RAIS SAMIA AKASIRIKA, ATOA MANENO MAKALI - "STUPID, HUU NI UPUMBAVU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • RAIS SAMIA AKASIRIKA, ATOA MANENO MAKALI - "STUPID, HUU NI UPUMBAVU"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 98

  • @olesupukdavid2660
    @olesupukdavid2660 Год назад +4

    Mama hao watu piga chini wote tuko wazalendo mtaani tutakufanyia kazi nzuri sana ,na tumesoma na uwezo tunao

  • @JustPeter-do9iy
    @JustPeter-do9iy Год назад

    Asante y

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 Год назад

    Asalaam Alaykum.. Mama kuwa mkali.. Tunaibiwa Sana na hao mlio wachagua

  • @merishaolemepurda
    @merishaolemepurda Год назад

    Rais mama Samia tunaumia Sana huku sambasha.

  • @JustPeter-do9iy
    @JustPeter-do9iy Год назад

    Asante yesu na mungu pia mama tunakupenda

  • @gaudencemhagama7216
    @gaudencemhagama7216 Год назад

    Mama ndo unayagundua hayo saiv umechelewa sana magu alikua anatumbua live bila chenga tulimwona mbaya sana kifup huna serikali jipange upya

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi Год назад +1

    Yeye alisema hawezi kufoka😂😂😂 yamefika shingoni kafoka🤔🤔🤔. Wabongo sisi ukiwa mpole tu tayar tunapigwa

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Год назад +1

    Kweli adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake...Mathayo 10:36..na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
    Mungu amsaidie mama asafishe nyumba. Uchafu mwingi kwelikweli. Maombi kwa mama, maombi kwa nchi.

  • @JustPeter-do9iy
    @JustPeter-do9iy Год назад

    Sawa

  • @ZainaHaroun-ge7tk
    @ZainaHaroun-ge7tk Год назад

    Nnakupenda dda yangu wee allwa akulinde

  • @kimolankenyenge7158
    @kimolankenyenge7158 Год назад

    Eeee mungu ibarik Tz yetu but R.I.P shujaa wetu, kamanda wetu, mpiganaji wetu, mkombozi wetu, mtetezi wetu, n.k John Joseph pombe magufuri.

  • @isakanicholaus6779
    @isakanicholaus6779 Год назад +4

    Hapa ndo utamiss Mwana wa Africa uncle Magu watu wakula hela unaushia kuwaambia "stupid" !!? Saivi nchi imeoza . Mama amelima shamba afu Yuko anacheka na nyani 😁😁 Ngoja tusubirie kuvuna mabua TU. Hii serikali ya Mama inafanya maisha yawe magumu matozo ,vitu vinapanda bei, madeni ya taifa yanaongezeka, mambo ya ajabu yanaingia inchini . Endelea kuupiga mwingi sisi tunakusubiri 2025 .

    • @zionembassytv5672
      @zionembassytv5672 Год назад

      Wakati wa magu napo Kuna ufisadi wa 1.5 trilioni ulifanyika..kifupi CCM Haina uwezo tena wa kuongoza nchi inatakiwa ipumzshwe kidgo

    • @isakanicholaus6779
      @isakanicholaus6779 Год назад

      @@zionembassytv5672 Noo hiyo sikubaliani nayo. Hizo ni njama tu za kumchafua mzee magu kwa sababu hawezi jitetea mbona alipokuwa hai hamkusema huo wizi.

  • @ernestmpimo1087
    @ernestmpimo1087 Год назад

    I like your judgement Honorable president, doctor,Samia

  • @jmtv1736
    @jmtv1736 Год назад +1

    Yaani unaongea na watumishi mafisadi huku unalemba sauti. Hii nchi alikua anaiweza magufuri tuu 😢

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 Год назад

    Hapo tu ndio uajua kuna utofauti mkubwa sana kati ya magufuli na maraisi wote walioitumikia nchi hii leo hii wezi wanabembelezwa .. Wanachekewa chekewa tu wakati hali ya walipa kodi hizo /wananch ni mbaya sana na inatisha HAPO enzi ya magu ilikuwa ni rudisha pesa mwenyewe au na hatua lazima uchukuliwe kama hauna ba si utazitapika

  • @JuliusGeorge-p3x
    @JuliusGeorge-p3x Год назад

    Hv mtu akishaiba pesa ya serikali na akagundulika, inatakiwa atupishe akale raha mtaani au achukuliwe hatu zakisheria na Mali zake zipigwe mnada hadhalani na vyombo vya habari vitangaze hho mnada ili iwe fundisho kw wengine

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Год назад +1

    Kumbe Mama anajua serikali haichukui hatua halafu ametulia. Mama usicheke na nyani nchi inafilisiwa hivi hivi kuanzia huku kwenye halmashauri mpaka serikali kuu. Wanakukwamisha unaonekana wewe mbaya😔😔

  • @stanleyamlima2085
    @stanleyamlima2085 Год назад

    Mama anaongea kisomiiiiii yaaani daaaa she thought brighter

  • @MaoBadru-ob7uh
    @MaoBadru-ob7uh Год назад

    Mama usi rukane basi mama tuna hekuishimi people make mistakes ok understand mY president ok

  • @Nominated207
    @Nominated207 Год назад +2

    Huyu Mama mpole ndio tatizo achia ngazi Mama mpe mh Kassim majaliwa tuone matokeo tunakuomba hii nchi wanatakiwa watu kama Akina magufuli na sio maneno matupu tuu 😢

    • @adamshirima5880
      @adamshirima5880 Год назад +1

      Kamfufue ili awashughulikie. Bwege kweli wewe. Acha dharau.

    • @mejamiela7436
      @mejamiela7436 Год назад

      Fact

    • @mejamiela7436
      @mejamiela7436 Год назад

      Rashid nakuunga mkon

    • @adamshirima5880
      @adamshirima5880 Год назад

      @@Nominated207 nyinyi ndiyo wale mlikuwa mnadhani hii nchi ni ya watu fulani kwenye miaka fulani hivi. Sasa hivi mnateseka sana kukubaliana na ukweli kuwa nchi hii ipo kwenye mikono mingine na kila Rais ana personality yake. Endeleeni kuteseka

    • @mandelamandela3150
      @mandelamandela3150 Год назад

      @@adamshirima5880 Nilikosea ni wewe ndio nilikuwa nnakuandikia, wewe ni Mpumbavu sana wewe Rais Samia Urais hawezi hawezi alipaswa ajiuzulu analazimisha hawezi !!!! Ameshajuwa hawezi kwa nini hataki kumuachia Majaliwa anaendelea kututesa WaTanzania !????

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Год назад

    Mheshimiwa Rais,wezi walioiba mwaka Jana walifanywa Nini?,wanapoachwa bila kibano watakuzoea mheshimiwa!

  • @learnselfdefense765
    @learnselfdefense765 Год назад

    Hakika umenena kweli my Mum....Pole sana wapigaji bado wapo wakusaidie

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Год назад

    Hii nchi kila sehemu watu wanaiba na wanachekewa tu.

  • @onlinecomedy8420
    @onlinecomedy8420 Год назад +3

    Anamkasilikia Nani Sasa

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 Год назад +1

    Huyu mama Analala Mika tu, hao walikuwa dawa Yao ni Anko MAGU.

  • @MichaelRubusa-ss8hy
    @MichaelRubusa-ss8hy Год назад

    Heppy jumanne

  • @BarakaPanja-nc1kd
    @BarakaPanja-nc1kd Год назад

    Mom take action, kwann watu kwamishe

  • @ummimustafa5330
    @ummimustafa5330 Год назад

    Hao watendaji wako wanajali nini wakati watoto wao hawaendi kwenye hizo shule? HAWAWAJIBI THAT'S WHY!!

  • @saidmailo8491
    @saidmailo8491 Год назад

    Wanaitwa wapigaji,ni watu wabaya sana.
    Macholi wenye kipaji ,viwavi wenye hiya na.
    Wanamaliza mtaji,wanapita kila kona.
    Machoni ukiwaona,sura zao kama watu.
    Mama tunakosa maji,haha vizabizabina.
    Wanalamba hadi uji, wengi tumekondeana.
    Majukwani wasemaji ,usiku wanatuchuna.
    Machoni ukiwaona,sura zao kama watu.

  • @VicentMark
    @VicentMark Год назад

    safi sana.mama kuwa mkali kuna majangili yanaiba hadi kero

  • @LouLou-vu4ld
    @LouLou-vu4ld Год назад +2

    Achia ngazi sasa

  • @amansetembo4672
    @amansetembo4672 Год назад

    Mama mipumbavu unayo mingi sana kwenye serikali yako

  • @shabanilugi5858
    @shabanilugi5858 Год назад

    Mama kauli yako ndo shéria achakuremba mafisadi , chakufanya kama rais wa stop kazi ,wafanyiwe uchunguzi wakibainika wana makosa walipe fedha izo, Shéria iwapumzishe jella simple sikulialia wewe nikiongozi wawatu maskini lazimaulijuweilo
    We need strong people

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 Год назад

    Naona mmeanza kutafunana ninyi Kwa ninyi ...si mlijichagua sasa kazi iendeleee na bado mama umewaacha wataila Tanzania Hadi watakula na watanzania wenyewe 🤔😭😭😭 R I P MAGU 😭

  • @casparnigell5510
    @casparnigell5510 Год назад

    Rais wa kweli. ❤

  • @habibumuhunga267
    @habibumuhunga267 Год назад

    Mama talabu nyingi unaimba talabu tu bwawa la umeme limefikia wapi na watanzania tumesikua umenunuwa track umeziweka GSM ishavuja mama uliona lini pesa inatosha ,mama huwenzi kuwaonginza watanzania Kwa talabu unayo imba achia uwongonzi

  • @samsonmaiko6089
    @samsonmaiko6089 Год назад +1

    Asaaateeeeeeeee!!!!!!!

  • @Hassan-cc3rz
    @Hassan-cc3rz Год назад

    Wawishe

  • @mwanadigital1
    @mwanadigital1 Год назад

    Nimegundua rais anatakiwa kuwa mtu mgumu, uyu mama mashairi mengi daah tatizo haohao walio juu ndo anawatumia ambao wanamichezo ya kupiga wakati Kuna vijana wapo chin wananguvu wazalendo na wanamachungu na nchi hii hao wazee wa nini uko juu?? Daah inauma dadeki

  • @josephthadei1751
    @josephthadei1751 Год назад

    Sasa mama sisi tumevunjiwa nyumba zetu kinondoni huu mwaka wa6 tunaishi kwa tabu alafu pesa za umma watu wanachezea haki ya mungu kihama akito waacha salama

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Год назад +1

    37M >>>86M 🙆🙆🙆🙆

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад

    Jilieni masela wangu. Kama ni chakula kuleni hadi mvunje na sahani.

  • @princesabdul5441
    @princesabdul5441 Год назад +1

    enzi za kamanda ashafukuzwa mtuuuuu

  • @EnickoAlfredy-di7oe
    @EnickoAlfredy-di7oe Год назад

    Sema selikali yako inamajizi mno mam

  • @davehans9262
    @davehans9262 Год назад +1

    Magu would eat people

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Год назад

    Wanatafuna sana hizo fedha hadi inakuwa karaha

  • @nicksulle6959
    @nicksulle6959 Год назад +2

    Tutetee tu tunaumia balaaa

  • @chrisnambahu7342
    @chrisnambahu7342 Год назад +1

    Tunapigwa mnoo jpm alikuwa anatumbua ukasema ooh mi situmbui vp tena mbona unasema wanaiba pesa??

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Год назад

      Ana tumbwa lakini Hela ana chukwa chato jambazi lile na Bora yuko na rafiki yake mzee god😅

    • @sheinanaad3690
      @sheinanaad3690 Год назад

      @@zawadix9574 mpuuzi mkubwa ww

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Год назад

      @@sheinanaad3690mungu ame mpeda sana🤣🤣🤣

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 Год назад

      @@zawadix9574 😡😡😡😡😡

  • @Hassan-cc3rz
    @Hassan-cc3rz Год назад

    Aondo wakufungwa

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 Год назад

    Bado kwenye miradi ya barabara ni upuuzi mtupu!!!
    Hawa manunuzi hawa ni stupidity

  • @princesabdul5441
    @princesabdul5441 Год назад

    wote wa1 aoo

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows Год назад

    Sasa mama wewe una mamlaka lakini na wewe kwa unavoongea hapo ni unakaa katika position ya kuonewa eti tuoneeni huruma like seriously tukueleweje kwamba huna choice kufukuza na kufilisi kufunga huwezi kabisa 🚮

  • @Hassan-cc3rz
    @Hassan-cc3rz Год назад

    Sio wanao ibandizi muhugo

  • @princesabdul5441
    @princesabdul5441 Год назад

    emb ao wizi wakikamatwa wauliwe af mali zao zitolewe sadaqaaa

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Год назад

    Fukuza mbuzi hao walafi Acha maneno mengi fanya vitendo

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Год назад

    Sio stupid wala pumbavu kwa kifupi watanzania tunatumikia makosa yetu ya kikatiba hukutakiwa kuwa hapo huwezi mama yangu ukubwa wa cheo haufanani na ubongo wako

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 Год назад

    Majizi yapo humohumo yaketulia yanakucheki

  • @thatboywithakeyboard9292
    @thatboywithakeyboard9292 Год назад

    Thanks God I don't pay taxes

  • @publicityzone9583
    @publicityzone9583 Год назад

    Unaongea kwa upole ivi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Mifumo ya Tehama iimarishwe

  • @dogodogo595
    @dogodogo595 Год назад

    Punda haeindi bila ya fimbo mama. Hao ndio maana Magufuli aliwanyoosha hao, ndio wanaofanya wananchi wasiwe na imani na serikali yao. Kama ni majizi tumbua tu hakuna kucheka nao.

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 Год назад

    Linchi halieleweki vitu havieleweki asa mtu ushawajua unawalemba tena?dah

  • @Hassan-cc3rz
    @Hassan-cc3rz Год назад

    Aondo wakukatwa mikono

  • @saidmailo8491
    @saidmailo8491 Год назад

    Bora tuwe masikini ,kuliko kuwa gizani.
    Na ushoga ushetani ,tukomeni marekani.
    Afrika tulaani,mashoga wote motoni
    Mama tunakuamini ,uwapendi wasagaji.

  • @menaibay
    @menaibay Год назад

    TUMBUA TU JAPO WATANO , WATASHTUKA

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад

    Ni mastupid kweli kwani uongo, watu you keep pushing to the max, ila kwani hakuyajua hayo? mbona karudisha wahamisha wanyama na watoto wa waastaafu?????

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Год назад

    Imagine angekuwa ni kasim majaliwa hapo angenyoosha watu

    • @adamshirima5880
      @adamshirima5880 Год назад

      Mfanye awe Rais Sasa hivi. Bwege kweli

    • @mandelamandela3150
      @mandelamandela3150 Год назад

      @@adamshirima5880 Cheti feki wewe hata aibu ya kumsifia Rais Samia huoni !???

    • @adamshirima5880
      @adamshirima5880 Год назад

      @@mandelamandela3150 Dogo tuweke vyeti vyetu hapo tuone nani aliyeponea chupuchupu...ukiona unaanza kuzungumzia vyeti ujue kichwani hakuna kitu

  • @RidhiwaniWaziri-wt6pw
    @RidhiwaniWaziri-wt6pw Год назад

    Sukuma ndani hao wameanza mchezo mchafu

  • @johnhanga-dp9ck
    @johnhanga-dp9ck Год назад

    Mama m nakwamby hivi uokia ua kukagua kila sekta utalia I i

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Год назад

    😂😂😂Naipenda nchi yangu

  • @mussaidriss5662
    @mussaidriss5662 Год назад

    Tumbua mbachen

  • @steviethommy8736
    @steviethommy8736 Год назад

    #MamaYupoKazini

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Год назад

    MAMA YETU..