Mtumishi endeleza moto huo huo, napenda sana kazi zako, hakika unanibari sana, BWANA YESU akupe mafunuo zaidi ya hayo, maana unamanisha kwa nyimbo zako,
🙏🙏🙏💯💯💯💟💟💟❣️❣️❣️wimbo wangu wa maombi kila niwapo chini. Ndugu unaeza usijue lkn unabariki, kuguza na kuinua sana imani yangu imeimarika na kuokolewa na mengi kupitia shuhuda na nyimbo zako. 💕💕💕🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi Ninachojiuliza kilasiku kutoka kwako pascal ni hiki mbona nyimbo zako nzuri sana mfano nitie nguvu mungu na niokoe lakini mbona watazamaji wachache ? Moja najiuliza Pini uliyopigwa ipo wapi? Moja au fungu la kumi la mazao Yako hutoi pili au maombi ? Au jaribu ? Na Hili kwako? Mpaka Sasa mungu hajanipa majibu labda kunasiku mungu atanipa majibu na natamani sana kuongea na pascal
Barikiwa sana Mtumishi waMungu nabarikiwa Sana nanyimbo zako hakika Mungu anawatu wake aliojisajia hata shetani ameshindwa kwaJina laYesu Kristo Mwana waMungu Alie hai kusudi laMungu ndilo litakalosimama
Barikiwa mtumishi ..Niko Qatar naambia mungu anitie nguvu...namtegemea mungu katika safari hii nifike mwisho salama...tujuane kama unabarikiwa na huu wimbonna ukiwa Gulf....
Mutumishi basi mimi ninabarikiwasana nahuduma yako, lakini naombi kama unaeza kuni pati shauri,kwani nami naimba ila naitaji mutu wakunishika mkono mungu atakubariki kama una ni jibu tuasiliane basi
Ngoja nikujibu,. Nyakati za mwisho ukweli utapuzwa na kwa sababu hiyo Mungu ataachilia roho upotevu ili watu wauamini uongo. Soma 2wathesolanike2:10-12
Huwa nabarikiwa sana na nyimbo zako...kuna nyimbo nyingine hukukamilisha ni fupi kama vile 'makanisa ya kuzimu na Siku zinakuja tutachomwa na moto' video zake ni fupi na ni nyimbo tamu sana .
Ulibarikiwa sauti ya kusema makuu ya MUNGU ❤ like hapa kama unamkubali mtumishi wa Mungu
Kwa uwezo wa Mungu tutafika ng'ambo salama. Mungu endelea kututia nguvu tumalize safari bila kukutenda dhambi! Ubarikiwe kwa wimbo mzuri 🙏🙏
Mtumishi endeleza moto huo huo, napenda sana kazi zako, hakika unanibari sana, BWANA YESU akupe mafunuo zaidi ya hayo, maana unamanisha kwa nyimbo zako,
Am much blessed sir
Amen ndiye nguvu yesu kwa ajili ya mapito ya magojwa kwa watoto wangu
Baba ni Asante,katika njina la YESU kristu
🙏🙏🙏💯💯💯💟💟💟❣️❣️❣️wimbo wangu wa maombi kila niwapo chini. Ndugu unaeza usijue lkn unabariki, kuguza na kuinua sana imani yangu imeimarika na kuokolewa na mengi kupitia shuhuda na nyimbo zako. 💕💕💕🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Be blessed mtumishi tunakupenda sana from Kenya.
Hujawahi kuniangusha kwenye nyimbo zako nimefarijika sana
Daima ujumbe huu utadumu milele,Nabarikiwa sana kwa nyimbo zako mtumishi.
Daima ubalikiwe kwa nyimbo takatifu
Jehovah nipiganie peke yangu siwezi
Utukufu umrudie Mungu. kweli njia za kutoka mautin zina yeye Bwana
Mungu
Anakuja.kuku.teteya..nakutambulisha.watu...wanawo.kupinga.wote..Amen🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Yesu naye akutie nguvu za kwelii
Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai
My favorite song. Natamani nilie😪🙏🏼
♥️♥️♥️☝️
Yahwe akutunze bwana mtumishi wa mungu endelea nakuombea mungu akupe nguvu na ujasiri #Evangelist pascal Cassian Tanzania 🙏
@@paschalcassianoriginal9411 ❤❤❤
Barikiwa mtumishi ,mungu akuinue zaidi
Naupenda huu mwimbo...mungu akubariki sanaaaaaa
Asantee kwa wimbo huu ubarikiwe sana tunabarikiwa na huduma yako mtumishi
Thank you brother Paschal.You are on the Lord's side
Nimeipenda huduma yako mungu awe pamoja nawe
Tanzanian Gospel artist are on another level ❤️❤️❤️
Ata mimi pia inasaidia kabisa
God bless you so much.
Am so blessed with this song.🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
mugu agkumpe mahisha marefu
Mungu azidi kukupa maisha marefu
Ncee song hakika MUNGU azikukuongezea cku za kuishi
A blessing song Pascal. Mey God guide you always
Hey I enjoy his music but am Zambian and I can only understand a few words..
What does this song talk about??
Barikiwa sna paschal barikiwa
Good work bro.. God bless your work.
Amina tumekumic kakubilo geita
Kwaimani ya mngu utamaliza safari
Kenya Watching over and over Mtumishi i love your music
Barikiwa ndugu yangu
Nina kuombea kwa mungu kwakazi lake unayo mutumikia
Pure God calling,Soul touching and encouraging massage
Nyimbo Zako zinanifanya nijitie nguvu katika maisha Mungu abariki kazi yako mchungaji
Barikiwa sana Mtumishi
Kazi yako njema sana..
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu
All the way from tik tok, GEN Z, we are very keen strong to save our country-Newson we love ❤ you our Kenyan son keep going #rejectfinancebill
Ameni mungu yuko na wewe Sanaa nmekuwa nkikufatilia Sanaa kutoka ulivyo Pata ajali nmekuombea sanaaa mungu atakutia nguvu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ee Mungu tutie nguvu ,tumalize safari salama,Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu,,,,huu wimbo una faraja sana hata nikiwa kwa shida nauweka tu,,, Mungu atutie nguvu,,,,,🙏🙏🙏🙏🙏
Nakuelewa sana bro!
Barikiwa
🙏🙏🙏 Amina Bwana Yesu asifiwe sana 🙏👭 Mungu 🤝ni❤️🤝 mwema siku zote za maisha yetu 👬🙏 na Mungu apewe sifa milele yote ahsante sana amen.🙏🙏🙏
Jamaa unajuwa mtumshi
Amen kabisa mtumishi
Mimi Ninachojiuliza kilasiku kutoka kwako pascal ni hiki mbona nyimbo zako nzuri sana mfano nitie nguvu mungu na niokoe lakini mbona watazamaji wachache ? Moja najiuliza Pini uliyopigwa ipo wapi? Moja au fungu la kumi la mazao Yako hutoi pili au maombi ? Au jaribu ? Na Hili kwako? Mpaka Sasa mungu hajanipa majibu labda kunasiku mungu atanipa majibu na natamani sana kuongea na pascal
Jamani mtumishi mungu mwenyezi akulinde akupe ujasil zaidi nakupenda Sana paschal
Ng'ambo nifike bila kukutenda dhambi, oh Lord thank you for such wisdom 🙏🏼😊
Iiubarikiwe sana
Mungu simama,, peke yangu siwezi.... Hallelujah 🙏🙏🙏
Ameen barikiwa sana
Nakubar Sana Mungu kweli yupo jamani anataman tumgeukie yeye katika maisha ubarikiwe sana Pascal🤲🤲
Wimbo mzur unatia amani
Barikiwa sana
Mungu akubariik sana
Barikiwa sana Mtumishi waMungu nabarikiwa Sana nanyimbo zako hakika Mungu anawatu wake aliojisajia hata shetani ameshindwa kwaJina laYesu Kristo Mwana waMungu Alie hai kusudi laMungu ndilo litakalosimama
Ubarkiwe mtumishi
Kwakweli mtumishi wamungu uwanikisikia nyimbo zako zinanifariji sana pia mtumikie mungu kwauwaminifu asante mungu akubariki sana
Barikiwa mtumishi ..Niko Qatar naambia mungu anitie nguvu...namtegemea mungu katika safari hii nifike mwisho salama...tujuane kama unabarikiwa na huu wimbonna ukiwa Gulf....
Naipenda hii nyimbo Mungu ainuwe huduma yako
Ubarikiwe mtumishi
Thank you man of God ..I'm blessed with your Gospel..
❤❤❤❤❤
Amen kweli nitie nguvu mungu
Aminaaaa nisaidie Jehova
Thanks Man Of God Be blessed ujumbe mzur sana unaoishi🙏
Asante kwa wimbo ,tumepewa tayari Nguvu . Mungu ainuwe uduma yako
Mutumishi basi mimi ninabarikiwasana nahuduma yako, lakini naombi kama unaeza kuni pati shauri,kwani nami naimba ila naitaji mutu wakunishika mkono mungu atakubariki kama una ni jibu tuasiliane basi
Mungu akubariki
Amen ! Mungu ututie nguvu tumalize safari salama, ubarikiwe Sana ndugu naipenda nyimbo zako Sana zina ujumbe
Kaka pole Sana kwa mnajaribu uliyopitia ,na mungu akujalie mema na akupe nguvu yakumsifu
We noma saana joo cong
My favorite song. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
Napenda ukweli hakka mung azd kukutia nguvu
Ooooooh yes! Nitie nguvu Mungu wangu nisikutende dhambi
Ngoja nikujibu,. Nyakati za mwisho ukweli utapuzwa na kwa sababu hiyo Mungu ataachilia roho upotevu ili watu wauamini uongo. Soma 2wathesolanike2:10-12
Nimefurahi sana kukuona umepona mungu azidi kukupigania na maaduwi
NITIE NGUVU Mungu🙏🙏🤦😭😭😭🤦 nishinde MAJARIBU nisiwe mtu WA kukata tamaa
Ewe Mungu nite nguvu ni malize Safari hii,Amen
Ameeeeen and Ameeeeen be blessed too much may God be with you always in Jesus name amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera kwa kazi nzuri saana
Huwa nabarikiwa sana na nyimbo zako...kuna nyimbo nyingine hukukamilisha ni fupi kama vile 'makanisa ya kuzimu na Siku zinakuja tutachomwa na moto' video zake ni fupi na ni nyimbo tamu sana .
Daaah naipenda sana hiii nyimbo
Amen Barikiwa baba Nipo online nakufata kaka Yangu
ubarikiwe mchungaji
MUNGU akubariki kaka nakubar na napenda unacho fanya MUNGU akutie nguvu!!
Mungu wangu akukumbuke,songa mbele kaka tunakuombea
Amen.kweli.atutienguvu
Mung akubarki sana nabarkiwa sana nyimbo zako zinaujumbe wakumjeng Mt napend sn
Nitiye nguvu baba nifike salama, safari iko ndefu sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾😭😍
Kazi nzuri paschal
The voice🎉🎉
Barikiwa kaka
Great🔥
Mungu azidi kukutetee nyimbo zako nyingi zinabariki nakuinua mioyo iliyokata tamaa
Ubarikiwe kaka yangu
Kaka MUNGU awe pamoja na wewe katika utumishi wako
Nice song
kaka nyimbo zako zinanibaliki sana
Kweli Kabisa Ndugu Pascal