MBARIKIWA TENA! ACHUKULI NA POLISI LEO. Ameshtakiwa na CHRISTINA SHUSHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 115

  • @VEREDIANASOLLO-sb4rl
    @VEREDIANASOLLO-sb4rl 3 месяца назад +13

    Watuchukue wote tuliomsema christina shusho
    Pastor hakumsema pekeyake

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 3 месяца назад

      Kweli

    • @user-wc3ke7ee3y
      @user-wc3ke7ee3y 3 месяца назад

      Amechukua kiongozi wao bwana utashughulikaje na mbwa wakati mfuga umbwa yupo

  • @Wiittole
    @Wiittole 3 месяца назад +2

    Mbarikiwa na mke wako msiogope!!! Huu ni wakati wa kusimama na kukemea mabaya ya watesi.ni kipindi ambacho wanatarajia kukuzimisha.Mungu akubariki na kutia nguvu🙏

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад +3

    Bwana Yesu asifiwe Sana hivyo ni vita vya Mungu sisi ni washindi ktk Kristo Yesu Bwana Yesu asifiwe Sana

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel9817 3 месяца назад +3

    Duh:sawa njia ya haki inahitaji kujikana kweli kweli,baba Mungu akutangulie na akutetee sana.

  • @rabiakitigwa9120
    @rabiakitigwa9120 3 месяца назад +8

    Tangu siku huyo Christina alipopiga magoti kuomba hela pale kanisani kwa nabii nani sijui nilijua anguko lake limefika. Pole sana Tina tafuta ulipoangukia ukatubu Yesu yuko karibu

    • @yonasimion3130
      @yonasimion3130 3 месяца назад

      Kumbe ulimwona? Tena anamwita " BABA NAOMBA UNIONGEZE NGUVU" Jambo ambalo lilistahili aambiwe Mungu wa mbinguni.

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf 3 месяца назад +5

    Namkumbuka Yohana mbatizaji alimkemea Herode.....................

  • @user-nc6hq2tj8u
    @user-nc6hq2tj8u 3 месяца назад +1

    Mtumishi mungu yupo pamoja na wewe ,mama mbarikiwa simama ht msiogope Mungu anakusudi juu yenu , hapo ndio watu waone alichokuwa akikisema pasta,

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 3 месяца назад +6

    CHRISTINA SHUSHO yesu alipo semwa Hakwenda kushtaki Alisema BABA UWASAMEHE COZ HAWAJUWI WALITENDALO WHY Mchungaji christina Unashtaki watu waliokusema alafu sio mbarikiwa pekeyake wamekusema watu wengi (HICHO ULICHO KIFANYA KWA VYOVYOTE VILE UMEZIDI KUCHAFUKA SAAAANAAAAA).

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 3 месяца назад

    Mchungaji tunakuombea sana mana unautetea Ukristo pamoja na maandiko. Hakuna mahali imeandikwa mke ataacha mumeo kwa kwenda kufanya kazi ya Mungu. Pambana mtu wa Mungu sisi tuko nyumba Yako. Waovu hawapendi waovu.

  • @nicholaussteven3188
    @nicholaussteven3188 3 месяца назад +12

    Kiukweli kuhusu christina shusho wamesema karibu watu wote hapa Tanzania huku mitaani hata mtu ambae hasali kabisa amemsema shusho kuhusu ndoa yake ...wahubiri wengi wamemsema shusho ..ILA KWA NINI KAKUSHTAKI WEWE PEKE AKO?? mi najua hivi mtu mwovu akisemwa na mwovu mwenzie haiumi ..ila mwovu asemwe na mtu ambae sio mwovu lazima achukue hatua kali juu ya yule aliyemsema.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад +3

      Uko sahihi kabisa, Waovu wanajuana

    • @everlyneiminza5722
      @everlyneiminza5722 3 месяца назад +1

      Lkn huyu nae kamsema kwa ubaya sana, asichokijua kwa family au ndoa za watu haifai kuongelea vile huyu jamaa huwa anaongea kwa watu🤔🤔

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 3 месяца назад +3

    Cristina shushu umemuona tu mbarikiwa wameseema watu wengi sana acha kuendelea.kujizalilisha wewe.cristina muogope MUNGU.atakupiga.vibaya.sana muache mbarikiwa

  • @JosephineApporinary-cg5wl
    @JosephineApporinary-cg5wl 3 месяца назад +1

    Inapotokea watu wa MUNGU wanashitakiana Ni hatari Sana Ni kuudhalilisha ukristo.Na katika huduma tano,moja ya huduma hiyo Ni uinjiristi na kazi mojawapo ya uinjiristi Ni kukemea,hivyo Kama mtu Ana huduma ya uinjiristi Ni lazima akemee.MUNGU hadhihakiwi.mtumishi wa MUNGU usiogope.

  • @Truthteller1985
    @Truthteller1985 3 месяца назад +2

    Christina Shusho ametuthibitishia kuwa yeye ni Muulimwengu.
    Mahakama kuu ya watoto wa Mungu alie Hai ndio yakupeleka mashtaka, sio kwenye mahakama ya ulimwengu huu, ikiwa kama kweli anamwamini huyo Mungu anaye mwimbia!
    Kama Roho ya Kristo Yesu iko hai ndani yake, wala asinge mshtaki ndugu yake Mbarikiwa kwenye Mahakama ya kiDunia.
    Inadhihirisha kwamba yeye na sisi wana wa Mungu sii Mwili Mmoja!
    Tunaliweka hili mikononi mwa Baba yetu wa Mbinguni.
    Daahh....... hii inatisha na kusikitisha sana!

  • @MageSamwel-bp6od
    @MageSamwel-bp6od 3 месяца назад +1

    Mungu akutie nguvu mtumishi wala usirudi nyuma sio kushitakiwa tu mitume walipigwa mawe

  • @Blessing-fr6ck
    @Blessing-fr6ck 3 месяца назад +1

    Mungu akusadie sana ,Mutumishi ninachokiona kwako una huduma kubwa sana ila , Omba kama alivyoomba mfalme Sulemani ,aliomba ,Hekima na ww pia ndani yako kilichokosekana ni Hekima tu.

    • @joelmaroa4.
      @joelmaroa4. 3 месяца назад

      Kilichokosekana kwa Mch Mbarikiwa, ni unafiki.....kwani unafiki ndio unaitwa hekima...

  • @thimoteslangay2010
    @thimoteslangay2010 3 месяца назад +2

    Kiukweli kabisa baba umetimiza wajibu wa uhubiri
    (Isaya 58:1--

  • @fredchuwa845
    @fredchuwa845 3 месяца назад +2

    Waumini wana njaa na kiu ya kulishwa na kunyweshwa neno lisilogoshiwa,, hivi unapataje muda wewe kama mchungaji wa mambo ya siasa, au mtu karudi nyuma kiroho, wakati humo kanisani kwako pia kuna magugu ya kushughulikia, wewe hubiri neno, injili tu, sio kushughulika na watu ambao hata hawako chini ya malisho yako.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Unamaanisha mchungaji anatakiwa kukemea waumini wa kanisa lake tu?.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 3 месяца назад +1

      Malisho yote Duniani ni ya mmoja Bwana Yesu kristo.

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 3 месяца назад

      Aaamen ubarikiwe

  • @leinaamos
    @leinaamos 3 месяца назад

    Unatatizo dogo sana Mtumishi unatakiwa kufanya mahubiri ya Mungu watu achana NAO watakupotezea nguvu ya Mungu ndani yako

  • @Ombenimutapewa
    @Ombenimutapewa 3 месяца назад +3

    Jambo Mimi ningelishauri mchungaji mbarikiwa aache kuongelea mambo ya christina shusho kanisani aiachie Mungu Na aendelee na kazi ya Mungu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  3 месяца назад +1

      Hiyo injili tutazihubiri panya na kunguni tu si watu? Je ukisoma Biblia hutaji majina ya watu ambao walikosea na ndugu zao wapo hata leo. Je hiyo injili na Biblia tusisome?

    • @Ombenimutapewa
      @Ombenimutapewa 3 месяца назад

      Ndio Mimi naisoma sana biblia ila inatuambia tusiseme mabaya ya wengine ukesema mabaya ya mwengine unamuharibia jina hata na kumuua, Biblia inatuambia kusema mazuri ya watu wote hata kama ni boss wangu alinitendea vibaya ao nani yoyote siwezi sema mabaya yake tunatakiwa kusema mazuri ya watu na roho wa Mungu atakuwa pamoja nasi wakati tunapo sema mabaya roho wa Mungu anatutoka na roho mchafu anatutumia. Mimi napendaka sana nyimbo zenu mivalio yenu ya kikristo na filamu ambayo mtu wa Mungu Mbarikiwa alio cheza .Mkristo wa kijiji naipenda na mwenendo wenu naipenda nawafuata kutoka.USA/MARYLAND Mungu aweze kuwasaidia kwa sababu namna mchungaji anavio ishi hainipendezi kwani akeenda jela tena sio vizuri hata kama bibi yake haseme mimi naona Bwana anapasha kuchunga nyumba yake vizuri. KWa sababu neno la Mungu limetupewa ili tukuwe watu wakuleta Amani na nuru. Haiko watu kila mwezi wanawaita kwenye mahakamani na sisi wakristo tutawahukumu alakini kama mahakamani ina tuhukumu başı tüme poteza lengo::: HATA NA KWENYE ULISEMA KATIKA BIBLIA KWAMBA 1 Timotheo 5:20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope. Them that sin rebuke before all, that others also may fear. APA MAANA YAKE NI WAAMINI HAIKO CHRISTINA SHUSHO SIO MWAMINI WA PALE APA NI MWAMINI ALIE TENDA ZAMBI MCHUNGAJI ANATAKIWA AMUITE MBELE YA WOTE NA KUMUKEMEA WOTE WAMUJUE NAWAPENDA SANA ENDELEENI KAZI YA MUNGU KWA SABABU MUKO NA OKOWA NAFSI NYINGI NA. MUNGU ATAWALIPAKA

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 3 месяца назад +3

    😂YESU alisema BABA UWASAMEHE HAWAJUWI WALITENDALO,CHRISTINA UMEENDA KUSHTAKI 😂😂😂Ni YESU Yupi Unaemfunsisha hapo kanisani kwako??(Umeanguka babeli-chruatina)

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 месяца назад +2

    Ndio Mjuwe sasa huyo anaejiita Christina shusho sio mtumishi wa Mungu bali ni shetani tu KAMA KWELI ANATUMIKIYA MUNGU ALISI ASINGE FANYA HUUNI HUU KULINGANA NA MAANDIKO

  • @askarwayesu
    @askarwayesu 3 месяца назад +2

    Kwa nn wakirsto tunapigana sis kwa sis jamn tuhubirin injil tu

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 3 месяца назад

      Unazani aliyekwisha potea ukifuata injili atakayokufundisha utapotezwaaa

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 3 месяца назад +1

    Inauma jameni😭😭😭😭😭😭
    Ila tumeelimika wengi kwa yale uliyo ya kemea hakika kanisa limeelimika. Tena hatutafuata hizo njia.

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 3 месяца назад

    Mbarikiwa yesu kristo mwenyewe kasema mnapodhulumiwa Duniani mjua yakuwa nipo ndani yenu jipe moyo mkeo hakae kwenye magoti mkishirikiana mtayashinda always victory is yours mbarikiwa

  • @LESLILUGUSI-db9vs
    @LESLILUGUSI-db9vs 3 месяца назад

    big up mama

  • @user-gj3ul7xd7w
    @user-gj3ul7xd7w 3 месяца назад

    Mwache mungu aitwe mungu msalabani damu yayesu itakusafishia njia mchungaji hata kristo alishtakiwa

  • @PaulloKayange
    @PaulloKayange 3 месяца назад +1

    Watu was mungu hamtaki kukemewa je, watu wasio amini ,iweje.

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 3 месяца назад +2

    Huyo shusho, kumshitaki mchungaji. Ni utahira , diamond kamuaribu, alikuw, kwetul,lakini ,kumbe hakuwa wakwetu, huyu ni ,wa, diamond, sijai ,ona , mkristo anamshitaki mkiristo , mwenzake ,hata ,kama ,umesemwa,vip ,mbona yesu ,hakuwashitaki,waliokuwa ,wanamsema ,vibaya, mchungaji hii, ni, mbinu ,na ajenda , ya ,watu,wabaya ,kwako,, kwa cc ,tuliosomea ,, Cuba,havana,, hii,bado ,unatafutwa, wewe,kimyakimya,,jipange ,na ,maombi,,,kaka,,

  • @petermwasyika
    @petermwasyika 3 месяца назад +1

    Mwanadam mwanadam geuka kweli unaenda kumshitaki mchungaji na ahali wengi wamesema kukuhusu wewe umeona umshitaki mchungaji je aliyosema mchungaji hukuona shida popote we mdada acha hayo mambo acha hayo mara Moja.

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 3 месяца назад +1

    Tunaimani nawe pastor wewe ni mtu wa haki mwenye upendo wa kweli kwa watu wote. Tunajua kwamba haudhaliliki kwa hila zozote wala manyanyaso yoyote na hauwezi kuacha njia hiyo kwa maana unachokiona mbele yako chapita thamani zote za ulimwengu. Mungu baba na Bwana wetu Yesu Kristo yu pamoja nawe hata pumzi yako ya mwisho!!
    Nendeni kwa mkono wa Bwana!

  • @MarymwakilamMwakilama
    @MarymwakilamMwakilama 3 месяца назад +1

    Jamani huwezi kumuongelea mtu ambae humjui yeye kilimuuma Nini haswa kuropoka maneno yote haya

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 3 месяца назад +1

    Yesu turehemu tu wakati huu,,ila kila mtu atalipwa sawa na kazi yake!!!!
    Hapa napo tunapita tu

  • @user-wm2hs3uw9s
    @user-wm2hs3uw9s 3 месяца назад +3

    Uyu malaya shusho simpendi anahalibu ukristo

  • @ROSECHARO-x5r
    @ROSECHARO-x5r 3 месяца назад +1

    Unastahili coz huezi ita mtu malaya na huja lalanaye nimakose kama nimalaya hiyo ni shauriyake na mungu wake

    • @Aisha-qd2rg
      @Aisha-qd2rg 3 месяца назад

      hata Christina mwenyew alitakiwa asamehe ,wangapi wamesemwa na hawajachukuliw hatua,? Mbona yeye kadhalilisha familia ya mumewe mbona hawakumfungulia mashtaka ??

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 3 месяца назад

      Mungu akubariki saaana

  • @noelmwembe6419
    @noelmwembe6419 3 месяца назад +4

    Kiukweli ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama unayemwambia ukweli atakasarika

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 3 месяца назад +1

    na we mbarikiwa usipende kuongea kila kitu unachokiona vingine viachage tu vipite

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  3 месяца назад

      Isaya 58:1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 3 месяца назад

      Basi wacha kelele zake ambazo sio Kama tarumbeta inavyostahili, zimpeleke kuishia kuko huko mahakamani, akitoka atajua huo mstari wamaanisha Nini atafanya ipasavyo. Hakupiga kelele Kama tarumbeta, bali alipiga kelele za matusi machafu madhabahuni patakatifu Kama asiyekuwa na hekima. Afadhali aanze na Isaiah sita.

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 3 месяца назад

    Sasa kwa nini wahubili mna kz ya kumsema mtu ht km wameachana?nauliza kwn nyingi mmekamilika mpk mume wahubili, kuna sehemu imeandikwa ujikane mwnywe ndo umfwate

  • @FrolaAmos
    @FrolaAmos 3 месяца назад

    Tatizo watu wamungu ni mitandao,lakini kama mngekua mnachukuliana mizigo kwa maombi hayo yasinge kuwepo

  • @IreneNide
    @IreneNide 3 месяца назад

    Christina shusho anatafuta kicki kwa mchungaji mwenzie kasema sana na hata mumewe kasema sana bila mumewe kayamwaga hadharani haya hakuna mtu angejua ,ampele mumewe jela

  • @Aisha-qd2rg
    @Aisha-qd2rg 3 месяца назад

    Hana akili Christina mm nisingeenda ila wewe nenda Tu kwani si uliongea Yale aliyoyaongea yeye mwenyew usiwe na hofu Baba tuko nyuma yako anatafut Kiki Yule kahaba wa mwanamke na ukitoka kwake ingia kanisani kalianzishe tena tuko nyuma yako

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj 3 месяца назад

    Mimi nadhani mungu amekuthibitisha hapa duniani uwe mfano wa kuigwa hata kwa wahubiri wengine

  • @GiftBatista-u9l
    @GiftBatista-u9l 3 месяца назад

    Mmmmh! Hii dunia!!!!!!

  • @rebekamoshi2623
    @rebekamoshi2623 3 месяца назад +1

    MUNGU TUSAIDIE SANA

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 3 месяца назад

    Mbona akina mwamposa wanatukanwa kila siku hawajashtaki uko kimwili sana dada shusho kama huko kiroho nyamaza kimya Mungu akupiganie. Polisi tena sisi kwa sisi😮 mabarazani????!!!

  • @user-wc3ke7ee3y
    @user-wc3ke7ee3y 3 месяца назад

    Kukemea sawa ila hekima haikutumika kwakweli alafu mtumishi mwenzio unamkemea kama mtoto mdogo

    • @AnaniaKyando
      @AnaniaKyando 3 месяца назад

      Mwovu inatakiwa aambiwe hadharani kuwa ww ni mwovu na sio kumpaka mafuta Kwa mgongo wa chupa Kristina aliongea mwwnyewe kuwa ukiachana na mwanaume aliye kutoa tongotongu utaenda huko utakuwa mdangaji tuuu mbalikiwa amefatisha yaleyale Leo anamshitaki yetu macho na masikio

    • @user-wc3ke7ee3y
      @user-wc3ke7ee3y 3 месяца назад

      @@AnaniaKyando mwovu hakemewi anaonywa Kwa hekima na maombi haya Sasa yamekua hayo mwovu kamshitaki mwema,,,, ukisoma mithali anasema amkemeaye mpumbavu hujipatia fedheha

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 3 месяца назад

      Aaamen kwa hili, ubarikiwe, alitumia LUGHA CHAFU saana Tena madhabahuni

  • @user-td3py9cv6m
    @user-td3py9cv6m Месяц назад

    Na nyie mwanyakysusa mmezidi midomo hubirini injili sio kusema watu

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 3 месяца назад

    Defarmation

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 3 месяца назад

    Kz ipo hp duniani

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 3 месяца назад

    Wachungaji wa mitandaoni nyie wote Cristina na mbalikiwa

  • @eliudimsyani127
    @eliudimsyani127 3 месяца назад +1

    CHRISTINA ANATAKA KUFUNGA NCHI NZIMA?? AU WANA MUANDAMA MBARIKIWA TU?

  • @JosephMinyal
    @JosephMinyal 3 месяца назад

    Simama kama ilivyo kwa watakatifu waipasayo injili.

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 3 месяца назад

    itakapofikia mahali tutambue jukumu letu tuliloitiwa katika huduma vita vitakoma

  • @VictorMassawe-hb9yi
    @VictorMassawe-hb9yi 3 месяца назад +1

    Christina shusho leo umeweka wazi kuwa ww n wakala wa shetani

  • @justinendondi
    @justinendondi 3 месяца назад

    Nihatari kabisa du

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 месяца назад +1

    Jitahidi kufunga mdomo ,,,,

    • @user-mo2sb2nh8u
      @user-mo2sb2nh8u 3 месяца назад +1

      Kwahiyo alichokifanya shusho kusaliti ndoa yake alikuwa sahihi acha unyumbu wewe

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 3 месяца назад

      @@user-mo2sb2nh8u kwani kavunja Sheria ya nchi au ,kavunja katiba????

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 3 месяца назад +2

      We nyumbu ndo ufunge mdomo wako.

    • @user-mo2sb2nh8u
      @user-mo2sb2nh8u 3 месяца назад

      Kweli tunawalokole machizi je mke wako angekuacha ungefulahi ni kudhalilisha ulokole

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 3 месяца назад

      @@ugalidona-cs2yn 🥺

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 месяца назад

    Mnahukumu sana ,,,acheni kumuandama Christina bhana ,,Kila mtu ana Haki ya kuamin kwa imani yake

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Wewe na shusho mnajuana,huwezi kusema kila mtu ahubiri anavyotaka wakati biblia ndiyo katiba ya mkristo

  • @LilianJoshua-kj8ei
    @LilianJoshua-kj8ei 3 месяца назад +1

    Christina samehe saba mala sabini, wewee

  • @MwangoyeMwangoye
    @MwangoyeMwangoye 3 месяца назад

    Baba wambinguni akutangulie mtumishi

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 3 месяца назад

      Hakuna baba wa mbinguni hutangulia watu wa namna hii, wanaotusi wenzao Malaya MADHABAHUNI na hawajalala na anayetusiwa. !!!

  • @clemencelisonga8261
    @clemencelisonga8261 3 месяца назад +1

    Aaha kumbe ndo kilichotokea shusho kazi unayo rudia ndoa yako la sivyo wewe ni kahaba kama wengine haleluya acha kutafuta faraja yuko ambae utasimama mbele yake siku hiyo

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 3 месяца назад +1

    😂😂SAMEHE SABA MALA SABINI,CHIRATINA HII MISTALI Unaiona kweli?😂😂😂

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 3 месяца назад

    MUNGU utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭

  • @user-qm2ve7tx3s
    @user-qm2ve7tx3s 3 месяца назад

    Mbalikiwa hajamdhalilisha clistina shusho bali clistina kajidhalilisha mwenyewe kuweka hadhalani mambo yandoa yake kwenye jami

  • @ROSECHARO-x5r
    @ROSECHARO-x5r 3 месяца назад

    Chunga ulimi wako wewe mchungaji

  • @MarthaZabron-gg3uj
    @MarthaZabron-gg3uj 3 месяца назад

    Majaribu mengine ni kujitakia! Nani alikupa ruhusa ya kumwita mtu Malaya !

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  3 месяца назад

      Hiyo injili tutazihubiri panya na kunguni tu si watu? Je ukisoma Biblia hutaji majina ya watu ambao walikosea na ndugu zao wapo hata leo. Je hiyo injili na Biblia tusisome?

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 3 месяца назад

      Hapo ndipo!!! Msiba wa kujitakia......

  • @evakessy3282
    @evakessy3282 3 месяца назад

    Lakini kiukweli huyu mbarikiwa nimchungaji mwenye mental health ya hatari na ndio anayowalisha waumini wake wote wako na shida ya akili

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      Hivi mtu mwenye mental health anaweza akawa na washirika wasiyo shuhudiwa uovu?

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 3 месяца назад +1

      Kwahiyo we ulifuata nini hapa kusikiliza, kama sio wewe ndo mwenye matatizo ya unyumbuunyumbu.

    • @Usizoeedhambi
      @Usizoeedhambi 3 месяца назад

      Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla. Hapo ndio Christina ataona picha zake za ngono zinatupwa mtandaoni. Usichezee Teknolojia. Hapo ametibua kabisaaaaaaa. Ndio anaenda kusahaulika kabisa kwenye Injili. Atatafuta pa kuweka sura ngojeni tu !!!
      Naomba ma advocate Walokole watumishi wamsaidie mtumishi wa Mungu MBARIKIWA. Hakuna kesi hapo. Mbarikiwa alisema alichosema mwenyewe Christina kwenye Kipindi chake cha Hakima za ovyo za Bi Tina.

  • @nicholaswaemmanuel7221
    @nicholaswaemmanuel7221 3 месяца назад

    Hata ni afadhali WENGI walimsema tu Christina shusho kikawaida, MIMI NILIMLAANI VIKALI KWA ALICHOKIFANYA. "HATUTAKUNYA CHUMBANI KWA KUWA NI USIKU WA GIZA!" HAMNAA!!

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 3 месяца назад

    Kwakweli leo nimeamini kuwa mlokole wakweli kabisa na mbingu zikuamini kweli nikifo maana huyu mchungaji anapitia mambo mengi sanaa ila naamini mungu atamvusha

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂CHRISTINA na UFRIMASONI Kwa Kujuwa au kuto kujuwa sasa naamini.

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 3 месяца назад

    ruclips.net/video/-0LVohlwLIE/видео.htmlsi=UNfOVsExIqfje0GuKuna watu nyuma ya shusho maana sio pekee yake kaongea kuhusu shusho wengine wamerusha picha kuhusu shusho chafu nakadharika Muogope Mungu Christina shusho kumuonea mtu huyu wa Mungu huko nikutaka jambo baya

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 3 месяца назад

    ruclips.net/video/mcgkzyQfLGo/видео.htmlsi=spoZ1oXhQTFpwKme na pascal je w
    Ameshitakiwa

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn 3 месяца назад

    BIBLIA NA MBINGU ZINA SHERIA YAKE. AMINA.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 3 месяца назад +2

      MUNGU Ni MUNGU Wa Sheria Zote. ❤ Amina.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 3 месяца назад +1

      Nlichokiwaza ndo kilicho Andikwa.
      CHRISTINA SHUSHU KUMRUDISHA MBARIKIWA TENA GEREZANI.

  • @nicholaussteven3188
    @nicholaussteven3188 3 месяца назад +3

    Kiukweli kuhusu christina shusho wamesema karibu watu wote hapa Tanzania huku mitaani hata mtu ambae hasali kabisa amemsema shusho kuhusu ndoa yake ...wahubiri wengi wamemsema shusho ..ILA KWA NINI KAKUSHTAKI WEWE PEKE AKO?? mi najua hivi mtu mwovu akisemwa na mwovu mwenzie haiumi ..ila mwovu asemwe na mtu ambae sio mwovu lazima achukue hatua kali juu ya yule aliyemsema.