Kazi mpya sindo hii bhana nimewahi kama kawaida yangu ep 1 naombeni likes mama enu🔥🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🙌,...... EP ya kwanza mshaanzaa kuniliza mkojani una nn lakini😭😭😭😭😭😭😭🙌
Mnzingua kweli yani kila mtu ana taka like mnakua kama wapuuzi sasa movie mpya imetok baada mutoe mawazo na fikra kukuza film zetu nyinyi mtaka like halafu baadae muwatukane bongo muvi wote wakati makosa ni yetu raia
Oyah we mih ndo wa kwanza hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi ❤️😢😢😢😂😂❤❤❤
Tatizo kama ugomvi vile
@@ClaudeezzojohnjohnsonJacobjona hamna wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤
😁😁
@@NajlaaAlly-zm6uc 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante sana mkojan Gang kwa kutuletea movie mpya nipeni like na mimi from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Chuma kimpya 🎉❤ tutakua wote mpk mwisho inshaallah 🙏🏿
Wooyoooo kazi imeanza karibuni Tena mkojani geng tuli wa miss Sana nawakubali Sana nakufatilia nikiwa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Wakwanza hadi mwisho na mahabuba ❤❤ team mkojani Kama yanga tu inavofanya Vizuri nanyie mnafanya ivoivo
Mkojani gang tena,,, mashallah👍
Pamoja sana mkojani gang kwa kazi nzuri tunawakubali sana
Napenda sana kazi zenu ata ivi nilikaa kinyonge san shukran mkojan gang
Wakwanza ❤
Nakukubali sana mkojani
Waswahili husema kimya kingi kina mshindo mkubwa huu msemo mumeuweka vzr mkojani gang hongereni sana kwa kazi mzuri tupo pamoja nanyi
Nakubali kazi zako 👍🏾👍🏾
❤❤❤❤ l love you mkojani
Kitu ichoo dah mkonyan episode ya Kwanza unatuliza Hy na mm nipen like basi from oman😂❤❤
Mnyama kijiko 💪💪
SWAUMU ZETU, UGAIGAI, UMBAMBAMBA, KIVYERE, GUEST YANGU, NA HATIMAE MAHABUBA
Safi sana mkojani geng
Naona nmekuja kwa kishindo...tamthiria Ni Kali inaonyesha❤
Mkojani on 🔥
Kazi mpya sindo hii bhana nimewahi kama kawaida yangu ep 1 naombeni likes mama enu🔥🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🙌,...... EP ya kwanza mshaanzaa kuniliza mkojani una nn lakini😭😭😭😭😭😭😭🙌
From london mkojani gang we love you
Tm mkojani gonga like twende sawa. Chuma hicho mahabuba
Mkojani nakupenda ilawe unitesa 😂❤❤nilikua nasubiria sana kitukipya kutoka kwako asante sana twende nalo MAHQBUBA ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦👣👣👣👣👣🔥🔥🔥🔥🔥🔥
wakwanza kbsa
nawakubali sna mkojan gang
kaziiii nzuriiiiii kaka ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kazi nzuri, uyu jamaa anataka kitengo cha michango uyumpijaji
Hongereni wakuu
Sijawai kumpinga mkojani
This also a boom....💥💥💥
Waoooooo karibun wpenz au siyo washabiki❤
Ndio ndiooooooo🎉🎉🎉🎉
yee baba kumekucha muda wakula MB sasa iko good sana hii❤❤
😂😂😂😂😂😂umeonaeeeh muda wa kumaliza bando😂
Yani imeniumizaa jamani hongereni sana tim mkojani🎉🎉
Mashallah Mashallah nawakubari sana
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯🤣 nataka laik
Kijiko 🎉🎉🎉🎉 hutaki mizunguuko ya baba aako
Kazi nzuli🎉🎉🎉🎉
Nimekubali mkojani fundi
❤❤❤nmechelewa lkn nmefika 🎉🎉🎉yaan nlikua kila siku nlikua nategea🎉🎉aki
Wa kwanza ni mm naomba like japo 5
DUDE JENGINE HILI HAPA SHABAAASH ❤❤
Wakwanzaaaaa🤸🏽🤸🏽🤸🏽🤣🎉
Ilikuwa tumeboeka sana glad you're back with a new series 😊❤
Leo kwanza Jamani
Mkojani uyo jamaa alivaa shati kubwa anajua sana uyo ndio mrithi wa chumvi mfunde vizuri anajua
Mkojani gang mmetisha,Yani unyama mwingi sana wazee
Chuma kipya kimeanza na msiba😢😢😮
Nakukùbali.mukojani.mambomazuri.mashallah❤❤❤❤❤❤😂
Kitu kipya kutoka kua mkojani gang love from Qatar
❤❤
Kawachia mahabuba
Wahhhhhh noma 😅😅
Nipen like kama unamkubal mkojan 🇰🇪
Mm ushauri wangu Mkojani muwe mnabadilisha location mara nyengine muekt maeneo ya mjini
Wow chuma kipya s mchezo 🔥
itakuwa ya moto sana mkojan na wenzako mnafnya vizur sana
Ongera mkoo
By the way MOVIE MZURI MNOOOO SANA SANA HONGERA KWA HILO BINAFSI NAKUPENDA SANA YAN HUWA NA ENJOY SANA NIKIKUONA NACHEKA MNO
Nami wa kwanza Leo
❤❤❤
Daah atari aisee ❤
Mkojan nakukubali jojo yup wp
Iyinyingine Boom
Nipo zangu Zambia nawafuatilia sana ni nawapenda Pia
Oyaaaa weee kumbe ngo'mbe hutujui,tumekusubiri mnoo ankali.jaagul shubasted
By fire by force here we go 🚶♀️ 🙌 🔥 💪 🙏 kenya 🇰🇪 🙌
Me ntaendelea kuwakubali t mkojan gang ni 🔥
Mahbuba 🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂
Kijikooo😀
Kazi nzur mkojan gang🥰🥰
Woyoooo team mkojani piga keleleeeee
Jamani kujeni huku kuna mahabuba
MAHABUBA🥳🥳🥰
Kazi imehaza hii nahona imehaza vzr na muhimaliziye vzr msichanganye mambo yenu tena
Nambari uno kuiangalia
Nakubali sana naiman one day ntakua kama nyie🙏🙏🙏🙏
Nice movie
Movie nzuri
Mkojani gang for everybody
New series❤❤
Woyoooo team moojoni piga keleleeeee
Tulikaa kinyonge sana mgojan gang hamna adui🤗
Mnzingua kweli yani kila mtu ana taka like mnakua kama wapuuzi sasa movie mpya imetok baada mutoe mawazo na fikra kukuza film zetu nyinyi mtaka like halafu baadae muwatukane bongo muvi wote wakati makosa ni yetu raia
Mkojani gang forever.!!!❤ 4rom 🇰🇪
Niliacha kufuatilia kazi zako kwa sababu mnatoa haraka na mimi sina muda mwingi wa kuka kufuatilia toa taratibu taratibu ntafuatilia
Kazi sasa Imeaanza tupoote🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mambo mapeya
Haya ❤❤❤❤
Leo wa kwanza ctak xhobo
Mkojani karudi na Mahabuba
Wa kwanza Leo
Kaz ju ya kaz tuliwamis mkojan geng tuko pamoja mpka waseme
Mko poa sana
I sey mkojani gang kiboko 😊❤
much love
Daaaah 😢😢😢😢
Mashaallah
Mkojani hii imeanza na moto iko bulubulu
Wa kwanza leo kutoka kenya
Ni Illinois Chicago nawapata vizuri
Ogopa sana hii kitu iskie ttu mm Sina hamu kbs irishanikuta r.i.p mkewangu Sarah 😭🙏