Aliyekuja kusikiliza tena baada ya kufuzu robo final kikubwa Tena na mechi Moja kibindoni vibonde wanasubiria miujiza iwaangukie ndio waingie robo final tujuane kwa like nyingi 😂
Meneno machafu ni kawaida sana TZ frm my experience na wao. I met one nnchini ya kigeni. Tukasalimiana. And out of nowhere akaniambia su twende tukato'ban*. Woieyaeee !
Shida sis wengine kwa kuwa Batazari familia yetu since day one kipunguni jirani kabisa na kilimani....kwa diwani...mara saloon pyuu dayoo tutasapoti japo kishingo upande....inakuwajee yanga Sasa Simba ndo Kila kitu mwanangu.....achana na makolo haoo
Mimi ndo wakwanza mnipe like zangu
Mamb
😅😅😅😅😅😅😅
Young Africa hoyeeeeeeeh haha wadau mm mtu wa 35 ku comment so, like bac
Wow 🔥🔥 umetsha wadau😁😁😁
@@SanyBrown.21 💚💚💚💚
@@Challer-ly2zv2wd4h 🙊🙊🔥💞💞💯🔔🎼🎼
Yaga tamu
Sana yan🔥🔥🔥
I am Kenya's No. 1 Yanga fan. Yaani kwa ajili ya nyimbo hii nampa subscription Dayoo. Yanga is my blood
Nmekuwa wakwanza jmn wanao mkubali dayooo tugonge like hapa
asante dayo Kwa zawadi Hii nzuri Kwa Yanga
Wimbo mzuri sana nafurahi sana kuhamia yanga naona itanipa burudani vya kutosha mpka kiama aisee wananchiiiiiii 💪👊 oyeee 💚💛💛
The best Young song for this year 2024💚💚🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇰🇲
SINA KIPONGAMIZI NA DAYOO NA HI IMEENDA YA UNYAMA MWINGI❤❤❤
Umetisha❤❤❤❤❤❤
yanga yetu😂😂😂❤❤❤❤makolo wanaumwa....mwananchi💚💛💚💛💚💛💚💛
Let's Go Watoto Wa Jangwani 💛💚💛💚💛💛💛
Dayoo and Yanga,Nairobi tumekubali🔥
Yanga oyeeee yanga yetu bhana
Wana yang huu mwaka ni wetu❤❤❤
Mwaka wetu huu dadeki 💪💪
Ngoma kali sanaaaaaaa
We mwaka huu raha 🎉🎉🎉😅😅😅😂😂😂😂
Yangaaa yetu tamuu halafu raha tuu 💚💚💚💛💛💛💛
🏅🏆🏆🏆🏆caf fe lingi hatuaci ss ngo yanga
Hatuachi kikombe hata cha chai manina🎉🎉🎉😂
Manina ?
Yanga oyeee
Vkombe hatuachii
Iko poa sana iyo
Bonge la nyimbo Yan dahh
Tanzania nzima ni Yanga sema wengine baada ya uzinzi,ulevi na bangi wakajikuta kwenye izi team zengine
Woyooooo...
YANGA BINGWAAAAA...😂😂😂
Asant yanga❤❤❤
wimbo mkari baraa hongera sana muimnaji
Dayoo nakuelewa kaka😂😂😂😂😂😂😂😂 unadhidi kubamba2 kaka
Haijakaa kizembe kama za simba
Aliyekuja kusikiliza tena baada ya kufuzu robo final kikubwa Tena na mechi Moja kibindoni vibonde wanasubiria miujiza iwaangukie ndio waingie robo final tujuane kwa like nyingi 😂
Yan kiranitaka kufungua yakwaza ni IItu
😮😮😮 sio poa mwamba umetuweza ila hainambaya Saana kama tumezilipa bao 4 nanyongeza tutashindwaje kulipa wimbo bomba kama huu
💚💚💚💚💚 asant mungu ajalie tupate ubingwa
Dayoo umetisha sana 🔥🔥🔥🔥
unajuwa San dogo
Hii nyimbo wakiisikia makolo wataumia
Makolo ni akina nani tafathali ?
Wimbo mzur
Waoooo❤❤❤❤❤
Umeuaaaa
Asante brothe
Huu Mwaka
Mimi ndo wa pili
Meneno machafu ni kawaida sana TZ frm my experience na wao.
I met one nnchini ya kigeni. Tukasalimiana. And out of nowhere akaniambia su twende tukato'ban*.
Woieyaeee !
Kwa huu wimbo Hadi makolo lazima waimbe
Wananchiiiiiiiiiiiii sitting eeeeeeee🎉🎉 89
🎉🎉🎉🎉Yanga daimambele nyuma mwiko🎉🎉🎉🎉🎉
Hiii Yanga ni hatar
🎉🎉
Safiiiiiiiii
Me ni yangaaa
💛💛💚💚
Kwa @dayoo wamekununua😢
Tanzania msanii akiachia nyimbo ikahit bas remix yake yanga usenge mtupu
💚💛🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Yanga🎉
Nilikua shabikia ako naaza kuleft chap😁😁😁 MASHABIKI WA SIMBA MNAONIPA SUPORT un.....🤗🤗
Dayo nilikua nakukubali lakini kwa huu ukuma acha tu nihamie kwa hamorapa
Ata mm
Mmepigwa na kitu kizito
Na mwaka ujao ni wetu pia
Nakubali wananchiiiiii eeeeeeeh
Mangiiii
Dayoo bado haujasema yan
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mimi ni yanga
Umeanza kuingiza mziki na mpira😮
💛💚💛💚💛💚🔥🔥🔥🔥🔥
💛💚💪👏👏
Oyaaa Si et eee💛💛💛💚💚💚🔥🔥🔥🔥
Dayoo 👏👏👏🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Oya si etii eeeh!
Daima mbele 💪
Yanga hiyooo kabisa
Mbele daima💚💚💚✅✅
❤❤❤❤❤
😢😢😢me Simba
Shida sis wengine kwa kuwa Batazari familia yetu since day one kipunguni jirani kabisa na kilimani....kwa diwani...mara saloon pyuu dayoo tutasapoti japo kishingo upande....inakuwajee yanga Sasa Simba ndo Kila kitu mwanangu.....achana na makolo haoo
Umetixha bro
Umetisha sanaaaa Kaka!!! 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Wimbo umelipa dayoo
Emagne Yanga wenyewe hata hawakusaport ungeachia ya smba apa sahv ingekua na 40k
Napendekeza uwe Wimbo wa yang😂
Fantastic
we dayoo umepigaje apoooo
oyooooooooooo
Ata sisi hatujachelewa kusikiliza chama letu
Yanga Bingwa Tena 💚💛🖤
Umetisha💛💛💛💚💚💚💯
Dayoooooooooooooooooooooooooooooooooo
🦁🦁🦁🦁📸📸
Show
Wanainiita MANGIIIIIIIIIIIIII LIKE KWAKE
Mshua
I'm from south Africa
💚💚💚💚💚💚💚💚wanga mpo
fundi wa muziki🙌🙌
Yani nilikuw nakukubali kumbe tena unaipenda na wewe yanga,ndo una zidi kuongeza upendo
Nomaa nimanz kuiskia monie shaitaft wap,,mar paaa hii hap oya umehuaaaaaa
yangaaaaaaaa😂
Uhakk hii song🎉
Best upcoming Artist💥💥
Big up yanga