ALLY KAMWE AMPA TAHADHARI MAYELE KWENYE MAKUNDI CAF/AMJIBU BABA MZEE KAMWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ally Kamwe akielezea uwepo wa Mayele Jukwaani kwenye Mechi dhidi ya KMC
    Kamwe pia amejibu kauli ya Baba yake mzazi Mzee Kamwe kuhusu yanga 'KUSTUCK'

Комментарии • 32

  • @MikidadyAbdu
    @MikidadyAbdu 12 часов назад +2

    Mashabiki wa simba wana somea matusi sijajua chuo chao kipo wapi

  • @EmmanuelMrimi-v1r
    @EmmanuelMrimi-v1r 23 часа назад +2

    Yanga bingwa

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 День назад +3

    Stick, verb. Yanga Ina "stick". Ni present tense. Yanga ime"stuck" ni past tense na continuous....yaani tumekwama inaendelea. Mzee Kamwe, bravo. Mwanao Hana la kukusahihisha. Semaji letu kwa Mzee 'ume'stuck' kwenye English. IL est correct.

  • @عمرانالحجري
    @عمرانالحجري 14 часов назад +1

    Baba ally kamwe ni panya lod kumbe

  • @Ndenza
    @Ndenza День назад +1

    Wewe ndo baba ak ndo panyarod

  • @JolinoPeter
    @JolinoPeter 15 часов назад +1

    Ki kan😀😀😮 ki kan gold au

  • @PmanNkunga
    @PmanNkunga 23 часа назад +1

    Kamwe nakuheshim

  • @abtway66
    @abtway66 18 часов назад +1

    Wewe ukienda kupimwa utakutwa una UTI ,akili huna wewe

  • @OthumanWadi
    @OthumanWadi 10 часов назад

    Anacho kisema anakijuwa huyo nimchambuzi sio mshabiki.

  • @SamweliZakaria
    @SamweliZakaria День назад +1

    😮kamwe baba❤❤

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 5 часов назад

    Wewe mayele na engineer na wana nyuma wenzenu hamnazo wote wajinga

  • @JolinoPeter
    @JolinoPeter 15 часов назад +1

    Huyu kijana bila kuisema simba haridhiki

  • @mohammedmohamed9969
    @mohammedmohamed9969 9 часов назад

    Chama hapaswi kuanza na ki bali pacome na ki ndo waanze

  • @OthumanWadi
    @OthumanWadi 10 часов назад

    Wewe achatu hiyo ndio kazi yake

  • @RamazanMkunde
    @RamazanMkunde День назад +1

    Ooo

    • @Yassirjuma-i1c
      @Yassirjuma-i1c 23 часа назад

      Kwel msemaji,maan nakmbuka yanga day mmechezesha wt ktk no zisizo zao wkasema ynga imeanz kpotea klichotokea tareh 8 hawakuamin kma sio marefa 4G ingesimama. Sasa naona wnachez ovyo ynga na gamond ksema hatak goli nying kmbe anawatoa kweny reli kuwen makin makolo huo mtengo.

  • @EmanuelMiyonjo
    @EmanuelMiyonjo 6 часов назад

    Mapanya road

  • @JafariBakari-hk2xb
    @JafariBakari-hk2xb 23 часа назад +1

    Ukapimwe mkojo kamwe akili amna mpuuzi kweli

    • @ramseydasilva
      @ramseydasilva 22 часа назад

      Ww inabidi akapimwe haja kubwa 😂😂

  • @masoudali2631
    @masoudali2631 День назад +4

    Acha kuhubiri ujinga wakati timu kiwango kimepwaya. Kocha hajui hata kupanga kikosi yaaani unaamka asubuhi kikosi cha yanga ushakijua.

    • @Yassirjuma-i1c
      @Yassirjuma-i1c День назад +3

      Jamaa yngu usmalz maneno bdo tarehe 19 October,usje ktfta lawama kna kt nilitaka kkpa lkn hyo ndy code

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 23 часа назад +2

      Mechi 4 mmeshapagawa 😂😂 dunduka bwana ndomana mnaitwa panya road

    • @meckraudndelwa-jv8co
      @meckraudndelwa-jv8co 18 часов назад +1

      Ko ww hujui frst elvn bro 😅 kila timu lazima iwe na frst elvn yake

    • @RehemaMponera
      @RehemaMponera 13 часов назад +1

      Nenda, wewe uwe cocha unayejua kupanga kikosi.

    • @mariahshechambo4034
      @mariahshechambo4034 10 часов назад

      Huna akili