ALLY KAMWE ALIVYOTOA RATIBA NZIMA WIKI YA MWANANCHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 156

  • @kephajackson1763
    @kephajackson1763 Месяц назад +14

    Una maneno ya busara sana kijana wetu Ally Kamwe MUNGU Akubariki sana.

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Месяц назад +23

    Tuna kupenda sana kaka Ally kamwe Allah akulinde inshaallah 💚💛💛💛💚

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 Месяц назад +26

    Rais Hersi Eng. Ally Shaban Kamwe abaki aungane na Haji Sandy Manara. Asiondoke kabisa we still need him

  • @StellaTriphone-cp5wq
    @StellaTriphone-cp5wq Месяц назад +34

    Mungu akubariki Ally Kamwe kwa kazi nzuri unayoendelea kuifanya I LOVE YOU YOUNG AFRICANS 💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @noelamambya9769
    @noelamambya9769 Месяц назад +12

    Asante Mungu Ali kamwe bado tupo nae kama msemaji wetu nimefurahi sana

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Месяц назад +9

    MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @DevothaAbera
    @DevothaAbera Месяц назад +8

    Tunakupenda sana sjui kingereza ili niandike kwa msisitizo lkn Ally Shabaan Kamwe tunakuhitaji ubaki yanga ,Mindontakua na fraha usiondokeee😢😢😢 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 Месяц назад

    Aliy shaaban kamwe mungu akupe afya njema ss mashabiki tumefrah ww kuendelea kuwepo hapo hakika unatuhabaribisha vizury

  • @JafaryMonero
    @JafaryMonero Месяц назад +5

    Ubarikiwe ally na manara tunawapenda

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Месяц назад +9

    Kila nikijaribu kuwaza nakuwazua kwa kile kinachoendelea south uko naona ni Bora tusipeleke timu tarehe nane🙏🏻🙏🙏🙏🙏

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад +1

      Simba unayejua mpira..yanga anatisha. Tafadhali msikimbie mechi, Derby haina mwenyewe

  • @MauBonde
    @MauBonde Месяц назад

    Tusitolee macho sana mechi ya tarehe 4 tarehe 8 tulipize tulivyodhulumiwa msimu uliopita,tujilinde na majeruhi ,daima mbele nyuma kwetu mwiko,love u yanga.

  • @iddidandodando6063
    @iddidandodando6063 Месяц назад

    Watu wawili kazi kazi tunawapenda Sana fanyeni kazi Kama timu.

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 Месяц назад +15

    Eti unawasimanga unakula hadi raha jamani ila hii team acha niendelee kulipia card yangu tu

  • @MagrethMgesi
    @MagrethMgesi Месяц назад +2

    Nakupenda sn Ally kamwe ❤❤❤❤

  • @user-ev8kq2zo2j
    @user-ev8kq2zo2j Месяц назад +6

    Ali Kamwe we ni kipenzi cha wananch usiondoke hapo,we love you so much p'se Manara wa nn

  • @PlasdiucSeveriol
    @PlasdiucSeveriol Месяц назад

    Katika habari ambayo hatutaki kuiskia ni kuwa eti ali kamwe ameondoka bora tukose ubingwa ali ubaki❤❤❤❤❤

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 Месяц назад +2

    Yanga yanga yanga. Ally kamwe ni zaidi ya manara. Msingefa ya mabadiliko hayo. Ikumbukwe pia ally kamwe ni mtangazaji wa mpira bado angweza kusaidia eneo Hilo na na namna nyingine ya kuhamasha wachezaji kwakuwa anawajua sana wachezaji wa timu tofauti tofauti na timu nyingi. Manara ni MC peke yake.

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 Месяц назад +3

    Tunakupenda Ally kamwe

  • @Daniyo-id4eh
    @Daniyo-id4eh Месяц назад

    Oyoooh... Mwenyekiti w wasemaji akiunguruma n wananchi ❤❤❤❤

  • @emmanuelcharlesmakwaya2550
    @emmanuelcharlesmakwaya2550 Месяц назад +1

    Mh, Ing Hersi, nakuomba sana uwe makini ktk issue ya msemaji wetu, mh, kama ni lazima mmoja aondoke,basi mtu huyo awe Manara nasio Alli kamwe !!!

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Месяц назад +8

    Ukimwangalia usoni ally kamwe ni kama hana furaha, siku za nyuma uwa anafuraha sana na kutia madoido

  • @nkindamasanja5260
    @nkindamasanja5260 Месяц назад

    Tunakipenda sana Ali kamwe

  • @HusseinIsmairy-gj5ux
    @HusseinIsmairy-gj5ux Месяц назад +9

    Kaa kwakutulia ally wewe na hers mnatakiwa mkae hapo mpaka yanga ishuke daraja

  • @hawajohn749
    @hawajohn749 Месяц назад

    Weweeeeeee👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌karibu tena ally kamwe

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma Месяц назад

    Tunakupenda sana kamwe

  • @ZabronMashauri
    @ZabronMashauri Месяц назад +1

    Ushauri wa bure Tu Kwa semaji la wananchii afanye Tu mamb yake awaache wengine wafanye mamb Yao maana so Kwa kutupiana vijembe achana nao kabsa piga kz iendelee ❤❤❤❤❤ young africans😢😮😮😮🎉 wala usiwasemee chochote

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c Месяц назад

    Ally Kamwe tunakupenda sana umstaarabu mnoooo!!!!

  • @mdudutravelers
    @mdudutravelers Месяц назад

    show love to Yanga Daima

  • @steamtvtz
    @steamtvtz Месяц назад +1

    Ally kamwe unajua Sana kaka 🎉🎉🎉

  • @FRANKKIBERA
    @FRANKKIBERA Месяц назад +3

    Team ya wananchi 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-fi1qp7hv5t
    @user-fi1qp7hv5t Месяц назад

    Thank you president

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 Месяц назад +1

    Uongz wayanga umemkosea sana ufrme wamanara umesha kwisha saiv nizama za Ally kamwe, Ahmed Ally na Hashim ibwe mmetuangusha sana manara akafanye kazi yake yakuoa na kuacha

  • @MasungaIgogo-cx3yj
    @MasungaIgogo-cx3yj Месяц назад +1

    Team ya watapeli wote
    Ubaya ubwelaaaaaàaaaa

  • @yusufmohamed8428
    @yusufmohamed8428 Месяц назад

    We love u kamwe

  • @NassPozo
    @NassPozo Месяц назад +1

    Upo vzr mbele ya wananchi, Kamwe

  • @noelsumka2362
    @noelsumka2362 Месяц назад +1

    tunakubali sana 🎉🎉🎉

  • @RehemaAmos-pv7nx
    @RehemaAmos-pv7nx Месяц назад

    ❤❤❤ kamwee

  • @NajMa-xg3er
    @NajMa-xg3er Месяц назад

    ❤ ally kamwe

  • @vffvff6317
    @vffvff6317 Месяц назад

    Mansha Allah ❤❤

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor7068 Месяц назад +1

    Tafadhali sana rais wa Yanga usimtoe Ali kamwe. Manara kazeeka sasa hatumtaki

  • @neemamollel6972
    @neemamollel6972 Месяц назад

    Jaman viongozi wetu manara mtafutieni kitengo kingine tuachieni Ally wetu kwanza ana nuru kila analo tuambia linakuwa hivyohivyo

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz Месяц назад

    Mungu akusimamie sana Ali kamwe akupe moyo wa subra usifanye maamuz magumu

  • @JaphethTumbu-f6j
    @JaphethTumbu-f6j Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @irenegeophrey5650
    @irenegeophrey5650 Месяц назад +2

    Manara atengenezewe ofisi yake jengo bado kubwa. Amuache Ally Kamwe na kitengo chake wafanye kazi yao 😔

  • @AdenSator
    @AdenSator Месяц назад

    Kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove Месяц назад +1

    Safi safi yanga Africans kwanza kazi kazi mbele imradi yanga ifike kwenye malengo yetu

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Месяц назад +1

    Ally Kamwe for Yanga

  • @EdwardElikunda
    @EdwardElikunda Месяц назад

    Yanga tunauwezo wa kucheza kombe la ligi ya south africa

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Месяц назад +3

    Wanasimba wenzangu tusipeleke timu uwanjani tarehe nane hili la ali kamwe kuachana na yanga n mtego

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 Месяц назад

      Kwani Kamwe ndio alitakiwa kucheza ?? Acha tukacheze kitaeleweka huko huko

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 Месяц назад

      Mara hii litakufa jitu

  • @AmashaMchelemi-bq9yv
    @AmashaMchelemi-bq9yv Месяц назад +2

    On 🔥 🔥

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад +1

    Kamwe asiondoke hiyo position anaitendea haki
    Bora wafanye kazi wote kuliko kumtoa

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l Месяц назад +1

    Habari mbaya kwa Sanda fc

  • @mardaditv
    @mardaditv Месяц назад

    Daima mbele 💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @rahmazaid730
    @rahmazaid730 Месяц назад

    Wanatoa kafara. Innaaalillah wainnaaa ilyh raaajiun

  • @user-qf6dh9hy8c
    @user-qf6dh9hy8c Месяц назад

    Ali kamwe ❤❤❤ for Yanga

  • @esterkessy6940
    @esterkessy6940 Месяц назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Месяц назад

    mm naamini viongozi wa yanga hawajawahi kushindwa jambo

  • @user-fi1qp7hv5t
    @user-fi1qp7hv5t Месяц назад

    Thank you alikamwe

  • @simonmalekela-ce6ix
    @simonmalekela-ce6ix Месяц назад

    Wonderful

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma Месяц назад

    Good

  • @asmamjema8539
    @asmamjema8539 Месяц назад

    Kwa mim ninavyoona Ally kamwe abaki tu, maana manara mzuri ila tatizo mropokaji hakawiii kuharibu

  • @EPHRAIMRAMADHANI-is1du
    @EPHRAIMRAMADHANI-is1du Месяц назад

    Very talented

  • @AbeliMsafiri
    @AbeliMsafiri Месяц назад

    ❤❤

  • @AbasMohammed-s1o
    @AbasMohammed-s1o Месяц назад

    Sawa maazee

  • @ahmedkhator3968
    @ahmedkhator3968 Месяц назад

    Wahenga wanasema Fahari wailing hawakai zizi moja

  • @AliceKaijage-j1s
    @AliceKaijage-j1s Месяц назад

    🤝😊

  • @PeterNdalu-h5h
    @PeterNdalu-h5h Месяц назад

    💚💛💚💛💚💛

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 Месяц назад

    Wametushitua et Aliy kang'atuka

  • @AllyJofrey-mg6ri
    @AllyJofrey-mg6ri Месяц назад +1

    ❤❤😊

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 Месяц назад

    Kumbe upo Safi sana

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert Месяц назад

    Napitia pitia comment nakuta na Debora yupo

  • @user-th4tj8se2y
    @user-th4tj8se2y Месяц назад

    Alikamwe nakuelewa sana

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 Месяц назад

    Hili zee liwaachie vijana lipeni ofisi nyingine huo uropokaji mtavuriga muda siyo mrefu

  • @user-cs9jb8ok4v
    @user-cs9jb8ok4v Месяц назад

    Wampe nafasi naye 😢 humo humo kijan kajitahid san 😭 Ila Manara tume mis san 😅xax naanze Kaz yake 😂 humu humu tuuu

  • @AlhajiOmary
    @AlhajiOmary Месяц назад

    hii yanga ni Madrid kabisaa👋👋👋👋👋👋

  • @JosephJohn-z5s
    @JosephJohn-z5s Месяц назад

    Mm ni yanga 💚💚

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 Месяц назад

    Mh,Rais wetu tafadhali sana nyinyi viongozi msiharibu kabisa hata kidogo huyo mtu wenu ni mropokaji hana uvumilivu kutoka tu kifungoni anatoa maneno ya dhihaki KWA mwenziye kwanini hicho cheo na huo ubosi wake asisubiri akafika ofisini akapangiwa cha kufanya msituvuruge tunamtaka Ally huyo mpeni ofisi nyingine

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga Месяц назад

    Ally kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 Месяц назад +1

    Tujitahd kujaza uwanja wananchi,, itakua ni aibu kubwa kukiwa na mapengo

  • @user-qn2fg4yi4l
    @user-qn2fg4yi4l Месяц назад

    🎉

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Месяц назад

    Allaah Akbar

  • @MohammediAthumani-d2p
    @MohammediAthumani-d2p Месяц назад

    Ok

  • @DogoMosy
    @DogoMosy Месяц назад

    Duuuuh mm nina hamu tu ya kuxikia utambulixho wa yanga tena ukiongozwa na haji xande manara

  • @KaraniBonge
    @KaraniBonge Месяц назад

    Mbona huna rahaaa aliy kamwe

  • @MalkiRamadhan
    @MalkiRamadhan Месяц назад

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @ahmedkhator3968
    @ahmedkhator3968 Месяц назад

    TIMU INA WASEMAJI WAWILI😂😂😂😂

  • @SevelinFidely
    @SevelinFidely Месяц назад

    safi sana

  • @ZainabZainab-gm3in
    @ZainabZainab-gm3in Месяц назад

    Am young 4rever

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Месяц назад

    Alikamwe tunakulewa tunakupenda sana

  • @NiceordeMwemezi
    @NiceordeMwemezi Месяц назад

    💯💯

  • @FarhiyaNassy
    @FarhiyaNassy Месяц назад

    Semaji hauna baya wew

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 Месяц назад

    Yanga Bingwa ✅

  • @user-nc2me2ic9y
    @user-nc2me2ic9y Месяц назад

    Kamweeeeee😅 kwakwel nimefalh sanaa

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Месяц назад

    Haondoki jamani hiyo ni kiki tu

  • @selemankajonjo1638
    @selemankajonjo1638 Месяц назад

    Ngao hii haina penalt

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 Месяц назад

    Ali kamwe brother yanga hii umebeba furaha zetu watu wengi sana plz ukitaka kutoka tuombe kwanza ushauli ss maana utatutesa wengi mno tumekuzoea bhn

  • @JaneMakoye
    @JaneMakoye Месяц назад

    Yanga raha

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 Месяц назад

    Ali kamwe msemaji wetu ..tunakupenda bwana

  • @JastiniKutona
    @JastiniKutona Месяц назад

    Hongela hiya ndo yanga

  • @LaurentLigambas
    @LaurentLigambas Месяц назад

    Kaka amani iwe kwako unaupiga mwingi sana apo jangwan