Asalam alekum Ombi. Kama sisi ni wateja wakubwa wa hi chanal yenu . Tunaomba haya mawaiza ya shekh mselem . Yatengezeeni ups . Kwa sababu hizi recklama za mabiasha zimekuwa nyingi mpala zinakera hupato utulivu wa mawaiza . Ahsante
Mi nahisi Hawa hawapo kwa ajili ya dini bali kwa ajili ya biashara ya dini,kwa sababu heading hizo zipo kwa ajili ya kuvutia biashara.Pia Nina mashaka na uadilifu wao,wanakera kuzidi magazeti ya udaku.
Kama ambavyo ukisoma heading za media zingine ukakuta maudhui tofauti unafutilia mbali ,na hapa pia ukianza kusikiliza ukakuta ni maudhui tofauti siku ingine unapita mbio tu,yaani Hawa waingia ktk kuzuilia watu ktk khayr sijui hawajitambui? Kero tupu.
Upumbavu wa hali ya juu kwa mtu anae weka title ya uongo usitafute views kwenye dini ya mwenyenzi mungu , una waibia waislam na kuuzusha uongo wa maandish, sheikh wetu tuna mpenda na tuna mfatilia sana msimtumie sheikh wetu kwa kupata views kwenye tv yenu
Masha Allah sheikh am also getting you here in Uganda Assante
Mashaallah Mashaallah wa barakallah Shaikh MselemBinAliy
Mungu akupe hucni hatima
Alwah akujalie neema
Mashallah Mashallah
Shukran ( Sheikh Mselem) Tunakusoma Tukiwa , DSM.
ALLAH AKUHIFADHI FITNA ZOTE
Mwezimungu akupe maisha marefu
Yenye afya njema ndan yake
Shukran sana Shekhe ❤
Mashallah
Shekh Allah Skype afya njema uzidi kutuelimisha
Uhibbuka fillah shekh Musellem
Asalam alekum
Ombi. Kama sisi ni wateja wakubwa wa hi chanal yenu .
Tunaomba haya mawaiza ya shekh mselem .
Yatengezeeni ups .
Kwa sababu hizi recklama za mabiasha zimekuwa nyingi mpala zinakera hupato utulivu wa mawaiza .
Ahsante
Tunafatilia sana
Ataka kuuliza swali
Adil tv
Salam walykum
kwanini huwa munandika headings za mipasho? kwanini usiandike tu "tafsiri ya qurani suratul Al amran aya fulani hadi fulani?"
Mi nahisi Hawa hawapo kwa ajili ya dini bali kwa ajili ya biashara ya dini,kwa sababu heading hizo zipo kwa ajili ya kuvutia biashara.Pia Nina mashaka na uadilifu wao,wanakera kuzidi magazeti ya udaku.
Kama ambavyo ukisoma heading za media zingine ukakuta maudhui tofauti unafutilia mbali ,na hapa pia ukianza kusikiliza ukakuta ni maudhui tofauti siku ingine unapita mbio tu,yaani Hawa waingia ktk kuzuilia watu ktk khayr sijui hawajitambui? Kero tupu.
Nymaz boya
Acha tuu 😂😂
Naweza kuuliza swali
Bila shaka uliza Akhii
MashaAlla Sheikh Mselem Allah akuhifadhi na akujaalie maisha marefu
Tunafatilia sana
Upumbavu wa hali ya juu kwa mtu anae weka title ya uongo usitafute views kwenye dini ya mwenyenzi mungu , una waibia waislam na kuuzusha uongo wa maandish, sheikh wetu tuna mpenda na tuna mfatilia sana msimtumie sheikh wetu kwa kupata views kwenye tv yenu
Sihaba kuna mtu kasema mana nlizani mie tu.. wanaujinga wa kupindukia