MAUZA UAZA - SIMULIZI MPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 302

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 7 месяцев назад +139

    Hatuitaki twataka lisa au mwasaje wana anko j

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 месяцев назад +102

    Haya MAUZAUZA tujuwe hayo MAUZAUZA wangapi WAMEBOEKA kumkosa LISA LIKE 10 KUBOEKA TU ✌️✌️✌️✌️

    • @josephineuwizeye8250
      @josephineuwizeye8250 7 месяцев назад +2

      Atuleteye bana Binti Lisa part 50 tunaboeka sana kwa kweli!

    • @LillyCyprian
      @LillyCyprian 7 месяцев назад +1

      Atufanyia kusudi jmn na lissa afu et analeta mauza uza, mauza uza ya zuchu au😂😂

    • @SophiaHuseni-py4kf
      @SophiaHuseni-py4kf 7 месяцев назад

      Mimi stak hay mauzauza nahic kuumwa Kwa kumkosa Lisa jaman anko ustufanyie hivo 🙏🙏🙏

    • @hidayamanda-gk7nf
      @hidayamanda-gk7nf 7 месяцев назад

      ,😂😂😂😂​@@LillyCyprian

    • @Shadia544
      @Shadia544 7 месяцев назад

      ​@@josephineuwizeye8250kwa kweli tumeboeka kumkosa LISA wetu jamaniii 😢😢

  • @merycevictor1885
    @merycevictor1885 7 месяцев назад +48

    Mbn unatufanyia kuxudi Lissa mbn utuletei😭😭😭

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 7 месяцев назад +39

    Wakwanzaaaa wangapi tumemiss lissa😢😢😢

  • @victorwesamba2520
    @victorwesamba2520 7 месяцев назад +6

    😂😂😂😂😂tulio olewa na simulizi kuna mukutano tent ya blue ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @MatuaminiNgloriya-qm9jp
    @MatuaminiNgloriya-qm9jp 7 месяцев назад +9

    Wakwanza jamani.pole Sana ankojay wetu Mungu ni mwema kipenzi❤

  • @Merrylukas-uz6sr
    @Merrylukas-uz6sr 7 месяцев назад +3

    Jamani maombi nimuhimu sana tue watu wakusali sana dunia inambo yaajabu sana

  • @zainabumsigala
    @zainabumsigala 7 месяцев назад +4

    Tumetuacha na kimhemko Cha Lisa watu tunakesha kuchungulia ,mungu akupe uzima na afya siku zote uendelee kutuletea burudani

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 7 месяцев назад +11

    Anko Jay Asante sana kwa simulizi mpya ila tunaomba mwendelezo wa binti Lisa tafadhali tafadhali Anko Jay 🙏🙏

    • @NeemaSamwel-oj4zf
      @NeemaSamwel-oj4zf 7 месяцев назад

      😂😂ankojay anataka mpaka tusahau utamu wa simulizi ya lisa duuh anko jay mwee lisaaaa😢

  • @NeemaLugoye
    @NeemaLugoye 7 месяцев назад +1

    Hakuna kill, hatimay komba wajo kaleta kitu kipyaa ❤❤❤

    • @NeemaLugoye
      @NeemaLugoye 7 месяцев назад

      Angetuletea Lissa tuhangaike nae tumalize, make najua hadi sehemu ya 210😂😂😂😂

  • @FdcJbg
    @FdcJbg 7 месяцев назад +1

    Habari yk kk Anko Jey pole na kz.na Asante Kwa kz yk nzuri.ika kk tunaomba tuletee Lisa

  • @Ivyagua
    @Ivyagua 7 месяцев назад +2

    Anko upone n mungu akurinde😊😊

  • @antiakamala
    @antiakamala 7 месяцев назад +6

    Tunamtaka Lisa wetu jmniiiiiiiiii

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n 7 месяцев назад

    Woo leo cjacherewa jamn❤❤❤❤❤

  • @konde_gang_familly.5107
    @konde_gang_familly.5107 7 месяцев назад +4

    Sasa tutagomaa,natutaaandamanaaa,anko unazinguwaaaaaa😂😂😂,hatunahamuuu ya hiziiiii,saivii,mpaka,lisaaa,isheee,

  • @Bint.hussein
    @Bint.hussein 7 месяцев назад +3

    Lisaaaaaaaa kwanzaaaaa plzzzzzzzzzz hadi roho ina umaaa

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc 7 месяцев назад +3

    Ila anko sisi wakungojea viporo vipi bado hutufikirii kweli tuwahitaji Alvilisa kuwajulia hali

  • @lisazainabu3626
    @lisazainabu3626 7 месяцев назад +22

    Eeehhhh chezea kuwa wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉

  • @JozeFeeen
    @JozeFeeen 7 месяцев назад +3

    Naomba kesho ulete lisa😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @JamilaFarijala
    @JamilaFarijala 7 месяцев назад +8

    Unafanya mpaka tunarudia simulizi jmn tuletee Lisa Kila saa nakuja kuchungulia kama imetoka😂Ankojay wetu tunakupenda😘

    • @khadijaomar6936
      @khadijaomar6936 7 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅anatutia uchizi huyu nimeweka bando kwa ajili yake tuu naliheshimu situmii ovyo nasubiri lisa

    • @FatumaHamisi-sr6yj
      @FatumaHamisi-sr6yj 7 месяцев назад

      Eeeee hii tushaiskiza sema to kabadilisha jina 😅😅😅😅 hataki kutuletea Lisa wetu 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @Salma-id4yl
    @Salma-id4yl 7 месяцев назад +1

    Asante.sana.kwa.simuli.hii.nzuri.acha.ni.injoy.tu.🥰🥰🥰🥰

  • @aminah9557
    @aminah9557 7 месяцев назад +4

    Mbona Anko unatuonea mashabiki zako😢😢😢😢 tunamtaka Lisa Anko😢😢

  • @EdithaJoseph-zt2xu
    @EdithaJoseph-zt2xu 7 месяцев назад +3

    Lisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tunataka 😮

  • @LilianCornel-x6y
    @LilianCornel-x6y 7 месяцев назад +15

    Daah sisikilizi mpaka mwana Sheria wangu aje Alvin kimaro na Lissa Jonas massawe najua hawajawahi kupoteza kesi😂😂 hiyo mauza uza hapana bana ank jay

    • @nurianaramadhan
      @nurianaramadhan 7 месяцев назад

      Unasema mgomo baridi unahusu😂😂😂😂😂😂sio

  • @asmajamani2967
    @asmajamani2967 7 месяцев назад +1

    Daaah!nilitamani ingekuwa Lisa lkn ndio Ivo

  • @RosestellahMdee-k7f
    @RosestellahMdee-k7f 7 месяцев назад +9

    Mbna binti lissah huleti😢 au imeisha nijue kila time nachungulia notification za anko j lakin wapi 😪😪😭we anko j mpka nikatamani Niku DM😂🤣ila sijaelewa nakupatia wapi hebu plz help us 😩🧐tunaweweseka kukosa binti lissah 🥲😌

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 7 месяцев назад +3

    Kweli anko jay umechoka tusimulia bint Lisa part 50mbona umeamza kutesa mashabiki wako

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 7 месяцев назад +3

    Daaah nmekuwa wa mwisho jmn bas tuungane pamoj kuisikiliza hii simulizi ya mauza uza ila sis tunataka binti lisa kama na wew upo unay taka lisa bas usipite bila kulike😂😂😂❤❤🎉🎉🎉

  • @MoshiMoshi-qy8dq
    @MoshiMoshi-qy8dq 7 месяцев назад +1

    Ashukuriwe mungu kama unaendelea vizur ankojay wetu na asante kwakutujali🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @salmakim557
    @salmakim557 7 месяцев назад +1

    Hongera Anko wetu mzuri kwa vitu vitamu . Haya tujue mauzauza yana nini🎉🎉🇰🇪🇰🇪

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 7 месяцев назад +2

    Aaah Asante Mungu kwakumponya ANKOJAY wetu❤❤❤ endelea kutuburudisha mcheshi wetu❤❤❤❤❤❤

  • @JulianaFabian-w5h
    @JulianaFabian-w5h 7 месяцев назад +1

    Ninachojuwaga naenjoy na simulizi naskia raha sauti yako nzuri sana upo romantic sana ❤❤

  • @glorygabriel5451
    @glorygabriel5451 7 месяцев назад +6

    🎉🎉🎉Wakwanza leo

  • @LilianOsimo
    @LilianOsimo 7 месяцев назад +14

    ❤️❤️❤️🎉🎉🎉 Tunaomba Lisa ep 50 tumeimic sanaaa

  • @MaryamKhamis-w9s
    @MaryamKhamis-w9s 7 месяцев назад +6

    Nimewah leo like zenu tafadhal😊😊😊lakin Ankojay mbona unatufanyia hivyo kuhusu bint lisa tangu juz tunasubiria tuuu tafadhali tunaomba bint lisa 🙏🙏🙏🙏

    • @tuually4989
      @tuually4989 7 месяцев назад

      Ndio tunaombaaa😢😢

  • @NuruAbdullah-h7g
    @NuruAbdullah-h7g 7 месяцев назад +3

    Kwani ankojay bint lissah ndio hutuletei jaman

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 7 месяцев назад +1

    Asante anko jey haya kunani Tena ndani ya mauza uza 🎉🎉🎉🎉mauwa yake 🌹🌹🌹 jomba wajo na familia ya anko jey ❤️❤️❤️❤️

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 7 месяцев назад +1

    Tulijuwa leo umetususa uncle J

  • @aminarama1633
    @aminarama1633 7 месяцев назад +1

    Pole Sanaa ALLAH akujalie shiffa inshaAllah, Allah akulinde, c Siri ,tulikumiss sanaaa

  • @MaryamOthman-i5y
    @MaryamOthman-i5y 7 месяцев назад +3

    Ankojay tunaomba bint lisa episode 50 usitufanyie ivo jmn 😢😢😢 kwani ndo imeishia apo jmn VIP tupeni umbea huko imekuaje kuhusu lisa na Alvin

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c 7 месяцев назад +1

    Part 2 plzzzzzz ankojoy hii tamu kweli ukweli ni mauzauza tamu hii

  • @yalalakashindi4594
    @yalalakashindi4594 7 месяцев назад +1

    Jamani tumwelewe anko naye nibinadam anamwili kama sisi tena ana fanya kazi ngumu sana , Anko tunomba utuelewe tu, na pole sana kwa kuhunguwa.

  • @jellyagustino
    @jellyagustino 7 месяцев назад

    Nilitalajia nitakutana na Lisa mtokeoyake mauzauza tokea ijumaa anko ukwel tuna❤❤❤❤lakin unatusaliti wazizi

  • @نظيفهخالد
    @نظيفهخالد 7 месяцев назад +6

    Sawa ankoo jay ila sawa tu

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 7 месяцев назад +3

    Lisa jamani tumemmiss Sana 😢

  • @marthajims6597
    @marthajims6597 7 месяцев назад +3

    Anko wewe watutesa kiukweli na hatutaki hatutaki!!!leta binti lisa 😢😢

  • @naomikijangwa278
    @naomikijangwa278 7 месяцев назад +8

    Twataka bint lisaa

  • @NanahBrown
    @NanahBrown 7 месяцев назад +14

    Haki Toka Jana sikuon ata online nikawa naichungulia akaunt mpaka 😢nikawa kanyongee anko jay japo nilikua namuwazia LISA ila hata kusikia saut yako2 nimekua na aman❤🎉❤❤

    • @NurahMummy
      @NurahMummy 7 месяцев назад

      Toka wengi jaman Lisa anatuchanganya

    • @MesagoMesago
      @MesagoMesago 7 месяцев назад

      Weeeeeee

    • @LillyCyprian
      @LillyCyprian 7 месяцев назад

      We hauko serious bhan Lisa bhna😂😂

    • @ghanimamohammed5305
      @ghanimamohammed5305 7 месяцев назад

      Kwa kwel Hali hiyo imetukuta wengi mm mpk saa 6 usiku sijaamini kama haija postiwa 😢😢😢kwa kweli ni huzuni kubwa @ANKOJAY please skiya kilio 😭😭😭chetu please

    • @alisalim2145
      @alisalim2145 7 месяцев назад

      Hhhhhhh

  • @happyalberto8903
    @happyalberto8903 7 месяцев назад +6

    Anko j ,tunaomba alvilisa jaman

  • @mourine-o3
    @mourine-o3 7 месяцев назад +1

    Jomba wajo huku tena,hope ni moto kama alvilisa❤

  • @FatumaHamisi-sr6yj
    @FatumaHamisi-sr6yj 7 месяцев назад +3

    Jamani kwaiyo lisa ndio imeishia vile anko....... 😢😢😢😢

  • @GloriaMduma
    @GloriaMduma 7 месяцев назад +3

    Nimelia Sana nimesubir bint lisa mpaka bas

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga2745 7 месяцев назад +1

    Kazi nzuri kaka,listening from Kenya Much love.🎉🎉🎉

  • @saodashabani2652
    @saodashabani2652 7 месяцев назад +3

    Ukowapi lisaa nakutafuta lisaa❤❤❤😂😂

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 7 месяцев назад +7

    Loooo!!!yaani ungejua ungeleta Lisa jamn hii nin tena sasa😢😢😢😢

  • @innocentnshimiye8468
    @innocentnshimiye8468 7 месяцев назад +3

    Ankojay please naomba Binti Lisa kama inawezekana❤❤😢😢

  • @nahimanahawa
    @nahimanahawa 7 месяцев назад +4

    Siku ya inne sasa lisa hajitoka ao watu wa v.i.p zowo hazija isha ila mi nakumbuka km part 50 tayari washaiyona hebu achiya iyo ngoma

  • @nadrakharith9301
    @nadrakharith9301 7 месяцев назад +4

    Ankoo lisaa😂😂😂😂 ustufanyiye hivoo

  • @dianadiana2958
    @dianadiana2958 7 месяцев назад +6

    Binti anafanana na Amaya kabisa

  • @khadijaomar6936
    @khadijaomar6936 7 месяцев назад +8

    anko tunataka lisa jamani lisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani wa binti lisa gather here tuandamane

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 7 месяцев назад

      Anko jay tunamtaka lisa wetu jamaniiii mbona unatufanyia hivyo jamaniii😢😢😢😢😢

  • @aishasidi6673
    @aishasidi6673 7 месяцев назад +8

    Jmn huy sini Amaya ni macho yangu ama niuzee unanismbua you 😂😂 mm alfu pole ankooo wetu twakupnda bure❤❤❤❤❤

    • @marymlongojoseph
      @marymlongojoseph 7 месяцев назад

      Hata mm nilikua najiuliz hivo

    • @VinithaPauline
      @VinithaPauline 7 месяцев назад

      Ndo yeye dr

    • @agnesagnes5288
      @agnesagnes5288 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂tena hiii simulizi alisimulianga nakumbuka 😂😂

    • @salmazwallo5920
      @salmazwallo5920 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂 ni yy ilaa huyu amekunywa maji mengi😂😂😂😂😂 ilaa watu mnakalili sura daah

    • @jacyusuph
      @jacyusuph 7 месяцев назад

      Amaya kabadili nguo tu apo😂

  • @husnalalu008
    @husnalalu008 7 месяцев назад +7

    Ankoo mbona wajua ku2tesa ivyo kuchungulia acaunt Yako Kila muda ni azabu tosha 2pe 2 iyo Binti Lisa 😢😢😢

  • @WinniePretty-t1v
    @WinniePretty-t1v 7 месяцев назад

    Duuuh 🔥🔥 huo ni mjengo umeingia mlango wa nyuma Jooo heee baba anataka damu mwana anataka mapenzi 😢😢😢

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei
    @matihassanmwachigutu-hq7ei 7 месяцев назад +3

    Jaman anko jay mbona hutuletei bint lisa😢

  • @saadamohammed7431
    @saadamohammed7431 7 месяцев назад +1

    Ancojay wewe mtundu kweli ❤❤❤❤🎉🎉

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 7 месяцев назад +1

    Tunateka lisa jamani 😢😢Ankojay

  • @SophieHak
    @SophieHak 7 месяцев назад +4

    Thx Anko ila tunataka lisa

  • @Mwanjaa
    @Mwanjaa 7 месяцев назад +3

    Tuleteeni lisa anko jay mbna watuboesha 😅😅you

  • @hafsaibrahim6675
    @hafsaibrahim6675 7 месяцев назад +4

    😭😭😭😢😢😢anko jay paka nimepugua kilo kwa kukosa lissa

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 7 месяцев назад +2

    Ugua pole Anko jay inshallah allah aziku kkupa shifaah❤

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 7 месяцев назад +12

    kwan binti Lisa imeisha Anko 😊

  • @Lucyjusto-wn3mv
    @Lucyjusto-wn3mv 7 месяцев назад +2

    Naona anko humekausha kabisaa n alivlisa

  • @Nawmi-p9b
    @Nawmi-p9b 7 месяцев назад +6

    Anko usiwe hivyo bhana😂😂😂😂lissa

  • @marthaigandu8385
    @marthaigandu8385 7 месяцев назад +2

    Tuletee Lisa tunamiss Sana 😮

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 7 месяцев назад +1

    Allwah akupe afya njema siha nauzima

  • @esternashon4706
    @esternashon4706 7 месяцев назад +1

    Ila anko siyo vizur imagine siku mbili bila lisa daaah ni huzuni😢😢😢😮

  • @SmAlbovi
    @SmAlbovi 7 месяцев назад +2

    Yes ankojy npee Lisa nmeboeka.san

  • @HavijawagutaHavijawaguta
    @HavijawagutaHavijawaguta 7 месяцев назад +9

    Tuletee Lisa ban

  • @GhazanffarsamDollah
    @GhazanffarsamDollah 7 месяцев назад +1

    Thanks anko jay for this👆👆👆👆🙏🙏🙏,binti lisa part 50 acha nisikilizehii😊

  • @mwajumasimai2165
    @mwajumasimai2165 7 месяцев назад +3

    Anko jamani lisa tuonee huruma mawazo tushalewa kwa liza

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 7 месяцев назад +5

    RUclips ikikosa Ankojay inakosa ladhaa nikama maombolezo vile🥺🥺🥺🥺.ĺakini sasa tunataka LISA KWANZA😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @SarahAntony-f3j
    @SarahAntony-f3j 7 месяцев назад +1

    Jaman maisha bila simulizi za anko j hayaendi kabisa

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 7 месяцев назад +3

    Tumemiss Binti Lisa Ankojay plz? Alafu huyu msichana anafanana na Binti amaya

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn 7 месяцев назад +6

    Venye nikilala naota lisaaa kumbe leo hakna pia nahisi ata kupagawaaa

  • @aishabakari7362
    @aishabakari7362 7 месяцев назад +4

    Mm naumwa mwezenu lissa 😢😢😢

  • @sabinamasangwa293
    @sabinamasangwa293 7 месяцев назад

    Hayaaaa Sasa our ankoooh 🙏🙏

  • @khadijaomar6936
    @khadijaomar6936 7 месяцев назад +4

    mimi sisiikii nina uziwi nataka lisa tuu

  • @bilovelaizar
    @bilovelaizar 7 месяцев назад +2

    Yan ank jamn Lisa tumemis❤❤

  • @NeemaAnselimi
    @NeemaAnselimi 7 месяцев назад +3

    Jomba wajo isiwe ndefu kama Lisa make inatupa shida kuipata Kwa wakati

  • @MmNm-ww1xw
    @MmNm-ww1xw 7 месяцев назад +6

    Lisa yuko wapi

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 7 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤Anko nakuombea uponyaji wa haraka

  • @SelemanAlmas-i2g
    @SelemanAlmas-i2g 7 месяцев назад +3

    Hatautaki hii tunaomba binti lisa hujatimiz ahadi

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 7 месяцев назад

    Ahasante sana anko jay na jomba wajo kwakuzidi kutuletea vitu vitamu mambo 🔥🔥🇴🇲🇴🇲

    • @LillyCyprian
      @LillyCyprian 7 месяцев назад

      Jamn kwani jomba wajo hajui kama amempea anko j simlizi ya Binti Lissa 😂ebu watuache bhn 😢

  • @MusallamDule
    @MusallamDule 7 месяцев назад +4

    Wee anko hatuitaki hii tunataka lisa ban usitukere ban

  • @AsnatMswaki
    @AsnatMswaki 7 месяцев назад +1

    Anko jey nazipenda sana simuliz zako zinanifundish na kunielimisha py

  • @zawadimsigala
    @zawadimsigala 7 месяцев назад +3

    hivi anko lisa mbona hatusikiii au Sara kamuuua nn wadau sasa wanao mpenda lisa watqkavo paniki hahahahah

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt 7 месяцев назад +1

    Jaman tumemic Allvilissa 😢😢

  • @omerrashed9080
    @omerrashed9080 7 месяцев назад

    ❤❤❤ankojay mauwa yako jamani 🎉🎉

  • @naomibonareri3618
    @naomibonareri3618 7 месяцев назад

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪❤😂😂😂

  • @AgnesMeltus
    @AgnesMeltus 7 месяцев назад +3

    Tunataka lisa