Sauti ya mamlaka | Charles Hilary kuunguruma na Kariakoo Derby kupitia UFM 107.3 Novemba 07, 2020
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- UNAIJUA SAUTI YA MAMLAKA KATIKATI YA KARIAKOO DERBY?
Ni sauti ya mkongwe wa kutangaza kandanda, mwenye miaka 40 kwenye tasnia ya habari na utangazaji, ni Charles Hilary atakayekuletea matangazo LIVE ya #WataniWaJadi kupitia redio namba moja kwa ubora na ufanisi wake, ni 107.3 UFM Dar es Salaam ambayo unaipata pia kupitia #AzamTVMax App.
Usipange kukosa sauti hii adhwimu ambayo inarudi tena masikioni mwako kukuletea ladha ya simulizi tamu ya burudani ya #KariakooDerby kati ya Yanga Vs Simba kesho Jumamosi kuanzia saa 11:00 jioni.
#YangaSC #SimbaSC #DarDerby #SimbaYanga #YangaSimba #UFMSports #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates / ufmradiotz
/ ufmradiotz
/ ufmradiotz
Hillary anajua jamani, kwanza sauti tu inasadifu, anaenda vzr na move,,,,,,, gonga like kama tuko pamoja
Uko vizur baba🔥🔥
Mimi nataka dk zote za mataganzo ya mechi ya jana akisikika mwamba Charles hilali
sauti yako tunaipenda mnoo,mbona Drury,maltin Taylor ni wazee zaid yako na wanatangaza,undeni kipnd muwe mnatangaza hata league EPL mech moja weekend,saut yako imenifanya Derby nisiende ktk screen nimefurahi ulivyokuwa unatangaza magoli,goooooooooo moj,moja safi.
Lazima nisikilize
Ufm tunaioataje dodoma
Pamoja mzee baba