WOMEN MATTERS: MWANAMKE ALIYE FUNZWA KUMPA HAKI YA UNYUMBA MUMEWAKE NI LAZIMA, HATA UKIMSUSIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #WomenMatters

Комментарии • 380

  • @justmustafa5328
    @justmustafa5328 4 года назад +43

    Mm napenda bi khadija kopa burebure love so much 😍💖😍💖😍

  • @hkikajumma9551
    @hkikajumma9551 4 года назад +36

    Woyoooo mwijaku yupo mm nampenda Sana Leo Safi kama wasafi🙌🙌🙌🙌🙌💯💯💯💯💯💯😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔🤔🤔💞💞💞💞💞💞

    • @jaydon3361
      @jaydon3361 4 года назад

      Bonyeza picha hii Yang kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone video mpya za wasani wa bongo

  • @missaisha938
    @missaisha938 4 года назад +30

    What a beautiful show 😊❤️😍 I like how meijaku ametulia haongeyi owyo yani his so classic in this show👌🤗

  • @user-hk2om2ef7m
    @user-hk2om2ef7m 4 года назад +20

    Mwijaku should be the host in this programme, he brings the taste and facts.

    • @someparuranga7377
      @someparuranga7377 2 года назад

      Iyo Dada mchepuko tu asa umekosa kupewa unyumba cyo sababu kutoka kama sababu ya mume

  • @zenamadhan2517
    @zenamadhan2517 4 года назад +37

    Uyu mama khadija kopa hachujiii..raahaaa

  • @aishaally2730
    @aishaally2730 4 года назад +5

    Lillian sisi tulokuwa mbali na nyumbani kwa kweli tunafarijika sana najifunza mengi sana asanteni sana ALLAH awabarik

  • @tummkwawa1148
    @tummkwawa1148 4 года назад +5

    Bi khadija’s voice is timeless!
    Masha’Allah😍

  • @aminahassan3588
    @aminahassan3588 4 года назад +9

    Bi khadija lizuri mashaaalla anazeeka na uzur wake baby face

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 года назад +21

    Bi hadija nimekupenda bure😍😍

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 года назад +11

    Nawapenda wote jamani kipindi hiki ni moto wallah kidumu milele Ameen

  • @economistsarafina8085
    @economistsarafina8085 4 года назад +37

    Jamani da Lily mtafute na huyu jamaa anaitwa iddimakengo umlete hapo siku moja tumuone, huwa Ana madini Sana huyu jamaa

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 4 года назад +2

      Kabisa ni balaa mwenyewe nilishawahi kumsikia,..

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 4 года назад +1

      Iddi makengo kwenye fb tu hataki kujulikana sembuse huku!yule mtu hataki Mauzo hata vitabu vyake anauzia ndani kwa ndani kwa njia ya simu

    • @callmesubra5472
      @callmesubra5472 4 года назад

      Siku zote waandishi mzuri huwa hawi muongeaji so iddy anakuwa huru zaidi akiwa nyuma ya camera

    • @lillianmwashatv
      @lillianmwashatv 4 года назад +2

      Ngoja nimsake..Ahsanteee

    • @laylasuliman5805
      @laylasuliman5805 4 года назад

      Nikweli wamlete idd

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard6701 4 года назад +1

    Asienipenda nampenda sembuse anaenipenda duuuhh🙌🙌ila uyu mama duuuuhh kanishinda

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 года назад +17

    Jaman wapi mama Terry, Debora, aunt sadaka.lakin hamna shida kipindi kiko pouwaaa kupata idea tofaut tofauti❣

  • @gerrylufingo387
    @gerrylufingo387 4 года назад +3

    Lilian and Team, you have said it all, thank You !

  • @lidus752
    @lidus752 4 года назад +6

    I swear this show wouldn't be the same without khadija!!!!She's too much :D :D

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 4 года назад +1

    Walah nimecheka kweli bi khadija unavyoongea kipind hiki kizur Sana hongera na pongenz Kwa vyoteee mnaoshiriki ❤️💕💕💕💕tunajifunza mengi much love you so much

  • @hkikajumma9551
    @hkikajumma9551 4 года назад +29

    Mwijaku mumuweke kila siku na mama yetu Adija kopa🙏ombilangu

    • @jumjumsaid3552
      @jumjumsaid3552 4 года назад +2

      Leo ndio imebamba show 254 huwa naifatalia I ya Leo kali

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707
    @medicalphysicsbiomedicalen1707 4 года назад +9

    Show nzuri, ila punguzeni kelele. Watching from Italy

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 4 года назад +3

    Ahsante WOMEN MATTERS karbu sana Mwijaku

  • @bettybetty3518
    @bettybetty3518 4 года назад +6

    Team Bi Hadhija, represent!🙌

  • @nasmasalimu9508
    @nasmasalimu9508 4 года назад +1

    Women matters 100% nawapenda sn l love you mama hadija kopa ukiwepo ina mbaba sn

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 года назад +19

    Hakuna mwanamke na akili zake anaweza kuamua tu kumnyima mumeo tendo; lazima kuna shida fulani

  • @vavabeni5217
    @vavabeni5217 4 года назад +3

    The show needs mwijaku always period

  • @basesabasesa8660
    @basesabasesa8660 4 года назад +5

    Mwijaku He’s the best

  • @abdalahtwahil5202
    @abdalahtwahil5202 4 года назад +1

    Nakipenda sana iki kipindi jamn nampenda mwijako anaongeaga point sanaa

  • @catelaya6141
    @catelaya6141 4 года назад

    Yes yes 💃Khadija Kopa. You guys are awesome. Thank you

  • @nuriatqueen5575
    @nuriatqueen5575 4 года назад +1

    Nawapenda saaana kwa uchauri mzuri ALLAH awalipe kila lakheri 😍😍❤❤❤👏😄😄😄

  • @kulthumbashiru5723
    @kulthumbashiru5723 4 года назад +1

    Kipind kizur sana nampenda bi khadija watching from Oman

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 4 года назад +5

    Kipindi kizuri kuliko maelezo....lkn kwa nini hampeani nafasi ya kuongea mmoja mmoja , pia kuna Swali aliliuuliza Mwijaku, kwanini wanawake mnakubali kuwa mchepuko halikujibiwa mmelipotezea kabisaaaa hilo swali jamani.....by the way kipindi kilinoga sana mnajielewa mnachokiwakilisha.Hongereni pia👏👏👏👏👏❣🇧🇪🇧🇪🇧🇪

    • @jboytz2384
      @jboytz2384 4 года назад

      Apo ndo wanapo kosea awapeani nafasi

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 4 года назад +1

    Hongereni women matters mko juu

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 4 года назад

    Bi Khadija, I love you mama... Mwenyezi Mungu akuweke inshaalha… Na ni kweli kimfano khaki kwa mwizi ni hukuma asa dini zipo lakini amanishi tunapoteza our own level of judgement. Na in life there is no straight forward answer to anything kwasababu there are different issues so its based on individual circumstances mwisho wa siku.

  • @zainathcuwimigishazchelsea2113
    @zainathcuwimigishazchelsea2113 4 года назад +1

    MashaAllah Bi Khadidja nakupenda wemama mwenye zimungu akuniifadhie😅🇧🇮

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 4 года назад +2

    Jamani nimecheka saaana 🤣🤣🤣🤣 A . K wewe noma ❤ from UK

  • @samirarashid8186
    @samirarashid8186 4 года назад +2

    Nawapenda sana ❤️❤️❤️❤️

  • @zaidalnoamani5364
    @zaidalnoamani5364 4 года назад +3

    Nawapenda saaana 😍😍😍😍😍

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 4 года назад +2

    Wanawake wa kiswahili haya ndio mnayoyaweza

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 4 года назад

    Shukran kwa maandalizi ya kipindi cha kuelimisha sio tu Watanzania bali Sote tunaoongea lugha ya kiswahili. Siku hizi wapo hata Wa China wanofahamu Kiswahili. Mumefanya wema kutaja kwamba uhusiano mwema unakuwa kwa wale wanaomcha Mungu kwa kuwa asiyekuwa na khofu ya Mungu atazini, kabla ya ndoa na akiolewa atachepuka. Jamani tujiepusheni mbali na majanga kama hayo. Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametuhimiza tuoe mwanamke mwenye Dini. Hata Mkristo aliyesoma Biblia anaelewa uzinifu ni jambo baya. Na kusahihisha mambo msione yule anayejikwaa akasema, Mtumeeee ukadhani huyo ni mchaMungu La. Akisema hivyo, atakuwa amekufuru. Uislamu unatufunza, kusema, Bismillahi, au Sub haana Allah, yaani kwa kumtaja Allah peke yake kwa kuwa hana mshirika.

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад +1

    mwejaku uko vizuri hakika unafudisha vizuri

  • @moshiibrahim1490
    @moshiibrahim1490 4 года назад +4

    Jamani nawapenda sana wote hapo mliopo kwenye kipindi

    • @jaydon3361
      @jaydon3361 4 года назад

      Bonyeza picha hii Yang kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone video mpya ya Diamond ft wizked imevuja

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 года назад

    Maashaa Allah hiki kipind mungu awape afya na umri mnatuvunja mbavu

  • @muhammedkhamis416
    @muhammedkhamis416 4 года назад +10

    Sio vitu 3 mwinjaku ni vi 4 tunatakiwa tuangalie waislam tukitaka kuona
    1.uzuri wake
    2.dini yake
    3.ahlu yake
    4.mali yake

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 4 года назад +1

    Hadija uko vizuri sana

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 4 года назад +1

    Much respect to bi Khadija Kopa

  • @jumjumsaid3552
    @jumjumsaid3552 4 года назад +16

    Usiangalie walimu angalia masomo yenye anakupa walimu

  • @bilalbaker9238
    @bilalbaker9238 3 года назад

    Hatari....Sana.

  • @sharonatieno840
    @sharonatieno840 4 года назад

    Wow ..have learned alot

  • @mwanamisp0fu760
    @mwanamisp0fu760 4 года назад

    Mambo ni moto mume bamba sana women matters hongera kwenu Bi khadija kopa ji mama lao

  • @vevo3130
    @vevo3130 4 года назад +1

    yaani mi napenda hiki kipindi na kelele zake hvohvo

  • @musakaziefuntv6995
    @musakaziefuntv6995 4 года назад +1

    Big point

  • @josephmoshi150
    @josephmoshi150 4 года назад +5

    Mwinyijakuu

  • @aidahtimothy9052
    @aidahtimothy9052 4 года назад +1

    Nice mwijaku umeongea point sana kunabak kupotezeana time tyu 🙏🙏🙏

  • @mrevara9824
    @mrevara9824 4 года назад +19

    Yaan ilo baba linawa2kan wasafi alaf leo Lipo apoapo jmn halion ata aibu

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 4 года назад +4

      Wenzio wanapiga ela We unawajaji izo ni kiki tu

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 4 года назад +3

      Ndo ujue mambo ya mjini kua kiki ila nyuma ya pazia watu wanakula na kunywa pamoja

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 4 года назад

      Harafu tambua kuna diamond na wasafi tv,ndomana hata wasanii wenye tatizo na mondi ngoma zao zinapigwa ...hicho ni kipindi mwanangu

  • @aminahassan3588
    @aminahassan3588 4 года назад +2

    Kipindi namba moja chenye mafunzo tanzania nzima mnasaidia ndowa za watu wengi kinafunza wanaume na wanawake

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 4 года назад +3

    Hakuna mwanamke anayeweza kumbadilisha mwanaume, mwanaume anabadilika mwenyewe tusidanganyane hapo, anapompenda mwanamke anabadilika yeye mwenyewe.

  • @shinnennaazshine896
    @shinnennaazshine896 4 года назад +4

    It's so funny 😂 am so enjoyed

  • @abduljvo5549
    @abduljvo5549 4 года назад +13

    Mwijaku Yupo na Madem 😅😅😂
    SuperWomen

  • @ShazeenBaby
    @ShazeenBaby 4 года назад

    Maashallah 👌 safii Sana

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 4 года назад

    Love from UK in Newcastle 👌👌👌👌👌👌👌👍👍👍👍😃

  • @deejahmaryam6667
    @deejahmaryam6667 4 года назад +4

    I just clicked the video after seen mwijako

  • @pickfordjustin3432
    @pickfordjustin3432 4 года назад +18

    Wangapi wamemuona jaama jeusi

    • @OmanOman-wv3ny
      @OmanOman-wv3ny 4 года назад +2

      Nimekuja hapakwajili yamwijaku💃💃

    • @cestlaviecestlavie4073
      @cestlaviecestlavie4073 4 года назад +2

      dah 🙄🤔, hapa Mwinjaku kafanana sana na mtoto wa Natasha...

    • @yassminassey6044
      @yassminassey6044 4 года назад

      @@cestlaviecestlavie4073 umeona huouso huomdomo jaman mmmh mdomokoma

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 4 года назад

      Uyu alopaka mafuta ya bunduki??🤔🤓

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 2 года назад

    Mnasema wote kwa wakati mmoja

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 4 года назад

    Mpo juu dear Lilian
    Naitwa zuhura natizama women matters kutoka Northampton

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 4 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂 i only watch episodes which kopa yupoooo 😂😂😂💪🏽❤️

  • @زليخهيوسف-ط1د
    @زليخهيوسف-ط1د 4 года назад

    Masha Allah! Bi Khadija.

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 года назад

    Bi khadija umenibana 🙌😄😄 jamn nimewapenda b khadija mwijaku noma sanaa

  • @shammxtv5608
    @shammxtv5608 4 года назад +2

    So so sweet wallah me ntanuna kote lkn nikisogezwa ktk dudulayuyu nacheka mwenyew😹😹😹

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 года назад +1

    Ni vyema kuwe na vyuo vya kufunza kina dada kuhusu mambo ya kimapenzi ya kuwawezesha kunogesha kwenye maisha ya ndoa. Wengi wanajihusisha na majanga (ambayo hayasemeki) kabla ya ndoa....

  • @heletuuabdalla9434
    @heletuuabdalla9434 4 года назад

    Show iko poa sana and najifunza mengi thanks

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад

    Mwijaku na Khadija Kopa lazima wawe kwa hii program always

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 4 года назад

    Sauda wa Muscat, Nawapenda ♥️ Sana, Malkia awepo Siku zote,

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 года назад +3

    Nime enjoy kwa walah kipindi kizur 😂😂😂😂💛💚💗

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 4 года назад +3

    Jaman daaa nimejifunza mengi kipindi kizur nimependa ujasiri aliokuwanao bi hadija kopa amefunguka hakika wadada wengi watakuwa wamejifunza kith

  • @janethpaul1553
    @janethpaul1553 4 года назад +1

    Khadija Kopa is the best🥰

  • @victorynatai4445
    @victorynatai4445 4 года назад +3

    lilia utaachika shauri yako,
    mm tukigombana na mr lazima tufanye tena ile yenyewe kwa hasira kabisa😂😂😂😂

  • @honorinamashingia7515
    @honorinamashingia7515 3 года назад

    kipindi kizuri ila hamna ustarabu wa kuongea. Nashauri mpeane nafasi ili wasikilizaji waweze kuelewa angalau mmoja baada ya mwingine. Inakuwa zogo. Rekebisheni hapo. Asante

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 4 года назад +11

    Mama khadja kopa....na mwijaku

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 года назад +2

    ❤❤

  • @stellabaraka1334
    @stellabaraka1334 3 года назад

    Nawapenda 💕💕💕💕💕 bureeeéeee

  • @krauseboss3240
    @krauseboss3240 4 года назад +1

    Lili nakupenda sana

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 4 года назад +2

    Mwijakuuu hahahaha kabaki domo wazi wakat khadija anaimba

  • @zaidizabron2294
    @zaidizabron2294 4 года назад +1

    Kaka mwijaku makukubali kigoma namba moja unatisha mimi nipo Dubai nakukubali sana brother kwenye mambo ya mausiano wewe ni noma mpaka bi Hadija amekukubari yanipasa nikirudi nitakutafuta hiki kipindi ni kizuri sana.

    • @zaidizabron2294
      @zaidizabron2294 4 года назад

      ikiwezekana kaka nitumie namba yako wewe ni mjomba kwani mama yangu ni mtu wa kigoma mzaliwa wa kasulu nakukubari sana jana nilikua naangalia mlivyo jipanga kuhusu maswala ya ndoa nimefurahi sana yani najifunza mambo mengi kupitia kwako naomba nicheki wasaap nipate namba yako naitwa Said nipo Dubai kikazi mwezi wa nne nakuja likizo nitakutafuta ninaambo mengi najivunia kupata mwalimu nakupenda sana kwa sababu wewe ni mkweli upindishi mambo big up namba yangu +971551271723 Dubai🙏

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 года назад

    Nc discussion

  • @aureliakabebwa4299
    @aureliakabebwa4299 4 года назад

    Nawapenda mie😘

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 года назад

    Nice sana

  • @scholasticalaurent1542
    @scholasticalaurent1542 4 года назад +1

    Jaman da Lilian mbona zamani ulikuwa unachagua mmoja mmoja anaongea but siku hizi naona wanaongea bila muongozo wako haipendez na point zinanichanganya sanaaaaaa

  • @rithanalukuli3367
    @rithanalukuli3367 4 года назад

    Thank you baby sky

  • @a.856
    @a.856 4 года назад +1

    👍🏼

  • @efraziabitababaje9217
    @efraziabitababaje9217 4 года назад

    Nimefurahi kumuona Happ Mwijaku

  • @mariammj9966
    @mariammj9966 4 года назад +1

    Kelele

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid8895 4 года назад +1

    Dada lily wewe mpe tu ukimpa atalewa😘😘😘

  • @johnladisilausi8052
    @johnladisilausi8052 4 года назад

    Kopa noma

  • @ismailissa4687
    @ismailissa4687 4 года назад +3

    Kuna wanaume wamebadilika kwa sababu ya wanawake.,mwanaume ambae aliekwishashindikana kubadilika kwa mzaz wake

  • @honorinamashingia7515
    @honorinamashingia7515 3 года назад

    Bi Hadija natamani wakupe muda mwingi uongee. Uko vizuri

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 4 года назад

    Mashaallah

  • @maisarasid8670
    @maisarasid8670 2 года назад

    Bi hadija asante sana kwa mahongezi yako yani mama kama mama

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 4 года назад +8

    Hao wenyewe washawahi kuwa michepuko ndio maana wanapiga makelele hata hawaeleweki vzr hahahaaaa,kila mmoja mjuaji hapo.

  • @kibibifoma4009
    @kibibifoma4009 4 года назад

    Na furahia saaana Da Lily Mwasha

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +2

    Mwijaku ndani😂😂

  • @janewekesa5515
    @janewekesa5515 3 года назад

    Bi Khadija Kopa hoyeeee.

  • @vlogvlog8522
    @vlogvlog8522 4 года назад

    Kwa kweli yani Hii timu awe debora sky sadaka lili hadija koppa antie sadaka mama terry na Yule handsome boy wetu alikuwwpo juzi