masha allah ust kunabaadh ya clipu.zako nilikutolea maneno makal sana ila naomba unisamehe leo nimegunduwa kuwa unaiswaf ya hali yajuu nalengo lako nikiweka umma wakiislam pamoja.allah akufanuie wepesi.insha.alla niswameh sana ndugu yangu
@@mohagurey2214 akhy watu walionusurika ni wale waliokataa ulinganizi wa vikundi vikundi visivyokuwa kikundi cha Bwana Mtume (saw). Na hawa hawana bidaa ama wale walinganizi wa vikundi vyao hawa hawajasalimika. Hivy tuangalie daawa yetu ipo wapi
MAASHAALLAH TUNAMSHUKURU ALLAH KUKULETA WEWE
MASHAALLAH SHEIKH kijana.. ALLAH AZIDI KUKUONGEZEA ELMU NA MAARIFA
Na AKUPE NGUVU ya kuunganisha UMMA WA KIISILAAM
@@mohammedi8850 NI KWELI KABISA
Allah akujalie katika kuipambanua haq
masha allah ust kunabaadh ya clipu.zako nilikutolea maneno makal sana ila naomba unisamehe leo nimegunduwa kuwa unaiswaf ya hali yajuu nalengo lako nikiweka umma wakiislam pamoja.allah akufanuie wepesi.insha.alla niswameh sana ndugu yangu
@@darajanida Usijali najua ni katika sehemu ya ubinadamu ndugu yangu.
@ABJADACADEMY nashukur kwakunielewa kuwanzia leo sitomkejel muislam wa aina yoyote kwa misimamo ya kimadhehebu alla atufanyie wepesi insha allah
naam... Allah amfanyie wepesi ABUU'IDDI BIN IDDI..
@@ABJADACADEMY SHEKH NAOMBA NAMBA ZAKO IKIWEZEKANA
Asante sheikh tutajie ivo vitabu vya hao wanaowasifia maimamu wao
Miftaahul jinaan,
Albidaayat wannihaayat
Taarikhul baghdaad hilyatul auliaa
Ndo maana Mohammed Bachu Na Kassim Mafuta wamesoma wote maka chaajabu wote hawaelewani nakuitana JADIDA,HIZBI!!!!!
Shukrani,
Sikweli baba umesoma vizuri lkn mada hiyo nihisia zako nakuomba nyamaza
Nimekuelewa kuliko wengi
Sisi watu wa sunnah hatufanyi ibada yeyote ya bid'a kama iko niambie akhi
@@mohagurey2214 akhy watu walionusurika ni wale waliokataa ulinganizi wa vikundi vikundi visivyokuwa kikundi cha Bwana Mtume (saw). Na hawa hawana bidaa ama wale walinganizi wa vikundi vyao hawa hawajasalimika. Hivy tuangalie daawa yetu ipo wapi
@ABJADACADEMY wewe ulisema sote tunafanya bid'a, nani nakuuliza nipe ibada moja bid'a yenye tunafanya? Ama wewe wafanya ibada gani ambayo ni bid'a?
Usijifie kwamba wewe ni mtu wa sunna.Allah ndie anaekujua kwa uhakika kutuambia sisi haisaidii chochote.
@@mohagurey2214 nitumie namba yako na mahali ulipo Akhy
@@mzeerajab9154 mm ni mtu ya sunnah kwa sababu najihadhari na bid'a na natenda sunnah pekee