq4po9i
    @user-et2bq4po9i 4 месяца назад +11

    Hii iwe nyimbo yetu rasmi ina vibe sana💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @AkiezyTz
    @AkiezyTz 4 дня назад

    💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚

  • @abduymbonde6206
    @abduymbonde6206 4 месяца назад +11

    Mchizi anajua bc tu na ana talent kubwa.
    Congratulation kwa beat maker

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 4 месяца назад +5

    Waliorudia ×10 tuonane hapa

  • @IS-mailyuu
    @IS-mailyuu 7 дней назад

    Kaka unajua sana❤❤❤

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 4 месяца назад +5

    International Ahthem , Akili Kubwa Imetumika Big Up Xan Sir Jay Upew Ulinzi 🎉🎉🎉🎉💛💚💛💚💛💚

  • @user-qg3nu1kv2n
    @user-qg3nu1kv2n 4 дня назад

    🙏🙏🙏

  • @manigatz5271
    @manigatz5271 4 месяца назад +4

    😂😂 huu wimbo ni mkali sana mimi simba lakin huu wimbo ni mkali sana

  • @user-vd3ke5im1d
    @user-vd3ke5im1d 4 месяца назад +8

    Club above all..💛

  • @justnameeta
    @justnameeta 11 дней назад

    Kanyimbo katamu

  • @nestorymtegere4987
    @nestorymtegere4987 4 месяца назад +5

    🙏 Asante sana kwa Ngoma ya kufungia mwaka

  • @ShembagoRubenishembago
    @ShembagoRubenishembago Месяц назад

    Nyimbo nzuri sana ila majina ndio kazingua

  • @abdillah4032
    @abdillah4032 4 месяца назад +1

    Oyaaa ukikaza Kombe la Dunia Utatunga wimbo maan sio Kwa hiki chupa Ni noma na nusu

  • @Professor-9
    @Professor-9 4 месяца назад +5

    Nice Song. Keep it up bro. Unaandika vizuri

  • @user-xw9yx1wu8t
    @user-xw9yx1wu8t 4 месяца назад

    Mnataka asitaje majina ya wenye pesa alafu inakuwaje yaani....mjini akili

  • @user-eu9qt3tb9f
    @user-eu9qt3tb9f 2 месяца назад

    Mimi kama Shabiki wa Yanga Huu wimbo kwangu nibonge la wimbo bola kuliko yote.
    Ushauli wangu kwa wasanii wangu wa Yanga.
    1> Umizeni sana kichwa kwa kutunga Mistari na Kubuni Mabiti makali yenye High Sound HD.
    2> Kwa wasanii wa Music, acheni kutunga mistari yenye majina ya wachezaji ndani yake. Kwasababu tuna changa moto ya Wachezaji wetu kuama Team na kwenda team nyingine, sasa huwezi kuskiliza nyimbo ambayo katajwa mchezaji na wakati huyo mchezaji hayupo kwasasa.
    HITIMISHO
    Wasanii wa Music Tungeni nyimbo isiyo na Jina lamtu, na mtunge Mashairi na Mabiti mazuri sana ndani yake.
    NAIMANI NZURI SANA NA WASANII WANGU WA MUSIC WATUNGAO NYIMBO NZURI YA TEAM YA YANG AFRICA.

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 4 месяца назад +3

    Kweli kabisa huu wimbo usingekuwa na majina ungependeza zaidi na ungetumika miaka nenda rudi kama official ssong

    • @Kaju_pait
      @Kaju_pait 4 месяца назад

      Usijal utatumika miaka nenda tupo sis watoa remix tutakujaga badilisha majina ya wachezaji tu saiv umebamba bhana na majina🤭😊

    • @EdwardPaul-bd2fx
      @EdwardPaul-bd2fx 4 месяца назад

      Na kweli kabisa tutabadilisha tu majina

  • @officiallnobystar
    @officiallnobystar 4 месяца назад +5

    Goma La Taifa 🔥🔥🔥🔥

  • @qayniffah3146
    @qayniffah3146 4 месяца назад +2

    Huu sasa ndo yanga anthem ila majina ya wachezaji na viongozi yasiwepo..sifia yanga tuu ili ngoma iishi miaka yote hao watu wapitaji tu ila yanga ipo na itaendelea kuwepo siku zote

  • @Kaju_pait
    @Kaju_pait 4 месяца назад +3

    Tumeanza Mwaka kwa kupeperusha bendera yetu ya USHINDI bas tusonge mbele na VIBE la WATOTO WA JANGWANI😍@sir jay tz ni MAFIA wa hit songs za YOUNG AFRICANS💛💚

  • @rajabuadamu8148
    @rajabuadamu8148 4 месяца назад +2

    I don’t speak swahili language ila hii ngoma ya moto sana

  • @Rukingaboyz
    @Rukingaboyz 4 месяца назад +4

    My only king 🤴🎑🚀🚀🚀🚀

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 4 месяца назад +2

    Sir j toa majina wimbo uwe wa muda wote (Yanga Anthem)

  • @NasriMasoud-qs4xf
    @NasriMasoud-qs4xf 4 месяца назад +3

    Umeua bonge moja la song 🤗 🔥🔥🔥

  • @jacktons8614
    @jacktons8614 4 месяца назад +5

    NATIONAL ATHEM🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ReybaCris
    @ReybaCris 4 месяца назад +3

    Fire kaka🦾mazegele boy☝️

  • @CynthiaWillium-cy5eh
    @CynthiaWillium-cy5eh 4 месяца назад +1

    Sijui niseme kitu ganiii tu ila oyaaaaaaaa nina maua yako Alooo Umeuwaaaaa

  • @user-wz7rk1ln5d
    @user-wz7rk1ln5d 4 месяца назад +3

    Mm ni yanga kipenzii nimeupenda ❤

  • @Calvinyohana-qt4ur
    @Calvinyohana-qt4ur 8 дней назад

    Huu ni miongoni mwa nyimbo zenye vibes za timu ya wananchii

  • @WONDERDCRAZY
    @WONDERDCRAZY 4 месяца назад +4

    Umetishaa sanaa hili gomaa 🔥🔥🔥🔥

  • @mohammedomary9476
    @mohammedomary9476 4 месяца назад +1

    Mwanetu hajawai kutoa nyimbo ya yanga ikawa mbovu

  • @shobimzawa
    @shobimzawa 4 месяца назад +3

    Sir Jay hizi sifa sasa 🤝🤝🤝

  • @yusuphkasimu5636
    @yusuphkasimu5636 4 месяца назад +1

    Aongeze nyimbo bila ivyo tunaenda mpka makao makuu

  • @jorento
    @jorento 4 месяца назад +2

    Ngoma kali.. Baada ya Usajili afanye Remix aingize wachezaji wote

  • @Lenzo_Tv
    @Lenzo_Tv 4 месяца назад +5

    INTERNATIONAL ANTHEM 💚💛💚

  • @NEEMAANDREW-md1qe
    @NEEMAANDREW-md1qe 4 месяца назад +4

    Hujawahi kufeli mwanangu💛💛

  • @WONDERDCRAZY
    @WONDERDCRAZY 4 месяца назад +3

    Umetishaa sana kwenye hi kazi 🔥🔥🔥🔥

  • @hamduninassoro3666
    @hamduninassoro3666 4 месяца назад +2

    Mwanangu Hii Umechapaa Bakolaa Kali sana🔥👊👊

  • @mealsbymana6561
    @mealsbymana6561 4 месяца назад

    👏👏💚💚💚💛💛💛🔰🔰

  • @festoraphaely9954
    @festoraphaely9954 3 месяца назад

    Asingetaja majina ya wachezaji ungekua wimbo bora wa yanga wa muda wote,ila wachezaji watakapo pitwa na wakati nfo kila kitu kitaisha hapo.ila on 🔥

  • @nathason5300
    @nathason5300 2 месяца назад

    Rekebisha neno "SINGED BY" weke 'SANG BY' Kwenye description yako hapo juu. lakini wimbo mzuri sana.

  • @marydickson7064
    @marydickson7064 4 месяца назад +1

    Waambie ss ndy yangaaaa.... Watoto wa jangwan🎉😊

  • @hamisihuseni9532
    @hamisihuseni9532 4 месяца назад +1

    Hiiii nyimbo unaweza kupata mkopo Bank yoyote

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 4 месяца назад +1

    Sir j video yake please iweke ni ile match ya 5G🎉🎉🎉🎉

  • @jumaaally6088
    @jumaaally6088 4 месяца назад +2

    🎉🎉🎉🎉😊😊oyoooo daima mbele ndo sisi apa 😊

  • @scontohlaizer8536
    @scontohlaizer8536 4 месяца назад +1

    Nahis hii ndo ngoma ya yanga ya Kwanza niliyoielewa

  • @luckyinnocent2255
    @luckyinnocent2255 4 месяца назад +1

    Ili goma tutalitumia tukianza robo mbona watajuta

  • @mohamedabdul958
    @mohamedabdul958 4 месяца назад +1

    Irudiweeeeee irudiweeee oya sir iongezwe dakika hii nyimbo aisee

  • @irenedaniel8702
    @irenedaniel8702 4 месяца назад +2

    Umepigaaaaaaaa 💚💚💛💛💚💚

  • @kingelishathomasonline4842
    @kingelishathomasonline4842 4 месяца назад +2

    Wananchiiii

  • @akrajackson854
    @akrajackson854 4 месяца назад +1

    Huu wimbo utakuwa una part two... mbona haujataja minara ya 5G.😅

  • @chussehboe6330
    @chussehboe6330 4 месяца назад +2

    Hatari Sanaaa Hiii Kaka 🔥🔥🔥

  • @issaathuman2447
    @issaathuman2447 4 месяца назад +1

    jamaa unajua saana kutunga mpaka unakeraaaaaa

  • @Kaju_pait
    @Kaju_pait 4 месяца назад +1

    Na bado hawajasemaaaa💚💛💚mpaka waseme

  • @ztvonline2523
    @ztvonline2523 4 месяца назад +6

    Bonge la ngoma 🔥🔥

  • @HappyAnglerfish-no2jj
    @HappyAnglerfish-no2jj Месяц назад

    Nakubali sana na naipenda sana yanga❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JanethMgaya-ue4xd
    @JanethMgaya-ue4xd 3 месяца назад +1

    Nyimbo nzuri sana hiii jamani💚💛

  • @nmiternational
    @nmiternational 4 месяца назад +1

    Mazegele boii 🎉 ni mwendo wa kuminya minya matikiti

  • @rayvannychui1409
    @rayvannychui1409 4 месяца назад +1

    Mbona hii nihatali kuliko yahamo

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 4 месяца назад +1

    Bora tabulele angeimba sir j

  • @arabgandaempire
    @arabgandaempire 4 месяца назад +4

    *Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*

  • @Mwalimjoshua
    @Mwalimjoshua 4 месяца назад +1

    Tuanda nayo mpaka 2025

  • @ALENIKIBA
    @ALENIKIBA 4 месяца назад +1

    Ndo HUYOHUYO sir jay

  • @deogratiassimon22
    @deogratiassimon22 4 месяца назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @clevertz22._-vo6ud
    @clevertz22._-vo6ud 4 месяца назад +1

    Mazegele boe huna bayaaaaaaaaaa

  • @FadhilyVahaye-rv4wb
    @FadhilyVahaye-rv4wb 4 месяца назад +1

    Wimbo Bora sanaaa huuu dadeq

  • @HaibaSalehe-tb5vn
    @HaibaSalehe-tb5vn 4 месяца назад +1

    Hukoseag mdogowetu

  • @user-rq4ni5bs5z
    @user-rq4ni5bs5z 3 месяца назад

    ❤❤❤❤😊😊

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 4 месяца назад +1

    Hatar na nusuuuuuuuuu

  • @khadamnl90
    @khadamnl90 4 месяца назад +1

    Mbad wa hizi kazi

  • @razzackkassim8058
    @razzackkassim8058 4 месяца назад +1

    Mimi ni simba ila naipenda yanga

  • @user-lb9ev1xz1p
    @user-lb9ev1xz1p 4 месяца назад +4

    Nice job ❤

  • @user-ot5nk7lw4r
    @user-ot5nk7lw4r 4 месяца назад +1

    Mmmh we ni fundi sana

  • @simonanthonykayombo6913
    @simonanthonykayombo6913 3 месяца назад

    Huu wimbo unatakiwa uwe maalum. Yaani kama wimbo wa taifa.
    Sema auedit uweze kuimbwa muda wote. Ukitaja majina baada ya miaka mi3 inakuwa timu ingine.

  • @MasabaLunyilija
    @MasabaLunyilija 4 месяца назад +1

    Goma Kali bana

  • @yusuphkasimu5636
    @yusuphkasimu5636 4 месяца назад +1

    Oya nyimbo ka ya fifa bwana

  • @ramadhanvyombo5145
    @ramadhanvyombo5145 4 месяца назад +1

    Hatarii

  • @mdathirukajumulo9181
    @mdathirukajumulo9181 4 месяца назад +1

    Hatuboi hatupoi

  • @meshackmyovela6851
    @meshackmyovela6851 4 месяца назад +1

    Nakubali

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 4 месяца назад +1

    Hatariiiiiii Yanga forever

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 8 дней назад

    Bonge la ngoma

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i Месяц назад +1

    Sir jay ❤

  • @emmanuelkaziyao9522
    @emmanuelkaziyao9522 4 месяца назад +1

    Ungetengeneza hata ina dakika 10 taja wachezaji wote kudadeki 😅😅😅

  • @ngorshermelody2021
    @ngorshermelody2021 4 месяца назад

    Mazegele boy umezingua kama uliamuankutaja majina ya wachezaj ungetaja wote hatuja msikia job hatjaskia mudathr hatujaskia mkude hatuja skia skudu hapo umezingua

  • @esauudamwa9678
    @esauudamwa9678 4 месяца назад +1

    Hii imeeenda

  • @stewardwega
    @stewardwega 4 месяца назад +2

    💚💚💚

  • @elizabethelias3130
    @elizabethelias3130 4 месяца назад +5

    Best song ever

  • @user-vf7du4xz7x
    @user-vf7du4xz7x 4 месяца назад +1

    gud sanah

  • @iam_tine645
    @iam_tine645 4 месяца назад +1

    Gomaaaa la kwendaaa sana😁🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @RamadhanLiteka-dr6pb
    @RamadhanLiteka-dr6pb 4 месяца назад +1

    Huna baya

  • @user-id9xv5ef4r
    @user-id9xv5ef4r 4 месяца назад +1

    Hatali

  • @officialkibamia2319
    @officialkibamia2319 4 месяца назад +2

    Gud sana kaka 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mkalisantosTV
    @mkalisantosTV 4 месяца назад +1

    sirjay umeuua kumamake..

  • @nasibmussa2014
    @nasibmussa2014 4 месяца назад

    huu wimbo ni mkali Uwe unatumika wakati wachezaji wanatoka vyumbani lkn pia mashabiki uwanjani, ni kuedit tuu majina kila mwaka, na majina ya wachezaji wote waongezwee

  • @user-qz5un8vy7j
    @user-qz5un8vy7j 4 месяца назад

    Umeupiga mwingiii ckupingiiiiiiii chafu yanguu hukoseagi jomon penda shanaaaaa wewe kazi nzuri 💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @halimasawa611
    @halimasawa611 4 месяца назад +1

    Yanga