DUNIA KWA HERI MWINJILIST PASCHAL CASSIAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 145

  • @twajamwalimu287
    @twajamwalimu287 4 года назад +7

    Ndugu. Yang. Kwayote ulie pitia usmwache mungu wako mungu akzidishie siku zakuishi

  • @Ericsson-dm9zi
    @Ericsson-dm9zi 2 месяца назад +2

    Napenda msimamo wako pascal umepitia changamoto ila mungu yupo nasi tutafaulu may God bless you abundantly 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HellenaLupumbwe-he2mg
    @HellenaLupumbwe-he2mg Месяц назад

    Kwakweli mtumishi kwa sasa tusimame katika maombi tuu maana hizi ninyakati za mwisho Mungu akubaliki sana pia na uzao wako Mungu asiusahau tuzidi tuu kuombeana🙏🙏🙏🔥🙌

  • @Mwangi-f1z
    @Mwangi-f1z Месяц назад

    Paschal Cassian, Mungu Kubaliki sana ,kwa sababu ya kutwambia ukweli

  • @marytemba5822
    @marytemba5822 Год назад +4

    Amen Mtumishi wa Bwana,kwani shetani anawatumia sana manabii wa uongo

  • @babyyshayo3633
    @babyyshayo3633 5 лет назад +8

    MUNGUwangu akulinde mtumishi maana hizi nyimbo zinawachoma vibaya sana

  • @pamelanzitunga2052
    @pamelanzitunga2052 3 года назад +2

    Jambo kaka Ubarikiwe kwa jina la Yesu christo wetu Mungu mweye nguvu. Ninabalikiwa kweli, ila Nina swali moja tu kuusu wewe kaka, ni kweli uko kwenye chiyaa ya Yesu kwa sababo Nina endelea kuona ma signé ya uko kwenyi feemasoni?Mungu akulinde wewe na jama lako. 🙏🏾🙌🏾

  • @CreverSanga
    @CreverSanga 2 месяца назад

    Mungu akisaidie sana aixee unajiamin sana nakukubar sana

  • @ruthsaita8582
    @ruthsaita8582 Год назад +2

    Aki Mungu akutie guvu uduma katika maombi Na Mungu atakupingania kwa kila Jambo Na akunalinalo mushinda Mungu Na akubariki Sana nakufunulie mengi izindi kutufunuliw ss vipofu weye atuoni likini najuwa Mungu Yuko pamoja nasi

  • @user-ms7jw7hu5l
    @user-ms7jw7hu5l 2 месяца назад

    Nashukuru sana unasema ukweli songa mbele utabarikiwa .asante

  • @bettyavish2128
    @bettyavish2128 Год назад +3

    Mungu akuwekee ulinzi kwa maana sio rahisi mtu kujitoa kwa huo mtego na akawa salama

  • @monickafranko761
    @monickafranko761 5 лет назад +25

    Kwel kabisa pascal Mungu akutie nguvu unaongea ukwel kabisa nasi tunakuombea Roho mtakatifu atukumbushe tukuombee kila wakati hata mimi nimejufunza Ee! Mungu mlinde mtimishi wako paskal anaonge ukwel Mungu usimuache ata sekunde moja mwanao paskal Amen.

  • @muhubiriproduction69
    @muhubiriproduction69 5 лет назад +5

    Ndugu yangu Injili yako ni moto sana, Nakuombea kwa Jina la Yesu upone katika hali uliyo kutana nayo ya ajali ili uje ugonge ukweli ambao wahubiri wengi wa siku hizi wanaipaka injili mafuta kwa maslahi binafsi kwa kutosema ukweli ambao wengi hawapendi kusikia kwa sababu ya mzigo wa dhambi, NASI TUTAIJUA KWELI NAYO KWELI ITATUWEKA HURU

  • @user-hz6kw4em9b
    @user-hz6kw4em9b Год назад

    Hakika mungu yupo kazi njema.

  • @mohamednzalamoto2793
    @mohamednzalamoto2793 2 года назад +1

    Dah Dunia imefika mwisho nlikuwa sjui tatuzo tuna penda sana miujiza ndo mana tuna pokea mpaka mapepo

  • @Uplifiting
    @Uplifiting 4 года назад +3

    Mwema kweli ni kipenzi cha Mungu. Kwasababu hiyo, hutakufa, kwa ajili ya kusema ukweli. Bwana Yesu anakuombea wakati wote mpaka kusudi lake litimie. Amani ya Kristo ikufinike Mtumishi wa Mungu Pascal. Endelea kufichua ufisadi. Amen 🙏

    • @Uplifiting
      @Uplifiting 4 года назад +2

      Msema kweli ni kipenzi cha Mungu.

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar1603 6 месяцев назад

    Mungu ni mkuu sana hakika

  • @richardngowo537
    @richardngowo537 4 года назад +5

    Mungu akupiganie sana brother

  • @ricy254official2
    @ricy254official2 Год назад +4

    almost 5 years down the line and still listening to this soul-turning song,,,, you are blessed man of God.

  • @marionnafula5801
    @marionnafula5801 5 лет назад +5

    Tutaendelea kukuombea Sana shetani hana nafasi juu yako you are the son of almighty God nothing will come on your way in Jesus mighty name 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DominiqueBymungu
    @DominiqueBymungu 3 месяца назад +1

    Mungu Ata kulinda Mpaka pale mwisho atakapo kuwa muwa mungu mwenyewe paschal cassian

  • @user-ce6yl9og1z
    @user-ce6yl9og1z 6 месяцев назад +1

    Asante sana Kwa kusema ukwel mungu akubal

  • @socratengoy-cp8xy
    @socratengoy-cp8xy Год назад +1

    Mungu wa mbinguni azidi ku Ku bariki mu injilisti Paschal cassian

  • @user-jz7mm7fv9b
    @user-jz7mm7fv9b 29 дней назад

    Mungu akupe nguvu kaka mkubwa

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 5 лет назад +6

    Ajabu kweli . Lo !!!!!. Mungu utrehemu wengine hatujui twadhani ni kuombewa tu Waaaaaaa

  • @esterromanus6213
    @esterromanus6213 Год назад

    Sa mbona kama ishara ya kishetani😌😌😌😌😌

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад

    Kweli pasipo kuwa na Yesu duniani kuna vituko,utamezwa ukiwa hai,wenzangu tuzame ndani ya Yesu Kristo kwa kumaanisha

  • @pelesilazaro4312
    @pelesilazaro4312 3 года назад

    Mungu uketie mahali pa juu palipo inuka tunaomba umponye mtumishi wako Paschal ninateketeza Kila Hilo chafu za shetani ktk jina la yesu nikiomba na kuamini watu wore tuseme amina

  • @abiudkiprop3287
    @abiudkiprop3287 2 года назад +3

    A song summarised in nothing but the truth. God save us from false prophets.

  • @omanhamra9153
    @omanhamra9153 5 лет назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,,, Mungu atakusaidia tutazidi kuombeana kweli dunia si kitu zaidi ya kuteseka ungu atupe mwisho mwema

  • @raysimkwai200
    @raysimkwai200 5 лет назад +4

    mmh hawa manabii wa uongo mm hamnipati tena,ahsante sana mtumish Pascal kwa mafunuo haya

  • @user-jb7kj9iz2m
    @user-jb7kj9iz2m 7 месяцев назад

    Mungu ndo sababu ya maisha yako wao watakutafuta hawatakuona hapo uripofikia nikusudi ra mungu utakura nya kufuswa rakini hutazurika amin

  • @ALFREDYMASUGABONAKANIKWA
    @ALFREDYMASUGABONAKANIKWA Год назад

    mutumishi wa mungu uishi myaka mingi kwa JINA la yesu kristo ila na mimi piya ni muimbaji drc gospel

  • @bettyavish2128
    @bettyavish2128 Год назад

    Mtumishi wa mungu nakuombea mungu akuwekee ulinzi mukalipamoja na Familia yako yote nyimbo zako zinanibariki Sana zingine zinanitoa machozi mungu atusaidie Sana sisiwanadamu kwa maana hakika hizi nisikuzamwisho🙏🙏

  • @user-jz6oj3nq2v
    @user-jz6oj3nq2v Год назад +1

    God created you with a purpose man of God

  • @mwambauliohai5043
    @mwambauliohai5043 5 лет назад +5

    hili jamaa jembe la Yesu

  • @eliasmasawe8399
    @eliasmasawe8399 4 года назад

    Hata siku moja Cha Mingi akiwezi kufandaima utaisema kweli jembe la Mungu

  • @joashmwamburi1941
    @joashmwamburi1941 Год назад

    Bro mungu atakulinda tumeona ukweli huku kwetu kenya shakahola yani nkama ulijua ukiimba hii ngoma na wamama na watoto ndio wanaingia kwa hii mitego ya shetani kirahisi

  • @gracealexander5309
    @gracealexander5309 5 лет назад

    DAMU YA YESU KRISTO UKUFUNIKE KILA HATUA UNAYO PITIA ZIDI KUUITIA DAMU YA YESU KRISTO INENAYO MEMA IKUFUNIKE AMEEN

  • @keichest
    @keichest Год назад +1

    Listening it first time 2023,,, and am blessed and mind lightened 🎉

  • @kasongosiron9041
    @kasongosiron9041 3 месяца назад

    Mais pourquoi vous avez enlever les images ? svp remetté Les images de cette chanson Car c'est trop édifiant.et que Dieu vous bénisse

  • @jothamtoyi9249
    @jothamtoyi9249 6 лет назад +8

    wimbo nimeutafuta sana kila siku Ila leo namshukuru Mungu nmeupata barikiwa sana paschal

    • @paschalcassiancassian1108
      @paschalcassiancassian1108  6 лет назад +1

      aaamen barikiwa sana

    • @gracelimbe5055
      @gracelimbe5055 6 лет назад

      PASCHAL CASSIAN CASSIAN mungu akubariki mwa huduma

    • @amaniezekiely3935
      @amaniezekiely3935 6 лет назад

      duu kwa hali hi inatsha lakn ndo ualisia mwanadam akikisha unamtafuta mungu na usmame kwa miguu yako

    • @johnkan474
      @johnkan474 6 лет назад

      Haaaa .ahijawai tokea tangu mwaka sifuri mtu kutoa sirinzito kama izo ubarikiwe mara 70

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 лет назад +9

    Amen Asande sana mtumishi wa mungu kwa kutoa ukweli

  • @daudiimeshacki3602
    @daudiimeshacki3602 6 лет назад +3

    Pasko nimeshtuka nlidhani umekufa sababu namalengi nawew katik huduma hii god bless you

  • @JoanWangilq-co8zt
    @JoanWangilq-co8zt Год назад

    For the. First time naskia wimbo nmefunguka macho sasa

  • @user-qx3tj5qd6c
    @user-qx3tj5qd6c Год назад

    Kaka unaimba xana napenda xana nyimbo zako zinaujumbe xana

  • @user-xd7fv6yl3o
    @user-xd7fv6yl3o 5 месяцев назад

    Ukweli ukweli🙏🙏🙏🙏

  • @vesitinalevocatus4886
    @vesitinalevocatus4886 6 лет назад +2

    napendakusikiliza nyimbo zahuyu mtumishi maana nahisi faraja yanguvu barikiwa sana

  • @MarcelKapyaKapya
    @MarcelKapyaKapya 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana , Congo wanabi wanazidi kuja useme ukweli , wakusema ukweli atakiwa auwawe .

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 5 месяцев назад

      Namkubali,sanauyu,mtumishi,nimepitiamagum,lakininikisikia nyimbozaketu nguvuzinakuja munguakubalikimtumishi

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 5 месяцев назад

      Namuomba mungu,nipatemtotowakiume,jinaaitwe,pasko,nakukubalimtumishi

  • @gwakisaphilipo7000
    @gwakisaphilipo7000 4 года назад

    bada ya hapo kilichotokea kwako ,ulikua unaanga kweli dunia ,pole sana

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 2 года назад

    Barikiwa mno kwa kusema kweeeli mtumishi acha wachukie ili mbingu zikupende

  • @user-vb8ck9tt9o
    @user-vb8ck9tt9o 3 года назад

    pole kaka ukweli mchungu ivo ndivo ilivyo

  • @susanlune240
    @susanlune240 5 лет назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu ,kilichowekwa ndani yako ni kikubwa moto ulao ,hata shetani asipende utang'ara tu maana hataweza kunyamazisha sauti ya Mungu nakuombea Mungu akuzunguke na jeshi lake la ulinzi maana inawachoma popote walipo watakupiga vita simama imara na Mungu hawakuwezi mteule

  • @user-kp3hz3qw4m
    @user-kp3hz3qw4m 7 месяцев назад

    Kaka upo good sana kwenye ukwer ubarikiwe sana

  • @edysonzakayo3239
    @edysonzakayo3239 Год назад +1

    Wimbo mzuri tutakuombea

  • @khalidkhaleed6346
    @khalidkhaleed6346 5 лет назад

    Upone paschal kwa jina la Yesu useme kweli

  • @elibarikielia4434
    @elibarikielia4434 5 лет назад +2

    Mungu akuokoe na hila zote za shetani

  • @faithmwaka2709
    @faithmwaka2709 5 лет назад

    Mungu awe pamoja nawe,, hautakufa bali utaishi ulihubiri NENO la BWANA YESU ,,

  • @Myright888
    @Myright888 5 лет назад +1

    Mungu akuguse tea Pascal, upate uponyaji in Jesus Name.

  • @eliudniyongabo8396
    @eliudniyongabo8396 6 лет назад +13

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu be blessed Pascal

    • @fatmafa1896
      @fatmafa1896 5 лет назад +2

      Amen the servant of God be blessed too in Jesus mighty name amen

    • @fatmafa1896
      @fatmafa1896 5 лет назад +2

      Hallelujah 🙌 praise the living God in the name of Jesus christ our lord and savior amen

  • @faridashaban8853
    @faridashaban8853 4 года назад

    Amina mungu atakulinda namabaya yote amina

  • @mwanyunimadee4157
    @mwanyunimadee4157 3 года назад

    Watu kama hawa wanakosa support ya kutosha Kwa waumini n tumekuwa wafuasi wa manabii wa shetani ,huyu tumpeni support ulimwengu umjue

  • @agripinaromward5580
    @agripinaromward5580 5 лет назад

    Usijali mungu atakulinda na wabaya wako yeye nimwema kwako

  • @salomekemunto8217
    @salomekemunto8217 Год назад +1

    Wapi like za 2022/25/12🙏🏽🙏🏽

  • @erastomrishayo6322
    @erastomrishayo6322 4 года назад

    Safi Sana mtumishi nataka CD zako

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 4 месяца назад

    Happening in our today's life 😢

  • @venanceleonce6511
    @venanceleonce6511 3 года назад

    Nitakuombea mtumishi

  • @jeremiahkinyanjui8565
    @jeremiahkinyanjui8565 5 лет назад +1

    Nyimbo zako za mafunzo kweli zagusa moyo👏

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Год назад

    Hautakufa Bali utaishi🙏💯

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 лет назад +4

    Mungu aendelee kuku kumbuka na aendelee kukuinua na asidi kuku bariki katika Jina la yesu kristo maana yeye ndiye njia pekee ya uzima wa milele

  • @stelaalex2043
    @stelaalex2043 2 года назад

    Amina mtumishi wa mungu

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 6 лет назад +1

    Dah,ee Mungu turehemu ,Mungu akubariki sana Pascal

    • @faithfaith4782
      @faithfaith4782 6 лет назад

      miss Agatha sure
      God bless you brother faith

    • @anodkulwa7536
      @anodkulwa7536 5 лет назад

      Kama umeamua kutubu kweli, Mungu akubariki sana, napenda sana nyimbo zako

  • @propheteAlexandre
    @propheteAlexandre 2 месяца назад

    𝗔𝗺𝗲𝗻 𝗺𝘄𝗶𝗻𝗷𝘂𝗹𝗶𝘀𝘁

  • @babyyshayo3633
    @babyyshayo3633 5 лет назад +2

    Mtumishi hautakufa bali utaishi utangaze wema wa bwana

  • @JoelCharles-mv4zb
    @JoelCharles-mv4zb 7 месяцев назад

    Video ya nyimbo hii huwa naitafuta ila sijawahi kuipata

  • @nancyauma4035
    @nancyauma4035 5 лет назад

    Mungu akulinde ndugu.

  • @deboradeo9104
    @deboradeo9104 5 лет назад

    Mungu yupo upande wako

  • @priscaibrahim2264
    @priscaibrahim2264 6 лет назад

    Duuu eeh Mungu tuhurumie S's wakosefu jmn jmn asant kutufumbua

  • @nyambinyambi4781
    @nyambinyambi4781 5 лет назад

    👏👏👏👏👏ubarikiwe sana kaka

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 лет назад +5

    Amen praise the lord our almighty father in Jesus mighty name amen

    • @onestaelmes5807
      @onestaelmes5807 5 лет назад

      All might God mungu anampango n wewe usichoke zidi kumtumikia .Amen

  • @liliannekesa1797
    @liliannekesa1797 5 лет назад

    Upone katika jina layesu shetani hana mamulaka juyako

  • @jadabualruzz8772
    @jadabualruzz8772 5 лет назад

    May God bless you bro for that. and guess what?since I start leasining to yuor song I feel strong in Jesus name.

  • @nadinemasengo5688
    @nadinemasengo5688 5 лет назад

    Mungu wangu turehemu

  • @yasintamartin3426
    @yasintamartin3426 5 лет назад

    Mungu turehemu

  • @edgaredmund2998
    @edgaredmund2998 6 лет назад +3

    Duh
    weka vidio niione mana naenjoy nyimbo zako kiukwel

    • @lusianasanga3010
      @lusianasanga3010 5 лет назад

      Hata wakuchukie ww kaza waokoe watu kwani siku yako yakuondoka utaulizwa namungu ulifanya nn ukiwa duniani fanya vyote najua unaongozwa naroho mtakatifu

  • @Myright888
    @Myright888 5 лет назад

    Mungu wangu!!!!!😳😳

  • @maureenmamagift
    @maureenmamagift 6 лет назад +2

    Hizo vidole ni ishara ya devil worship

  • @dirunganashon7082
    @dirunganashon7082 5 лет назад

    Be blexxed my brothr!

  • @Mustafa-934.
    @Mustafa-934. 3 года назад

    amen

  • @anita-gv9rx
    @anita-gv9rx 6 лет назад +1

    asante sana barikiwa Mtumishi wa MUNGU lakini wacha hizo lshara za kipepo

    • @agneskhakali2069
      @agneskhakali2069 5 лет назад +1

      anita 28 . Hizo ishara ndiyo ya dunia anayoiaga Kwaheri .

    • @joycekangero7897
      @joycekangero7897 5 лет назад

      Nilijua tuu uelewa tumetofautiana. ( hii nimaproducer lakini yeye hajaimbia ishara hizi isitoshe hizo ishara anawaambia hao alio wataja

    • @kamugishabahati3146
      @kamugishabahati3146 5 лет назад

      Sa hizo ishara si ndizo anawaeleza kuwa ndo za frimasson!!

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 4 года назад

    umenifumbua juu ya mafuta ya ubako

  • @peterhaule3766
    @peterhaule3766 5 лет назад

    Anaendeleaje mkuu wetu Pascal Cassian maana hatupati update zake tujuzane wadau.

  • @Mikeallyradjubu
    @Mikeallyradjubu 6 месяцев назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @tumaininzunda4842
    @tumaininzunda4842 5 лет назад

    Ameen

  • @charlesanthony7170
    @charlesanthony7170 6 лет назад +3

    Nahitaji kukutana nawe ndugu Pascal. Naomba tuwasiliane.
    +2556 25 84 76 61
    +2557 42 96 26 61

  • @user-pg4mx8vc5w
    @user-pg4mx8vc5w 5 месяцев назад

    Ucjali baba tunakuombea

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 5 месяцев назад

      Tunafunga kwajili,yako,ubalikiwesana,mtumishi

  • @pamelanabokolweojuma1964
    @pamelanabokolweojuma1964 5 лет назад

    usirudi nyuma bro

  • @pipasccd
    @pipasccd 5 лет назад

    Nikweri

  • @johngatsi5321
    @johngatsi5321 7 месяцев назад

    How did he know that the anointing oil is out of burned private parts if he's not among them?

  • @zamdasalumu9740
    @zamdasalumu9740 5 лет назад

    amina