ALLY KAMWE AMPA TAHADHARI MAYELE KWENYE MAKUNDI CAF/AMJIBU BABA MZEE KAMWE
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ally Kamwe akielezea uwepo wa Mayele Jukwaani kwenye Mechi dhidi ya KMC
Kamwe pia amejibu kauli ya Baba yake mzazi Mzee Kamwe kuhusu yanga 'KUSTUCK'
Mashabiki wa simba wana somea matusi sijajua chuo chao kipo wapi
Yanga bingwa
Stick, verb. Yanga Ina "stick". Ni present tense. Yanga ime"stuck" ni past tense na continuous....yaani tumekwama inaendelea. Mzee Kamwe, bravo. Mwanao Hana la kukusahihisha. Semaji letu kwa Mzee 'ume'stuck' kwenye English. IL est correct.
Baba ally kamwe ni panya lod kumbe
Wewe ndo baba ak ndo panyarod
Ki kan😀😀😮 ki kan gold au
Kamwe nakuheshim
Wewe ukienda kupimwa utakutwa una UTI ,akili huna wewe
Mwanaume uyo ww utkuwa n mimba ukipimwa
Anacho kisema anakijuwa huyo nimchambuzi sio mshabiki.
😮kamwe baba❤❤
Wewe mayele na engineer na wana nyuma wenzenu hamnazo wote wajinga
Huyu kijana bila kuisema simba haridhiki
Wakwenu mmemsahau
Chama hapaswi kuanza na ki bali pacome na ki ndo waanze
Wewe achatu hiyo ndio kazi yake
Ooo
Kwel msemaji,maan nakmbuka yanga day mmechezesha wt ktk no zisizo zao wkasema ynga imeanz kpotea klichotokea tareh 8 hawakuamin kma sio marefa 4G ingesimama. Sasa naona wnachez ovyo ynga na gamond ksema hatak goli nying kmbe anawatoa kweny reli kuwen makin makolo huo mtengo.
Mapanya road
Ukapimwe mkojo kamwe akili amna mpuuzi kweli
Ww inabidi akapimwe haja kubwa 😂😂
Acha kuhubiri ujinga wakati timu kiwango kimepwaya. Kocha hajui hata kupanga kikosi yaaani unaamka asubuhi kikosi cha yanga ushakijua.
Jamaa yngu usmalz maneno bdo tarehe 19 October,usje ktfta lawama kna kt nilitaka kkpa lkn hyo ndy code
Mechi 4 mmeshapagawa 😂😂 dunduka bwana ndomana mnaitwa panya road
Ko ww hujui frst elvn bro 😅 kila timu lazima iwe na frst elvn yake
Nenda, wewe uwe cocha unayejua kupanga kikosi.
Huna akili