DR SLAA ANAONGEA MAZITO: HATUNA RAIS, HANAUCHUNGU NA TANGANYIKA.KAGUSA KUZIMWA KWA INTERNET TZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2024

Комментарии • 69

  • @marwamagere
    @marwamagere 2 месяца назад +11

    Samia suluhu hatufai watanganyika tumukatae Kwa nguvu zote

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 2 месяца назад +2

      wewe sio mtanzania rudi kwenu rwanda

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 месяца назад +2

      Samia aondoke atuachie tanganyika yetu

  • @marwamagere
    @marwamagere 2 месяца назад +6

    Ondoa Samia suluhu hasani Tanganyika

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Месяц назад +2

    WATANGANYIKA WENGI HATUJITAMBUI,, TUNA WOGA na HOFU KUPITILIZA LINAPOKUJA SUALA LA KUDAI HAKI YA KWEĹI ,, KUTOJUA VIFUNGU VYA SHERIA na KATIBA,, na KUTOTAMBUA na KUTOKUWA NA UCHUNGU WA RASILIMALI ZETU ILI KUZIPIGANIA na KUZILINDA"

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад +2

    Tuambie Doctor Willbrod Silaa

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 Месяц назад +1

    CCM ni washenzi sanaaaa tunapata shida ya mtandao kumbe wao ndio wameagiza hivi hiki hawa watu wana mpango gani na nafsi zetu sisi watanzania furaha yao ni kuona tunateseka tunaishi kwa shida na mateso wao wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi ipo siku tu mtafika mwisho na nyumba zenu zitageuka magofu

  • @user-ii3xo5jw9y
    @user-ii3xo5jw9y Месяц назад +1

    Dr
    Slaa ni kweli hatuna njia nyingine
    zaidi ya Kufia nchi yetu. Tusipo kubali kufa damu zika tapakaa majiani hawa CCM hawawezi kuachia madaraka.

  • @bensonkaduvage9549
    @bensonkaduvage9549 2 месяца назад +1

    Dr. Slaa is right in addressing the subject matter to the standing president, kwa vile kwa mfano "why did she & her CCM ... ' Stone' on the issues of reconsolidation? Mwizi aitwe mwizi na anaeshikwa na "ngozi" Ndie mwizi wetu!!!

    • @ChanzoTvOnline
      @ChanzoTvOnline  2 месяца назад

      Asante kwa comment yako. Vip kwa lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais? Tujadili pamoja

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 месяца назад

      ​@@ChanzoTvOnlinendio Yuko sahihi kama ana hofu ya MUNGU abadilike, ajitenge na genge la wahuni lililopo ndani ya CCM

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад

    Inauma sana asante sana Dr Slaa Mungu akulinde na akubariki sad !

  • @bahatikulwa56
    @bahatikulwa56 2 месяца назад +1

    Mungu Akubariki

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад +2

    Maandamano yasiyo na fujo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад

      Binafsi sijawahi kuona wala kusikia.

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 2 месяца назад +2

    Sema doctar

  • @NizoTV
    @NizoTV Месяц назад

    Hana uchungu na Watanganyika, wamasai wanafukuzwa kwenye uasili wao bila huluma

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 2 месяца назад +1

    Tusimkufuru mungu hakuna binaadam asiekosea na kukosolewa ni wajibu kwa binaadam hakuna kosa

    • @ChanzoTvOnline
      @ChanzoTvOnline  2 месяца назад

      Je lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 месяца назад

      ​@@ChanzoTvOnlineyapu kwanini asokosolewe yeye ni MUNGU? Anapaswa kijirekebisha kama ana hofu ya MUNGU

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Anafanya hivyo ili kimaliza Tanganyika. Tunataka KATIBA. TUFIKIE MWISHO KWA CCM WAFURAHIA

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 2 месяца назад

    asante sana watanganyika nikweli atuna raisi Bali tunaongozwa na magenge yalio jificha nyuma ya Samia ondoeni hiki kichaka chenu Cha muungano na Tanzania iiitwe tanzanaiti jina jipya la madini yetu makubwa barani afrika na dunia ituelewe hivyo yakwamba tumeamua kutangaza madini yetu kuwa jina la nchi yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 2 месяца назад

    VIVA COMRADE SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUIUNGE MKONO CHADEMA.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад

    It the time ccm leadership prapar for crush social security on that effect east Africa electronics we doughty possibility of ply around before election it can be there because of fear social media

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад

    HUJATUUDHI DOCTOR MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 месяца назад

    Tanganyika haifuati Sheria inawaonea wananchi.

  • @bensonkaduvage9549
    @bensonkaduvage9549 2 месяца назад

    Dr Slaa, usimusahau Much. Xtofa Mtikila aliye simamia na kuhubiri maswala ya Tanganyika na Watsnganyika siku zote za uhai wake!!

  • @husseinothman1257
    @husseinothman1257 Месяц назад

    Kama rais Samia angelimuacha na ile nafasi yake ya ubalozi asingeyazungumza hayo, hizo ni hasira tu kwa kutemwa. Kwani kampuni ya ticks pale bandarini ilikuwa inafanya nini na hii dp world inafanya nini au kosa la kampuni hii inatoka nchi za kiarabu ile ticks kutoka uchina kulikuwa kimya.

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 2 месяца назад +7

    Tatizo la wanasiasa wetu hawaaminiki na walishagundua ss watz ni rahisi kubadilishwa fikra, leo hii mwanasiasa atakueleza hoja nzito kesho akioneshwa fungu au channel ya pesa anawabadilikia. Mfano huyu Slaa wakati ameteuliwa kuwa balozi na serikali ya ccm alikuwa kimya na akawa anawaponda chadema leo hii yuko nje ya system anaongea kwa uchungu tushike lipi? Tatizo wengi wanapigania matumbo yao sio ukombozi wa Umma.

  • @bongo39
    @bongo39 2 месяца назад

    Babu wa mipasho anajua kika kitu kikiwa siri au zahiri tunafanya mpango aingie tot kwa ajili ya kuimba mipasho

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Mkuu wa jeshi alileta habari kwake kuwa jeshi limejaa watu wa inje ya Tanganyika. Mbona hajafanya lo lote.
    Lasilimali zetu zinaisha kwa warabu. Kwahiyo yeye anapigania warabu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Watu wa CCM BADO WANAONGEA UONGO MKUBWA.HIYO NDIYO ILIBAKI TU. HUYO TUTAMDHIBITI. CCM NI WACHAWI WAKUBWA

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 месяца назад

    Mheshimiwa Dr. Hivi Raisi anahusikanaje na Internet
    Aumnamchafua tu niliamini kwa umri wako ni Busara lakini badala yake

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Месяц назад

    Mtanganyika gani aliwahi kuwa Rais akawa na uchungu na mali za watanganyika? Nyerere aliwafanya mfike kutembea makalio nje, kuwaingiza kwenye vita bila sababu, kufanya nchi masikini ya Kutupwa, Mkapa yeye aliwapa mitaji Yote ya uma kwa watu wachache. Kikwete ndio hasemeki. Magufuli kawatia kwenye madeni makubwa

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 2 месяца назад

    sasa slaaa kwenye uchaguzi utachaguwa chama gani miaka iliyo pita ulikuwa mfanyakazi wa mwenda zake leo hiii unasikilizika kama chadema au ndio upepo wa siasa mzeee

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 2 месяца назад

    Watanganyika tuamke kama wenzetu wa Zanzibar tutetee tanganyika yetu tuache uchawa kwa CCM, wanzanzibar wanaumoja na msimamo kudai Zanzibar yao tuamke

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 месяца назад +1

    Viongozi wa Zanzibar waliokuwepo madarakani wametokana na DHULMA ya 2020 hawajachaguliwa na Wazanzibari wamewekwa madarakani na jeshi la na la magufuli Tanganyika.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад

      Zanzibar unaielewa ni Unguja na Pemba na kila chama kina nguvu upande mmoja.

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 2 месяца назад

      Rais anachaguliwa dodoma ,AKISHACHAGULIWA MKITAKA MSITAKE HUYO ANAKUWA RAIS ,,KWA HIYO WAZANZIBARI WANACHAGULIWA KIONGOZI NA MA CCM YA TANGANYIKA ,,WAZANZIBARI HAWAKUWAHI KUCHAGUWA RAIS WANAYEMTAKA ,,KURA NI UBABAISHAJI TU

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 2 месяца назад

    Is 2 late 😂😂😂😂

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Kwani unaweza kuondoa title kweli? Atakapofungasha mizigo yake kwenda kwao Zanzibar au uwarabuni dr.atamwacha na urahia wake na ubalozi wake uko pale pale kwa sababu alimaliza na kuondoka kurudi nyumbani kwa heshima ya balozi. Hakuharibu kitu huko ubalozini sasa kwa nini aone shida. Kwanza kama umesoma sawasawa unaweza kumunyang'anya mtu title ila wasomi wa kuungunga ndivyo walivyo. Maana wamefika mahali walipokuwa hawategemii kabisa. Akifika kwa kudura zake Mungu pia hawezi kumkumbuka Mungu aliyemfikisha hapo. Ananza kuwadhibu watu waliokuwa na title aliyokuwa anatamani.

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Месяц назад

    Nyie wapinzani ni wajinga kila hafai Nyerere hafai kaja Mwinyi nae akawa hafai Akaja mkapa nae akawa hafai Akaja kikwete nae akawa hafai Akaja magufuri ambae watanzania Wakawa wanampenda wote nyinyi pia Mkawa Hamumtaki kaja Samia pia hafai huo ni upumbavu Tu na chuki binafsi

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 месяца назад +2

    Wacheni Ujinga maraisi wote waliopita mbona hamkuwasema, Kikwete aliwaweka Waislamu jela na kuwafungulia kesi za Ugaidi, Mashehe wa Zanzibar wamekaa jela miaka minane bila ya kosz lolote kwa wao ni Wazanzibari na walikuwa wakizungumza kuhusu Muungano.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад

      Wakumbushe, suluhisho ni kuuvunja. Ni busara kuzungumzia kuuvunja ni hatari zaidi kuvunjika wenyewe na unaelekea huko kuliko kujadili Katiba Mpya.

    • @evelynmwaimu-vd9jo
      @evelynmwaimu-vd9jo Месяц назад

      Uko nje yahoja

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 2 месяца назад

    Uchawi wao ni ule mwenge unaopitishwa kila mahali ili uzidi kutupumbaza.

  • @LucasCharles-vm5ig
    @LucasCharles-vm5ig 2 месяца назад

    😂

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 2 месяца назад +1

    Silaa tulia huna jipya

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud 2 месяца назад

    Ukifuatilia comments utaamini sisi watanganyika ni waajabu. hatujitambui kabisa.tunaendekeza ushabiki wa kijinga na uchawa.wenzetu Zanzibar wanailinda sana zanzibar yao na rasilimali zao.kila Rais aliyetoka Zanzibar huja na lengo la kuhamisha rasilimali za tanganyika.watanganyika tumekodoa macho tu. hao waliopewa nafasi ni chumia tumbo tu...

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад

      Kwani kuna Mzanzibar gani aliyewahi kuiongoza Tanzania.

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 2 месяца назад

    Unamsema rais sababu alikutoa kwenye ubalozi.utasema sana.hata akija rais mwingine akikunyima nafasi utamseme hivyohivyo.acha

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze Месяц назад

    Dk Samia piga kazi usisikilize huyu muflisi wa kisiasa na alieshindwa masharti ya upadre, mtu mwenyewe anaelekea kupata stroke, akapumzike huko Mbulu

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n 2 месяца назад

    Wewe.mnafiki.ulitusaliti.unajjisogeza.kamakawaida.ulebingo.kama.ulooita

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 2 месяца назад

    Doct.yote njaa.wewe kila kitu una dandia tu.kwanza tunauliza wewe ni nani?kwa sababu

  • @obeidchamila6392
    @obeidchamila6392 2 месяца назад +1

    Ww slaa huna sera yoyote ni wivu na chuki tu unaokufanya uwe hivo msaliti mkubwa Kama ww unapata wapi NGUVU ya KUSEMA ? Acha uzandiki huo ,ulikuwa chadema ukawasaliti na NJIA zako Hadi ulipo ni usaliti mtupu mtupu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 2 месяца назад +1

    Huyu hana fupa la kukukugunya akipewa fupa hunyamaza kimya. Hebu mpeni tena Ubalozi ataisifia CCM.

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 2 месяца назад

      Lambda wakupe wew

    • @AllyKiduka
      @AllyKiduka Месяц назад

      Huyu silaha shenan

    • @AllyKiduka
      @AllyKiduka Месяц назад

      Shetani wewe silaha ibilisi shetaniiiiiiiii wa tanzania ni silaha kipindi ya magu halikuongea hili shetani mwalimu nyerere aliyatabiri haya masherani ya ubaguzi yatatokea

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao