Charles wakati Mie Niko jangwani, uwanja wa Kaunda tangy unajengwa Hadi ufunguzi. Nakujumbusha kikosi cha First eleven ya Yanga ambayo haijawahi kutokea 1. Kipa Elias Michael 2 Athman Kilambo 3.Boi Wickens 4. Hassan Gobos 5. Omary Kapera 6. Abdallahman Juma 7 Leonard Chitete 8.Sunay Manara 9. Kitwana Manara 11. Maulid Dilunga ..... Wakat huo Yanga ikiwatayarisha watoto Juma Pondamali, Mohammed Mkweche, Jafari, Sululu, Gordian Mapango, MohammedAdolf, Kassim Manara, n.k.chini ya uongozi wa Mzee Tabu Mangara na Mocha Mkuu Victor Stanslauscu. kikosi hili kilichukua ubingwa miaka mitano mfululizo Bila sSimba kupuga chafya. Charles Hilary unakumbuka hayo?
Duh! Hiyo Kali mzee ametuacha njiapanda
Tupo pamoja kwenye Simba Na Arsenal Charles
Hongera kumbe ww ni bingwa wa nchi, hakika umechagua furaha, ungekuwa Utopolo ni sawa kukaribisha ugongwa wa moyo! 🙏🙏🙏
Ndy maana anaongeaga kwa kurelax any time,kumbe sababu hashibkii tim yenye presha!! Big up Kaka mkubwa
😂😂😂😂 Ashajibu
Simba huyo
Kuna utafauti wa ushabik na kupenda huyo niyanga kabxa
Charles wakati Mie Niko jangwani, uwanja wa Kaunda tangy unajengwa Hadi ufunguzi. Nakujumbusha kikosi cha First eleven ya Yanga ambayo haijawahi kutokea 1. Kipa Elias Michael 2 Athman Kilambo 3.Boi Wickens 4. Hassan Gobos 5. Omary Kapera 6. Abdallahman Juma 7 Leonard Chitete 8.Sunay Manara 9. Kitwana Manara 11. Maulid Dilunga ..... Wakat huo Yanga ikiwatayarisha watoto Juma Pondamali, Mohammed Mkweche, Jafari, Sululu, Gordian Mapango, MohammedAdolf, Kassim Manara, n.k.chini ya uongozi wa Mzee Tabu Mangara na Mocha Mkuu Victor Stanslauscu. kikosi hili kilichukua ubingwa miaka mitano mfululizo Bila sSimba kupuga chafya. Charles Hilary unakumbuka hayo?
Huyu nisimba