Mafrateli wa Seminari Kuu Segerea Waanzisha Wimbo wa Twakusifu Mungu Mkuu,Askofu Ndizeye Aungana Nao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 48

  • @tumusiimeomukama3151
    @tumusiimeomukama3151 Год назад +17

    Jamani Nikiangalia mafurate wotee wako kama wa takatifu natamani niwafungie hapo walipo ili Mungu akija awakute kama walivyo wasije kutoka nje wakachafuka.

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 Год назад +2

      Honey ,plzz rudia tena maana umeongea km vile uko moyoni mwangu na akilini mwangu, ninawapenda sana na daima nawaombea kila skuu🙏🙏🙏♥️♥️♥️

    • @veronicakauye2087
      @veronicakauye2087 Год назад +1

      Mungu awalinde watakatifu wake na mawaa

    • @holyfieldlambe5788
      @holyfieldlambe5788 Год назад +1

      Hongereni sana tena sana.

    • @holyfieldlambe5788
      @holyfieldlambe5788 Год назад +1

      @@veronicakauye2087 Ni kweli kabisa Dada Veronica Kauye..

    • @mkaapwekekariakoo6417
      @mkaapwekekariakoo6417 Год назад +1

      inabidi tu watoke hapo, wachafuke kwa ajili yetu. Maana wakikaa na utakatifu wao pekee, thamani na maana ya wao kuwako hapo inapotea. Wakaribie, huku kwetu ili watupee utakatifu tunaoutamani. Muhimu, tuzidi kuwaombea kila uchao. Lakini zaidi yayote, Makuhani wa Kristo ili wawe kwa ajili ya utakatifu wa Maisha yetu... Siku isipite bila neno moja la baraka ama sala kwa ajili yao. Yaweza kuwa rahisi kuwa padre, lakini hakika wito huu unatisha lakini unavutia.

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 Год назад +6

    Rc nawakubali sana mnao uwepo wa Mungu sana

  • @STANLEYkIWALE
    @STANLEYkIWALE 9 дней назад

    Nakuombea mwanangu kanyala kalisto mungu akuwezeshe utimize ndoto za Wana Biti manyanga Kambikatoto

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Год назад +4

    Muishi utume wenu, msitangatange na kulidhalilisha kanisa la kristo.

  • @modestakafunga7718
    @modestakafunga7718 Год назад +6

    Mungu awaongoze muweze kulifikia na kulipokea daraja takatifu la upadri

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu7701 Год назад +4

    Mungu Mwenyezi na awabari na kuwaongoza ili kila moja wenu afikie lengo lake la uteule mbele zake Mungu. Amina

  • @bibianabenedict2459
    @bibianabenedict2459 Год назад +6

    Mungu awasimamie na kuwaongoza maflateri wetu waweze kutimiza ndoto zao za kumtumikia Mungu 🙏natamani moja wa uzao wangu nae afate njia hii

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 3 месяца назад

    Mungu awalinde

  • @irenibrahim1773
    @irenibrahim1773 Год назад +4

    Mungu awape hitaji la mioyo yenu

  • @lilianmnabwiru7074
    @lilianmnabwiru7074 Год назад +2

    Mungu awabariki na kuwaepusha na vishawishi

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Год назад +1

    Hosiana Mesiya

  • @clementinalotary4913
    @clementinalotary4913 7 месяцев назад +1

    Hongereni sana wapendwa. Bravissime

  • @josephinekwene20
    @josephinekwene20 Год назад +1

    Mungu awasaidie muweze kufika lengo lake kwa msaada wa Roho Mtakatifu

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 Год назад +4

    Mungu awalinde jamani. Hazina ya kanisa

  • @MarselaMarselamlawa-fo5hl
    @MarselaMarselamlawa-fo5hl 10 месяцев назад +1

    Mungu awatunze awalinde mfikie malengo yenu

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 4 месяца назад

    Mungu ni mwema awabariki mfikie uwema wa bwana wetu yesu kristu

  • @theresamasanja9925
    @theresamasanja9925 Год назад +1

    Mbarikiwe sana,,,mfike malengo na muwe wachungaji wema

  • @jamesmboyi30
    @jamesmboyi30 Год назад

    Nawaombea daima ili muwe wafusi waaminifu wa Kristo Yesu. Amina

  • @GodfreyMtui-cu7uo
    @GodfreyMtui-cu7uo 9 месяцев назад

    Utukufu wa Mungu uwe juu yenu hongereni sana mafrater

  • @tegemeajustice2602
    @tegemeajustice2602 Год назад

    Mungu apewe Sifa, nafurahi kusikia umeimbwa kama ulivyotungwa, Traditional. Ni mfano mzuri wa kutunza kazi za zamani kwa sifa na utukufu wa Mungu.

  • @veronicakauye2087
    @veronicakauye2087 Год назад +2

    Mungu awasimamie ili mfikie daraja takatifu

  • @mamamtui4885
    @mamamtui4885 Год назад +1

    Kwa kweli wamenigusa hata mimi nimeabudu nyumbani kwangu

  • @salomewambui6493
    @salomewambui6493 Год назад +2

    Holy seminarians, I pray for you to be able to persevere to the end, may God preserve your VOCATION so that you may be able to serve Him.

  • @esterpius7423
    @esterpius7423 Год назад

    Mungu awatunze na kuwaongoza mukamtumikie daima

  • @user-wo1gf7uh4k
    @user-wo1gf7uh4k 4 месяца назад

    Mungu awaongoze vema ili muweze kutimiza malengo yenu

  • @rayanzachariah3037
    @rayanzachariah3037 8 месяцев назад

    Vyema sna

  • @adamchavala5500
    @adamchavala5500 Год назад

    Mungu awabariki katika utumishi wenu

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Год назад +3

    Tuwatakie utume mwema!

  • @mamagodibabagodi9107
    @mamagodibabagodi9107 8 месяцев назад

    AMina

  • @PrivaKirango
    @PrivaKirango Год назад

    😊😊

  • @jacobkilagalila-gu2mh
    @jacobkilagalila-gu2mh 3 месяца назад

    If you watched twice this song we are together

  • @NotukeriaMapunda
    @NotukeriaMapunda 3 месяца назад

    Wateule ni wachache

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Год назад +1

    Amina amina amina

  • @candidamuhanika8328
    @candidamuhanika8328 Год назад +1

    Ni unwell usuopingika kwamba ni vigumu wote kufikia upadre lakini malezi na makuzi wanayopata wakiwa seminary yanawafanya wengi wa wale ambao hawakufikia mwisho wawe raia wema na kuwa mfano mwema ndani ya jamii

    • @NotukeriaMapunda
      @NotukeriaMapunda 3 месяца назад

      Hata wakishakuwa mapadre co tiketi ya kuona mbingu

  • @edwardpastory812
    @edwardpastory812 4 месяца назад

    samahani, ninavyojua wanaoshika kofia na fimbo ya askofu ni watawa kuanzia mashemasi na mapadre, mafrateri na wengine chini ni lazima tuzibe mikono yetu kwa vitambaa. je kwa ninin frateri altareni pale naona kashika fimbo ya askofu kwa mikono mitupu?

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Год назад +1

    Utakuja kushangaa wengine wanaoa hapo

    • @sarafinafranci8481
      @sarafinafranci8481 Год назад +1

      Jambo la kawaida tu, ukiona hivyo hakuwa na wito kwahio usishangae.

    • @rumanyikajoe7038
      @rumanyikajoe7038 Год назад +2

      Kuoa siyo tatizo.Maana ndoa ni wito na moja ya sakramenti saba alizoziweka Yesu ili kuwatakasa watu wake

    • @rosemaryshayo7256
      @rosemaryshayo7256 Год назад +1

      Damu ya yesu iwafunike mfikie with wenu