Mrs Bernadette Mathias akiimba Wimbo wa Tanzania Nakupenda kwa Kiswahili
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2024
- Mrs Bernadette Mathias akiimba Wimbo wa Tanzania Nakupenda Kwa kiswahili akimpongeza Mhe. Dr Jakaya Mrisho kikwete Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa Kutunukiwa Shahada ya heshima ya Udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Chuo Kikuu cha Newcastle cha nchini Australia.
Fantastic patriotic songs for my lovely country TANZANIA
I love my Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nakpenda nchi yangu barikiwa Tanzania,,, how passion is it feel to sing by all African.
Love it all, fellow African from Ghana.
No comment at all she has nice voice,she did better I like it,love my country Tanzania
Stunningly soulful and beautiful.
Bravo!!! Heroic song!! Nakupenda Tanzania
Nimekupenda sana! Kama navoipenda TANZANIA
She did such an outstanding good job n nice voice.
Vizuri sana. Nakipenda kiswahili.
utaelewa vizuri wimbo huu ukipigwa ukiwa nje ya tanzania
Ukiwa abroad ukiusikia huu wimbo unaikumbuka nchi Yako na machozi yanakutoka.
🇹🇿🇹🇿 i love you Tanzania
Naipenda nchi yangu hii TANZANIA.....siwezi kuelezea..
Hiyo ndoyo classic music
Huyu mamam mtanzania kumzidi hata Tundu Lissu! Kudos!
🤣🤣🤣
Lovely voice and god bless you
Love you Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🇹🇿 Nakupenda Tanzania
Woooow wooooow wooooooow
I love you Tanzania 💙
this is it.awesome.
I ❤ my country Tanzanzania
What a moving perfomance
It is not too late to make this song Tanzania`s National Anthem.
We Mungu ibariki ina ladha yake ya kipekee aisee...
Kabisa
I ❤ my country
Best flavor
Tanzania Oh.. country
Nice voice!
Wonderful!
Noma sana
Tanzania nakupenda 🇹🇿
Wooowww
Masha Allah ❤❤
Ameimba vizuri
Personally not a fan of the comment made my Kikwete at the end. I believe no one can sing this song better than a Tanzanian because only they know what it is to be Tanzanian. Voice was amazing but cannot match my passion nor express it when I sing it.
Tanzania is the greatest country in the world.
Amaziing
Viva Tanzania
MOLA AWE NA WE DAIMA
Kiswahili kitamu hivi Walah kisikie mwenyewe hapa hutajutia kuwa mwana wa kiswahili
umejitahid lakin badooooooooo
ilitakiwa tutoe HQ,HD sauti na videooo alafu walio tunga nyimbo mbilii hizo za taifa ilitakiwa wapewe zawad coz song zimetuliaaaaaaaaa sana
Deus Charles djafro
Deus Charles DJ
afro
It is because of audio
my self as an indigenous Tanzanian can not sing as good as she performed.
Kongole limfikie