Hivi kwanini hizi nyimbo zenye ujumbe mzuri hawaipi sapoti jaman mpaka Leo haijafikisha views 1m jaman tuwe tunatafakari like kama nawe umeguswa na hili gonga like
Sijasahau sadaka zako kutoka moyoni...uliponipa wakati wewe haunaaa...huu mstari umenikoshaaaaaaa nikapata feeling za ajabu mnoooooooooooo...continue to rest easy mom🙏❤️
Ben pol_ Pete Lyrics 👉 ruclips.net/video/XRRbueDQgtI/видео.html Best Naso _Ediga Lyrics 👉ruclips.net/video/qww2U2XYh_s/видео.html Tundaman ft Richard_ Basi imba Lyrics 👉 ruclips.net/video/EEbANpUux7A/видео.html Pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Ben pol_ Pete Lyrics 👉 ruclips.net/video/XRRbueDQgtI/видео.html Best Naso _Ediga Lyrics 👉ruclips.net/video/qww2U2XYh_s/видео.html Tundaman ft Richard_ Basi imba Lyrics 👉 ruclips.net/video/EEbANpUux7A/видео.html Pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Nimelia sana 😭😭😭😭wapendwa nyimbo mme imba kwa uhalisia wa hali ya juu nimekumis sana mama😭😭😭😭 nataman ungekuwepo kipindi niko na kaz nzur nikupe na mimi hata kanga nashindwa kuzuia machozi😭😭😭 yang mungu akulaze mahali pema peponi amina pamoja na kipenzi chako baba😭😭😭😭😭
Naupenda huu wimbo , tha time unatoka nilikuwa mjamzito and on time uko hot nikajifungua so nilikuwa nafeel kila kitu kwenyw huo wimbo as a mama. Leo 2024 am here again kuusikiliza
Nakupenda mamaangu jamani nikikumbuka nilivyokua naumwa nautuuzima huu lakini uliniangalia kama kichanga kukutaka hata mumewangu anisogeleee uwiiiii nakupenda mamaangu mungu akuweke kwaajili yangu nawanangu yani kilanikiusikiliza huu wimbo machozi yana nitoka 😢😢😢😢 mama mtamu jamani asikwqmbie mtu poleni wote mliopoteza wazazi wenu haswa mzazi mama mungu awape faraja kilaaitwapo leo ❤❤❤
Mama mama mama uko wapi? Je unanisikia huko ulipo? Mimi mwanao nataka kukuambia kuwa nakupenda sana mama yangu 😭😭 nakukumbuka sana mama yangu Pumzika kwa aman
Ben pol_ Pete Lyrics 👉 ruclips.net/video/XRRbueDQgtI/видео.html Best Naso _Ediga Lyrics 👉ruclips.net/video/qww2U2XYh_s/видео.html Tundaman ft Richard_ Basi imba Lyrics 👉 ruclips.net/video/EEbANpUux7A/видео.html Pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Kweli kabisa hata useme umlipe lakini bado mungu wape mama zetu umri mrefu na wale waliotangulia mbele za haki allah awahifadhi mahali pema peponi amina
Sasa wanaosema Hamonize kakosea njoo sikiza hapa Mama ni mama Kiumbe Mke kimechaguliwa na Mungu ni nusu ya mwili wa mwanaume so nikitu au kiumbe cha kuheshimu na kuogopa 😅😂❤❤❤❤❤❤❤❤ Bravo all Women’s but Good ones🙏🏽🙏🏽🙏🏽
My mum is my world!My everyday motivation to work hard because i want her to live a better life.She is my reason and icon.I love her more than life itself♥️
Kazi nzuri sana brother sijawai kucoment kwenye RUclips ya MTU yoyote ila kwa ii kazi brothers mmeua sana jaman like kwangu kama umeamin ii kazi itashika trand namba 1
Kila siku zinavyoenda ndio upendo wangu unavyozidi kwako mama nakupenda mama😘😘😘😘 gonga like kuonyesha upendo kwa mama yako na kumwombea maisha marefu kama yupo hai na kama ametangulia gonga like ishara kuwa bado unampenda na kumuhitaji maisha yako yote ikiwemo na kumwombea apumzike salama peponu ameen😭😭😭😭
Asanteh kwa kunibabua na kunikung'uta Mama... People are praising you, wanasema mama yako alokulea...ila mi ndo najua tumepitia mangapi pamoja. I love you Modo
Hakuna ka wewe dah? Nawaombea wamama wote mungh awatie nguvu siku zote no one like mom love u mom hakuna chochote kinachokuzidi hapa duniani malezi yako kwangh ni ya tamani sanaah🙏🙏🙏🙏🙏
Fathers are always the unsung heroes. Their power and sacrifices always get ignored like they offer nothing to the family. I hope one day you make a song recognizing fathers. They suffer inside.
MAMA ..YANGU UKITOA YA MUNGU NI WEWE NIWEWE MAMA NTANUNUA NA KANGA ZENYE MANENO MAZURI UONE ....NA KAMA UKIENDA MAMA JJA NI AKUTHAMINI LIKE HApa kwa mama zetu woteeee. .
Hii nyimbo imenifana nitoe machozi.
I love u. Mummy😍 kama wampenda mama gonga lik down
Asante mama
Nakupenda MAMA sana
Kama bado upo na mama yako. Mpende sana😢😢
ngomahii imeimbwa Kwa hisia Kali inagusa sana tuko wangapi kwenye like
Hakika Mama Mama Nakupenda wewe ni msiri wangu Rafiki yangu Mshauri wangu. Unabaki kuwa Mama
Mwenyenzi mungu awape maisha marefu mama wote duniani,nakupenda sana mama kama unampenda mama like nahitajii
Amen ❤️❤️❤️🙏🙏
Hivi kwanini hizi nyimbo zenye ujumbe mzuri hawaipi sapoti jaman mpaka Leo haijafikisha views 1m jaman tuwe tunatafakari like kama nawe umeguswa na hili gonga like
Umenena mkuu
Good songs
Wimbo mzur sana ila nmechelewa kuujua
Wanapenda za matusi
I'll love you mother
Kama unampenda sana mama gonga like😭😭💗💗💗❣
Mama ni kila kitu
Mama ni kila kitu hapa dunian
Hatar sana hakunakama mama
❤❤
Hakuna kama mama jaman aheshimiwe sana
Jmn huu wimbo can't explain naupenda ad sielew kama unampenda mama gonga like Mara mbili 😘😘😘😘
Sijasahau sadaka zako kutoka moyoni...uliponipa wakati wewe haunaaa...huu mstari umenikoshaaaaaaa nikapata feeling za ajabu mnoooooooooooo...continue to rest easy mom🙏❤️
Waliokuja kumuangalia ZUWENA kwa mara ya pili baada ya kumuona kwenye video ya diamond gonga like apa😁
Nakupenda mam sionichakukulipa mama ang
Love mamaaaaa❤❤❤❤
Kama we unaona unapenda mama usipite bila kuweka like chin apo
Nakupenda sana mama yangu ❤❤❤❤❤❤
R.I.P Nimewakumbuka mama pamoja na baba Mungu awalaze Pema peponi😭😭😭
Good work by mr goodluck & benpol mungu Awabariki sana
Kama unampenda mama gonga like apo
Kama unaamimi mungu ndo kila kitu duniani gonga like
Ni mama tu ila mungu anatenda kwwao wamama
Nakupenda sana mama yangu kipenzi, mungu akupe maisha marefu
Nakubalii Mungu ambariki mama angu
Kama nawe ulitoa chozi kwa mistari iliyoimbwa humu na ukalia kwa furaha usiache ku like hapa
Mama ninakupenda mama ninakueshmu
Nakupenda mamaaa
Nakupenda mamaaa
Nakupenda mama
Nimelia kwa uchungu wa kumpoteza mama mlojaaliwa kuwa mama watunzeni,nawaombea wawe na afya njema
Barikiwa sana mpendwa
Siku hizi hamumuombi Mungu mnaomba like,mmelogwa nyie. All in all nyimbo kali mnoooooo
Ben hama kabisaa bro imba gospel
Wewe mwenyewe unatafuta like😒
🙆
😀😀
Ben pol_ Pete Lyrics 👉 ruclips.net/video/XRRbueDQgtI/видео.html
Best Naso _Ediga Lyrics 👉ruclips.net/video/qww2U2XYh_s/видео.html
Tundaman ft Richard_ Basi imba Lyrics 👉 ruclips.net/video/EEbANpUux7A/видео.html
Pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
My mum mwende muthui love you mammie mungu akueke
Kama una mpenda mama yako usipite bila ku gonga like apo chini
ruclips.net/video/W8fCK8dVXM8/видео.html
ruclips.net/video/6c3RvE_Ltog/видео.html 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mapenzi kwa mama
Ben pol_ Pete Lyrics 👉 ruclips.net/video/XRRbueDQgtI/видео.html
Best Naso _Ediga Lyrics 👉ruclips.net/video/qww2U2XYh_s/видео.html
Tundaman ft Richard_ Basi imba Lyrics 👉 ruclips.net/video/EEbANpUux7A/видео.html
Pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Love
Saaana mummy love her too much
❤❤❤ tupotuopenda Mama zetu
Kama unaamin mama yako alikuvisha #nguo# achia like yako acha wivu😍😍😍😍😍😍 #mama#
ARON PAULO Official tz 🙌🙌🙌🙌🙌
Ben Pol barikiwa mno kwa kuchagua lililo jema. Mama ndo kila kitu. Mungu abariki kazi ya mikono yako
😍😍😍😍😍😍😍😍😍
sana sana
Uhu wimbo ni watofauti sana image nikiskiliza lazma chozi linitokee Mama MUNGU akuweke mwanao natafuta sijakusahau
As long as I am breathing.....I will always support my parents
Tuliokujq kumuona zuwena wa diamond tujuane hapa
Rais,mbungee,kilaa kituu mama 😥😭 Pumzikaa kwa Aman Mama yanguuu😭
Pole
RAJABU MSUYA Asanteeee
AminA
Pole dear
@@esthersteven2858 asant mpnz
Hiyo nyimbo inanibariki kilaninapo isikia ubarikiwe sana kwenyehuo wimbo
Wow what a beautiful song 😍😍 wapi likes za ben pol today being mothers day.....
More love you mastaa wangu🎉🎉
Nimelia sana 😭😭😭😭wapendwa nyimbo mme imba kwa uhalisia wa hali ya juu nimekumis sana mama😭😭😭😭 nataman ungekuwepo kipindi niko na kaz nzur nikupe na mimi hata kanga nashindwa kuzuia machozi😭😭😭 yang mungu akulaze mahali pema peponi amina pamoja na kipenzi chako baba😭😭😭😭😭
Pole kaka
Oooh nooo🙏
Pole
Pole sana guy
Mama ndo Kila kitu
Wimbo mzuri sana....hongera kwa mama na wanawake wote dunian
Naupenda huu wimbo , tha time unatoka nilikuwa mjamzito and on time uko hot nikajifungua so nilikuwa nafeel kila kitu kwenyw huo wimbo as a mama. Leo 2024 am here again kuusikiliza
Hapo sasa utazan benpol ndo muimba gospel. . . Kagosbert kanajikubali hahah et asante kwa chapati . . Kazi nzuri mbarikiwe akina mama wote
Jmn du imetoa choz
Jamani hii nyimbo inanibariki sana, nakupenda sana mamaangu uishi miaka mingi
ikiwa unaisikiliza nyimbo hii unamkumbuka mama gonga like hapa.
R l p mama
Mama cwez kukulipa Mimi
Yes kubwa Sana, like tujuane
Kama ulikuwa huna upendo wa kumjali mama mzazi ila baada ya kukumbushwa na benpol moyo umefadhaika weka like kwa mama!
Mama angu nakupenda sana.❤❤❤
Hakuna mama kama una mpenda mama tia like
Pumzka kwa amani mama yangu kipenz
nakupenda mam
Nakupenda mamaangu jamani nikikumbuka nilivyokua naumwa nautuuzima huu lakini uliniangalia kama kichanga kukutaka hata mumewangu anisogeleee uwiiiii nakupenda mamaangu mungu akuweke kwaajili yangu nawanangu yani kilanikiusikiliza huu wimbo machozi yana nitoka 😢😢😢😢 mama mtamu jamani asikwqmbie mtu poleni wote mliopoteza wazazi wenu haswa mzazi mama mungu awape faraja kilaaitwapo leo ❤❤❤
R.I.P MAMA 😭😭😭😭 PAMOJA NA KIPENZI CHAKO BABA R.I.P IPO SIKU TUTAKUJA ONANA PUMZIKENI KWA AMANI NAWAPENDA SANA
Isunga 1 yah kuwa na moyo wa ushajaa na mungu atakunzaa
Wapumzike kwa amani
pole aise
ruclips.net/video/1ytvAUljZfM/видео.html
Pole sana
Mimi nafasi ya mama nampa bibi yangu❤❤❤❤❤
Mama mama mama uko wapi? Je unanisikia huko ulipo? Mimi mwanao nataka kukuambia kuwa nakupenda sana mama yangu 😭😭 nakukumbuka sana mama yangu
Pumzika kwa aman
😭😭😭😭😭😭😭
sorry my
Pole
@@aishaaaisha3815 hyhhuuioo
Wapi likes zangu ndio nimekuwa millionth viewer🥰👊nimeileta 1M.....mama nakupenda Sana....hii niliipata999k
Fathers are just laughing they never bother of their wives being sung by their kids because themselves are proud of their Mama. I love you Mama
Love my mother
True bro
Genius
Nakupenda sana mama angu
😭😭😭😭 Mama yangu Nakupenda sana Mungu aendelee kukupumzisha mahali pema Mama yangu .....
Amina kikubwa dua kumuombea
Joyce denis kizee Amina
Ben pol_ Pete Lyrics 👉 ruclips.net/video/XRRbueDQgtI/видео.html
Best Naso _Ediga Lyrics 👉ruclips.net/video/qww2U2XYh_s/видео.html
Tundaman ft Richard_ Basi imba Lyrics 👉 ruclips.net/video/EEbANpUux7A/видео.html
Pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Barikiwa mama waishi moyoni mwangu haijarishi upo mbali kiasi gani mama lv u more😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Awesome song. Makes me appreciate the gift of having a mum around and being a mother too.
Love is priceless!
Kale katoto ka kiume kanakomuimbia mamake kamenileta huku😁 #love you mama
One of the best songs. Big up Ben and Goodluck 👏👏👏
Kweli kabisa hata useme umlipe lakini bado mungu wape mama zetu umri mrefu na wale waliotangulia mbele za haki allah awahifadhi mahali pema peponi amina
Kama umebabki na mama pekee gonga like tufunge na kuomba kwaajili ya mama
Rest in peace my hero dady
my mama a big blessing to me
Finally Goodluck ametaja chenye nimekua nikiwaammbia wengi
Wazazi wetu walitupa vyenye hawakua navyo.
I lo ve you too mumyy jaman nyimbo nzuri inanikumbusha mbali sana namuomba mungu awafanyie wepesi wazazi wetu washudie nakuyala matunda yetu jaman dah
Kaka asante kwa kazi nzuri sanaaaa, R.I.P Mama angu
Rip my mom yangu😭😭
R.i.p mama yangu kipenzi mungu ampunguzie adhabu za kabur
Mum wherever you will see this just know i love you from the bottom of my heart thank you Ben and Gozbert for such a Masterpiece.
Dakika ya 78 watu mshaviw 2000 duuu 😎fanya km unalike hivi twend sawa kwa mama 😢😢
Othman Abubakar sawa
nakupenda xana mama yang
Mungu awabariki wamama wote duniani.....like tuende sawa
MAMA❤❤❤❤never getting enough... I love you momma
Pumzika kwa amani mama yangu mwanao usiku huu nimejikuta nakumic sana mama
Any 2024 listeners...or am alone??🥶🥶
We are here🎉
I love my mummy❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mpaka mwisho wa dunia❤❤❤❤❤❤❤❤
I can't get enough of this song. I watch it everyday. Bigger guys.
MAMA bado nakupenda japo ulishatangulia mbele za haki😢😢
I loooove this song! Ben Pol thank you for this. Am not a mum yet but its still soooo special 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Guess you're now a mum. Two years down the line
Sasa wanaosema Hamonize kakosea njoo sikiza hapa Mama ni mama Kiumbe Mke kimechaguliwa na Mungu ni nusu ya mwili wa mwanaume so nikitu au kiumbe cha kuheshimu na kuogopa 😅😂❤❤❤❤❤❤❤❤ Bravo all Women’s but Good ones🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kama unampenda na kumheshimu #mama gonga like yako hapa twende sambamba, big up Sana #benpaul
ruclips.net/video/W8fCK8dVXM8/видео.html
I Love uuuuu mama
Rip mama yangu nakukumbuka Mimi kusikia hii nyimbo amennn👏👏👏👏👏
Ujumbe mzuri, Melody nzuri, uchaguzi mzuri wa collaboration. Ben Paul Kama shemeji yetu kambadilisha Sana hivi 😂
This song would be having more more more likes than it ,,, people don't love their parents
My mum is my world!My everyday motivation to work hard because i want her to live a better life.She is my reason and icon.I love her more than life itself♥️
Asantee mama yangu hukunitenga nilivo umwa hata siku moja ..mic u sana
Kazi nzuri sana brother sijawai kucoment kwenye RUclips ya MTU yoyote ila kwa ii kazi brothers mmeua sana jaman like kwangu kama umeamin ii kazi itashika trand namba 1
Saruuut san nakupenda san mam mungu akulaze mahar pema pepon mbele yet nyum yet
Mungu nijalie nipe uzima nikasherekee krismas namwaka.mpya namamaangu kipenzi
Asant mungu kwa kunip mam mzur
Our God bless all mother's in the world,🙏🙏💯
🔥🔥 I love this song so much
You dedication to Toto Kristen is also awesome.i love it i be singing while changing the name and inserting my future baby's....🤗m'barikiwe sana
Me tooo
Nikickiliza hii nyimbo hakika inanitoa machozi nakupenda saaana mama yangu inshaaallah allah akupe umri mrefu
Kila siku zinavyoenda ndio upendo wangu unavyozidi kwako mama nakupenda mama😘😘😘😘 gonga like kuonyesha upendo kwa mama yako na kumwombea maisha marefu kama yupo hai na kama ametangulia gonga like ishara kuwa bado unampenda na kumuhitaji maisha yako yote ikiwemo na kumwombea apumzike salama peponu ameen😭😭😭😭
Aiseee naisikiliza hii ngoma kila cku...mbunge n wewe,wazir n wewe,rais n wewe mama
Asanteh kwa kunibabua na kunikung'uta Mama... People are praising you, wanasema mama yako alokulea...ila mi ndo najua tumepitia mangapi pamoja. I love you Modo
Kazi nzur kaka zangu nawapenda jaman
kama unemuelewa ben pol gonga like hapa 🔨
Every day when I am listening to this song it sounds new hit in my mind
Nani kama mama as we dedicating to all mothers nd today is mother day drop like plzz😍😍😍
Mi naukubali sana wimbo huu kiukweli maneno ya wimbo huu yamekwenda shule sio siri.more love mama mwaaaaaexht....
R. I. P MY BELOVED MUM YOU WOULD HAVE BEEN HER AND SEND U THIS SUPER VOICED SONG THANKS THE ARTISTS I CANT STOP WATCHING
mama ni mama
Dah mama siurudi nikuone jmn mama nime kumisi jmn stay strong ndugu tuko pamoja me pia mama yagu kaniacha juzikati
Hata Mimi niliachwa na mama yangu nikiwa darasa la 6
Hakuna ka wewe dah? Nawaombea wamama wote mungh awatie nguvu siku zote no one like mom love u mom hakuna chochote kinachokuzidi hapa duniani malezi yako kwangh ni ya tamani sanaah🙏🙏🙏🙏🙏
Mara paaa Ben paul kawa mwaposa maaake duh
😂😂😂Au Pascal Cassian
Wababa mnajua tu kuweka mimba kulea kazi ya mama,hamjui mtt anapotoka waheshimuni wake zenu Kama mnavyowaheshim mama zenu
Fathers are always the unsung heroes. Their power and sacrifices always get ignored like they offer nothing to the family. I hope one day you make a song recognizing fathers. They suffer inside.
Search King Kaka ft Elani 'PAPA'
Umesema kwel nduguuu 👍
And sauti Sol Asante sana baba yangu
True they're the heroes behind the unclosed love in our hearts
They always sing for pu***es in different ways...
Hakika ukitoa mungu raisi niwewemama jembelangu nakupenda mamayangu popoteulopo
MAMA ..YANGU UKITOA YA MUNGU NI WEWE NIWEWE MAMA NTANUNUA NA KANGA ZENYE MANENO MAZURI UONE ....NA KAMA UKIENDA MAMA JJA NI AKUTHAMINI LIKE HApa kwa mama zetu woteeee.
.
Siku zote ningependa kufanya collabo na Gozbert ili kumsifu Mungu wangu....Ila napenda nyimbo zako sana
Mama ....... for real you mean more than life to me love you moms may the Grace of the Lord be with you always 🙏 Amen
watu wengi wamepoteza mama zao poleni sana Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi Amen!
I love you mum❤❤