RAIS SAMIA AKASIRIKA, ATOA MANENO MAKALI - "STUPID, HUU NI UPUMBAVU"
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2024
- RAIS SAMIA AKASIRIKA, ATOA MANENO MAKALI - "STUPID, HUU NI UPUMBAVU"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mama hao watu piga chini wote tuko wazalendo mtaani tutakufanyia kazi nzuri sana ,na tumesoma na uwezo tunao
Asante y
Asalaam Alaykum.. Mama kuwa mkali.. Tunaibiwa Sana na hao mlio wachagua
Rais mama Samia tunaumia Sana huku sambasha.
Tunaumia Mami utuhurumie .
Asante yesu na mungu pia mama tunakupenda
Mama ndo unayagundua hayo saiv umechelewa sana magu alikua anatumbua live bila chenga tulimwona mbaya sana kifup huna serikali jipange upya
Yeye alisema hawezi kufoka😂😂😂 yamefika shingoni kafoka🤔🤔🤔. Wabongo sisi ukiwa mpole tu tayar tunapigwa
Kweli adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake...Mathayo 10:36..na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Mungu amsaidie mama asafishe nyumba. Uchafu mwingi kwelikweli. Maombi kwa mama, maombi kwa nchi.
Sawa
Nnakupenda dda yangu wee allwa akulinde
Eeee mungu ibarik Tz yetu but R.I.P shujaa wetu, kamanda wetu, mpiganaji wetu, mkombozi wetu, mtetezi wetu, n.k John Joseph pombe magufuri.
Hapa ndo utamiss Mwana wa Africa uncle Magu watu wakula hela unaushia kuwaambia "stupid" !!? Saivi nchi imeoza . Mama amelima shamba afu Yuko anacheka na nyani 😁😁 Ngoja tusubirie kuvuna mabua TU. Hii serikali ya Mama inafanya maisha yawe magumu matozo ,vitu vinapanda bei, madeni ya taifa yanaongezeka, mambo ya ajabu yanaingia inchini . Endelea kuupiga mwingi sisi tunakusubiri 2025 .
Wakati wa magu napo Kuna ufisadi wa 1.5 trilioni ulifanyika..kifupi CCM Haina uwezo tena wa kuongoza nchi inatakiwa ipumzshwe kidgo
@@zionembassytv5672 Noo hiyo sikubaliani nayo. Hizo ni njama tu za kumchafua mzee magu kwa sababu hawezi jitetea mbona alipokuwa hai hamkusema huo wizi.
I like your judgement Honorable president, doctor,Samia
Yaani unaongea na watumishi mafisadi huku unalemba sauti. Hii nchi alikua anaiweza magufuri tuu 😢
Hapo tu ndio uajua kuna utofauti mkubwa sana kati ya magufuli na maraisi wote walioitumikia nchi hii leo hii wezi wanabembelezwa .. Wanachekewa chekewa tu wakati hali ya walipa kodi hizo /wananch ni mbaya sana na inatisha HAPO enzi ya magu ilikuwa ni rudisha pesa mwenyewe au na hatua lazima uchukuliwe kama hauna ba si utazitapika
Hv mtu akishaiba pesa ya serikali na akagundulika, inatakiwa atupishe akale raha mtaani au achukuliwe hatu zakisheria na Mali zake zipigwe mnada hadhalani na vyombo vya habari vitangaze hho mnada ili iwe fundisho kw wengine
Kumbe Mama anajua serikali haichukui hatua halafu ametulia. Mama usicheke na nyani nchi inafilisiwa hivi hivi kuanzia huku kwenye halmashauri mpaka serikali kuu. Wanakukwamisha unaonekana wewe mbaya😔😔
Mama anaongea kisomiiiiii yaaani daaaa she thought brighter
Mama usi rukane basi mama tuna hekuishimi people make mistakes ok understand mY president ok
Huyu Mama mpole ndio tatizo achia ngazi Mama mpe mh Kassim majaliwa tuone matokeo tunakuomba hii nchi wanatakiwa watu kama Akina magufuli na sio maneno matupu tuu 😢
Kamfufue ili awashughulikie. Bwege kweli wewe. Acha dharau.
Fact
Rashid nakuunga mkon
@@Nominated207 nyinyi ndiyo wale mlikuwa mnadhani hii nchi ni ya watu fulani kwenye miaka fulani hivi. Sasa hivi mnateseka sana kukubaliana na ukweli kuwa nchi hii ipo kwenye mikono mingine na kila Rais ana personality yake. Endeleeni kuteseka
@@adamshirima5880 Nilikosea ni wewe ndio nilikuwa nnakuandikia, wewe ni Mpumbavu sana wewe Rais Samia Urais hawezi hawezi alipaswa ajiuzulu analazimisha hawezi !!!! Ameshajuwa hawezi kwa nini hataki kumuachia Majaliwa anaendelea kututesa WaTanzania !????
Mheshimiwa Rais,wezi walioiba mwaka Jana walifanywa Nini?,wanapoachwa bila kibano watakuzoea mheshimiwa!
Hakika umenena kweli my Mum....Pole sana wapigaji bado wapo wakusaidie
Hii nchi kila sehemu watu wanaiba na wanachekewa tu.
Anamkasilikia Nani Sasa
Tulia mama yupo kazini 😊
Huyu mama Analala Mika tu, hao walikuwa dawa Yao ni Anko MAGU.
Heppy jumanne
Mom take action, kwann watu kwamishe
Hao watendaji wako wanajali nini wakati watoto wao hawaendi kwenye hizo shule? HAWAWAJIBI THAT'S WHY!!
Wanaitwa wapigaji,ni watu wabaya sana.
Macholi wenye kipaji ,viwavi wenye hiya na.
Wanamaliza mtaji,wanapita kila kona.
Machoni ukiwaona,sura zao kama watu.
Mama tunakosa maji,haha vizabizabina.
Wanalamba hadi uji, wengi tumekondeana.
Majukwani wasemaji ,usiku wanatuchuna.
Machoni ukiwaona,sura zao kama watu.
safi sana.mama kuwa mkali kuna majangili yanaiba hadi kero
Achia ngazi sasa
Pole sana
Mama mipumbavu unayo mingi sana kwenye serikali yako
Mama kauli yako ndo shéria achakuremba mafisadi , chakufanya kama rais wa stop kazi ,wafanyiwe uchunguzi wakibainika wana makosa walipe fedha izo, Shéria iwapumzishe jella simple sikulialia wewe nikiongozi wawatu maskini lazimaulijuweilo
We need strong people
Naona mmeanza kutafunana ninyi Kwa ninyi ...si mlijichagua sasa kazi iendeleee na bado mama umewaacha wataila Tanzania Hadi watakula na watanzania wenyewe 🤔😭😭😭 R I P MAGU 😭
Rais wa kweli. ❤
Mama talabu nyingi unaimba talabu tu bwawa la umeme limefikia wapi na watanzania tumesikua umenunuwa track umeziweka GSM ishavuja mama uliona lini pesa inatosha ,mama huwenzi kuwaonginza watanzania Kwa talabu unayo imba achia uwongonzi
Asaaateeeeeeeee!!!!!!!
Wawishe
Nimegundua rais anatakiwa kuwa mtu mgumu, uyu mama mashairi mengi daah tatizo haohao walio juu ndo anawatumia ambao wanamichezo ya kupiga wakati Kuna vijana wapo chin wananguvu wazalendo na wanamachungu na nchi hii hao wazee wa nini uko juu?? Daah inauma dadeki
Sasa mama sisi tumevunjiwa nyumba zetu kinondoni huu mwaka wa6 tunaishi kwa tabu alafu pesa za umma watu wanachezea haki ya mungu kihama akito waacha salama
37M >>>86M 🙆🙆🙆🙆
Jilieni masela wangu. Kama ni chakula kuleni hadi mvunje na sahani.
enzi za kamanda ashafukuzwa mtuuuuu
Sema selikali yako inamajizi mno mam
Magu would eat people
Wanatafuna sana hizo fedha hadi inakuwa karaha
Tutetee tu tunaumia balaaa
Tunapigwa mnoo jpm alikuwa anatumbua ukasema ooh mi situmbui vp tena mbona unasema wanaiba pesa??
Ana tumbwa lakini Hela ana chukwa chato jambazi lile na Bora yuko na rafiki yake mzee god😅
@@zawadix9574 mpuuzi mkubwa ww
@@sheinanaad3690mungu ame mpeda sana🤣🤣🤣
@@zawadix9574 😡😡😡😡😡
Aondo wakufungwa
Bado kwenye miradi ya barabara ni upuuzi mtupu!!!
Hawa manunuzi hawa ni stupidity
wote wa1 aoo
Sasa mama wewe una mamlaka lakini na wewe kwa unavoongea hapo ni unakaa katika position ya kuonewa eti tuoneeni huruma like seriously tukueleweje kwamba huna choice kufukuza na kufilisi kufunga huwezi kabisa 🚮
Sio wanao ibandizi muhugo
emb ao wizi wakikamatwa wauliwe af mali zao zitolewe sadaqaaa
Fukuza mbuzi hao walafi Acha maneno mengi fanya vitendo
Sio stupid wala pumbavu kwa kifupi watanzania tunatumikia makosa yetu ya kikatiba hukutakiwa kuwa hapo huwezi mama yangu ukubwa wa cheo haufanani na ubongo wako
Majizi yapo humohumo yaketulia yanakucheki
Thanks God I don't pay taxes
Umeanza kuona Leo
Unaongea kwa upole ivi
Mifumo ya Tehama iimarishwe
Punda haeindi bila ya fimbo mama. Hao ndio maana Magufuli aliwanyoosha hao, ndio wanaofanya wananchi wasiwe na imani na serikali yao. Kama ni majizi tumbua tu hakuna kucheka nao.
Linchi halieleweki vitu havieleweki asa mtu ushawajua unawalemba tena?dah
Aondo wakukatwa mikono
Bora tuwe masikini ,kuliko kuwa gizani.
Na ushoga ushetani ,tukomeni marekani.
Afrika tulaani,mashoga wote motoni
Mama tunakuamini ,uwapendi wasagaji.
TUMBUA TU JAPO WATANO , WATASHTUKA
Ni mastupid kweli kwani uongo, watu you keep pushing to the max, ila kwani hakuyajua hayo? mbona karudisha wahamisha wanyama na watoto wa waastaafu?????
Imagine angekuwa ni kasim majaliwa hapo angenyoosha watu
Mfanye awe Rais Sasa hivi. Bwege kweli
@@adamshirima5880 Cheti feki wewe hata aibu ya kumsifia Rais Samia huoni !???
@@mandelamandela3150 Dogo tuweke vyeti vyetu hapo tuone nani aliyeponea chupuchupu...ukiona unaanza kuzungumzia vyeti ujue kichwani hakuna kitu
Sukuma ndani hao wameanza mchezo mchafu
Mama m nakwamby hivi uokia ua kukagua kila sekta utalia I i
😂😂😂Naipenda nchi yangu
Tumbua mbachen
#MamaYupoKazini
MAMA YETU..