EPISODE; 103 SISI WANADAMU TUMEUMBWA KWA UDONGO JE, WANYAMA WAMEUMBWA KUTOKANA NA NINI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 28

  • @nohagfgh-721
    @nohagfgh-721 Год назад +2

    Mashallah mpokenya hallah hawaongoze💖💖💖💖💖💖💖

  • @ilham79266
    @ilham79266 Год назад +4

    45 noor. Na Mwenyezi Mungu ameumba kila kinyama kutokana na maji. Wengine katika wao huenda kwa matumbo yao, na wengine huenda kwa miguu miwili, na wengine huenda kwa miguu mine. Mwenyezi Mungu huumba ayatakayo. Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu.

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Год назад +6

    1.malaika wameumbwa kutokana na Nuru
    2.Binadamu wameumbwa kutokana na Udongo
    3.majini wameumbwa kutokana na Moto
    4. Wanyama wameumbwa kutokana na Maji

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Год назад +5

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚💚. Pili INSHA ALLAH naomba ikiwapendeza mtutembele county ya EMBU tufaidike kwa maswali ya dini yetu chemsha bongo.

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Год назад +2

    Waalykum salaam warhamatullah wabarakatuh bwana mashi😊😊🙌🙌

  • @user-je7qd5po5q
    @user-je7qd5po5q Год назад +1

    MaashaAllah, karbu kenya mwana wa maalim Mashi

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Год назад +1

    Yaan hicho kitab ndo nimekikosa sitaki kuamin🥺 ila INSHA ALLAH..

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 4 месяца назад +1

    wanyama wameubwa na maji naomba zawadi yangu

  • @munnyfaw1941
    @munnyfaw1941 Год назад +1

    Hio Aya imeeleza sote,,,,hata sisi binaadam kutokana na maji,,, ,Nabii Adam ndio kutokamana na Udongo,,,,,from mombasa kenya,,# sisi tunatembea kwa miguu miwili

  • @omargargaar5611
    @omargargaar5611 Год назад

    MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Jazallahu khri ktupa elmu ❤❤❤

  • @abdullyathuman1425
    @abdullyathuman1425 4 месяца назад +1

    Mfiken na Nairobi pls

  • @adijarashidi1426
    @adijarashidi1426 Год назад

    MAASHALLAH TABARAKA ALLAHU ❤shukran san tuna elimika Alhamdulillah

  • @mascheranozuber3672
    @mascheranozuber3672 Год назад

    ALLAHAMDULILAH

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Год назад

    MashaAllaah tabaraAllaah kipindi chetu pendwa yaani Alhamdulillaah ❤❤
    Shukran

  • @BintihamisiMWINYISHEE-s3b
    @BintihamisiMWINYISHEE-s3b 27 дней назад

    Binadamu waliumbwa kutokana na udogo na maji

  • @mwnab1697
    @mwnab1697 Год назад

    Mashallah

  • @munnyfaw1941
    @munnyfaw1941 Год назад

    Daabba ni kiumbe chchte kinachotembea Ardhini

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Год назад

    Masha ALLAH

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад

    Mashallah tabaraka llah 🥰

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад

    Wa Alaykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh. Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK ❤

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад

    Mashaallah tabaraka rahmaan shukraan kwa kipindi hichi

  • @chakulachamoyohudhey8488
    @chakulachamoyohudhey8488 Год назад

    Kuna video ya mambrui sjaiona ustadh wangu

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Год назад

    Walyekum mssalam warrahmathuallah wabarakathu mashallah karibuni tena

  • @iddyiddy1282
    @iddyiddy1282 Год назад

    Me mwenyewe siwezi tembea miguu chini kichwa juu😅😂

  • @Rahma-cj7wi
    @Rahma-cj7wi Год назад

    Esnyama wamebwa kutokana na maj

  • @mascheranozuber3672
    @mascheranozuber3672 Год назад

    ALLAHAMDULILAH

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Год назад

    Mashallah