Walah nimecheka kweli bi khadija unavyoongea kipind hiki kizur Sana hongera na pongenz Kwa vyoteee mnaoshiriki ❤️💕💕💕💕tunajifunza mengi much love you so much
Kipindi kizuri kuliko maelezo....lkn kwa nini hampeani nafasi ya kuongea mmoja mmoja , pia kuna Swali aliliuuliza Mwijaku, kwanini wanawake mnakubali kuwa mchepuko halikujibiwa mmelipotezea kabisaaaa hilo swali jamani.....by the way kipindi kilinoga sana mnajielewa mnachokiwakilisha.Hongereni pia👏👏👏👏👏❣🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Bi Khadija, I love you mama... Mwenyezi Mungu akuweke inshaalha… Na ni kweli kimfano khaki kwa mwizi ni hukuma asa dini zipo lakini amanishi tunapoteza our own level of judgement. Na in life there is no straight forward answer to anything kwasababu there are different issues so its based on individual circumstances mwisho wa siku.
Shukran kwa maandalizi ya kipindi cha kuelimisha sio tu Watanzania bali Sote tunaoongea lugha ya kiswahili. Siku hizi wapo hata Wa China wanofahamu Kiswahili. Mumefanya wema kutaja kwamba uhusiano mwema unakuwa kwa wale wanaomcha Mungu kwa kuwa asiyekuwa na khofu ya Mungu atazini, kabla ya ndoa na akiolewa atachepuka. Jamani tujiepusheni mbali na majanga kama hayo. Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametuhimiza tuoe mwanamke mwenye Dini. Hata Mkristo aliyesoma Biblia anaelewa uzinifu ni jambo baya. Na kusahihisha mambo msione yule anayejikwaa akasema, Mtumeeee ukadhani huyo ni mchaMungu La. Akisema hivyo, atakuwa amekufuru. Uislamu unatufunza, kusema, Bismillahi, au Sub haana Allah, yaani kwa kumtaja Allah peke yake kwa kuwa hana mshirika.
Ni vyema kuwe na vyuo vya kufunza kina dada kuhusu mambo ya kimapenzi ya kuwawezesha kunogesha kwenye maisha ya ndoa. Wengi wanajihusisha na majanga (ambayo hayasemeki) kabla ya ndoa....
kipindi kizuri ila hamna ustarabu wa kuongea. Nashauri mpeane nafasi ili wasikilizaji waweze kuelewa angalau mmoja baada ya mwingine. Inakuwa zogo. Rekebisheni hapo. Asante
Kaka mwijaku makukubali kigoma namba moja unatisha mimi nipo Dubai nakukubali sana brother kwenye mambo ya mausiano wewe ni noma mpaka bi Hadija amekukubari yanipasa nikirudi nitakutafuta hiki kipindi ni kizuri sana.
ikiwezekana kaka nitumie namba yako wewe ni mjomba kwani mama yangu ni mtu wa kigoma mzaliwa wa kasulu nakukubari sana jana nilikua naangalia mlivyo jipanga kuhusu maswala ya ndoa nimefurahi sana yani najifunza mambo mengi kupitia kwako naomba nicheki wasaap nipate namba yako naitwa Said nipo Dubai kikazi mwezi wa nne nakuja likizo nitakutafuta ninaambo mengi najivunia kupata mwalimu nakupenda sana kwa sababu wewe ni mkweli upindishi mambo big up namba yangu +971551271723 Dubai🙏
Jaman da Lilian mbona zamani ulikuwa unachagua mmoja mmoja anaongea but siku hizi naona wanaongea bila muongozo wako haipendez na point zinanichanganya sanaaaaaa
Mm napenda bi khadija kopa burebure love so much 😍💖😍💖😍
Mama Khadija Kopa,penda wewe sana
Woyoooo mwijaku yupo mm nampenda Sana Leo Safi kama wasafi🙌🙌🙌🙌🙌💯💯💯💯💯💯😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔🤔🤔💞💞💞💞💞💞
Bonyeza picha hii Yang kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone video mpya za wasani wa bongo
What a beautiful show 😊❤️😍 I like how meijaku ametulia haongeyi owyo yani his so classic in this show👌🤗
Mwijaku should be the host in this programme, he brings the taste and facts.
Iyo Dada mchepuko tu asa umekosa kupewa unyumba cyo sababu kutoka kama sababu ya mume
Uyu mama khadija kopa hachujiii..raahaaa
Lillian sisi tulokuwa mbali na nyumbani kwa kweli tunafarijika sana najifunza mengi sana asanteni sana ALLAH awabarik
Bi khadija’s voice is timeless!
Masha’Allah😍
Bi khadija lizuri mashaaalla anazeeka na uzur wake baby face
amina hassan Yaani fireeee huyu mama
Bi hadija nimekupenda bure😍😍
Nawapenda wote jamani kipindi hiki ni moto wallah kidumu milele Ameen
Jamani da Lily mtafute na huyu jamaa anaitwa iddimakengo umlete hapo siku moja tumuone, huwa Ana madini Sana huyu jamaa
Kabisa ni balaa mwenyewe nilishawahi kumsikia,..
Iddi makengo kwenye fb tu hataki kujulikana sembuse huku!yule mtu hataki Mauzo hata vitabu vyake anauzia ndani kwa ndani kwa njia ya simu
Siku zote waandishi mzuri huwa hawi muongeaji so iddy anakuwa huru zaidi akiwa nyuma ya camera
Ngoja nimsake..Ahsanteee
Nikweli wamlete idd
Asienipenda nampenda sembuse anaenipenda duuuhh🙌🙌ila uyu mama duuuuhh kanishinda
Jaman wapi mama Terry, Debora, aunt sadaka.lakin hamna shida kipindi kiko pouwaaa kupata idea tofaut tofauti❣
nampenda mamii hkadija kopa
Lilian and Team, you have said it all, thank You !
I swear this show wouldn't be the same without khadija!!!!She's too much :D :D
Walah nimecheka kweli bi khadija unavyoongea kipind hiki kizur Sana hongera na pongenz Kwa vyoteee mnaoshiriki ❤️💕💕💕💕tunajifunza mengi much love you so much
Mwijaku mumuweke kila siku na mama yetu Adija kopa🙏ombilangu
Leo ndio imebamba show 254 huwa naifatalia I ya Leo kali
Show nzuri, ila punguzeni kelele. Watching from Italy
Upo kalantini
Exactly no decorum kama kikao cha wahuni!
Ahsante WOMEN MATTERS karbu sana Mwijaku
Team Bi Hadhija, represent!🙌
Women matters 100% nawapenda sn l love you mama hadija kopa ukiwepo ina mbaba sn
Hakuna mwanamke na akili zake anaweza kuamua tu kumnyima mumeo tendo; lazima kuna shida fulani
Umeonae
10000000%agree
Naunga mkobo
Hakuna Sheria ya kunyimana tendo la Ndoa, Ukifanya Hivyo umevunja amli ya Allah, ( Mungu )
@@lissadanford7171 A1q0
The show needs mwijaku always period
Mwijaku He’s the best
Nakipenda sana iki kipindi jamn nampenda mwijako anaongeaga point sanaa
Yes yes 💃Khadija Kopa. You guys are awesome. Thank you
Nawapenda saaana kwa uchauri mzuri ALLAH awalipe kila lakheri 😍😍❤❤❤👏😄😄😄
Kipind kizur sana nampenda bi khadija watching from Oman
Kipindi kizuri kuliko maelezo....lkn kwa nini hampeani nafasi ya kuongea mmoja mmoja , pia kuna Swali aliliuuliza Mwijaku, kwanini wanawake mnakubali kuwa mchepuko halikujibiwa mmelipotezea kabisaaaa hilo swali jamani.....by the way kipindi kilinoga sana mnajielewa mnachokiwakilisha.Hongereni pia👏👏👏👏👏❣🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Apo ndo wanapo kosea awapeani nafasi
Hongereni women matters mko juu
Bi Khadija, I love you mama... Mwenyezi Mungu akuweke inshaalha… Na ni kweli kimfano khaki kwa mwizi ni hukuma asa dini zipo lakini amanishi tunapoteza our own level of judgement. Na in life there is no straight forward answer to anything kwasababu there are different issues so its based on individual circumstances mwisho wa siku.
MashaAllah Bi Khadidja nakupenda wemama mwenye zimungu akuniifadhie😅🇧🇮
Jamani nimecheka saaana 🤣🤣🤣🤣 A . K wewe noma ❤ from UK
Nawapenda sana ❤️❤️❤️❤️
Nawapenda saaana 😍😍😍😍😍
Wanawake wa kiswahili haya ndio mnayoyaweza
Shukran kwa maandalizi ya kipindi cha kuelimisha sio tu Watanzania bali Sote tunaoongea lugha ya kiswahili. Siku hizi wapo hata Wa China wanofahamu Kiswahili. Mumefanya wema kutaja kwamba uhusiano mwema unakuwa kwa wale wanaomcha Mungu kwa kuwa asiyekuwa na khofu ya Mungu atazini, kabla ya ndoa na akiolewa atachepuka. Jamani tujiepusheni mbali na majanga kama hayo. Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametuhimiza tuoe mwanamke mwenye Dini. Hata Mkristo aliyesoma Biblia anaelewa uzinifu ni jambo baya. Na kusahihisha mambo msione yule anayejikwaa akasema, Mtumeeee ukadhani huyo ni mchaMungu La. Akisema hivyo, atakuwa amekufuru. Uislamu unatufunza, kusema, Bismillahi, au Sub haana Allah, yaani kwa kumtaja Allah peke yake kwa kuwa hana mshirika.
mwejaku uko vizuri hakika unafudisha vizuri
Jamani nawapenda sana wote hapo mliopo kwenye kipindi
Bonyeza picha hii Yang kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone video mpya ya Diamond ft wizked imevuja
Maashaa Allah hiki kipind mungu awape afya na umri mnatuvunja mbavu
Sio vitu 3 mwinjaku ni vi 4 tunatakiwa tuangalie waislam tukitaka kuona
1.uzuri wake
2.dini yake
3.ahlu yake
4.mali yake
Hadija uko vizuri sana
Much respect to bi Khadija Kopa
Usiangalie walimu angalia masomo yenye anakupa walimu
Hatari....Sana.
Wow ..have learned alot
Mambo ni moto mume bamba sana women matters hongera kwenu Bi khadija kopa ji mama lao
yaani mi napenda hiki kipindi na kelele zake hvohvo
Big point
Mwinyijakuu
Nice mwijaku umeongea point sana kunabak kupotezeana time tyu 🙏🙏🙏
Yaan ilo baba linawa2kan wasafi alaf leo Lipo apoapo jmn halion ata aibu
Wenzio wanapiga ela We unawajaji izo ni kiki tu
Ndo ujue mambo ya mjini kua kiki ila nyuma ya pazia watu wanakula na kunywa pamoja
Harafu tambua kuna diamond na wasafi tv,ndomana hata wasanii wenye tatizo na mondi ngoma zao zinapigwa ...hicho ni kipindi mwanangu
Kipindi namba moja chenye mafunzo tanzania nzima mnasaidia ndowa za watu wengi kinafunza wanaume na wanawake
Hakuna mwanamke anayeweza kumbadilisha mwanaume, mwanaume anabadilika mwenyewe tusidanganyane hapo, anapompenda mwanamke anabadilika yeye mwenyewe.
Kweli kabisa
Hapana kuna wanaume wanadilka
Mwanaume hatuliii hadi atulizwe, lakini Mwanamke atulizwi hadi atulie! Sijui tumeelewana
It's so funny 😂 am so enjoyed
Mwijaku Yupo na Madem 😅😅😂
SuperWomen
Mwijaku namkubali sana
Lkn nashngaa mwijaku hajapijs kigelegele katoa macho tu
Maashallah 👌 safii Sana
Love from UK in Newcastle 👌👌👌👌👌👌👌👍👍👍👍😃
I just clicked the video after seen mwijako
Wangapi wamemuona jaama jeusi
Nimekuja hapakwajili yamwijaku💃💃
dah 🙄🤔, hapa Mwinjaku kafanana sana na mtoto wa Natasha...
@@cestlaviecestlavie4073 umeona huouso huomdomo jaman mmmh mdomokoma
Uyu alopaka mafuta ya bunduki??🤔🤓
Mnasema wote kwa wakati mmoja
Mpo juu dear Lilian
Naitwa zuhura natizama women matters kutoka Northampton
😂😂😂😂😂😂 i only watch episodes which kopa yupoooo 😂😂😂💪🏽❤️
Masha Allah! Bi Khadija.
Bi khadija umenibana 🙌😄😄 jamn nimewapenda b khadija mwijaku noma sanaa
So so sweet wallah me ntanuna kote lkn nikisogezwa ktk dudulayuyu nacheka mwenyew😹😹😹
Sema ukwl unajisikiaje unakua
Ni vyema kuwe na vyuo vya kufunza kina dada kuhusu mambo ya kimapenzi ya kuwawezesha kunogesha kwenye maisha ya ndoa. Wengi wanajihusisha na majanga (ambayo hayasemeki) kabla ya ndoa....
Show iko poa sana and najifunza mengi thanks
Mwijaku na Khadija Kopa lazima wawe kwa hii program always
Sauda wa Muscat, Nawapenda ♥️ Sana, Malkia awepo Siku zote,
Nime enjoy kwa walah kipindi kizur 😂😂😂😂💛💚💗
Jaman daaa nimejifunza mengi kipindi kizur nimependa ujasiri aliokuwanao bi hadija kopa amefunguka hakika wadada wengi watakuwa wamejifunza kith
Khadija Kopa is the best🥰
lilia utaachika shauri yako,
mm tukigombana na mr lazima tufanye tena ile yenyewe kwa hasira kabisa😂😂😂😂
kipindi kizuri ila hamna ustarabu wa kuongea. Nashauri mpeane nafasi ili wasikilizaji waweze kuelewa angalau mmoja baada ya mwingine. Inakuwa zogo. Rekebisheni hapo. Asante
Mama khadja kopa....na mwijaku
❤❤
Nawapenda 💕💕💕💕💕 bureeeéeee
Lili nakupenda sana
Mwijakuuu hahahaha kabaki domo wazi wakat khadija anaimba
Anambwembwe sana
Kaka mwijaku makukubali kigoma namba moja unatisha mimi nipo Dubai nakukubali sana brother kwenye mambo ya mausiano wewe ni noma mpaka bi Hadija amekukubari yanipasa nikirudi nitakutafuta hiki kipindi ni kizuri sana.
ikiwezekana kaka nitumie namba yako wewe ni mjomba kwani mama yangu ni mtu wa kigoma mzaliwa wa kasulu nakukubari sana jana nilikua naangalia mlivyo jipanga kuhusu maswala ya ndoa nimefurahi sana yani najifunza mambo mengi kupitia kwako naomba nicheki wasaap nipate namba yako naitwa Said nipo Dubai kikazi mwezi wa nne nakuja likizo nitakutafuta ninaambo mengi najivunia kupata mwalimu nakupenda sana kwa sababu wewe ni mkweli upindishi mambo big up namba yangu +971551271723 Dubai🙏
Nc discussion
Nawapenda mie😘
Nice sana
Jaman da Lilian mbona zamani ulikuwa unachagua mmoja mmoja anaongea but siku hizi naona wanaongea bila muongozo wako haipendez na point zinanichanganya sanaaaaaa
Thank you baby sky
👍🏼
Nimefurahi kumuona Happ Mwijaku
Kelele
Dada lily wewe mpe tu ukimpa atalewa😘😘😘
Kopa noma
Kuna wanaume wamebadilika kwa sababu ya wanawake.,mwanaume ambae aliekwishashindikana kubadilika kwa mzaz wake
Bi Hadija natamani wakupe muda mwingi uongee. Uko vizuri
Mashaallah
Bi hadija asante sana kwa mahongezi yako yani mama kama mama
Hao wenyewe washawahi kuwa michepuko ndio maana wanapiga makelele hata hawaeleweki vzr hahahaaaa,kila mmoja mjuaji hapo.
Na furahia saaana Da Lily Mwasha
Mwijaku ndani😂😂
Bi Khadija Kopa hoyeeee.
Kwa kweli yani Hii timu awe debora sky sadaka lili hadija koppa antie sadaka mama terry na Yule handsome boy wetu alikuwwpo juzi