Pongezi vijana ,kwa motisha na hamasa ktk kilimo pasipo ubinafsi shamba limependeza hakika. Pongezi pia Kwako Imani Rubaba kutuletea hii makala. Nimeipenda hiyo kuwa; hatua kidogo tu mtu asijifanye boss. Ni kweli kwani binafs mwanzo wa makala nilihis unaongea na kibarua.
Kwa ushauri na usaidizi zaidi wasiliana nasi 0764 148 221
Big uo sana vijana wenzangu lakini pia rubaba TV asante Sana kwa kutufunza na kutuhamasisha
Safi sana
Hongera brother
Naomba no ya huyu bwana nimtafute anaweza kunisaidia na mm nikalima chini ya usimamizi wake.
Vidoni umeshafika uko
Sio kupka content kitu real
Pongezi vijana ,kwa motisha na hamasa ktk kilimo pasipo ubinafsi shamba limependeza hakika. Pongezi pia Kwako Imani Rubaba kutuletea hii makala. Nimeipenda hiyo kuwa; hatua kidogo tu mtu asijifanye boss. Ni kweli kwani binafs mwanzo wa makala nilihis unaongea na kibarua.
Asante kwa kuendelea kua nasi
Mbona gharama ni kubwa kwa hekari mbili millioni 6 , hizo mashine shilingi ngapi na mashamba kukodi shilingi ngapi?
Hata mie sijaelew hizo gharam
Milioni sita hela yote hiyo au mnapika content nn
170k per acre Kenya money sio mengi bana
Naweza pata mawasiliano
0764 148 221