OUT: Umuhimu wa 'Foundation Course' kabla ya kujiunga chuo kikuu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #OpenUniversityOfTanzania #Tcu #FoundationCourse #Out #Education
    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Prof.Elifas Bisanda ametoa ufafanuzi juu ya kozi ya msingi ''Faundation Course'' ambayo inatolewa katika chuo hicho huku akiongeza kua programu hiyo ni muhimu kwakua inasaidia kuwaongezea sifa watahiniwa ili kujiunga na masomo ya elimu ya juu.

Комментарии • 10