Mbna binti lissah huleti😢 au imeisha nijue kila time nachungulia notification za anko j lakin wapi 😪😪😭we anko j mpka nikatamani Niku DM😂🤣ila sijaelewa nakupatia wapi hebu plz help us 😩🧐tunaweweseka kukosa binti lissah 🥲😌
Daaah nmekuwa wa mwisho jmn bas tuungane pamoj kuisikiliza hii simulizi ya mauza uza ila sis tunataka binti lisa kama na wew upo unay taka lisa bas usipite bila kulike😂😂😂❤❤🎉🎉🎉
Haki Toka Jana sikuon ata online nikawa naichungulia akaunt mpaka 😢nikawa kanyongee anko jay japo nilikua namuwazia LISA ila hata kusikia saut yako2 nimekua na aman❤🎉❤❤
Kwa kwel Hali hiyo imetukuta wengi mm mpk saa 6 usiku sijaamini kama haija postiwa 😢😢😢kwa kweli ni huzuni kubwa @ANKOJAY please skiya kilio 😭😭😭chetu please
Hatuitaki twataka lisa au mwasaje wana anko j
Haya MAUZAUZA tujuwe hayo MAUZAUZA wangapi WAMEBOEKA kumkosa LISA LIKE 10 KUBOEKA TU ✌️✌️✌️✌️
Atuleteye bana Binti Lisa part 50 tunaboeka sana kwa kweli!
Atufanyia kusudi jmn na lissa afu et analeta mauza uza, mauza uza ya zuchu au😂😂
Mimi stak hay mauzauza nahic kuumwa Kwa kumkosa Lisa jaman anko ustufanyie hivo 🙏🙏🙏
,😂😂😂😂@@LillyCyprian
@@josephineuwizeye8250kwa kweli tumeboeka kumkosa LISA wetu jamaniii 😢😢
Mbn unatufanyia kuxudi Lissa mbn utuletei😭😭😭
Wakwanzaaaa wangapi tumemiss lissa😢😢😢
😂😂😂😂😂tulio olewa na simulizi kuna mukutano tent ya blue ❤️❤️❤️❤️❤️
Wakwanza jamani.pole Sana ankojay wetu Mungu ni mwema kipenzi❤
Jamani maombi nimuhimu sana tue watu wakusali sana dunia inambo yaajabu sana
Tumetuacha na kimhemko Cha Lisa watu tunakesha kuchungulia ,mungu akupe uzima na afya siku zote uendelee kutuletea burudani
Anko Jay Asante sana kwa simulizi mpya ila tunaomba mwendelezo wa binti Lisa tafadhali tafadhali Anko Jay 🙏🙏
😂😂ankojay anataka mpaka tusahau utamu wa simulizi ya lisa duuh anko jay mwee lisaaaa😢
Hakuna kill, hatimay komba wajo kaleta kitu kipyaa ❤❤❤
Angetuletea Lissa tuhangaike nae tumalize, make najua hadi sehemu ya 210😂😂😂😂
Habari yk kk Anko Jey pole na kz.na Asante Kwa kz yk nzuri.ika kk tunaomba tuletee Lisa
Anko upone n mungu akurinde😊😊
Tunamtaka Lisa wetu jmniiiiiiiiii
Woo leo cjacherewa jamn❤❤❤❤❤
Sasa tutagomaa,natutaaandamanaaa,anko unazinguwaaaaaa😂😂😂,hatunahamuuu ya hiziiiii,saivii,mpaka,lisaaa,isheee,
Lisaaaaaaaa kwanzaaaaa plzzzzzzzzzz hadi roho ina umaaa
Ila anko sisi wakungojea viporo vipi bado hutufikirii kweli tuwahitaji Alvilisa kuwajulia hali
Eeehhhh chezea kuwa wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉
Naomba kesho ulete lisa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Unafanya mpaka tunarudia simulizi jmn tuletee Lisa Kila saa nakuja kuchungulia kama imetoka😂Ankojay wetu tunakupenda😘
🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅anatutia uchizi huyu nimeweka bando kwa ajili yake tuu naliheshimu situmii ovyo nasubiri lisa
Eeeee hii tushaiskiza sema to kabadilisha jina 😅😅😅😅 hataki kutuletea Lisa wetu 🥰🥰🥰🥰🥰
Asante.sana.kwa.simuli.hii.nzuri.acha.ni.injoy.tu.🥰🥰🥰🥰
Mbona Anko unatuonea mashabiki zako😢😢😢😢 tunamtaka Lisa Anko😢😢
Lisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tunataka 😮
Daah sisikilizi mpaka mwana Sheria wangu aje Alvin kimaro na Lissa Jonas massawe najua hawajawahi kupoteza kesi😂😂 hiyo mauza uza hapana bana ank jay
Unasema mgomo baridi unahusu😂😂😂😂😂😂sio
Daaah!nilitamani ingekuwa Lisa lkn ndio Ivo
Mbna binti lissah huleti😢 au imeisha nijue kila time nachungulia notification za anko j lakin wapi 😪😪😭we anko j mpka nikatamani Niku DM😂🤣ila sijaelewa nakupatia wapi hebu plz help us 😩🧐tunaweweseka kukosa binti lissah 🥲😌
Kweli anko jay umechoka tusimulia bint Lisa part 50mbona umeamza kutesa mashabiki wako
Daaah nmekuwa wa mwisho jmn bas tuungane pamoj kuisikiliza hii simulizi ya mauza uza ila sis tunataka binti lisa kama na wew upo unay taka lisa bas usipite bila kulike😂😂😂❤❤🎉🎉🎉
Ashukuriwe mungu kama unaendelea vizur ankojay wetu na asante kwakutujali🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Hongera Anko wetu mzuri kwa vitu vitamu . Haya tujue mauzauza yana nini🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Aaah Asante Mungu kwakumponya ANKOJAY wetu❤❤❤ endelea kutuburudisha mcheshi wetu❤❤❤❤❤❤
Ninachojuwaga naenjoy na simulizi naskia raha sauti yako nzuri sana upo romantic sana ❤❤
🎉🎉🎉Wakwanza leo
❤️❤️❤️🎉🎉🎉 Tunaomba Lisa ep 50 tumeimic sanaaa
Ndiyoooooolisaaaaa
Nimewah leo like zenu tafadhal😊😊😊lakin Ankojay mbona unatufanyia hivyo kuhusu bint lisa tangu juz tunasubiria tuuu tafadhali tunaomba bint lisa 🙏🙏🙏🙏
Ndio tunaombaaa😢😢
Kwani ankojay bint lissah ndio hutuletei jaman
Asante anko jey haya kunani Tena ndani ya mauza uza 🎉🎉🎉🎉mauwa yake 🌹🌹🌹 jomba wajo na familia ya anko jey ❤️❤️❤️❤️
Tulijuwa leo umetususa uncle J
Pole Sanaa ALLAH akujalie shiffa inshaAllah, Allah akulinde, c Siri ,tulikumiss sanaaa
Ankojay tunaomba bint lisa episode 50 usitufanyie ivo jmn 😢😢😢 kwani ndo imeishia apo jmn VIP tupeni umbea huko imekuaje kuhusu lisa na Alvin
Part 2 plzzzzzz ankojoy hii tamu kweli ukweli ni mauzauza tamu hii
Jamani tumwelewe anko naye nibinadam anamwili kama sisi tena ana fanya kazi ngumu sana , Anko tunomba utuelewe tu, na pole sana kwa kuhunguwa.
Nilitalajia nitakutana na Lisa mtokeoyake mauzauza tokea ijumaa anko ukwel tuna❤❤❤❤lakin unatusaliti wazizi
Sawa ankoo jay ila sawa tu
Lisa jamani tumemmiss Sana 😢
Anko wewe watutesa kiukweli na hatutaki hatutaki!!!leta binti lisa 😢😢
Twataka bint lisaa
Haki Toka Jana sikuon ata online nikawa naichungulia akaunt mpaka 😢nikawa kanyongee anko jay japo nilikua namuwazia LISA ila hata kusikia saut yako2 nimekua na aman❤🎉❤❤
Toka wengi jaman Lisa anatuchanganya
Weeeeeee
We hauko serious bhan Lisa bhna😂😂
Kwa kwel Hali hiyo imetukuta wengi mm mpk saa 6 usiku sijaamini kama haija postiwa 😢😢😢kwa kweli ni huzuni kubwa @ANKOJAY please skiya kilio 😭😭😭chetu please
Hhhhhhh
Anko j ,tunaomba alvilisa jaman
Jomba wajo huku tena,hope ni moto kama alvilisa❤
Jamani kwaiyo lisa ndio imeishia vile anko....... 😢😢😢😢
Nimelia Sana nimesubir bint lisa mpaka bas
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya Much love.🎉🎉🎉
Ukowapi lisaa nakutafuta lisaa❤❤❤😂😂
Loooo!!!yaani ungejua ungeleta Lisa jamn hii nin tena sasa😢😢😢😢
😂😂😂 et hii nn tena
Ankojay please naomba Binti Lisa kama inawezekana❤❤😢😢
Siku ya inne sasa lisa hajitoka ao watu wa v.i.p zowo hazija isha ila mi nakumbuka km part 50 tayari washaiyona hebu achiya iyo ngoma
Ankoo lisaa😂😂😂😂 ustufanyiye hivoo
Binti anafanana na Amaya kabisa
anko tunataka lisa jamani lisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani wa binti lisa gather here tuandamane
Anko jay tunamtaka lisa wetu jamaniiii mbona unatufanyia hivyo jamaniii😢😢😢😢😢
Jmn huy sini Amaya ni macho yangu ama niuzee unanismbua you 😂😂 mm alfu pole ankooo wetu twakupnda bure❤❤❤❤❤
Hata mm nilikua najiuliz hivo
Ndo yeye dr
😂😂😂😂😂tena hiii simulizi alisimulianga nakumbuka 😂😂
😂😂😂😂😂😂 ni yy ilaa huyu amekunywa maji mengi😂😂😂😂😂 ilaa watu mnakalili sura daah
Amaya kabadili nguo tu apo😂
Ankoo mbona wajua ku2tesa ivyo kuchungulia acaunt Yako Kila muda ni azabu tosha 2pe 2 iyo Binti Lisa 😢😢😢
Duuuh 🔥🔥 huo ni mjengo umeingia mlango wa nyuma Jooo heee baba anataka damu mwana anataka mapenzi 😢😢😢
Jaman anko jay mbona hutuletei bint lisa😢
Ancojay wewe mtundu kweli ❤❤❤❤🎉🎉
Tunateka lisa jamani 😢😢Ankojay
Thx Anko ila tunataka lisa
Tuleteeni lisa anko jay mbna watuboesha 😅😅you
😭😭😭😢😢😢anko jay paka nimepugua kilo kwa kukosa lissa
😂😂😂😂
Ugua pole Anko jay inshallah allah aziku kkupa shifaah❤
Jaman ank wetu anaumwa
kwan binti Lisa imeisha Anko 😊
Naona anko humekausha kabisaa n alivlisa
Anko usiwe hivyo bhana😂😂😂😂lissa
Tuletee Lisa tunamiss Sana 😮
Allwah akupe afya njema siha nauzima
Ila anko siyo vizur imagine siku mbili bila lisa daaah ni huzuni😢😢😢😮
Yes ankojy npee Lisa nmeboeka.san
Tuletee Lisa ban
Thanks anko jay for this👆👆👆👆🙏🙏🙏,binti lisa part 50 acha nisikilizehii😊
Anko jamani lisa tuonee huruma mawazo tushalewa kwa liza
RUclips ikikosa Ankojay inakosa ladhaa nikama maombolezo vile🥺🥺🥺🥺.ĺakini sasa tunataka LISA KWANZA😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jaman maisha bila simulizi za anko j hayaendi kabisa
Tumemiss Binti Lisa Ankojay plz? Alafu huyu msichana anafanana na Binti amaya
Venye nikilala naota lisaaa kumbe leo hakna pia nahisi ata kupagawaaa
Mm naumwa mwezenu lissa 😢😢😢
Hayaaaa Sasa our ankoooh 🙏🙏
mimi sisiikii nina uziwi nataka lisa tuu
Yan ank jamn Lisa tumemis❤❤
Jomba wajo isiwe ndefu kama Lisa make inatupa shida kuipata Kwa wakati
Lisa yuko wapi
❤❤❤❤❤Anko nakuombea uponyaji wa haraka
Hatautaki hii tunaomba binti lisa hujatimiz ahadi
Ahasante sana anko jay na jomba wajo kwakuzidi kutuletea vitu vitamu mambo 🔥🔥🇴🇲🇴🇲
Jamn kwani jomba wajo hajui kama amempea anko j simlizi ya Binti Lissa 😂ebu watuache bhn 😢
Wee anko hatuitaki hii tunataka lisa ban usitukere ban
Anko jey nazipenda sana simuliz zako zinanifundish na kunielimisha py
hivi anko lisa mbona hatusikiii au Sara kamuuua nn wadau sasa wanao mpenda lisa watqkavo paniki hahahahah
Jaman tumemic Allvilissa 😢😢
❤❤❤ankojay mauwa yako jamani 🎉🎉
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪❤😂😂😂
Tunataka lisa