Mafrateli wa Seminari Kuu Segerea Waanzisha Wimbo wa Twakusifu Mungu Mkuu,Askofu Ndizeye Aungana Nao
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Jamani Nikiangalia mafurate wotee wako kama wa takatifu natamani niwafungie hapo walipo ili Mungu akija awakute kama walivyo wasije kutoka nje wakachafuka.
Honey ,plzz rudia tena maana umeongea km vile uko moyoni mwangu na akilini mwangu, ninawapenda sana na daima nawaombea kila skuu🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Mungu awalinde watakatifu wake na mawaa
Hongereni sana tena sana.
@@veronicakauye2087 Ni kweli kabisa Dada Veronica Kauye..
inabidi tu watoke hapo, wachafuke kwa ajili yetu. Maana wakikaa na utakatifu wao pekee, thamani na maana ya wao kuwako hapo inapotea. Wakaribie, huku kwetu ili watupee utakatifu tunaoutamani. Muhimu, tuzidi kuwaombea kila uchao. Lakini zaidi yayote, Makuhani wa Kristo ili wawe kwa ajili ya utakatifu wa Maisha yetu... Siku isipite bila neno moja la baraka ama sala kwa ajili yao. Yaweza kuwa rahisi kuwa padre, lakini hakika wito huu unatisha lakini unavutia.
Rc nawakubali sana mnao uwepo wa Mungu sana
Nakuombea mwanangu kanyala kalisto mungu akuwezeshe utimize ndoto za Wana Biti manyanga Kambikatoto
Muishi utume wenu, msitangatange na kulidhalilisha kanisa la kristo.
Mungu awaongoze muweze kulifikia na kulipokea daraja takatifu la upadri
Mungu Mwenyezi na awabari na kuwaongoza ili kila moja wenu afikie lengo lake la uteule mbele zake Mungu. Amina
Mungu awasimamie na kuwaongoza maflateri wetu waweze kutimiza ndoto zao za kumtumikia Mungu 🙏natamani moja wa uzao wangu nae afate njia hii
Tuwaombee watoto wetu wito Makatifu
Mungu awalinde
Mungu awape hitaji la mioyo yenu
Mungu awabariki na kuwaepusha na vishawishi
Hosiana Mesiya
Hongereni sana wapendwa. Bravissime
Mungu awasaidie muweze kufika lengo lake kwa msaada wa Roho Mtakatifu
Mungu awalinde jamani. Hazina ya kanisa
Mungu awatunze awalinde mfikie malengo yenu
Mungu ni mwema awabariki mfikie uwema wa bwana wetu yesu kristu
Mbarikiwe sana,,,mfike malengo na muwe wachungaji wema
Nawaombea daima ili muwe wafusi waaminifu wa Kristo Yesu. Amina
Utukufu wa Mungu uwe juu yenu hongereni sana mafrater
Mungu apewe Sifa, nafurahi kusikia umeimbwa kama ulivyotungwa, Traditional. Ni mfano mzuri wa kutunza kazi za zamani kwa sifa na utukufu wa Mungu.
Mungu awasimamie ili mfikie daraja takatifu
Kwa kweli wamenigusa hata mimi nimeabudu nyumbani kwangu
Holy seminarians, I pray for you to be able to persevere to the end, may God preserve your VOCATION so that you may be able to serve Him.
Mungu awatunze na kuwaongoza mukamtumikie daima
Mungu awaongoze vema ili muweze kutimiza malengo yenu
Vyema sna
Mungu awabariki katika utumishi wenu
Tuwatakie utume mwema!
Nawatakia utime mwema,Mwenyezi Mungu awasaidie msikwame.
Utume mwema.
AMina
😊😊
If you watched twice this song we are together
Wateule ni wachache
Amina amina amina
Ni unwell usuopingika kwamba ni vigumu wote kufikia upadre lakini malezi na makuzi wanayopata wakiwa seminary yanawafanya wengi wa wale ambao hawakufikia mwisho wawe raia wema na kuwa mfano mwema ndani ya jamii
Hata wakishakuwa mapadre co tiketi ya kuona mbingu
samahani, ninavyojua wanaoshika kofia na fimbo ya askofu ni watawa kuanzia mashemasi na mapadre, mafrateri na wengine chini ni lazima tuzibe mikono yetu kwa vitambaa. je kwa ninin frateri altareni pale naona kashika fimbo ya askofu kwa mikono mitupu?
Utakuja kushangaa wengine wanaoa hapo
Jambo la kawaida tu, ukiona hivyo hakuwa na wito kwahio usishangae.
Kuoa siyo tatizo.Maana ndoa ni wito na moja ya sakramenti saba alizoziweka Yesu ili kuwatakasa watu wake
Damu ya yesu iwafunike mfikie with wenu