Kuna kuimba na kipaji hila hii imenigusa Sana zaidi ya kipaji Kuna muda najiuliza hvunawezaje kufkilia maisha yakila mtu na ukamgusa "maisha ya duniani Ni Siri "
Kweli kabisa hasara roho ... Vingine vyote tutaacha hapa duniani na maisha gwaride wa mwisho anaweza kuwa wa Kwanza.... Namshukuru mungu kwa hivi nilivyo
Today I want to thank this particular guy a vixen at the beginning of this video I have seen him in almost all your videos........tell him he is great we see his work and God is going to bless him greatly......even in Togo fiesta he was there such few friends will stick with you ....HE is an asset........the song is fire 🙌
Broo naitwa wydea dismas nakukubali sana kaka iwsh siku moja ningepata nafasi kwenye studio yako lolimwaaa(lolipop) naminitoe kanyimbo unabiti kali kaka mungu kakupa vipaji
Nyimbo mzuri ila fupi sana 👌💖
Mungu awe pamoja nawe kila hatua hasara roho tukumbukane wapendwa
Hatujui kesho yetu, ambaye
Kesho yake aijuhaye Mola
Gonga like
Kama uwezi nisaidia usiniumizee tena maisha ni gwaridee,,dahh umetisha kaka sjui aya maneno unatoaga wapi ila MUNGU akuzidishe zaid
Aahaaaa vjipesa kidogo mtu ywajiona ndio hakuna kama yeye napenda sana nyimbo zako mtumishi barikiwa
Saf Sana hasara roho Kama uneikubali gongalike hapa👍
Tuliyekuja kuangalia wimbo huu baada ya interview yake na salama jabir tugonge like
Wa kwanza apewe like zake bila kinyongo
Daaah! Hujawah wahi toA nyimbo Kali kushinda hii bro...
Mungu akupe miaka buku uzidi kuwa juu zaid
Kuna watu wanajiona kama mungu wanefunga nae mkataba kama wataishi milele kudadeki na awajui kama kesho wataamka au vipi wimbo mzuri sana
Ukweli was maisha ..... I love this one too from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nobody knows tomorrow 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amina kaka ubarikiwe na Mungu uzidi kututia moyo nyimbo zako zinatutoa mahali na kutupeleka mahali Nazi yako njema.
Hakika hasara roho,, ujawai kosea pachaaaa big up,, Kama unamkubali my Brother good luck ebu gong like
Jamani waoooo sijawai kuusikia huu wimbo kabisa ubarikiwe Sana unakosha Roho za watu
Number one fan..my best 3 song from you shukurani,Kama si wewe,nipe now hasara roho💥💥
Flava ya bongo #kideo kinamaanisha #🔥🔥🔥
Hongera saaana kk wimbo unafundisha watu wanajisahau sana pale wanapopata pesa ubarikiwe sana
May the Holy spirit be with you ever Amen 🙏
Ujumbe mtamu...kweli from Nairobi kenya
Kweli kabisa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯 Kali zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakwelewaga mzee Baba hukoseagi Utukufu kwa Mungu tafadhar
how many are blessed with Goodluck at this time
Mungu akupe htaj lako
Napenda sana nyimbo zako mungu akubariki akuvushe viwango na viwango uko juu be blessed
Woow much love from Kenya.
Bongo fleva tuna mondi Gospel tuna Gozbert gonga like twendee sawa
Anajua
Nabarikiwa na nyimbo za huyu kaka Simba wa injili , Mond Simba wa bongo flava .
hujawahi kukosea broe af nyimbo zako zina video zenye uhalisia sana sema taja taja hata jina la yesu mara kadhaa bn
All the way from Australia🇦🇺🇦🇺 i like you God bless you
Kweli hasara roho
Jamaa anajua Sana
Hatariiii Sanaa goma kalii
Kuna kuimba na kipaji hila hii imenigusa Sana zaidi ya kipaji Kuna muda najiuliza hvunawezaje kufkilia maisha yakila mtu na ukamgusa "maisha ya duniani Ni Siri "
Ngoma Kali Sana mungu akubariki sna mtumishi 🙏🙏🙏💪💪💪
Kweli kabisa hasara roho ...
Vingine vyote tutaacha hapa duniani na maisha gwaride wa mwisho anaweza kuwa wa Kwanza....
Namshukuru mungu kwa hivi nilivyo
Unajua mpaka unakere!😍😍😍😍😍. God bless
Kabisa nabarikiwa sana na nyimbo mungu aendelee kukutumia unajuaga kunibariki
Today I want to thank this particular guy a vixen at the beginning of this video I have seen him in almost all your videos........tell him he is great we see his work and God is going to bless him greatly......even in Togo fiesta he was there such few friends will stick with you ....HE is an asset........the song is fire 🙌
Baba hapa unafanya nilie,baba goodluck pls,wee ni mwandishi hodari,
Mwimbo mzurii sna kip on rocking broooo🙏🙏🙏🙏
Naangalia wimbo mara mia
Congratulations bro
Much love 🇰🇪
Gozbet best gospal artist nabarkiwa sana
Kama uwezi nisaidia usininiumize maisha ni Siri, barikiwa sana mtumishi wa mungu🙏
BE BLESSED GOZBERT.
daaah hiii song hatar..godzbert anajuaaa aseee!
Good luck he is good boy...good song
Nyimbo nzuri Sana
Nabarikiwa saana na nyimbo zako mdogo wngu. Asante
kama kweli unampenda gozbert mungu azidi kukupa uzima na kuku bariki
Kubwa Sana brother nakukubali kwa huu huduma hapa Kenya I hope one day tutakula maze moja Gods willing kkkk
Nyimbo nzuri songa mbele brother, Jozee kichupa kikaliiii utabaki kuwa juu😂
Big up
Good
Blessing song Gudluck Godbless you
Mungu azidi kukubariki kwa kila kiitu utakacho kifanya kaka yangu
Am so blessed with this song🙏
I just love listening to his songs. He never seizes to amaze me and his songs always gives me strength. Keep it up kaka
Love you jesus
🔥🔥🔥 I love
Mdogo Mdogo Tunaelekea Bongo Fleva ...
Kabisa
Nyimbo natamani isiishe goodluck mungu akubariki sana
Naam mwimbie mungu
Mungu akubariki kwa wimbo huu
Powerful song my brother
my favorate artist
Iko tu sawa..more love from Kenya..wapi likes..🔥🔥🔥🔥
am in tears....this one is for me kabisaaa, barikiwa sana Goodluck
All your songs are my favorite 😍
Kweli haya maisha ni gwaride yasikuchanganye
GOODlLUCK,Always your Song are teaching Life ,,keep on going 🏃🏃 god Bless you❤️❤️❤️
Wonderful,
Inabariki moyo ❤️💕🙏✊
wow am blessed with song 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤
Broo naitwa wydea dismas nakukubali sana kaka iwsh siku moja ningepata nafasi kwenye studio yako lolimwaaa(lolipop) naminitoe kanyimbo unabiti kali kaka mungu kakupa vipaji
🔥🔥🔥🙏you always lift me up whenever I I listen to your songs I get blessed bro
Duuu huingia tuu bongo fleva
The message is home
this is true .... i love this song oops i need to listen to it 100 times.
Haaaaaaaaaaahaaa hasaraaaa rohooooo
Uyo jamaa kavu Sana kwenye ndinga duuu kamkazia bb buku
Ubarikiwe kaka. Kwel hasara roho
ujumbe mzuri pia ubunifu i like it.
Sawa babaaaaaaaa kanyaga twende
Hasara Roho!!! Barikiwa kaka
Wimbo mzuri saaana saana
Ubarikiwe sanaaaaa mtumishi wa MUNGU
Please.....we need to download this songs...,Blessed
Kazi nzuri pia, man of God
Nakupenda Bure Goodluck..Basi tukumbukane☑️
I like your songs their always bless me. God bless you
Kama umegundua goodrack ni fundii wa Bwana nipe like yako
Nzuri hii 🎶🎶🎼🎤❤️❤️
Hasara roho pesa zinatafutwa
Mungu akuzidishiye
Kawimbo haka kamemgusa mtu huku Lazima Alie.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hasara roho tukumbukane tungali hai.
Nimeupend bro mungu akupe maisha marefu
Kama na w seen ya bib kukosa msaada imekumiza weka liks apa
Nakukubali sana kaka mungu qkubaliki sana
Nakubali Sana kaka
Mmmh nimejifunza mwana wa MUNGU kupitia hii nyimbo ubalikiwe
Hata nisipo sikia . namkubali huyu jamaaa
kuna sehemu namuona mzungu ameshikana na waafrika mabenga wanacheza mziki wa YESU......izi PESA bwana!!!!!