WOMEN MATTERS: MAPENZI TUNAWEZA FANYIA POPOTE, HATAKWENYE GARI, MIMI NAPENDA KWENYE GARI,ILIMLADI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #Womenmatters

Комментарии • 152

  • @aminaomar4073
    @aminaomar4073 4 года назад +3

    I love this program soo much cos I'm learning daily but please ongeeni mmoja mmoja

  • @Moneystarstories
    @Moneystarstories 4 года назад +5

    Lily jaman, upo soooo Old fashion kama Bibi yangu..😂😂😂😂😂
    Mapenzi chumbani Tu Nani kasema
    Kuna jikoni, bafuni, kwenye gari, beach (ufukweni Kwenye maji), kwenye ndege chooni, malls chooni, malls kwenye chumba cha kujaribisha nguo, msituni, etc etc etc, jiongeze Mdogowangu utayafaidi Mapenzi hutatamani Yesu arudi 🙏🏃🏃🏃🏃

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 4 года назад +12

    hichi kipindi nikitamu coz kina natural conversation so kila mtu akipata idea anatoa ...mkisema io ya kupeana time sjui huyu then huyu it wont be natural na itaboa coz ni discussion hii

  • @ellieclasen6886
    @ellieclasen6886 4 года назад +14

    LILIAN GIVE YOUR GUESTS THE CHANCE TO SPEAK YOU ARE OVERTAKING THE CONVERSATIONS, YOU AS THE HOST TO ASK QUESTIONS, LEAD, GUIDE AND ADD POINT ONCE IN A WHILE FOR THE CONVERSATION TO RUN SMOOTHLY.

  • @itsolutions2238
    @itsolutions2238 4 года назад +1

    waoooo nawapendaa sanasanaa nawafatiliaa

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 4 года назад +1

    Pongezini kwa kuwahamasisha wanaume na kuwakumbusha na kuwashujaisha kuhusu njia za kutekeleza mambo ya ki mapenzi. Hata wanaume ni mashujaa lakini wasipowashujaisha wake zao kuhusu baadhi ya mambo yale halali watakosa motisha wa mwenza

  • @nouraalaoui4996
    @nouraalaoui4996 4 года назад +3

    Jamani katika vipindi vyote mlivyowahi ku record hichi ni kiboko yao, nimewapenda sana, pole mama mchungaji Leo vijana wamekupata hahahaaa, jamani Leo mmenifanya nicheke mno, anti sadaka unaishia kucheka tuu.

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 4 года назад +6

    Mkimpata mtu aliyesomea child psychology atawaeleza , mtoto mdogo kujichezea sehem za siri ni kawaida ktk umri fulani, binadamu tunapitia stage nyingi tangu unapozaliwa mpaka uzeeni zile stage huwa zinapita hazikai ule umri ukipita, ukimwona mtoto anachezea sehemu zake za siri mwambie acha nenda kanawe mikono mwambie kwa upendo kabisa na mfundishe kuhusu usafi maana mikono inaweza kuwa michafu akasababisha magonjwa sehemu za siri. Ukiwa mkali atakuwa anajificha na utamiss mengi sana. Kipindi cha adolescent au teenage age pia kuna mambo yake ukipita huwa wanaacha yakiendelea ndio uchukue hatua.

  • @mayacel1391
    @mayacel1391 4 года назад +2

    Lilian Leo umependeza sana....that hair and makeup look gud on u gal

  • @davidmathew2087
    @davidmathew2087 4 года назад +8

    keep up the good work lilian.. say hi to bbysky

  • @jumanina7103
    @jumanina7103 4 года назад +1

    ili wanandoa wasiwe wazinifu pale wanapojisikia wanatakiwa wafanye ilimradi wawe wamejificha na watu wengine hiyo inasababisha kupendana zaidi halafu hata kama utampenda mwingine huna haja kufanya na mwingine kwa kuwa hamu umeimaliza na mwanandoa mwenzako

  • @gobbywilliam2324
    @gobbywilliam2324 4 года назад +14

    Good program but there is are problem of listening and speaking skills amang the hosts

    • @barnabasmafuru6930
      @barnabasmafuru6930 4 года назад

      Kaka andika tu kiswahili uelewekeee Mnatia aibu aise "there is are,, amang" anyway might be typing error lol limfao

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 4 года назад +1

    Great job ladies

  • @kennedymbernardos1912
    @kennedymbernardos1912 4 года назад +2

    Hata kwa gari haina shida bora ni bibi na bwana na mko pekee hamna mtu yuko karibu.

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 года назад +3

    Lilian give your guest time to talk please , we want to hear them .

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 4 года назад +1

    Lilian unasema youtube huoni Hawa waimbaji anavoimba na uchezaji wao mbaya na watoto wanaiga kwa hiyo utamzuia mtoto lakini ataona kwenye tv na magazeti. Hizi video mbaya sana, hilo je unasemaje dada lilly na akina aunty Sadaka

  • @rithanalukuli3367
    @rithanalukuli3367 4 года назад +1

    Nikweli my boo need it every single ndoa

  • @jacklineswallo3643
    @jacklineswallo3643 4 года назад +3

    Wapiiiii mama tery Leo jaman mana mada y Leo...............

  • @SweetHeart-mv7fe
    @SweetHeart-mv7fe 4 года назад +1

    Am watching this After COVID-19... 2020 imekuwa ya Tofauti sana... 😭😭😭

  • @davidmathew2087
    @davidmathew2087 4 года назад +6

    its just an idea ungekuwa unatupa ata sisi wasikilizaji mda tunapiga simu nakuelezea mawzo yetu ingekuwa bomba

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 года назад +1

    Ni kweli kabisa mama Debora hata miaka mitano vimeanza ngono

  • @nadhimanadhima4031
    @nadhimanadhima4031 4 года назад

    Wow leo Lilian umependeza sana Mashaallah

  • @vevo3130
    @vevo3130 4 года назад +1

    mmejua kunichekesha leo...hasa kwenye mtikisiko wa mama Kaisi.

  • @robbytz1314
    @robbytz1314 4 года назад

    Show kali sana

  • @chusecurrents4324
    @chusecurrents4324 4 года назад +2

    Uyo dada alievaa nguo nyekundu Amna kitu cjaona point yoyote ila nyie wengine big up sana

  • @janetmauna9406
    @janetmauna9406 4 года назад +16

    kipindi kizuri sana ila peaneen mda wakuongea. kelele nyingi

  • @otrishxavi8350
    @otrishxavi8350 4 года назад

    Hongera

  • @otrishxavi8350
    @otrishxavi8350 4 года назад +1

    Hicho kiasi unachosema mama mchungaji ni kwa wanaume dhaifu ila kwa field force hata kwenye miba mechi lazima iishe

  • @hasinahasan948
    @hasinahasan948 4 года назад +4

    Shukran Sana wapenzi mnatuelimisha mengi Allah awabari sasa kuna hivyo mmlivyosema kufanya mapenzi kwenye gari ( six) hapo mmm sio ustaarabu pia inategemea nyote wawili mmna age gani kuanzi 20 to 30 akili bado za kitoto ukifikia age 35 to kuendelea kama hamjamalizana panapo husika mtakuwa mmenyengezana Tu hamjafika ndipo
    Kuna Jambo linakera sasa wale wanawake wanajisifu Mimi nililala na wanaume Fulani hawaoni haya kusema hivyo mbona wamekosa tabia hebu wafundisheni kuwa na haya Kwanza mwanamke hasemi maneno ya aibu hadharani 2 wanawafundisha nini jamii plz wawe wastaarabu

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 4 года назад +1

    😍

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 4 года назад +1

    😅So amazing 👌

  • @gwamakakrizza4393
    @gwamakakrizza4393 4 года назад +2

    Kipind kizur nmekipenda

  • @nadhimanadhima4031
    @nadhimanadhima4031 4 года назад

    Wow Aunty Sadaka umenikosha leo.

  • @edithakomba7282
    @edithakomba7282 4 года назад

    Mchungaji nimekuelewa sana humu mashuleni boarding jaman kaaah kunavioja vingi yani kiukweli Mungu aturehemu kikubwa uongozi wa shule uwe na mbinu za ziada sana zakulea hawa watotowetu hasa kiroho ili jamii ya watoto ipone kiukweli inaumiza

  • @mugishabella8330
    @mugishabella8330 Год назад

    Lily kwa nn una kataa mapenz sio chumbani tu my sister

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 года назад +2

    Lilian napenda Sana unavyowa challenge

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 3 года назад

    Nilicho gundua kwahawa kina mama wanazungumzia mapitoyao ilahawataki kusema mimi nshafanya vituhivi na hivi semeni nyinyi mlifanya nini katika ujana wenu hapo mtaeleweka vizuri

  • @vaimwacha6386
    @vaimwacha6386 4 года назад +1

    Ila nimecheka Leo mada hot Vai umenichekesha zaidi wajina

  • @najma3268
    @najma3268 4 года назад

    Kipindi kizur sana jaman, asante sana wamama kwa kutuelimisha

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 года назад

    Maashaa Allah kipind bomba

  • @AsteriaMontgomery
    @AsteriaMontgomery Месяц назад

    Nilicho gundua hapo mama mchungaji umepotea ukweli unauficha Lili humo nako umechemka

  • @ashleylaurent6071
    @ashleylaurent6071 4 года назад +1

    Jaman mmetuwekea nn dj

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 4 года назад +1

    Lili punguzaga bas kingereza my wengine no shuleeeee!!!!!

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад

    Aunt sadaka 👍🤝

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 4 года назад +1

    Lilian aache watu waongee tuelewe, siamini km kumkatiza ni kusaidia watazamaji.

  • @frankngoloka8311
    @frankngoloka8311 4 года назад +1

    Inategemeana na chaji ya mtu mwingine wakigusana tu,lazima kimoja tupashe,namapenzi hayana mazingira isia zikisha fika tu hapo hakuna mjadara

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 4 года назад

    Badilisheni sound track alafu peaneni nafasi kwenye kuongea ila mko vizuri wamama natunawapenda sanaaa

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 3 года назад

    Jaman na mwanaume anaekaaa zaid ya wik hamgus mke yaan tendon la ndoa inakuaje hapo!?inakuaje hapo...

  • @silverman6930
    @silverman6930 4 года назад +2

    Decent show but you guys stop talking over each other, try and listen and speak when your being spoken , please share the platform otherwise we don’t get to hear the point properly 🙏🇬🇧🙏🔥

  • @emanueladamayubu9940
    @emanueladamayubu9940 4 года назад

    Dk ya 40:00 mmeniosha hali ya utoto, Ni vema mkipeana nafasi ili twende sawa.

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 4 года назад +1

    Kipindi nikizury ila punguzen kelele

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 4 года назад

    Acheni kuhusisha mapepo, imani za kishirikina ni kukosa elimu ya jambo husika.

  • @hamadsaidy8752
    @hamadsaidy8752 4 года назад +1

    Dad mwenye rasta yupo hapi san anaogea ukweli kabic

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 4 года назад +1

    Kipindi kizuri sana ila tuna omba peyaneni mda tunaomba

  • @mayacel1391
    @mayacel1391 4 года назад

    Love u all

  • @mariahornig4012
    @mariahornig4012 4 года назад +2

    mapenzi ya kitandani tu ni very boored...kama mna nafasi fanyeni popote ili mradi hakuna mtu atawaona......hao wanaosema ni chumbani tu...wasipoangalia hiyo pia ni sababu ya michepuko kwa wanaume.......pia da Liliana usisahau kila mwanaume anapenda mke wake awe malaya wake .....huo ndio ukweli wenyewe

  • @janethaule4281
    @janethaule4281 4 года назад

    Hahahahahhaaaa, lily jamani eti huo ni unyama

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 4 года назад

    Hakika kulea mimba si kazi ,kaz kulea mwana nimewakumbuka wahenga

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 3 года назад

    Tendo la ngongo hufanywa popote palipo na fagha iwepolini vichakani ofisini shuleni kwenye gali ilimradi pawena stara basi

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 4 года назад

    😍😍😍😍

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 4 года назад

    Kipindi kizuri but utaratibu wa uendeshaji ndio mbovu. Mada zinazozungumzwa ni mada fikirifu sana. Obviously mtu mwenye akili timamu pekee ndio anaweza kukisikiliza ili ajifunze. Inapofikia mnaingiliana katikati ya maongezi, hiyo ni vurugu tena. Naomba muweke utaratibu mzuri ili tuendelee kujifunza sio kusikiliza vurugu as if ni mashabiki wa Simba na Yanga ndo wanalumbana.

  • @kwizerazenab814
    @kwizerazenab814 4 года назад +1

    Na wapenda Bure wa mama zangu na wadada zangu

  • @bettymtui329
    @bettymtui329 4 года назад

    Natumaini hamjambo. Naomba ushauri. Nina mtoto wa kaka yangu wa kike wa miaka 8. Na wa mdogo wangu wa kiiume wa miaka 11. Huyu wa kiume nilipomchukua kumbe walishaanza kumchezea nyuma. Nilipogundua nikafanya upelelezi nikajakugudua ameanza kucheza na huyu wa kike. Nikawatenganisha haraka sana. Nimebaki na huyu wa kike namfuatilia nimegundua anajichezea huko chini mwenyewe. Naomba ushauri nichukue hatua gani yakumfanya kaselini.

  • @magrethmoshy4135
    @magrethmoshy4135 3 года назад

    Dada jilie vya kwako mwaya! Kwenye gari jikoni upendavyo! Hii kitu hainaga formula

  • @Nyamisango
    @Nyamisango 4 года назад

    😂🤣😂 ukipata steam ndani ya gari . Lilian must have only one position tuu and inafanyika kitandani tuu

    • @mrs2918
      @mrs2918 4 года назад +1

      19century na 20century gongana

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 года назад

      Hapana huo ni uzeee jaman

  • @legaboy4246
    @legaboy4246 4 года назад

    tunapenda hii kipindi yenu kweli kweli

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 4 года назад

    Jamani
    Safari ni ndefu mpaka Tabora ukeshakufanya njiani kama ni muislamu kuswali he utamuachia Nani na ni lazima madhali Una ajili zako timamu.
    Mm naungana na mama kaisi.
    Ndani Sawa laki si njiani kwenye gari. Wanaofanya hivyo mara nyingi ni wanaoiba.

    • @mohsinalbalushi6915
      @mohsinalbalushi6915 4 года назад

      Kipindi kizuri sana liliy tunakuombeni mnapo zungumza mnapozungumza mpeane nafasi ili tusikilizane kwa pamoja ili tufaidike na kipindi chenu hivo mnatunyima hamfahamiki kelele nyinngi

  • @lilianelias8950
    @lilianelias8950 4 года назад

    Kipindi kizuri sana lakini kelele ni nyingi daa

    • @serbash4212
      @serbash4212 4 года назад

      Watu wanashindwa kuacha ngono Kwa sababu ya vidudu kwa kizungu ni baktiriya ukizowa wale wa dudu wanakuwa wanakusumbuwa lazima wapate Yale maji halafu wale vidudu wanaegezeka kuwa na nguvu ngiya nzuri kumuona daktari wanakupa dawa za kuuwa vidudu ndiyo utakuwa sawa mimi ndugiyeni daktari kutoka dubai

  • @kwizerazenab814
    @kwizerazenab814 4 года назад

    😀😀😀😀😀😀

  • @bellabakera
    @bellabakera 4 года назад

    Ideology ya mama kaisi inanipaga shida jamn.

  • @dianamcgordon5243
    @dianamcgordon5243 4 года назад

    What book and verse are they talking about on 42:00

  • @elvisbaya
    @elvisbaya 4 года назад +1

    It's a nice and informative show but kindly take turns in talking....naumia maskio na zaidi nastrain kufuatilia debate

  • @a.856
    @a.856 4 года назад

    😀🙏🏻

  • @christinamsangi4756
    @christinamsangi4756 4 года назад

    Hivi Lili amekaa au amesimama?

  • @fatmahassan9153
    @fatmahassan9153 4 года назад +1

    Mama zangu na dd zangu kipindi nikozuri sana ila mnaboa hakuna upangilio wa maongezi hilo ndio tatizo lenu

    • @chinamilenas3375
      @chinamilenas3375 4 года назад

      Pia mazungumzo ya watu wa5, sidhani kama wanahitaji hiyo beat

  • @ellieclasen6886
    @ellieclasen6886 4 года назад

    Point of correction you start teaching your children at the age of 4, Your body is the temple of God it is time that AFRICAN WOMEN COME TO THE FOREFRONT AND FIGHT AGAINST THIS AND GIVE BOTH YOUNG GIRLS AND BOYS INITIATED TO THIS ACTS. WHAT ARE OUR WOMEN DOING?USE YOUR PLATFORMS AND BE VOCAL CONCERNING THIS MATTER. ITS A SHAME WHAT OUR CHILDREN HAVE TO GO THROUGH THIS

  • @gretagonga2966
    @gretagonga2966 4 года назад

    Jamani why kelele hata hatuwaelewi ...

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 4 года назад +1

    Lilly u need to be calm sis

  • @ellieclasen6886
    @ellieclasen6886 4 года назад

    AWESOME AND SENSITIVE TOPIC/ SUBJECT BUT A VERY TERRIBLE HOST PLEASE GETA GOOD HOST FOR WOMEN MATTERS NEXT!!!!!!

  • @margrethwmalobela6800
    @margrethwmalobela6800 4 года назад

    Kipindi kizuri lakini mpeane muda wa kutupa mawaidha yenu sasa fujo hatusikii

  • @gracedismas1108
    @gracedismas1108 4 года назад

    Mnanifunza vingi

  • @danielboniface5415
    @danielboniface5415 3 года назад

    Kufanya sex jikoni au garini haihusiani na kuto heshimu ndoa...mapenzi ni popote ustaarabu kwenye sex ndo ndoa zinakosa ubunifu na kuleta shida

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 4 года назад +2

    Peaneni muda wakuongea kila mtu akiongea tumsikilize nani sasa

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 4 года назад

    Tatizo pale mnapoogea pont mnapiga mikelele kama watoto

  • @jamesjosephm6358
    @jamesjosephm6358 4 года назад

    Shukulani sanaa lakini peanen muda jamani

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 4 года назад

    Ni sokoni au ?

  • @janem1137
    @janem1137 4 года назад +1

    Arrrrghh tht background sound yaaaudhiii....mmtu hawezi concentrate hata

  • @barkembarak9270
    @barkembarak9270 4 года назад

    😀😀😀😀😁

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 года назад

    Kipindi kizuri lakini mkomae akili na mjue tunawasikiza wapenzi muwe mukipeana nafasi

  • @samuelibky8989
    @samuelibky8989 4 года назад

    duuuuuuuuu

  • @devothaemmanuel1145
    @devothaemmanuel1145 4 года назад +1

    😂😂😂jaman msicheze na hamu me popote tu

  • @justiceshelukindo
    @justiceshelukindo 4 года назад

    Ha ha ha ha

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 4 года назад

    Mkipunguza kelele kipindi kitakuwa kizury sana

  • @dee23rd20
    @dee23rd20 4 года назад +2

    LILIAN YOU ARE ANNOYINGLY LOUD.LET YOUR GUESTS SPEAK FOR GOD'S SAKE.😣

  • @polloz77
    @polloz77 4 года назад

    Mume na Mke mkiwa tayari popote pale as long mko pekee na salama
    Mapenzi siyo kindani tu
    Mkiwa mnafanya mapenzi sehemu tofauti mtakuwa hamchokani kabisa ndo yenu hitadumu na kuhaminiana sana hata hikibidi Mara moja mnakwenda kulala ktk hotel

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 4 года назад +5

    Fujo jamani fujooo!!! Mu peane mda wa kuongea basiii🤦‍♀️🤦‍♀️

  • @legaboy4246
    @legaboy4246 4 года назад

    KAMA KA GARI NI KALOKO?
    INAONEKANA DADA WEE NJO BYAKO......TUAMBIANE KWELI

  • @beatricengalubutu7008
    @beatricengalubutu7008 4 года назад

    Kipindi kizur topics nzuri tatizoo hamsikilizan na kupeana mda🤦‍♀️

    • @aminabanka8203
      @aminabanka8203 4 года назад +1

      Sijui kwann mnashidwa kusikilizana

  • @Umande83
    @Umande83 4 года назад

    Fujo ndio women matters

  • @aisatahaisatah2612
    @aisatahaisatah2612 4 года назад

    Wallahi nimecheka