Harmonize - Na Nusu (Official Lyrics Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии •

  • @lucky_g7433
    @lucky_g7433 9 месяцев назад +170

    For real King 👑 Harmonize akiitunga wimbo wenye hisia utadhani ni malaika kamsaidia na uwandishi kisha Mungu akashusha kipawa zaidi kwenye nyuzi zake za sauti. What a great talent legend 👏🏾

    • @GatekaNene
      @GatekaNene 9 месяцев назад +1

      Niko na wewe kaka uyu mtu ni zaidi ya muimbaji namukubali bala nivile tu halijuwi hilo 🤝🤝🤝🤝🤝❤❤

    • @famousmutambo
      @famousmutambo 9 месяцев назад

      It's only legend artist in Tanzania with talent and I love his music I'm top fan's from zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲 big ups to you my kondeboy.

    • @furahalewa4783
      @furahalewa4783 9 месяцев назад

      Sijui nimesikiliza mara ngapi much love from kenya ❤❤❤❤❤

    • @euty79
      @euty79 9 месяцев назад

      You don't dissapoint

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 9 месяцев назад +100

    Hakika Mwanamke ni Muhimu sana Kwenye Nyumba, Yani Usipokuwa na Mwanamke Amini kwamba hutofanya Jambo likaenda vyema, Hasa Kwenye ishu ya Maendeleo Ili ufanikiwe Nyuma awe mtu wa kukufuata Yani Mwanamke atakuongoza... Hii Nyimbo imenifanya nizidi kumpenda Baby Mama wangu.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @vdjcymoreh254
    @vdjcymoreh254 9 месяцев назад +130

    Napenda this guy,,,anapiga wimbo mtamu recognising women,,,women are much important to this world

  • @tambabofficial9709
    @tambabofficial9709 4 месяца назад +42

    Japo sina mama wala baba ,,naamini mwanamke n mtu na nusu,,,like plz kama pia unaamini,,, great love to all mother's

    • @Chibago-xx2xy
      @Chibago-xx2xy 27 дней назад

      Huwezi kosa mama your hole life😢😢😢

  • @harmonddekaofficial4585
    @harmonddekaofficial4585 9 месяцев назад +182

    Mimi kiukweri nimeshindwa kuvumilia na huu wimbo,,, unanitonesha machozi,,,melodies,vocals and beats,,shwari kabis❤love konde boy....my mentor

  • @florisseba9638
    @florisseba9638 9 месяцев назад +92

    Maman ni mutu na nusu wangu alikufa mapema nikiwa mdogo kuna vitu mingi nimekosa kwa maisha yangu harmonize wewe ni mwerevu kabisa kwanza ngisi iyo ngoma umeichapa sidani kuna msani anaweza 👊🏾

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 9 месяцев назад +144

    Jamani nimesikiliza hii nyimbo karibu mara kumi,,,,,Konde wewe ni number one kweli.... much love ❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @oliviertruxs5191
      @oliviertruxs5191 9 месяцев назад +2

      1:36 😊😅😅ddddt😮tdddddddddddddddddddddddddd

    • @josephkimeu-zh8px
      @josephkimeu-zh8px 9 месяцев назад +2

      ✔️✔️😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @GEOFFREYNYABUTO-y1m
      @GEOFFREYNYABUTO-y1m 9 месяцев назад +1

      True jeshi tembo siku zote

    • @GEOFFREYNYABUTO-y1m
      @GEOFFREYNYABUTO-y1m 9 месяцев назад +1

      I love you teacher konde boy ❤❤ from 254kenya🎉🎉

    • @LazarusLaizer
      @LazarusLaizer 9 месяцев назад +1

      Merry

  • @davybanks
    @davybanks 3 месяца назад +8

    Shout out to all the women in the world,,, we really adore you,, bila mwanamke kuna mengi yasiyoweza kukamilishwa,, ata mwanaume awe Tajiri ama mwenye nguvu anahitaji mwanamke ili akamilike,,, SENDING LOVE TO ALL WOMEN AROUND THE GLOBE💫💫💫❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @BekhaPhD
    @BekhaPhD 9 месяцев назад +349

    This Song inanikumbusha mama yangu alivyonipambania kunisomesha mpaka Sasa Niko Chuo kikuu,,,, Allah mjahalie mama yangu Umri mrefu 🙏🙏🙏🙏🙏 na wabariki kina mama wote Duniani

  • @officialgypsum12
    @officialgypsum12 9 месяцев назад +295

    Amazing 🎉🎉 song from Konde gang kama umeisikiliza zaidi ya mara mbili Tia like hapaaa🎉🎉🎉❤❤

    • @ENOCKTVSHOPSHOP
      @ENOCKTVSHOPSHOP 9 месяцев назад +4

      Siyo marambiri two marakumi

    • @josephkimeu-zh8px
      @josephkimeu-zh8px 9 месяцев назад +2

      Ngoma ni kali aki

    • @FloridahAkeyo
      @FloridahAkeyo 9 месяцев назад

      Hii imeweza,nmeuskiza zaidi ya kumi

    • @benjaminitenge2057
      @benjaminitenge2057 9 месяцев назад

      this the only one first challenge. ruclips.net/video/AeMSHTkvC3U/видео.htmlsi=Dw-GfKE-45TrRr5v the first challenge on RUclips 🇨🇩

  • @munezeroingrid
    @munezeroingrid 9 месяцев назад +143

    Mungu awape maisha marefu akina mama wte duniani🎉🎉❤

  • @ekulandeborah1060
    @ekulandeborah1060 8 месяцев назад +33

    Harmonize is the king of lyrics . Let’s give him his flowers. Love from 🇰🇪

  • @GeboyTavares
    @GeboyTavares 9 месяцев назад +168

    This song inanikumbusha mama yangu alivyonipambania kunisomesha mpaka Sasa naomben like 1000 jamani much love for Konde boy❤❤❤🙏🙏🙏🎉 nawabariki kina mama wote duniani

    • @ZxenaWarrior
      @ZxenaWarrior 9 месяцев назад +1

      Much Respect for You cuZ You gave So much Credit to your mama ... 🩷🩷😇🙌🏽🙌🏽🇺🇸🇵🇷🇳🇬✨✨✨✨👑 Yes God Bless You & Your Family 🫶🏽 💯 from USA 🇺🇸❤️🤍💙

    • @sadydeposto7443
      @sadydeposto7443 8 месяцев назад

      my mom from mumias i love you 😢😢😢

    • @HusseinElias-
      @HusseinElias- 8 месяцев назад

      Sasa upewe like za nni mbona kama ma bwbwa nyie

  • @PeterMapunda-xv1yz
    @PeterMapunda-xv1yz 9 месяцев назад +263

    Sio kweli jomn wapenz wa conde na mm naomben like🎉🎉 hata 4k tuh

  • @keithkhayati
    @keithkhayati 9 месяцев назад +104

    This what we call music wacha na goma watu wanatoa hazina massage harmonize we give you your flowers jeshi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PhilipKyalo-wz7gk
    @PhilipKyalo-wz7gk 8 месяцев назад +7

    Utuzi wa kinyama ulio na wasia na hisia .God bles harmonize abundantly thé real music genius

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 9 месяцев назад +1366

    Daaa cjui nimechelewa wapi 😢 ilaa naomben hata like 100 jamani much love for konde boy na wanawake wote😂

    • @jaydon3361
      @jaydon3361 9 месяцев назад +18

      Like Zina faida kumbe

    • @Heart.bprod004
      @Heart.bprod004 9 месяцев назад +9

      😢

    • @Heart.bprod004
      @Heart.bprod004 9 месяцев назад +5

      😢😅😅😂

    • @andreicollyster
      @andreicollyster 9 месяцев назад +9

      Zinauzwa wapi jameni??😂😂😂😂

    • @benjaminitenge2057
      @benjaminitenge2057 9 месяцев назад +12

      ruclips.net/video/AeMSHTkvC3U/видео.htmlsi=Dw-GfKE-45TrRr5v the first challenge na nusu harmonize 🇨🇩

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 9 месяцев назад +86

    Kipaji kya kuimba na kuwandika, mungu kakubariki ndugu yangu.
    Unawaza Sana na maneno mazito, all the best

  • @mugalujoseph1220
    @mugalujoseph1220 9 месяцев назад +69

    Jamani mimi sio manzania alakini huyu dogo kwa kweli ametisha mpeni mauwa zake kwa nyimbo nzuri mtu na nusu❤❤❤❤❤ all the way from Namibia Windhoek

    • @ebenezermsuya7518
      @ebenezermsuya7518 9 месяцев назад +1

      Nanyie mnasikiza nyimbo za bongo

    • @MichaelSikapundwa
      @MichaelSikapundwa 9 месяцев назад

      brother...me Mtanzania nipo Beijing ila nahis nipo nyumbani , huyu dogo hapana aisee....

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 9 месяцев назад +14

    Napenda sana maeneo ya Marekani Kusini nawapata mbashara Mbaka Kisii County Kenya 🇰🇪 kila siku nikenda kazi huu ndo wimbo wangu namwombea sana Harmonie qtoe nyimbo tamu kama hizi mavazi safi unyenyekevu kama unapenda like and comment.❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Aliko18378
    @Aliko18378 9 месяцев назад +122

    Acheni Harmonize aitwe Harmonize....... Mama Aliko ni Mtu na nusu❤❤❤❤ Kenya 🇰🇪 tunatambua Tembo.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 9 месяцев назад +23

    For the first time ameimba bila kutumia moshi with clear mind..... MWANAMKE ni mtu na NUSU.
    MWANAMKE ni Mungu wa PILI
    MOTHER NATURE ndio Mungu wa KWANZA. Big Up Konde

  • @PatitiKabwe
    @PatitiKabwe 9 месяцев назад +105

    Dha kweli kaka tembo unajuwa sana wa Tanzania wasikulaumu 😢😢umajitetea vizuri sana 💛💛 naomba likes 10 kama nimeongea vizuri

  • @byaombelumona4974
    @byaombelumona4974 9 месяцев назад +35

    ❤❤❤❤❤❤❤ Ama kweli Mmakonde ni Comandoooo, truly saying no One like you Kwa Muziki Tanzania, Kenya, Uganda and Rwanda.... Tembo ni Tembo. Hii umekanyaga sijuwi upande wa pili kutawai tokea jibu la kupinga kweli hii.... Umemkanyaga SIMBA kweli kweli ❤❤❤@POSH mahaba!!

    • @ivandavid4603
      @ivandavid4603 6 месяцев назад

      Ug is beyond this never compare

    • @byaombelumona4974
      @byaombelumona4974 6 месяцев назад

      ​@@ivandavid4603Let’s be honest, when it comes to music, Tembo is Tembo. No one can deny that. He’s getting bigger and bigger in the music industry, and no Ugandan musician can disagree with that.

  • @collinskenya3630
    @collinskenya3630 9 месяцев назад +68

    Hii track ni nyimbo na nusu, already ipo repeat 🔁 mode hapa kwangu, message imekwenda group of schools...wanawake wote ni watu na nusu,nawapenda na kuwaheshimu sana❤❤❤❤.

  • @philemonalex8089
    @philemonalex8089 9 месяцев назад +95

    Mimi nimelelewa na mama I proud to you bro umewakilisha vizur ❤🎉❤🎉❤mama Philemon ni mtu na nusu❤🎉❤🎉❤

  • @Justinaombay
    @Justinaombay 9 месяцев назад +54

    Na mm nipeni like tangu kumekucha wimbo nausikila mmoja🎉🎉🎉mama Justina n mtu na nusu

  • @RizzikMsingiri
    @RizzikMsingiri 7 месяцев назад +4

    Huu wimbo nazani Mimi ndio naongoza kwa kusikiliza kwa siku naupiga mara 15 naombeni like zangu

  • @henrymuseve
    @henrymuseve 9 месяцев назад +67

    Wimbo mzuri wenye sifa nzuri za mama, Asante sana Konde Boy kwa kutuwakilisha huku Kenya, zetu salamu pokea na hongera sana

    • @hasanipoy3976
      @hasanipoy3976 9 месяцев назад

      Hahahaa ninyi mademu mnapeda kutapwa sana hahaha

  • @JEANS-TZ
    @JEANS-TZ 9 месяцев назад +287

    Nipo hapa konde boy namba one TZ like apewe mama kama una mku Bali konde boy like hapa❤❤❤

    • @AmiJaphet
      @AmiJaphet 9 месяцев назад +5

      akunawakushindananaww kwasasa ogela sana

    • @Ogastijohn88
      @Ogastijohn88 9 месяцев назад +3

      Me I want on the boy harmonize I want too much on the game

    • @Mrlucas-ic6ks
      @Mrlucas-ic6ks 9 месяцев назад

      anatisha

  • @Malikamtajir
    @Malikamtajir 9 месяцев назад +45

    I wish mamangu angali hai tufushare matunda alioyapalilia miaka yote.Walio na mama muwapende n kuwajali wallah kwan akikutoka maishani ndio basi.❤❤for this song

    • @cyliruta5021
      @cyliruta5021 9 месяцев назад +2

      Likewise I here am sharing the same pain😢😢😢

  • @BBoytz-kd5yp
    @BBoytz-kd5yp 9 месяцев назад +10

    Natamni namm ningekua ni mwanamke huu wimbo unihusu congraturate harmo pwngne ww ndomungu tunayekusubili so kwamashair hayo japo nilipotoshwa kwa kibango

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 9 месяцев назад +48

    Konde boy wewe ni msanii na nusu tunakukubali sana 🎉🎉🎉🎉 kwenye hiii nyimbo umeua sana yani sanaa bado kushitakiwa na kusomewa mastaka 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DianaNasimiyu-df2ht
    @DianaNasimiyu-df2ht 9 месяцев назад +30

    Am a Kenyan Much love harmonize hii ngoma ina message nzuri kwa wanawake wote
    Mama ubarikiwe mahali ulipo

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 9 месяцев назад +32

    Absolutely Jesh conde boy commando komesha wote wewe ni namba 1tu anaye bisha nani twende sasa kwa like zote 👯‍♂️🐘

  • @brianfisherKE
    @brianfisherKE 9 месяцев назад +8

    Konde ndugu wangu kazi unachapa usiku mchana Mungu akubariki JESHI

  • @WitnesKephas
    @WitnesKephas 9 месяцев назад +174

    Aweee wa kwanza nipeni mauwa yangu🎉🎉❤

    • @JayStar-x3w
      @JayStar-x3w Месяц назад

      Bado hatujakupa au bado unakula sim😂😂😂

  • @elizabethmpalanzi3356
    @elizabethmpalanzi3356 9 месяцев назад +56

    Beautiful song jaman naombeni like hata 5000 tyuu jaman

  • @Tobias_mhina
    @Tobias_mhina 9 месяцев назад +70

    Konde ndio msanii wa kwanza Tanzania kutoka katika sayari ya watu wanao jua kuimba na kuandikia vizuri ongera sana brother kwa hilo tu ume weza wa kukaya🎉🎉🎉🎉🎉

    • @FarajiiAlly
      @FarajiiAlly 9 месяцев назад

      Sio kweli kuna wana muzik wame pita hpa wakina maneti na marijan na wengine wengi ambao paka leo haja tokea mtu yoyote kufika hata nusu yao

    • @rickierunyota3613
      @rickierunyota3613 9 месяцев назад

      ​@@FarajiiAlly kina marijani usiwafananishe harmo

  • @NkurunzizaKevin-vs5lk
    @NkurunzizaKevin-vs5lk 9 месяцев назад +8

    Hii nyimbo nikali❤❤ wahuni wasiyoielewa waace kelele kipihakieleweke nahivivicha mara eti muke kumfananisha na mungu! Kipihakieleweke? Niluga msiofahamu mkampongeze harmonaize nakuaca kelele

  • @Juga_tz
    @Juga_tz 9 месяцев назад +1451

    Kama unaamini mama yako ni mtu na nusu like na maua 🎉🎉hapa❤

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony3644 9 месяцев назад +83

    Bongo fleva Huwa sipendagi kuliko nyimbo za injili. Lakini kwa nyimbo hii, kaka nimeelewa. Mama yangu alinisomesha Mimi Hadi chuo kikuu kwa kuuza pombe za kienyeji. Nani kama mama. Naomba like zangu tafadhali

    • @RukiaSalum-n4m
      @RukiaSalum-n4m 9 месяцев назад +2

      Hakuna kama mama

    • @HappyJohn-kk1pr
      @HappyJohn-kk1pr 8 месяцев назад

      Ujumbe uo ni wangu Cha ajabu umesomeshwa kwa pombe unafanikiwa anakufaa mama inaumaaa

  • @ARCHANDRAMUMBUNGU
    @ARCHANDRAMUMBUNGU 9 месяцев назад +61

    Huu wimbo uwe dedication Kwa mama yangu mzazi😭.Miaka 20 kaburini , Endelea kulala salama. NAKUPENDA SANA MAMA.
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @Rahma25474
    @Rahma25474 9 месяцев назад +6

    Nyimbo ambayo waeza skiza mbele ya wazazi thanx Harmonize ndani Ya Doha tunawamiss mamazetu ila tumepata faraja ipo siku tutaenda kuwaona inshaAllah

    • @MuchoPlatinum
      @MuchoPlatinum 9 месяцев назад

      Nyimbo amblyo waeza akiza Mbele VA wazazi thanks harmoze

  • @harmotvmalawi4577
    @harmotvmalawi4577 9 месяцев назад +53

    Asante sana mwenye anayipenda wimbo huyu na kuwusikiya kuzidi mara moja anipe like

    • @benjaminitenge2057
      @benjaminitenge2057 9 месяцев назад

      ruclips.net/video/AeMSHTkvC3U/видео.htmlsi=Dw-GfKE-45TrRr5v the first challenge on RUclips 🇨🇩

  • @geraldilolo6315
    @geraldilolo6315 9 месяцев назад +77

    Pole pole jameni tusikanyagane humu... likes za Harmonize apa

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 9 месяцев назад +7

    Toka haukuwa kitu, umetengenezwa na kukaa tumboni kwa mwanamke. Mpaka ulipokuwa tayari kuvuta hewa na kula chakula ndipo ukazaliwa. Huu ni uthibitisho mkubwa sana kuwa Mwanamke siyo mtu tu, she is a creator. Thanks mom for giving me a chance of life on this Earth, endelea kupumzika kwa amani.

  • @Odoyondiege
    @Odoyondiege 9 месяцев назад +13

    Uchungu wa mwana ajue mzazi mostly mother, love my mum ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @GracieuxKaserekakisokero
    @GracieuxKaserekakisokero 9 месяцев назад +27

    mungu akupe maisha maisha marefu baba ile ni mwimbo ya maana saaaaaanah big up tuna kupenda sana congo goma

  • @adamjerry
    @adamjerry 9 месяцев назад +8

    Harmonize Number one, Rajab una akili nyingi sana mungu aendelee kukilinda hiki kipaji. Big up number one song this 2024.. Mama Adam ni mtu na nusu

  • @polocana7701
    @polocana7701 9 месяцев назад +24

    Harmonize c’est un grand artiste de l’Afrique australe une chanson rythmique et plein d’élégance je l’ai dédié à mon épouse ce matin dès la sortie sans comprendre le kiswahili.
    Béninois vivant à Paris 🇧🇯 🇫🇷
    C’est par feu Grand Président John Magufuli que j’ai aimé la Tanzanie ❤️🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️

    • @jeanclaudeakili2372
      @jeanclaudeakili2372 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂c’est Monsieur est vraiment terrible pour la bonheur de musiques de l’Afrique de L’est ! 😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @SiripherMc
    @SiripherMc 9 месяцев назад +12

    We conde mbonabalaa lakohalishiki wala halifikiliki 💯 hushikikikaka tutakosa chakuimba wadogozako❤❤

  • @djoziljr9999
    @djoziljr9999 9 месяцев назад +24

    U wimbo unanikumbusha MAMA YANGU KIPENZI 😢R.I.P my beloved MAMA sizani km nitakuja kupata mama kama ww umetupambania ukatusomesha kwa shidaa mpaka 😢😢sasa tuko chuo kikuu MUNGU akulaze mahali pema peponi AMINAA We still love ❤ u so much 😢😢😢

    • @Katherine-w4p
      @Katherine-w4p 7 месяцев назад

      Bado nimtu nanusu huko aliko😢🎉

  • @Lexilvevo
    @Lexilvevo 9 месяцев назад +70

    Tanzania ndio imeongozwa na mwanamke na nusu that is true konde boy ,love you so much more likes to me Ram Gee ❤️❤️❤️

    • @happinessshirima1919
      @happinessshirima1919 9 месяцев назад +1

      German pia kuliongonzwa na mwanamke

    • @Lexilvevo
      @Lexilvevo 9 месяцев назад +1

      @@happinessshirima1919 nice ☺️☺️ tz is the first according to there history

  • @suntehmachugu2639
    @suntehmachugu2639 9 месяцев назад +7

    Mwanangu sana Konde Boy unajua kuniwakilisha broo.
    Endelea kudondosha mawe tunaopenda mziki mzuri tuendelee kuenjoy.
    Mama Sunteh Machugu alikua mtu na nusu. R.I.P Mama

  • @kennethmuthukumi8934
    @kennethmuthukumi8934 9 месяцев назад +18

    harmonize naye anatisha....uniting nations through his sweet melodies no forcing just but sure and flowing....team Kenya Gonga like hapa hii Ngoma ifike 1m by Leo🙏😍

  • @raviancitygeng
    @raviancitygeng 9 месяцев назад +37

    HARMONIZE:msione naimba kizungu mkadhani mwamba nimesahau kuandika shairi kwa lugha ya Nyumbani ❤❤
    FANS: Thank you for representing EA both local and International,we love you ❤❤

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 9 месяцев назад +21

    Jamani huyu mtoto ana upeo mkubwa sana wa mziki kupitiliza. Mashari mazuri sana. He is the best ❤

  • @kingdavid3892
    @kingdavid3892 9 месяцев назад +379

    Mimi ni sambiki wa harmo lakini sijawai pata like ata moja kwa yimbo yake ata hiwe Kali aje mbona wadau🤔

    • @oscartahumbika8553
      @oscartahumbika8553 9 месяцев назад +3

      hii Noma sana baba !! lakin kwanini huku kohoa ??🙄

    • @Shaha-d1i
      @Shaha-d1i 9 месяцев назад +6

      Like inakupa kula?😅

    • @Anna-i5o8c
      @Anna-i5o8c 9 месяцев назад +2

      Hakika hapa asilimia zotee ❤❤

    • @Anna-i5o8c
      @Anna-i5o8c 9 месяцев назад +2

      Unajua sana Konde❤❤❤❤❤❤

    • @VictorBernald-kf5cq
      @VictorBernald-kf5cq 9 месяцев назад +1

      chukua dislike hiyo hapo coz naona like umeshapata nyingi

  • @msaniidemthekukyboya.k.ams5168
    @msaniidemthekukyboya.k.ams5168 9 месяцев назад +11

    Mama yangu ni mtu na nusu kama unamini mama Yako ni mtu na nusu like hapa ajionee❤❤❤

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 9 месяцев назад +13

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa naonaga kama Baba angu mzenguaji sana ..
    Hatupendi hatujali...
    Vipipi pipi na vizawadi viliniaminisha Mama angu ni Bora kuliko Baba ..!!
    Mara Booom nimekuwa sasa ..
    Mimi ndio Baba sasa ...😊
    Aisee niwaambieni kitu ..
    Baba angu ni MTU mara 100 na nusu mtu wangu ..maana hakutukimbia kwa changamoto, kumbe tulipokuwa tunamkosa mda mwingi alikuwa akitupambania na kumtumia Mama pesa ambazo zilitulea na kututunza mpaka tumekuwa watu wazima sasa.
    Mungu awabariki sana MaDingi zetu ambao kwa hali na mali walihakikisha tunakula na kuvaa vizuri na tukijisemea nani kama Mama na Bado hawakutususa wazee wale ..!!😊 💐

    • @moseskaiza4448
      @moseskaiza4448 9 месяцев назад +1

      Umezungumza Kitu Konki Sana

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 9 месяцев назад +1

      Huyo mama ako angekuacha. , ndo ungejuaaa ni maan ya mama !!!! Yaan kwa baba kuleaa mtoto nikazi sana

  • @hubatv1886
    @hubatv1886 9 месяцев назад +111

    Team Konde from Tz tisha sana Mwenetu 🔥🔥🔥 Naomba like zangu apa

  • @sedjotshomba4867
    @sedjotshomba4867 9 месяцев назад +91

    This guy is very talented artist 🎵🎵🎵 let's us support him konde boy jeshiii tembo harmonize you're the best

  • @byaombelumona4974
    @byaombelumona4974 9 месяцев назад +3

    ❤❤wimbo huu jameni 🎉🎉... Hamo unastahili kupewa jina jipya 🎉🎉 kwa Muziki wa kizazi kipya....

  • @williamsampewi7306
    @williamsampewi7306 9 месяцев назад +24

    Damn, this is the banger of the year 2024 🌍. Yaani Kiswahili kitupu alafu melody mayonnaise, Jeshi #1 🎉🤓

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 9 месяцев назад +18

    Konde boi has a big brain...he knows how to play nd control a group of people.... I have knew the reason why he was saying God is a woman..... this was his one way of promoting this song.....

  • @MagrethBeteri
    @MagrethBeteri 9 месяцев назад +6

    Hii nyimbo tangu nimeiskia Yan naiplay Kila mda Hadi imekuwa kero Kwa majorani, love you much konde boy live long

  • @veronicahmbuya3740
    @veronicahmbuya3740 6 месяцев назад +1

    Nyimbo nzur sana ❤❤yaan naisikiliza the whole day na sichoki wimbo unagusa🫀🫀. alafu kuna mashekhe wanasema amemkashfu Mungu wana ujinga sana😏. endeleza kipaji kaka upo vizuri💯 mtu na nusu nipo hapa🥰

  • @doortodoor1491
    @doortodoor1491 9 месяцев назад +16

    This guy comes up with songs that gets us back to our senses and thats what is unique about him..... Much love from Kenya

  • @kadito-music
    @kadito-music 9 месяцев назад +64

    Kenya, Uganda na Tanzania njooni huku mwenye Africa amepiga tenaaaa maua mengi yana mhusu🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @masteralpho9154
    @masteralpho9154 9 месяцев назад +48

    I love this one ❤❤❤❤❤❤❤
    Tanzanian's dont really know how Kenyans love them...konde boy to the world ...💥💥💥💥

  • @JeanneBendera
    @JeanneBendera 8 месяцев назад +9

    Una staili kila zawadi za apa ulimwenguni kwa ili nyimbo nzuri saaaaaaaaa...n'a🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏kipaji cha nyimbo za ivi kweli zikutawaleeee🤭🤭🤭🤭🤭

  • @charlesunique1688
    @charlesunique1688 9 месяцев назад +22

    Yani jeshi unajua mm bado sijaona msanii fundi tz kama jeshi ❤❤❤

  • @Baruti-ofice
    @Baruti-ofice 9 месяцев назад +14

    Kaka unanikosha Moyo iyi nyimbo mwaka 100 itakuwa juuu hakuna wakuyishusha top ton milemile na Milemile ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 9 месяцев назад +28

    Mwanamke ni Mungu wa pili Duniani 🌻🌻💐💐🌹🌹🌺🌺🌼🌼🪻🪻🥀🥀

    • @mropetv7034
      @mropetv7034 9 месяцев назад

      kwann

    • @Nashoora8
      @Nashoora8 9 месяцев назад

      kwaiyo na ww una muunga mkono kuwa mungu ni mwanamke😢 sababu mwanamke ana zaa mungu naye ana zaa mbona mna mkufulu mungu jmn acheni izo mungu ajulikani ni nani yeye ndo anatujua sisi tuu

    • @Chiunda-eh8lt
      @Chiunda-eh8lt 9 месяцев назад

      ​@@Nashoora8fala kweli uyo

    • @Nashoora8
      @Nashoora8 9 месяцев назад

      @@Chiunda-eh8lt hahahahaha

  • @johnkamira2236
    @johnkamira2236 9 месяцев назад +4

    Yoka yoka kaka beats 🎧 ya nzembo.Harmo ba tika yo yaya.🔥🔥

  • @shujahproboyofficiel34
    @shujahproboyofficiel34 9 месяцев назад +133

    🤤Wakwaza 🇨🇩🏌️ naomba lik ♥️

  • @MathayoJulio
    @MathayoJulio 9 месяцев назад +20

    R. I. P my mom... i lost you 1year ago now I'm crying after listening to this song.. no one can wipe my tears now because even my father passed away in 2005 when i was a very little younger ... i wish i could have one more chance of having you again.

    • @hamisichande4231
      @hamisichande4231 9 месяцев назад

      Very sorry bro! may GOD grants their souls

    • @MathayoJulio
      @MathayoJulio 9 месяцев назад

      @@hamisichande4231 great thanks for buddy.

    • @BBoytz-kd5yp
      @BBoytz-kd5yp 9 месяцев назад

      Sorru

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 9 месяцев назад +207

    Wa kumi na Tano naombeni like ata Tano 😢😢😢

  • @amour0072
    @amour0072 9 месяцев назад +4

    WCB fans tupo?
    nyimbo nzuri ni nzuri akuna gisi yaku wepuka !!! 10/10
    well done KONDE BOY .

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 9 месяцев назад +18

    Wimbo mzuri sana Niko namwimbia mama yangu kuwa yeye ni Mtu na nusu

  • @Jmk359
    @Jmk359 9 месяцев назад +82

    Am from Zambia 🇿🇲 I love harmonize mtu nanusu and Tanzanians songs please I want 2k💿💿💿🙆🏻

  • @RajabNgeve
    @RajabNgeve 9 месяцев назад +12

    Dah jamaan nani kama Mama in our life big blessing for my mother and also be blessed konde boy

  • @KendyJames
    @KendyJames 9 месяцев назад +6

    Amen mama angu ni mtu na nusu ❤love you mama❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @BoscoBahizi-m8r
    @BoscoBahizi-m8r 9 месяцев назад +67

    Number one musician in Tanzania much love from Canada 🇨🇦

  • @MoisesDamiaoBenu-zc2zp
    @MoisesDamiaoBenu-zc2zp 9 месяцев назад +48

    Mimi niko mozambique mueda acha we kaka like 1000 kutoka kwangu.naitwa kembo

    • @delfimmartins4855
      @delfimmartins4855 9 месяцев назад

      Estamos junto irmão,a que seu irmão maconde de Nangade posto de administrativo de Ntamba,grande bit

  • @mageratuyizerejules4845
    @mageratuyizerejules4845 9 месяцев назад +48

    Konde Balaaa, mtalaam wa kuandika! Konde boy for everybody ❤🎉❤🎉❤🎉

  • @MariahHamson
    @MariahHamson 9 месяцев назад

    Ahsante Sanaa RAJAB....Ahsante Sana Mtoto wa Abdul Kahali. Umezidi Kutuheshimisha... Umezidi Kututhaminisha... Barikiwa na Zidishiwa HARMONIZE. Kazi ya Sauti na Mikono Yako Izidi Kubarikiwa.

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy 9 месяцев назад +57

    Jamani kama nyiye pia mnamkubali harmonize mnipe like mbili tu ❤✌️✌️🔥🎵🎵

  • @agronianyongole805
    @agronianyongole805 9 месяцев назад +4

    Nakubari Sana lazima tuwa paishe Wanawake jmn mbishe msibishe mwanamke nikila kitu hata iwaje HESHIMA yenu chukuweni mama zetu na kuunga mkono konde boy tembo mwanamke ni nusu ya mwenyezi mungu.. nafikilia sana bila mama angu shujaa Leo ningekuwaje Wanawake ooooyeeeeee🎉🎉🎉❤❤❤ nawapenda naheshimu Wanawake wote duniani.

    • @PauloDeus-ij4zz
      @PauloDeus-ij4zz 9 месяцев назад

      That's true ujumbe bora ndani y'a huu mwaka

  • @BakakarIMaulid
    @BakakarIMaulid 9 месяцев назад +168

    Hata Mimi Mama Angu Ni Mtu Na Nusu Kama Nawe Mama Ako Mtu Na Nusu Like Hapa
    #Konde Forever

  • @townsanyatrends
    @townsanyatrends 8 месяцев назад

    Siku zote mama nitampa kipaombele kuliko mtu yeyote yule....mtoto ni wa mama,,, nakupenda sana mamangu na mama wote ulimwenguni❤❤❤❤

  • @ZAGAKENYA
    @ZAGAKENYA 9 месяцев назад +24

    Wakenya tupo ❤❤watanzania mpo 😝🥰

  • @RichMavoko-nx8cn
    @RichMavoko-nx8cn 9 месяцев назад +39

    JESHI KONDE MUSIC WORLD WIDE always proud of you bro man and proud of artist from Tanzania number moja harmonize JESHI 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼 wa Kwanza nipeni like zenu tafadhali

  • @james008BOND7
    @james008BOND7 9 месяцев назад +60

    Hiii imeenda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥imeenda kabisaaa 💯 pokeeni salamu kutoka Mombasa Kenya🙏👊👊💪💪konde tunamtambua Sana💯💯🔥

  • @kandorojeanpaul9058
    @kandorojeanpaul9058 Месяц назад

    Waberewe wangu nakureke kabisa yako mungu akubariki sana kabisa yesu wangu kwa uzima

  • @michaelomondi7912
    @michaelomondi7912 9 месяцев назад +7

    The melodious lyrical harmonize ...konde is a real talent..ninaupenda uandishi wake

  • @BoniphaceMaseke-k2k
    @BoniphaceMaseke-k2k 9 месяцев назад +16

    hii ndo maan ya kumthaminisha mwanamke much respect to ue konde 💪💪💪💯 uer likes 🎉 please

  • @felixotieno5163
    @felixotieno5163 9 месяцев назад +30

    Always remember that harmonize is the best artist in tanzania ,,what a banger💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @MarknickKariuki-el1fs
    @MarknickKariuki-el1fs 8 месяцев назад +1

    i know there is lot of comment bt sincery nmeisikiza mara kadhaa harmonize you are my mentor to achieve great