PART 1: CHARLES HILLARY Aeleza Maisha yake BBC / Aitaja AZAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • PART 1 EXCLUSIVE: CHARLES HILLARY Aeleza Maisha yake BBC / Aitaja AZAM
    Mwandishi wa Habari Mkongwe nchini Charles Hillary amefanya Exclusive Interview na Global Tv na kuzungumzia maisha yake ya kazi akiwa BBC na kisha kurejea nchini.. Hii ni sehemu ya kwanza ya mahojiano.
    #CharlesHilary
    Https://www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 42

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад +3

    Moja ya watangazaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania!!!

  • @shisiawasilwa9958
    @shisiawasilwa9958 5 лет назад +8

    Mahojiano mazuri, lakini sauti mbovu, mbona hakupewa lapel mic?

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 5 лет назад

    Legendary

  • @mohamedndomoni5447
    @mohamedndomoni5447 5 лет назад

    No. 1

  • @isackmwaluko113
    @isackmwaluko113 5 лет назад +6

    Mtangazaji hauko sawa..huhoji tumfahamu Charles..ana watoto wangapi,,alioa mzungu,,azamu kama wiki tatu hatumwoni kastaafu?....unahoji nn sasa..

  • @mmbarcelona2384
    @mmbarcelona2384 5 лет назад

    Mzee wa macharanga [ BBC London ] ⚽️⚽️❤

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 5 лет назад +1

    Kwanza kabisa mtangazaji aliekuwa anahoji maswali ni primitive people of chief mangungo from msovero village..yaani bogas kweli kweli..hana hadhi ya kumhoji legendary kama charles, yaani hii ni kama ukampeleke zana kolibaly akamhoji mtu kama cristiano ronaldo... pumbav sana.

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 5 лет назад +1

    Nimetokwa na machozi ya furaha kumsikia Charles alipochoshwa na maisha ya ugenini na kuamua kurudi nyumbani. Nakuvulia kofia Charles. Maisha safari refu.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 5 лет назад

      Kwani nawe inaishi ugenini ndugu yangu

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 5 лет назад +1

    Charles umefanikiwa kutufunguwa kuhusu utangazaji kuna vyombo vingi vinawachosha watangazaji. Inabidi utowe darasa habari kwetu imekuwa ni shida.

  • @suhailaali4175
    @suhailaali4175 5 лет назад

    Mtangazaji hukuhoji masuali ya msingi

  • @vitalisjuma4451
    @vitalisjuma4451 9 месяцев назад

    Alini fanya nikawa shabiki wa mpira kupitia utanga saji wake wa mpira

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 5 лет назад

    Dah huyu mzee ajitahidi kufanya mazoezi mwili mkubwa sanaa

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 5 лет назад

    Mbona kama imeanza hafla hapo mwanzoni

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад

    Umejitahidi kuwa mkweli,,,,

  • @ozld4864
    @ozld4864 5 лет назад +3

    Hongera sana Br Chaz
    Mtangazaji anayetambua nguvu yake na anaitumia vizuri.
    Sauti
    Ucheshi
    Udadisi
    Mpangilio wa maneno na mambo n.k

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 5 лет назад +9

    Kaka HILARY tokea ulipo ondoka B.B.C kwa kweli haina mvuto katika utangazaji wa mpira. Wewe pale ulikuwa jembe .hasa pale upo sema GOOOOOOO yani koromeo lako la aina yake

    • @saheedaliali8676
      @saheedaliali8676 5 лет назад

      umri umeenda ni kheri kumshauri atafute mwelekeo mwengine wa maisha ya akhera.
      time is too late

    • @muhammadsalim7936
      @muhammadsalim7936 5 лет назад

      Namkumbuka alivyokuwa R.T.D

    • @hawa4968
      @hawa4968 5 лет назад

      Swaadakta

    • @allysubraally1751
      @allysubraally1751 5 лет назад

      Moja moja, alikuwa anatangaza vizuri kweli.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 5 лет назад +2

    Aliyemuhoji hajui kabisa,Kuna vitu Ni key hajamwuliza

  • @rogathekimath1997
    @rogathekimath1997 Год назад

    Ni mzaliwa wa wap Kwan @global tv

  • @umikram6755
    @umikram6755 5 лет назад +4

    Namkubali mno charlse hilaly sio sir utoto wng wote nilijua u mwislam ALLAH akubarik uifate njia iliyosawa ALLAH akuhid. pij

    • @janeypheremmanuel9844
      @janeypheremmanuel9844 5 лет назад

      um ikram kwaiyo ukristo ni zambi na kama ni zambi kwanin Mungu hajawateketeza wakristo wote na kuwacha waislam mbaki wenyewe dunian acha udin na chuki

    • @umikram6755
      @umikram6755 5 лет назад

      @@janeypheremmanuel9844 rejea text yng tena na tena

  • @mamadoublem353
    @mamadoublem353 5 лет назад +2

    I loved the way he spoke on news may Allah bless u more my mentor

  • @mozaseif7299
    @mozaseif7299 5 лет назад +2

    Nakupenda sanaaa kwenye utangazaji

  • @sullemankova9307
    @sullemankova9307 5 лет назад +1

    Binafis. ...namkubar Sana , Charles Hirally , ...pamoja na Marehemu ...Issac myenjwa Gamba , ...aise hakika upo vzur Mzee , moja ya Sauti adhimu .San ktk Taifa letu , R.I.p Mr GAMBA

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 5 лет назад +1

    Charanga time

  • @cosmasmgunda2949
    @cosmasmgunda2949 5 лет назад +2

    Legendary

  • @ahmadimkumba189
    @ahmadimkumba189 5 лет назад

    Safi sana

  • @rehemadongo1570
    @rehemadongo1570 5 лет назад

    Role model wa mume wangu mwanafunzi wa marehemu mkwe wangu Ahmed Jongo namkubali sana hasa enzi zile kina Chilambo Dominic

    • @kingj9346
      @kingj9346 5 лет назад +1

      Enzi hizo Tanzania kulikuwa na burudani hasa kwenye mpira wa miguu kupitia watangazaji kama hao Dominic Chilambo, Ahmed&Omar Jongo, Charles Hilary,...

    • @rehemadongo1570
      @rehemadongo1570 5 лет назад +1

      Daaaah mungu awalaze mahala pema mkwe wangu Ahmed Jongo na Dominic Chilambo,ilikuwa raha sana mechi mbili zikitangazwa na watangazaji hawa kule ccm kirumba Mwanza akiwa Chilambo Dominic mzee wa Tp Lindanda na uwanja wa Taifa(uhuru) akiwa Charles Hilary na Ahmed Jongo mzee wa maguu 12 ya mtu mzima sasa usiombe goli lifungwe usikie wanavyoitana hakuna tena kama watangazaji hawa waliokuwa kivutio katika kutangaza mpira

  • @saheedaliali8676
    @saheedaliali8676 5 лет назад +6

    Na mimi nakupa moyo leo.
    come back four islam religion.

  • @laizertumaini2566
    @laizertumaini2566 5 лет назад

    Waoo goooooh yaani ezi hizo nilikua napenda kusikiliza mpira