Lily jaman, upo soooo Old fashion kama Bibi yangu..😂😂😂😂😂 Mapenzi chumbani Tu Nani kasema Kuna jikoni, bafuni, kwenye gari, beach (ufukweni Kwenye maji), kwenye ndege chooni, malls chooni, malls kwenye chumba cha kujaribisha nguo, msituni, etc etc etc, jiongeze Mdogowangu utayafaidi Mapenzi hutatamani Yesu arudi 🙏🏃🏃🏃🏃
hichi kipindi nikitamu coz kina natural conversation so kila mtu akipata idea anatoa ...mkisema io ya kupeana time sjui huyu then huyu it wont be natural na itaboa coz ni discussion hii
LILIAN GIVE YOUR GUESTS THE CHANCE TO SPEAK YOU ARE OVERTAKING THE CONVERSATIONS, YOU AS THE HOST TO ASK QUESTIONS, LEAD, GUIDE AND ADD POINT ONCE IN A WHILE FOR THE CONVERSATION TO RUN SMOOTHLY.
Pongezini kwa kuwahamasisha wanaume na kuwakumbusha na kuwashujaisha kuhusu njia za kutekeleza mambo ya ki mapenzi. Hata wanaume ni mashujaa lakini wasipowashujaisha wake zao kuhusu baadhi ya mambo yale halali watakosa motisha wa mwenza
Jamani katika vipindi vyote mlivyowahi ku record hichi ni kiboko yao, nimewapenda sana, pole mama mchungaji Leo vijana wamekupata hahahaaa, jamani Leo mmenifanya nicheke mno, anti sadaka unaishia kucheka tuu.
Mkimpata mtu aliyesomea child psychology atawaeleza , mtoto mdogo kujichezea sehem za siri ni kawaida ktk umri fulani, binadamu tunapitia stage nyingi tangu unapozaliwa mpaka uzeeni zile stage huwa zinapita hazikai ule umri ukipita, ukimwona mtoto anachezea sehemu zake za siri mwambie acha nenda kanawe mikono mwambie kwa upendo kabisa na mfundishe kuhusu usafi maana mikono inaweza kuwa michafu akasababisha magonjwa sehemu za siri. Ukiwa mkali atakuwa anajificha na utamiss mengi sana. Kipindi cha adolescent au teenage age pia kuna mambo yake ukipita huwa wanaacha yakiendelea ndio uchukue hatua.
ili wanandoa wasiwe wazinifu pale wanapojisikia wanatakiwa wafanye ilimradi wawe wamejificha na watu wengine hiyo inasababisha kupendana zaidi halafu hata kama utampenda mwingine huna haja kufanya na mwingine kwa kuwa hamu umeimaliza na mwanandoa mwenzako
Lilian unasema youtube huoni Hawa waimbaji anavoimba na uchezaji wao mbaya na watoto wanaiga kwa hiyo utamzuia mtoto lakini ataona kwenye tv na magazeti. Hizi video mbaya sana, hilo je unasemaje dada lilly na akina aunty Sadaka
Shukran Sana wapenzi mnatuelimisha mengi Allah awabari sasa kuna hivyo mmlivyosema kufanya mapenzi kwenye gari ( six) hapo mmm sio ustaarabu pia inategemea nyote wawili mmna age gani kuanzi 20 to 30 akili bado za kitoto ukifikia age 35 to kuendelea kama hamjamalizana panapo husika mtakuwa mmenyengezana Tu hamjafika ndipo Kuna Jambo linakera sasa wale wanawake wanajisifu Mimi nililala na wanaume Fulani hawaoni haya kusema hivyo mbona wamekosa tabia hebu wafundisheni kuwa na haya Kwanza mwanamke hasemi maneno ya aibu hadharani 2 wanawafundisha nini jamii plz wawe wastaarabu
Mchungaji nimekuelewa sana humu mashuleni boarding jaman kaaah kunavioja vingi yani kiukweli Mungu aturehemu kikubwa uongozi wa shule uwe na mbinu za ziada sana zakulea hawa watotowetu hasa kiroho ili jamii ya watoto ipone kiukweli inaumiza
Nilicho gundua kwahawa kina mama wanazungumzia mapitoyao ilahawataki kusema mimi nshafanya vituhivi na hivi semeni nyinyi mlifanya nini katika ujana wenu hapo mtaeleweka vizuri
Decent show but you guys stop talking over each other, try and listen and speak when your being spoken , please share the platform otherwise we don’t get to hear the point properly 🙏🇬🇧🙏🔥
mapenzi ya kitandani tu ni very boored...kama mna nafasi fanyeni popote ili mradi hakuna mtu atawaona......hao wanaosema ni chumbani tu...wasipoangalia hiyo pia ni sababu ya michepuko kwa wanaume.......pia da Liliana usisahau kila mwanaume anapenda mke wake awe malaya wake .....huo ndio ukweli wenyewe
Kipindi kizuri but utaratibu wa uendeshaji ndio mbovu. Mada zinazozungumzwa ni mada fikirifu sana. Obviously mtu mwenye akili timamu pekee ndio anaweza kukisikiliza ili ajifunze. Inapofikia mnaingiliana katikati ya maongezi, hiyo ni vurugu tena. Naomba muweke utaratibu mzuri ili tuendelee kujifunza sio kusikiliza vurugu as if ni mashabiki wa Simba na Yanga ndo wanalumbana.
Natumaini hamjambo. Naomba ushauri. Nina mtoto wa kaka yangu wa kike wa miaka 8. Na wa mdogo wangu wa kiiume wa miaka 11. Huyu wa kiume nilipomchukua kumbe walishaanza kumchezea nyuma. Nilipogundua nikafanya upelelezi nikajakugudua ameanza kucheza na huyu wa kike. Nikawatenganisha haraka sana. Nimebaki na huyu wa kike namfuatilia nimegundua anajichezea huko chini mwenyewe. Naomba ushauri nichukue hatua gani yakumfanya kaselini.
Jamani Safari ni ndefu mpaka Tabora ukeshakufanya njiani kama ni muislamu kuswali he utamuachia Nani na ni lazima madhali Una ajili zako timamu. Mm naungana na mama kaisi. Ndani Sawa laki si njiani kwenye gari. Wanaofanya hivyo mara nyingi ni wanaoiba.
Kipindi kizuri sana liliy tunakuombeni mnapo zungumza mnapozungumza mpeane nafasi ili tusikilizane kwa pamoja ili tufaidike na kipindi chenu hivo mnatunyima hamfahamiki kelele nyinngi
Watu wanashindwa kuacha ngono Kwa sababu ya vidudu kwa kizungu ni baktiriya ukizowa wale wa dudu wanakuwa wanakusumbuwa lazima wapate Yale maji halafu wale vidudu wanaegezeka kuwa na nguvu ngiya nzuri kumuona daktari wanakupa dawa za kuuwa vidudu ndiyo utakuwa sawa mimi ndugiyeni daktari kutoka dubai
Point of correction you start teaching your children at the age of 4, Your body is the temple of God it is time that AFRICAN WOMEN COME TO THE FOREFRONT AND FIGHT AGAINST THIS AND GIVE BOTH YOUNG GIRLS AND BOYS INITIATED TO THIS ACTS. WHAT ARE OUR WOMEN DOING?USE YOUR PLATFORMS AND BE VOCAL CONCERNING THIS MATTER. ITS A SHAME WHAT OUR CHILDREN HAVE TO GO THROUGH THIS
Mume na Mke mkiwa tayari popote pale as long mko pekee na salama Mapenzi siyo kindani tu Mkiwa mnafanya mapenzi sehemu tofauti mtakuwa hamchokani kabisa ndo yenu hitadumu na kuhaminiana sana hata hikibidi Mara moja mnakwenda kulala ktk hotel
I love this program soo much cos I'm learning daily but please ongeeni mmoja mmoja
Lily jaman, upo soooo Old fashion kama Bibi yangu..😂😂😂😂😂
Mapenzi chumbani Tu Nani kasema
Kuna jikoni, bafuni, kwenye gari, beach (ufukweni Kwenye maji), kwenye ndege chooni, malls chooni, malls kwenye chumba cha kujaribisha nguo, msituni, etc etc etc, jiongeze Mdogowangu utayafaidi Mapenzi hutatamani Yesu arudi 🙏🏃🏃🏃🏃
Kazi nzuri sana
Yaaaaaaap
hichi kipindi nikitamu coz kina natural conversation so kila mtu akipata idea anatoa ...mkisema io ya kupeana time sjui huyu then huyu it wont be natural na itaboa coz ni discussion hii
LILIAN GIVE YOUR GUESTS THE CHANCE TO SPEAK YOU ARE OVERTAKING THE CONVERSATIONS, YOU AS THE HOST TO ASK QUESTIONS, LEAD, GUIDE AND ADD POINT ONCE IN A WHILE FOR THE CONVERSATION TO RUN SMOOTHLY.
anaongea sana
Sanaa anaongea hadi anasababisha kelele
Dada Lilian tulia wape wageni nafasi na uongoze mjadala
waoooo nawapendaa sanasanaa nawafatiliaa
Pongezini kwa kuwahamasisha wanaume na kuwakumbusha na kuwashujaisha kuhusu njia za kutekeleza mambo ya ki mapenzi. Hata wanaume ni mashujaa lakini wasipowashujaisha wake zao kuhusu baadhi ya mambo yale halali watakosa motisha wa mwenza
Jamani katika vipindi vyote mlivyowahi ku record hichi ni kiboko yao, nimewapenda sana, pole mama mchungaji Leo vijana wamekupata hahahaaa, jamani Leo mmenifanya nicheke mno, anti sadaka unaishia kucheka tuu.
Mkimpata mtu aliyesomea child psychology atawaeleza , mtoto mdogo kujichezea sehem za siri ni kawaida ktk umri fulani, binadamu tunapitia stage nyingi tangu unapozaliwa mpaka uzeeni zile stage huwa zinapita hazikai ule umri ukipita, ukimwona mtoto anachezea sehemu zake za siri mwambie acha nenda kanawe mikono mwambie kwa upendo kabisa na mfundishe kuhusu usafi maana mikono inaweza kuwa michafu akasababisha magonjwa sehemu za siri. Ukiwa mkali atakuwa anajificha na utamiss mengi sana. Kipindi cha adolescent au teenage age pia kuna mambo yake ukipita huwa wanaacha yakiendelea ndio uchukue hatua.
Lilian Leo umependeza sana....that hair and makeup look gud on u gal
too much make up
keep up the good work lilian.. say hi to bbysky
David
ili wanandoa wasiwe wazinifu pale wanapojisikia wanatakiwa wafanye ilimradi wawe wamejificha na watu wengine hiyo inasababisha kupendana zaidi halafu hata kama utampenda mwingine huna haja kufanya na mwingine kwa kuwa hamu umeimaliza na mwanandoa mwenzako
Good program but there is are problem of listening and speaking skills amang the hosts
Kaka andika tu kiswahili uelewekeee Mnatia aibu aise "there is are,, amang" anyway might be typing error lol limfao
Great job ladies
Hata kwa gari haina shida bora ni bibi na bwana na mko pekee hamna mtu yuko karibu.
Lilian give your guest time to talk please , we want to hear them .
Lilian unasema youtube huoni Hawa waimbaji anavoimba na uchezaji wao mbaya na watoto wanaiga kwa hiyo utamzuia mtoto lakini ataona kwenye tv na magazeti. Hizi video mbaya sana, hilo je unasemaje dada lilly na akina aunty Sadaka
Nikweli my boo need it every single ndoa
Wapiiiii mama tery Leo jaman mana mada y Leo...............
Am watching this After COVID-19... 2020 imekuwa ya Tofauti sana... 😭😭😭
its just an idea ungekuwa unatupa ata sisi wasikilizaji mda tunapiga simu nakuelezea mawzo yetu ingekuwa bomba
Ni kweli kabisa mama Debora hata miaka mitano vimeanza ngono
Wow leo Lilian umependeza sana Mashaallah
mmejua kunichekesha leo...hasa kwenye mtikisiko wa mama Kaisi.
Show kali sana
Uyo dada alievaa nguo nyekundu Amna kitu cjaona point yoyote ila nyie wengine big up sana
Wewe mchango wako wpi?
@@worldwide9207 cjasema kwa ubaya plz
@@worldwide9207 😊Asante
Hana msimamo yuko kote kote
kipindi kizuri sana ila peaneen mda wakuongea. kelele nyingi
Hongera
Hicho kiasi unachosema mama mchungaji ni kwa wanaume dhaifu ila kwa field force hata kwenye miba mechi lazima iishe
Shukran Sana wapenzi mnatuelimisha mengi Allah awabari sasa kuna hivyo mmlivyosema kufanya mapenzi kwenye gari ( six) hapo mmm sio ustaarabu pia inategemea nyote wawili mmna age gani kuanzi 20 to 30 akili bado za kitoto ukifikia age 35 to kuendelea kama hamjamalizana panapo husika mtakuwa mmenyengezana Tu hamjafika ndipo
Kuna Jambo linakera sasa wale wanawake wanajisifu Mimi nililala na wanaume Fulani hawaoni haya kusema hivyo mbona wamekosa tabia hebu wafundisheni kuwa na haya Kwanza mwanamke hasemi maneno ya aibu hadharani 2 wanawafundisha nini jamii plz wawe wastaarabu
😍
😅So amazing 👌
Kipind kizur nmekipenda
Wow Aunty Sadaka umenikosha leo.
Mchungaji nimekuelewa sana humu mashuleni boarding jaman kaaah kunavioja vingi yani kiukweli Mungu aturehemu kikubwa uongozi wa shule uwe na mbinu za ziada sana zakulea hawa watotowetu hasa kiroho ili jamii ya watoto ipone kiukweli inaumiza
Lily kwa nn una kataa mapenz sio chumbani tu my sister
Lilian napenda Sana unavyowa challenge
Nilicho gundua kwahawa kina mama wanazungumzia mapitoyao ilahawataki kusema mimi nshafanya vituhivi na hivi semeni nyinyi mlifanya nini katika ujana wenu hapo mtaeleweka vizuri
Ila nimecheka Leo mada hot Vai umenichekesha zaidi wajina
Kipindi kizur sana jaman, asante sana wamama kwa kutuelimisha
Maashaa Allah kipind bomba
Nilicho gundua hapo mama mchungaji umepotea ukweli unauficha Lili humo nako umechemka
Jaman mmetuwekea nn dj
Lili punguzaga bas kingereza my wengine no shuleeeee!!!!!
Aunt sadaka 👍🤝
Lilian aache watu waongee tuelewe, siamini km kumkatiza ni kusaidia watazamaji.
Inategemeana na chaji ya mtu mwingine wakigusana tu,lazima kimoja tupashe,namapenzi hayana mazingira isia zikisha fika tu hapo hakuna mjadara
Badilisheni sound track alafu peaneni nafasi kwenye kuongea ila mko vizuri wamama natunawapenda sanaaa
Jaman na mwanaume anaekaaa zaid ya wik hamgus mke yaan tendon la ndoa inakuaje hapo!?inakuaje hapo...
Decent show but you guys stop talking over each other, try and listen and speak when your being spoken , please share the platform otherwise we don’t get to hear the point properly 🙏🇬🇧🙏🔥
True
Dk ya 40:00 mmeniosha hali ya utoto, Ni vema mkipeana nafasi ili twende sawa.
Kipindi nikizury ila punguzen kelele
Acheni kuhusisha mapepo, imani za kishirikina ni kukosa elimu ya jambo husika.
Dad mwenye rasta yupo hapi san anaogea ukweli kabic
Kipindi kizuri sana ila tuna omba peyaneni mda tunaomba
Love u all
mapenzi ya kitandani tu ni very boored...kama mna nafasi fanyeni popote ili mradi hakuna mtu atawaona......hao wanaosema ni chumbani tu...wasipoangalia hiyo pia ni sababu ya michepuko kwa wanaume.......pia da Liliana usisahau kila mwanaume anapenda mke wake awe malaya wake .....huo ndio ukweli wenyewe
Hahahahahhaaaa, lily jamani eti huo ni unyama
Hakika kulea mimba si kazi ,kaz kulea mwana nimewakumbuka wahenga
Tendo la ngongo hufanywa popote palipo na fagha iwepolini vichakani ofisini shuleni kwenye gali ilimradi pawena stara basi
😍😍😍😍
Kipindi kizuri but utaratibu wa uendeshaji ndio mbovu. Mada zinazozungumzwa ni mada fikirifu sana. Obviously mtu mwenye akili timamu pekee ndio anaweza kukisikiliza ili ajifunze. Inapofikia mnaingiliana katikati ya maongezi, hiyo ni vurugu tena. Naomba muweke utaratibu mzuri ili tuendelee kujifunza sio kusikiliza vurugu as if ni mashabiki wa Simba na Yanga ndo wanalumbana.
Na wapenda Bure wa mama zangu na wadada zangu
Natumaini hamjambo. Naomba ushauri. Nina mtoto wa kaka yangu wa kike wa miaka 8. Na wa mdogo wangu wa kiiume wa miaka 11. Huyu wa kiume nilipomchukua kumbe walishaanza kumchezea nyuma. Nilipogundua nikafanya upelelezi nikajakugudua ameanza kucheza na huyu wa kike. Nikawatenganisha haraka sana. Nimebaki na huyu wa kike namfuatilia nimegundua anajichezea huko chini mwenyewe. Naomba ushauri nichukue hatua gani yakumfanya kaselini.
Akikua ataacha...
Dada jilie vya kwako mwaya! Kwenye gari jikoni upendavyo! Hii kitu hainaga formula
😂🤣😂 ukipata steam ndani ya gari . Lilian must have only one position tuu and inafanyika kitandani tuu
19century na 20century gongana
Hapana huo ni uzeee jaman
tunapenda hii kipindi yenu kweli kweli
Jamani
Safari ni ndefu mpaka Tabora ukeshakufanya njiani kama ni muislamu kuswali he utamuachia Nani na ni lazima madhali Una ajili zako timamu.
Mm naungana na mama kaisi.
Ndani Sawa laki si njiani kwenye gari. Wanaofanya hivyo mara nyingi ni wanaoiba.
Kipindi kizuri sana liliy tunakuombeni mnapo zungumza mnapozungumza mpeane nafasi ili tusikilizane kwa pamoja ili tufaidike na kipindi chenu hivo mnatunyima hamfahamiki kelele nyinngi
Kipindi kizuri sana lakini kelele ni nyingi daa
Watu wanashindwa kuacha ngono Kwa sababu ya vidudu kwa kizungu ni baktiriya ukizowa wale wa dudu wanakuwa wanakusumbuwa lazima wapate Yale maji halafu wale vidudu wanaegezeka kuwa na nguvu ngiya nzuri kumuona daktari wanakupa dawa za kuuwa vidudu ndiyo utakuwa sawa mimi ndugiyeni daktari kutoka dubai
😀😀😀😀😀😀
Ideology ya mama kaisi inanipaga shida jamn.
What book and verse are they talking about on 42:00
It's a nice and informative show but kindly take turns in talking....naumia maskio na zaidi nastrain kufuatilia debate
😀🙏🏻
Hivi Lili amekaa au amesimama?
Mama zangu na dd zangu kipindi nikozuri sana ila mnaboa hakuna upangilio wa maongezi hilo ndio tatizo lenu
Pia mazungumzo ya watu wa5, sidhani kama wanahitaji hiyo beat
Point of correction you start teaching your children at the age of 4, Your body is the temple of God it is time that AFRICAN WOMEN COME TO THE FOREFRONT AND FIGHT AGAINST THIS AND GIVE BOTH YOUNG GIRLS AND BOYS INITIATED TO THIS ACTS. WHAT ARE OUR WOMEN DOING?USE YOUR PLATFORMS AND BE VOCAL CONCERNING THIS MATTER. ITS A SHAME WHAT OUR CHILDREN HAVE TO GO THROUGH THIS
Jamani why kelele hata hatuwaelewi ...
kwasababu ni wanawake
Lilly u need to be calm sis
AWESOME AND SENSITIVE TOPIC/ SUBJECT BUT A VERY TERRIBLE HOST PLEASE GETA GOOD HOST FOR WOMEN MATTERS NEXT!!!!!!
Kipindi kizuri lakini mpeane muda wa kutupa mawaidha yenu sasa fujo hatusikii
Mnanifunza vingi
Kufanya sex jikoni au garini haihusiani na kuto heshimu ndoa...mapenzi ni popote ustaarabu kwenye sex ndo ndoa zinakosa ubunifu na kuleta shida
Peaneni muda wakuongea kila mtu akiongea tumsikilize nani sasa
Tatizo pale mnapoogea pont mnapiga mikelele kama watoto
Shukulani sanaa lakini peanen muda jamani
Ni sokoni au ?
Arrrrghh tht background sound yaaaudhiii....mmtu hawezi concentrate hata
😀😀😀😀😁
Kipindi kizuri lakini mkomae akili na mjue tunawasikiza wapenzi muwe mukipeana nafasi
duuuuuuuuu
😂😂😂jaman msicheze na hamu me popote tu
Mmmh haha
Devota Hahahahahhahaha ham ya nini devo
Ha ha ha ha
Mkipunguza kelele kipindi kitakuwa kizury sana
LILIAN YOU ARE ANNOYINGLY LOUD.LET YOUR GUESTS SPEAK FOR GOD'S SAKE.😣
Mume na Mke mkiwa tayari popote pale as long mko pekee na salama
Mapenzi siyo kindani tu
Mkiwa mnafanya mapenzi sehemu tofauti mtakuwa hamchokani kabisa ndo yenu hitadumu na kuhaminiana sana hata hikibidi Mara moja mnakwenda kulala ktk hotel
Fujo jamani fujooo!!! Mu peane mda wa kuongea basiii🤦♀️🤦♀️
KAMA KA GARI NI KALOKO?
INAONEKANA DADA WEE NJO BYAKO......TUAMBIANE KWELI
Kipindi kizur topics nzuri tatizoo hamsikilizan na kupeana mda🤦♀️
Sijui kwann mnashidwa kusikilizana
Fujo ndio women matters
Wallahi nimecheka