Mbarikiwa na mke wako msiogope!!! Huu ni wakati wa kusimama na kukemea mabaya ya watesi.ni kipindi ambacho wanatarajia kukuzimisha.Mungu akubariki na kutia nguvu🙏
Tangu siku huyo Christina alipopiga magoti kuomba hela pale kanisani kwa nabii nani sijui nilijua anguko lake limefika. Pole sana Tina tafuta ulipoangukia ukatubu Yesu yuko karibu
CHRISTINA SHUSHO yesu alipo semwa Hakwenda kushtaki Alisema BABA UWASAMEHE COZ HAWAJUWI WALITENDALO WHY Mchungaji christina Unashtaki watu waliokusema alafu sio mbarikiwa pekeyake wamekusema watu wengi (HICHO ULICHO KIFANYA KWA VYOVYOTE VILE UMEZIDI KUCHAFUKA SAAAANAAAAA).
Mchungaji tunakuombea sana mana unautetea Ukristo pamoja na maandiko. Hakuna mahali imeandikwa mke ataacha mumeo kwa kwenda kufanya kazi ya Mungu. Pambana mtu wa Mungu sisi tuko nyumba Yako. Waovu hawapendi waovu.
Kiukweli kuhusu christina shusho wamesema karibu watu wote hapa Tanzania huku mitaani hata mtu ambae hasali kabisa amemsema shusho kuhusu ndoa yake ...wahubiri wengi wamemsema shusho ..ILA KWA NINI KAKUSHTAKI WEWE PEKE AKO?? mi najua hivi mtu mwovu akisemwa na mwovu mwenzie haiumi ..ila mwovu asemwe na mtu ambae sio mwovu lazima achukue hatua kali juu ya yule aliyemsema.
Cristina shushu umemuona tu mbarikiwa wameseema watu wengi sana acha kuendelea.kujizalilisha wewe.cristina muogope MUNGU.atakupiga.vibaya.sana muache mbarikiwa
Inapotokea watu wa MUNGU wanashitakiana Ni hatari Sana Ni kuudhalilisha ukristo.Na katika huduma tano,moja ya huduma hiyo Ni uinjiristi na kazi mojawapo ya uinjiristi Ni kukemea,hivyo Kama mtu Ana huduma ya uinjiristi Ni lazima akemee.MUNGU hadhihakiwi.mtumishi wa MUNGU usiogope.
Christina Shusho ametuthibitishia kuwa yeye ni Muulimwengu. Mahakama kuu ya watoto wa Mungu alie Hai ndio yakupeleka mashtaka, sio kwenye mahakama ya ulimwengu huu, ikiwa kama kweli anamwamini huyo Mungu anaye mwimbia! Kama Roho ya Kristo Yesu iko hai ndani yake, wala asinge mshtaki ndugu yake Mbarikiwa kwenye Mahakama ya kiDunia. Inadhihirisha kwamba yeye na sisi wana wa Mungu sii Mwili Mmoja! Tunaliweka hili mikononi mwa Baba yetu wa Mbinguni. Daahh....... hii inatisha na kusikitisha sana!
Mungu akusadie sana ,Mutumishi ninachokiona kwako una huduma kubwa sana ila , Omba kama alivyoomba mfalme Sulemani ,aliomba ,Hekima na ww pia ndani yako kilichokosekana ni Hekima tu.
Waumini wana njaa na kiu ya kulishwa na kunyweshwa neno lisilogoshiwa,, hivi unapataje muda wewe kama mchungaji wa mambo ya siasa, au mtu karudi nyuma kiroho, wakati humo kanisani kwako pia kuna magugu ya kushughulikia, wewe hubiri neno, injili tu, sio kushughulika na watu ambao hata hawako chini ya malisho yako.
Hiyo injili tutazihubiri panya na kunguni tu si watu? Je ukisoma Biblia hutaji majina ya watu ambao walikosea na ndugu zao wapo hata leo. Je hiyo injili na Biblia tusisome?
Ndio Mimi naisoma sana biblia ila inatuambia tusiseme mabaya ya wengine ukesema mabaya ya mwengine unamuharibia jina hata na kumuua, Biblia inatuambia kusema mazuri ya watu wote hata kama ni boss wangu alinitendea vibaya ao nani yoyote siwezi sema mabaya yake tunatakiwa kusema mazuri ya watu na roho wa Mungu atakuwa pamoja nasi wakati tunapo sema mabaya roho wa Mungu anatutoka na roho mchafu anatutumia. Mimi napendaka sana nyimbo zenu mivalio yenu ya kikristo na filamu ambayo mtu wa Mungu Mbarikiwa alio cheza .Mkristo wa kijiji naipenda na mwenendo wenu naipenda nawafuata kutoka.USA/MARYLAND Mungu aweze kuwasaidia kwa sababu namna mchungaji anavio ishi hainipendezi kwani akeenda jela tena sio vizuri hata kama bibi yake haseme mimi naona Bwana anapasha kuchunga nyumba yake vizuri. KWa sababu neno la Mungu limetupewa ili tukuwe watu wakuleta Amani na nuru. Haiko watu kila mwezi wanawaita kwenye mahakamani na sisi wakristo tutawahukumu alakini kama mahakamani ina tuhukumu başı tüme poteza lengo::: HATA NA KWENYE ULISEMA KATIKA BIBLIA KWAMBA 1 Timotheo 5:20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope. Them that sin rebuke before all, that others also may fear. APA MAANA YAKE NI WAAMINI HAIKO CHRISTINA SHUSHO SIO MWAMINI WA PALE APA NI MWAMINI ALIE TENDA ZAMBI MCHUNGAJI ANATAKIWA AMUITE MBELE YA WOTE NA KUMUKEMEA WOTE WAMUJUE NAWAPENDA SANA ENDELEENI KAZI YA MUNGU KWA SABABU MUKO NA OKOWA NAFSI NYINGI NA. MUNGU ATAWALIPAKA
Ndio Mjuwe sasa huyo anaejiita Christina shusho sio mtumishi wa Mungu bali ni shetani tu KAMA KWELI ANATUMIKIYA MUNGU ALISI ASINGE FANYA HUUNI HUU KULINGANA NA MAANDIKO
Mbarikiwa yesu kristo mwenyewe kasema mnapodhulumiwa Duniani mjua yakuwa nipo ndani yenu jipe moyo mkeo hakae kwenye magoti mkishirikiana mtayashinda always victory is yours mbarikiwa
Mwanadam mwanadam geuka kweli unaenda kumshitaki mchungaji na ahali wengi wamesema kukuhusu wewe umeona umshitaki mchungaji je aliyosema mchungaji hukuona shida popote we mdada acha hayo mambo acha hayo mara Moja.
Tunaimani nawe pastor wewe ni mtu wa haki mwenye upendo wa kweli kwa watu wote. Tunajua kwamba haudhaliliki kwa hila zozote wala manyanyaso yoyote na hauwezi kuacha njia hiyo kwa maana unachokiona mbele yako chapita thamani zote za ulimwengu. Mungu baba na Bwana wetu Yesu Kristo yu pamoja nawe hata pumzi yako ya mwisho!! Nendeni kwa mkono wa Bwana!
hata Christina mwenyew alitakiwa asamehe ,wangapi wamesemwa na hawajachukuliw hatua,? Mbona yeye kadhalilisha familia ya mumewe mbona hawakumfungulia mashtaka ??
Basi wacha kelele zake ambazo sio Kama tarumbeta inavyostahili, zimpeleke kuishia kuko huko mahakamani, akitoka atajua huo mstari wamaanisha Nini atafanya ipasavyo. Hakupiga kelele Kama tarumbeta, bali alipiga kelele za matusi machafu madhabahuni patakatifu Kama asiyekuwa na hekima. Afadhali aanze na Isaiah sita.
Sasa kwa nini wahubili mna kz ya kumsema mtu ht km wameachana?nauliza kwn nyingi mmekamilika mpk mume wahubili, kuna sehemu imeandikwa ujikane mwnywe ndo umfwate
Christina shusho anatafuta kicki kwa mchungaji mwenzie kasema sana na hata mumewe kasema sana bila mumewe kayamwaga hadharani haya hakuna mtu angejua ,ampele mumewe jela
Hana akili Christina mm nisingeenda ila wewe nenda Tu kwani si uliongea Yale aliyoyaongea yeye mwenyew usiwe na hofu Baba tuko nyuma yako anatafut Kiki Yule kahaba wa mwanamke na ukitoka kwake ingia kanisani kalianzishe tena tuko nyuma yako
Mbona akina mwamposa wanatukanwa kila siku hawajashtaki uko kimwili sana dada shusho kama huko kiroho nyamaza kimya Mungu akupiganie. Polisi tena sisi kwa sisi😮 mabarazani????!!!
Mwovu inatakiwa aambiwe hadharani kuwa ww ni mwovu na sio kumpaka mafuta Kwa mgongo wa chupa Kristina aliongea mwwnyewe kuwa ukiachana na mwanaume aliye kutoa tongotongu utaenda huko utakuwa mdangaji tuuu mbalikiwa amefatisha yaleyale Leo anamshitaki yetu macho na masikio
@@AnaniaKyando mwovu hakemewi anaonywa Kwa hekima na maombi haya Sasa yamekua hayo mwovu kamshitaki mwema,,,, ukisoma mithali anasema amkemeaye mpumbavu hujipatia fedheha
Aaha kumbe ndo kilichotokea shusho kazi unayo rudia ndoa yako la sivyo wewe ni kahaba kama wengine haleluya acha kutafuta faraja yuko ambae utasimama mbele yake siku hiyo
Hiyo injili tutazihubiri panya na kunguni tu si watu? Je ukisoma Biblia hutaji majina ya watu ambao walikosea na ndugu zao wapo hata leo. Je hiyo injili na Biblia tusisome?
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla. Hapo ndio Christina ataona picha zake za ngono zinatupwa mtandaoni. Usichezee Teknolojia. Hapo ametibua kabisaaaaaaa. Ndio anaenda kusahaulika kabisa kwenye Injili. Atatafuta pa kuweka sura ngojeni tu !!! Naomba ma advocate Walokole watumishi wamsaidie mtumishi wa Mungu MBARIKIWA. Hakuna kesi hapo. Mbarikiwa alisema alichosema mwenyewe Christina kwenye Kipindi chake cha Hakima za ovyo za Bi Tina.
Hata ni afadhali WENGI walimsema tu Christina shusho kikawaida, MIMI NILIMLAANI VIKALI KWA ALICHOKIFANYA. "HATUTAKUNYA CHUMBANI KWA KUWA NI USIKU WA GIZA!" HAMNAA!!
Kwakweli leo nimeamini kuwa mlokole wakweli kabisa na mbingu zikuamini kweli nikifo maana huyu mchungaji anapitia mambo mengi sanaa ila naamini mungu atamvusha
ruclips.net/video/-0LVohlwLIE/видео.htmlsi=UNfOVsExIqfje0GuKuna watu nyuma ya shusho maana sio pekee yake kaongea kuhusu shusho wengine wamerusha picha kuhusu shusho chafu nakadharika Muogope Mungu Christina shusho kumuonea mtu huyu wa Mungu huko nikutaka jambo baya
Kiukweli kuhusu christina shusho wamesema karibu watu wote hapa Tanzania huku mitaani hata mtu ambae hasali kabisa amemsema shusho kuhusu ndoa yake ...wahubiri wengi wamemsema shusho ..ILA KWA NINI KAKUSHTAKI WEWE PEKE AKO?? mi najua hivi mtu mwovu akisemwa na mwovu mwenzie haiumi ..ila mwovu asemwe na mtu ambae sio mwovu lazima achukue hatua kali juu ya yule aliyemsema.
Watuchukue wote tuliomsema christina shusho
Pastor hakumsema pekeyake
Kweli
Amechukua kiongozi wao bwana utashughulikaje na mbwa wakati mfuga umbwa yupo
Mbarikiwa na mke wako msiogope!!! Huu ni wakati wa kusimama na kukemea mabaya ya watesi.ni kipindi ambacho wanatarajia kukuzimisha.Mungu akubariki na kutia nguvu🙏
Bwana Yesu asifiwe Sana hivyo ni vita vya Mungu sisi ni washindi ktk Kristo Yesu Bwana Yesu asifiwe Sana
Duh:sawa njia ya haki inahitaji kujikana kweli kweli,baba Mungu akutangulie na akutetee sana.
Tangu siku huyo Christina alipopiga magoti kuomba hela pale kanisani kwa nabii nani sijui nilijua anguko lake limefika. Pole sana Tina tafuta ulipoangukia ukatubu Yesu yuko karibu
Kumbe ulimwona? Tena anamwita " BABA NAOMBA UNIONGEZE NGUVU" Jambo ambalo lilistahili aambiwe Mungu wa mbinguni.
Namkumbuka Yohana mbatizaji alimkemea Herode.....................
Mtumishi mungu yupo pamoja na wewe ,mama mbarikiwa simama ht msiogope Mungu anakusudi juu yenu , hapo ndio watu waone alichokuwa akikisema pasta,
CHRISTINA SHUSHO yesu alipo semwa Hakwenda kushtaki Alisema BABA UWASAMEHE COZ HAWAJUWI WALITENDALO WHY Mchungaji christina Unashtaki watu waliokusema alafu sio mbarikiwa pekeyake wamekusema watu wengi (HICHO ULICHO KIFANYA KWA VYOVYOTE VILE UMEZIDI KUCHAFUKA SAAAANAAAAA).
Mchungaji tunakuombea sana mana unautetea Ukristo pamoja na maandiko. Hakuna mahali imeandikwa mke ataacha mumeo kwa kwenda kufanya kazi ya Mungu. Pambana mtu wa Mungu sisi tuko nyumba Yako. Waovu hawapendi waovu.
Kiukweli kuhusu christina shusho wamesema karibu watu wote hapa Tanzania huku mitaani hata mtu ambae hasali kabisa amemsema shusho kuhusu ndoa yake ...wahubiri wengi wamemsema shusho ..ILA KWA NINI KAKUSHTAKI WEWE PEKE AKO?? mi najua hivi mtu mwovu akisemwa na mwovu mwenzie haiumi ..ila mwovu asemwe na mtu ambae sio mwovu lazima achukue hatua kali juu ya yule aliyemsema.
Uko sahihi kabisa, Waovu wanajuana
Lkn huyu nae kamsema kwa ubaya sana, asichokijua kwa family au ndoa za watu haifai kuongelea vile huyu jamaa huwa anaongea kwa watu🤔🤔
Cristina shushu umemuona tu mbarikiwa wameseema watu wengi sana acha kuendelea.kujizalilisha wewe.cristina muogope MUNGU.atakupiga.vibaya.sana muache mbarikiwa
Inapotokea watu wa MUNGU wanashitakiana Ni hatari Sana Ni kuudhalilisha ukristo.Na katika huduma tano,moja ya huduma hiyo Ni uinjiristi na kazi mojawapo ya uinjiristi Ni kukemea,hivyo Kama mtu Ana huduma ya uinjiristi Ni lazima akemee.MUNGU hadhihakiwi.mtumishi wa MUNGU usiogope.
Christina Shusho ametuthibitishia kuwa yeye ni Muulimwengu.
Mahakama kuu ya watoto wa Mungu alie Hai ndio yakupeleka mashtaka, sio kwenye mahakama ya ulimwengu huu, ikiwa kama kweli anamwamini huyo Mungu anaye mwimbia!
Kama Roho ya Kristo Yesu iko hai ndani yake, wala asinge mshtaki ndugu yake Mbarikiwa kwenye Mahakama ya kiDunia.
Inadhihirisha kwamba yeye na sisi wana wa Mungu sii Mwili Mmoja!
Tunaliweka hili mikononi mwa Baba yetu wa Mbinguni.
Daahh....... hii inatisha na kusikitisha sana!
Mungu akutie nguvu mtumishi wala usirudi nyuma sio kushitakiwa tu mitume walipigwa mawe
Mungu akusadie sana ,Mutumishi ninachokiona kwako una huduma kubwa sana ila , Omba kama alivyoomba mfalme Sulemani ,aliomba ,Hekima na ww pia ndani yako kilichokosekana ni Hekima tu.
Kilichokosekana kwa Mch Mbarikiwa, ni unafiki.....kwani unafiki ndio unaitwa hekima...
Kiukweli kabisa baba umetimiza wajibu wa uhubiri
(Isaya 58:1--
Waumini wana njaa na kiu ya kulishwa na kunyweshwa neno lisilogoshiwa,, hivi unapataje muda wewe kama mchungaji wa mambo ya siasa, au mtu karudi nyuma kiroho, wakati humo kanisani kwako pia kuna magugu ya kushughulikia, wewe hubiri neno, injili tu, sio kushughulika na watu ambao hata hawako chini ya malisho yako.
Unamaanisha mchungaji anatakiwa kukemea waumini wa kanisa lake tu?.
Malisho yote Duniani ni ya mmoja Bwana Yesu kristo.
Aaamen ubarikiwe
Unatatizo dogo sana Mtumishi unatakiwa kufanya mahubiri ya Mungu watu achana NAO watakupotezea nguvu ya Mungu ndani yako
Jambo Mimi ningelishauri mchungaji mbarikiwa aache kuongelea mambo ya christina shusho kanisani aiachie Mungu Na aendelee na kazi ya Mungu
Hiyo injili tutazihubiri panya na kunguni tu si watu? Je ukisoma Biblia hutaji majina ya watu ambao walikosea na ndugu zao wapo hata leo. Je hiyo injili na Biblia tusisome?
Ndio Mimi naisoma sana biblia ila inatuambia tusiseme mabaya ya wengine ukesema mabaya ya mwengine unamuharibia jina hata na kumuua, Biblia inatuambia kusema mazuri ya watu wote hata kama ni boss wangu alinitendea vibaya ao nani yoyote siwezi sema mabaya yake tunatakiwa kusema mazuri ya watu na roho wa Mungu atakuwa pamoja nasi wakati tunapo sema mabaya roho wa Mungu anatutoka na roho mchafu anatutumia. Mimi napendaka sana nyimbo zenu mivalio yenu ya kikristo na filamu ambayo mtu wa Mungu Mbarikiwa alio cheza .Mkristo wa kijiji naipenda na mwenendo wenu naipenda nawafuata kutoka.USA/MARYLAND Mungu aweze kuwasaidia kwa sababu namna mchungaji anavio ishi hainipendezi kwani akeenda jela tena sio vizuri hata kama bibi yake haseme mimi naona Bwana anapasha kuchunga nyumba yake vizuri. KWa sababu neno la Mungu limetupewa ili tukuwe watu wakuleta Amani na nuru. Haiko watu kila mwezi wanawaita kwenye mahakamani na sisi wakristo tutawahukumu alakini kama mahakamani ina tuhukumu başı tüme poteza lengo::: HATA NA KWENYE ULISEMA KATIKA BIBLIA KWAMBA 1 Timotheo 5:20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope. Them that sin rebuke before all, that others also may fear. APA MAANA YAKE NI WAAMINI HAIKO CHRISTINA SHUSHO SIO MWAMINI WA PALE APA NI MWAMINI ALIE TENDA ZAMBI MCHUNGAJI ANATAKIWA AMUITE MBELE YA WOTE NA KUMUKEMEA WOTE WAMUJUE NAWAPENDA SANA ENDELEENI KAZI YA MUNGU KWA SABABU MUKO NA OKOWA NAFSI NYINGI NA. MUNGU ATAWALIPAKA
😂YESU alisema BABA UWASAMEHE HAWAJUWI WALITENDALO,CHRISTINA UMEENDA KUSHTAKI 😂😂😂Ni YESU Yupi Unaemfunsisha hapo kanisani kwako??(Umeanguka babeli-chruatina)
Ndio Mjuwe sasa huyo anaejiita Christina shusho sio mtumishi wa Mungu bali ni shetani tu KAMA KWELI ANATUMIKIYA MUNGU ALISI ASINGE FANYA HUUNI HUU KULINGANA NA MAANDIKO
Kwa nn wakirsto tunapigana sis kwa sis jamn tuhubirin injil tu
Unazani aliyekwisha potea ukifuata injili atakayokufundisha utapotezwaaa
Inauma jameni😭😭😭😭😭😭
Ila tumeelimika wengi kwa yale uliyo ya kemea hakika kanisa limeelimika. Tena hatutafuata hizo njia.
Mbarikiwa yesu kristo mwenyewe kasema mnapodhulumiwa Duniani mjua yakuwa nipo ndani yenu jipe moyo mkeo hakae kwenye magoti mkishirikiana mtayashinda always victory is yours mbarikiwa
big up mama
Mwache mungu aitwe mungu msalabani damu yayesu itakusafishia njia mchungaji hata kristo alishtakiwa
Watu was mungu hamtaki kukemewa je, watu wasio amini ,iweje.
Huyo shusho, kumshitaki mchungaji. Ni utahira , diamond kamuaribu, alikuw, kwetul,lakini ,kumbe hakuwa wakwetu, huyu ni ,wa, diamond, sijai ,ona , mkristo anamshitaki mkiristo , mwenzake ,hata ,kama ,umesemwa,vip ,mbona yesu ,hakuwashitaki,waliokuwa ,wanamsema ,vibaya, mchungaji hii, ni, mbinu ,na ajenda , ya ,watu,wabaya ,kwako,, kwa cc ,tuliosomea ,, Cuba,havana,, hii,bado ,unatafutwa, wewe,kimyakimya,,jipange ,na ,maombi,,,kaka,,
Mwanadam mwanadam geuka kweli unaenda kumshitaki mchungaji na ahali wengi wamesema kukuhusu wewe umeona umshitaki mchungaji je aliyosema mchungaji hukuona shida popote we mdada acha hayo mambo acha hayo mara Moja.
Tunaimani nawe pastor wewe ni mtu wa haki mwenye upendo wa kweli kwa watu wote. Tunajua kwamba haudhaliliki kwa hila zozote wala manyanyaso yoyote na hauwezi kuacha njia hiyo kwa maana unachokiona mbele yako chapita thamani zote za ulimwengu. Mungu baba na Bwana wetu Yesu Kristo yu pamoja nawe hata pumzi yako ya mwisho!!
Nendeni kwa mkono wa Bwana!
Jamani huwezi kumuongelea mtu ambae humjui yeye kilimuuma Nini haswa kuropoka maneno yote haya
Yesu turehemu tu wakati huu,,ila kila mtu atalipwa sawa na kazi yake!!!!
Hapa napo tunapita tu
NaaaM NaaaM, Amina Amina.
Kweli mtumishi mungu yupo pamoja nanyi
Uyu malaya shusho simpendi anahalibu ukristo
✓
Unastahili coz huezi ita mtu malaya na huja lalanaye nimakose kama nimalaya hiyo ni shauriyake na mungu wake
hata Christina mwenyew alitakiwa asamehe ,wangapi wamesemwa na hawajachukuliw hatua,? Mbona yeye kadhalilisha familia ya mumewe mbona hawakumfungulia mashtaka ??
Mungu akubariki saaana
Kiukweli ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama unayemwambia ukweli atakasarika
na we mbarikiwa usipende kuongea kila kitu unachokiona vingine viachage tu vipite
Isaya 58:1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
Basi wacha kelele zake ambazo sio Kama tarumbeta inavyostahili, zimpeleke kuishia kuko huko mahakamani, akitoka atajua huo mstari wamaanisha Nini atafanya ipasavyo. Hakupiga kelele Kama tarumbeta, bali alipiga kelele za matusi machafu madhabahuni patakatifu Kama asiyekuwa na hekima. Afadhali aanze na Isaiah sita.
Sasa kwa nini wahubili mna kz ya kumsema mtu ht km wameachana?nauliza kwn nyingi mmekamilika mpk mume wahubili, kuna sehemu imeandikwa ujikane mwnywe ndo umfwate
Tatizo watu wamungu ni mitandao,lakini kama mngekua mnachukuliana mizigo kwa maombi hayo yasinge kuwepo
Christina shusho anatafuta kicki kwa mchungaji mwenzie kasema sana na hata mumewe kasema sana bila mumewe kayamwaga hadharani haya hakuna mtu angejua ,ampele mumewe jela
Hana akili Christina mm nisingeenda ila wewe nenda Tu kwani si uliongea Yale aliyoyaongea yeye mwenyew usiwe na hofu Baba tuko nyuma yako anatafut Kiki Yule kahaba wa mwanamke na ukitoka kwake ingia kanisani kalianzishe tena tuko nyuma yako
Mimi nadhani mungu amekuthibitisha hapa duniani uwe mfano wa kuigwa hata kwa wahubiri wengine
Mmmmh! Hii dunia!!!!!!
MUNGU TUSAIDIE SANA
Mbona akina mwamposa wanatukanwa kila siku hawajashtaki uko kimwili sana dada shusho kama huko kiroho nyamaza kimya Mungu akupiganie. Polisi tena sisi kwa sisi😮 mabarazani????!!!
Kukemea sawa ila hekima haikutumika kwakweli alafu mtumishi mwenzio unamkemea kama mtoto mdogo
Mwovu inatakiwa aambiwe hadharani kuwa ww ni mwovu na sio kumpaka mafuta Kwa mgongo wa chupa Kristina aliongea mwwnyewe kuwa ukiachana na mwanaume aliye kutoa tongotongu utaenda huko utakuwa mdangaji tuuu mbalikiwa amefatisha yaleyale Leo anamshitaki yetu macho na masikio
@@AnaniaKyando mwovu hakemewi anaonywa Kwa hekima na maombi haya Sasa yamekua hayo mwovu kamshitaki mwema,,,, ukisoma mithali anasema amkemeaye mpumbavu hujipatia fedheha
Aaamen kwa hili, ubarikiwe, alitumia LUGHA CHAFU saana Tena madhabahuni
Na nyie mwanyakysusa mmezidi midomo hubirini injili sio kusema watu
Defarmation
Sio kweli
Kz ipo hp duniani
Wachungaji wa mitandaoni nyie wote Cristina na mbalikiwa
CHRISTINA ANATAKA KUFUNGA NCHI NZIMA?? AU WANA MUANDAMA MBARIKIWA TU?
Simama kama ilivyo kwa watakatifu waipasayo injili.
itakapofikia mahali tutambue jukumu letu tuliloitiwa katika huduma vita vitakoma
Christina shusho leo umeweka wazi kuwa ww n wakala wa shetani
Nihatari kabisa du
Jitahidi kufunga mdomo ,,,,
Kwahiyo alichokifanya shusho kusaliti ndoa yake alikuwa sahihi acha unyumbu wewe
@@user-mo2sb2nh8u kwani kavunja Sheria ya nchi au ,kavunja katiba????
We nyumbu ndo ufunge mdomo wako.
Kweli tunawalokole machizi je mke wako angekuacha ungefulahi ni kudhalilisha ulokole
@@ugalidona-cs2yn 🥺
Mnahukumu sana ,,,acheni kumuandama Christina bhana ,,Kila mtu ana Haki ya kuamin kwa imani yake
Wewe na shusho mnajuana,huwezi kusema kila mtu ahubiri anavyotaka wakati biblia ndiyo katiba ya mkristo
Christina samehe saba mala sabini, wewee
Baba wambinguni akutangulie mtumishi
Hakuna baba wa mbinguni hutangulia watu wa namna hii, wanaotusi wenzao Malaya MADHABAHUNI na hawajalala na anayetusiwa. !!!
Aaha kumbe ndo kilichotokea shusho kazi unayo rudia ndoa yako la sivyo wewe ni kahaba kama wengine haleluya acha kutafuta faraja yuko ambae utasimama mbele yake siku hiyo
Arudie ili IWAJE ,,,,Kwan ndoa ni kifungo???????
Kahaba ulilala naye?
😂😂SAMEHE SABA MALA SABINI,CHIRATINA HII MISTALI Unaiona kweli?😂😂😂
MUNGU utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭
Mbalikiwa hajamdhalilisha clistina shusho bali clistina kajidhalilisha mwenyewe kuweka hadhalani mambo yandoa yake kwenye jami
Chunga ulimi wako wewe mchungaji
Majaribu mengine ni kujitakia! Nani alikupa ruhusa ya kumwita mtu Malaya !
Hiyo injili tutazihubiri panya na kunguni tu si watu? Je ukisoma Biblia hutaji majina ya watu ambao walikosea na ndugu zao wapo hata leo. Je hiyo injili na Biblia tusisome?
Hapo ndipo!!! Msiba wa kujitakia......
Lakini kiukweli huyu mbarikiwa nimchungaji mwenye mental health ya hatari na ndio anayowalisha waumini wake wote wako na shida ya akili
Hivi mtu mwenye mental health anaweza akawa na washirika wasiyo shuhudiwa uovu?
Kwahiyo we ulifuata nini hapa kusikiliza, kama sio wewe ndo mwenye matatizo ya unyumbuunyumbu.
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla. Hapo ndio Christina ataona picha zake za ngono zinatupwa mtandaoni. Usichezee Teknolojia. Hapo ametibua kabisaaaaaaa. Ndio anaenda kusahaulika kabisa kwenye Injili. Atatafuta pa kuweka sura ngojeni tu !!!
Naomba ma advocate Walokole watumishi wamsaidie mtumishi wa Mungu MBARIKIWA. Hakuna kesi hapo. Mbarikiwa alisema alichosema mwenyewe Christina kwenye Kipindi chake cha Hakima za ovyo za Bi Tina.
Hata ni afadhali WENGI walimsema tu Christina shusho kikawaida, MIMI NILIMLAANI VIKALI KWA ALICHOKIFANYA. "HATUTAKUNYA CHUMBANI KWA KUWA NI USIKU WA GIZA!" HAMNAA!!
Nyamaza Kama huna LA kusema mbele ya wakuu
@@ceciliakongani9299 KWA NZI MAVI HUWA KITOWEO DAIMA.
Kwakweli leo nimeamini kuwa mlokole wakweli kabisa na mbingu zikuamini kweli nikifo maana huyu mchungaji anapitia mambo mengi sanaa ila naamini mungu atamvusha
😂😂😂😂CHRISTINA na UFRIMASONI Kwa Kujuwa au kuto kujuwa sasa naamini.
ruclips.net/video/-0LVohlwLIE/видео.htmlsi=UNfOVsExIqfje0GuKuna watu nyuma ya shusho maana sio pekee yake kaongea kuhusu shusho wengine wamerusha picha kuhusu shusho chafu nakadharika Muogope Mungu Christina shusho kumuonea mtu huyu wa Mungu huko nikutaka jambo baya
ruclips.net/video/mcgkzyQfLGo/видео.htmlsi=spoZ1oXhQTFpwKme na pascal je w
Ameshitakiwa
BIBLIA NA MBINGU ZINA SHERIA YAKE. AMINA.
MUNGU Ni MUNGU Wa Sheria Zote. ❤ Amina.
Nlichokiwaza ndo kilicho Andikwa.
CHRISTINA SHUSHU KUMRUDISHA MBARIKIWA TENA GEREZANI.
Kiukweli kuhusu christina shusho wamesema karibu watu wote hapa Tanzania huku mitaani hata mtu ambae hasali kabisa amemsema shusho kuhusu ndoa yake ...wahubiri wengi wamemsema shusho ..ILA KWA NINI KAKUSHTAKI WEWE PEKE AKO?? mi najua hivi mtu mwovu akisemwa na mwovu mwenzie haiumi ..ila mwovu asemwe na mtu ambae sio mwovu lazima achukue hatua kali juu ya yule aliyemsema.