Tunakupenda sana sjui kingereza ili niandike kwa msisitizo lkn Ally Shabaan Kamwe tunakuhitaji ubaki yanga ,Mindontakua na fraha usiondokeee😢😢😢 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛
Tusitolee macho sana mechi ya tarehe 4 tarehe 8 tulipize tulivyodhulumiwa msimu uliopita,tujilinde na majeruhi ,daima mbele nyuma kwetu mwiko,love u yanga.
Yanga yanga yanga. Ally kamwe ni zaidi ya manara. Msingefa ya mabadiliko hayo. Ikumbukwe pia ally kamwe ni mtangazaji wa mpira bado angweza kusaidia eneo Hilo na na namna nyingine ya kuhamasha wachezaji kwakuwa anawajua sana wachezaji wa timu tofauti tofauti na timu nyingi. Manara ni MC peke yake.
Ushauri wa bure Tu Kwa semaji la wananchii afanye Tu mamb yake awaache wengine wafanye mamb Yao maana so Kwa kutupiana vijembe achana nao kabsa piga kz iendelee ❤❤❤❤❤ young africans😢😮😮😮🎉 wala usiwasemee chochote
Uongz wayanga umemkosea sana ufrme wamanara umesha kwisha saiv nizama za Ally kamwe, Ahmed Ally na Hashim ibwe mmetuangusha sana manara akafanye kazi yake yakuoa na kuacha
Mh,Rais wetu tafadhali sana nyinyi viongozi msiharibu kabisa hata kidogo huyo mtu wenu ni mropokaji hana uvumilivu kutoka tu kifungoni anatoa maneno ya dhihaki KWA mwenziye kwanini hicho cheo na huo ubosi wake asisubiri akafika ofisini akapangiwa cha kufanya msituvuruge tunamtaka Ally huyo mpeni ofisi nyingine
Una maneno ya busara sana kijana wetu Ally Kamwe MUNGU Akubariki sana.
Tuna kupenda sana kaka Ally kamwe Allah akulinde inshaallah 💚💛💛💛💚
Rais Hersi Eng. Ally Shaban Kamwe abaki aungane na Haji Sandy Manara. Asiondoke kabisa we still need him
Mungu akubariki Ally Kamwe kwa kazi nzuri unayoendelea kuifanya I LOVE YOU YOUNG AFRICANS 💚💛💚💛💚💛💚💛
Asante Mungu Ali kamwe bado tupo nae kama msemaji wetu nimefurahi sana
MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
Tunakupenda sana sjui kingereza ili niandike kwa msisitizo lkn Ally Shabaan Kamwe tunakuhitaji ubaki yanga ,Mindontakua na fraha usiondokeee😢😢😢 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Aliy shaaban kamwe mungu akupe afya njema ss mashabiki tumefrah ww kuendelea kuwepo hapo hakika unatuhabaribisha vizury
Ubarikiwe ally na manara tunawapenda
Kila nikijaribu kuwaza nakuwazua kwa kile kinachoendelea south uko naona ni Bora tusipeleke timu tarehe nane🙏🏻🙏🙏🙏🙏
Simba unayejua mpira..yanga anatisha. Tafadhali msikimbie mechi, Derby haina mwenyewe
Tusitolee macho sana mechi ya tarehe 4 tarehe 8 tulipize tulivyodhulumiwa msimu uliopita,tujilinde na majeruhi ,daima mbele nyuma kwetu mwiko,love u yanga.
Watu wawili kazi kazi tunawapenda Sana fanyeni kazi Kama timu.
Eti unawasimanga unakula hadi raha jamani ila hii team acha niendelee kulipia card yangu tu
Nakupenda sn Ally kamwe ❤❤❤❤
Ali Kamwe we ni kipenzi cha wananch usiondoke hapo,we love you so much p'se Manara wa nn
Katika habari ambayo hatutaki kuiskia ni kuwa eti ali kamwe ameondoka bora tukose ubingwa ali ubaki❤❤❤❤❤
Yanga yanga yanga. Ally kamwe ni zaidi ya manara. Msingefa ya mabadiliko hayo. Ikumbukwe pia ally kamwe ni mtangazaji wa mpira bado angweza kusaidia eneo Hilo na na namna nyingine ya kuhamasha wachezaji kwakuwa anawajua sana wachezaji wa timu tofauti tofauti na timu nyingi. Manara ni MC peke yake.
Tunakupenda Ally kamwe
Oyoooh... Mwenyekiti w wasemaji akiunguruma n wananchi ❤❤❤❤
Mh, Ing Hersi, nakuomba sana uwe makini ktk issue ya msemaji wetu, mh, kama ni lazima mmoja aondoke,basi mtu huyo awe Manara nasio Alli kamwe !!!
Ukimwangalia usoni ally kamwe ni kama hana furaha, siku za nyuma uwa anafuraha sana na kutia madoido
Tunakipenda sana Ali kamwe
Kaa kwakutulia ally wewe na hers mnatakiwa mkae hapo mpaka yanga ishuke daraja
Weweeeeeee👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌karibu tena ally kamwe
Tunakupenda sana kamwe
Ushauri wa bure Tu Kwa semaji la wananchii afanye Tu mamb yake awaache wengine wafanye mamb Yao maana so Kwa kutupiana vijembe achana nao kabsa piga kz iendelee ❤❤❤❤❤ young africans😢😮😮😮🎉 wala usiwasemee chochote
Ally Kamwe tunakupenda sana umstaarabu mnoooo!!!!
show love to Yanga Daima
Ally kamwe unajua Sana kaka 🎉🎉🎉
Team ya wananchi 🔥🔥🔥🔥🔥
Thank you president
Uongz wayanga umemkosea sana ufrme wamanara umesha kwisha saiv nizama za Ally kamwe, Ahmed Ally na Hashim ibwe mmetuangusha sana manara akafanye kazi yake yakuoa na kuacha
Umetumwa
@@nikojosephchabaliko9623😂😂😂
Team ya watapeli wote
Ubaya ubwelaaaaaàaaaa
We love u kamwe
Upo vzr mbele ya wananchi, Kamwe
tunakubali sana 🎉🎉🎉
❤❤❤ kamwee
❤ ally kamwe
Mansha Allah ❤❤
Tafadhali sana rais wa Yanga usimtoe Ali kamwe. Manara kazeeka sasa hatumtaki
Jaman viongozi wetu manara mtafutieni kitengo kingine tuachieni Ally wetu kwanza ana nuru kila analo tuambia linakuwa hivyohivyo
Mungu akusimamie sana Ali kamwe akupe moyo wa subra usifanye maamuz magumu
❤❤❤❤❤
Manara atengenezewe ofisi yake jengo bado kubwa. Amuache Ally Kamwe na kitengo chake wafanye kazi yao 😔
Kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
Safi safi yanga Africans kwanza kazi kazi mbele imradi yanga ifike kwenye malengo yetu
Ally Kamwe for Yanga
Yanga tunauwezo wa kucheza kombe la ligi ya south africa
Wanasimba wenzangu tusipeleke timu uwanjani tarehe nane hili la ali kamwe kuachana na yanga n mtego
Kwani Kamwe ndio alitakiwa kucheza ?? Acha tukacheze kitaeleweka huko huko
Mara hii litakufa jitu
On 🔥 🔥
Kamwe asiondoke hiyo position anaitendea haki
Bora wafanye kazi wote kuliko kumtoa
Habari mbaya kwa Sanda fc
Daima mbele 💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Wanatoa kafara. Innaaalillah wainnaaa ilyh raaajiun
Ali kamwe ❤❤❤ for Yanga
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mm naamini viongozi wa yanga hawajawahi kushindwa jambo
Thank you alikamwe
Wonderful
Good
Kwa mim ninavyoona Ally kamwe abaki tu, maana manara mzuri ila tatizo mropokaji hakawiii kuharibu
Very talented
❤❤
Sawa maazee
Wahenga wanasema Fahari wailing hawakai zizi moja
🤝😊
💚💛💚💛💚💛
Wametushitua et Aliy kang'atuka
❤❤😊
Kumbe upo Safi sana
Napitia pitia comment nakuta na Debora yupo
Alikamwe nakuelewa sana
Hili zee liwaachie vijana lipeni ofisi nyingine huo uropokaji mtavuriga muda siyo mrefu
Wampe nafasi naye 😢 humo humo kijan kajitahid san 😭 Ila Manara tume mis san 😅xax naanze Kaz yake 😂 humu humu tuuu
hii yanga ni Madrid kabisaa👋👋👋👋👋👋
Mm ni yanga 💚💚
Mh,Rais wetu tafadhali sana nyinyi viongozi msiharibu kabisa hata kidogo huyo mtu wenu ni mropokaji hana uvumilivu kutoka tu kifungoni anatoa maneno ya dhihaki KWA mwenziye kwanini hicho cheo na huo ubosi wake asisubiri akafika ofisini akapangiwa cha kufanya msituvuruge tunamtaka Ally huyo mpeni ofisi nyingine
Ally kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tujitahd kujaza uwanja wananchi,, itakua ni aibu kubwa kukiwa na mapengo
🎉
Allaah Akbar
Ok
Duuuuh mm nina hamu tu ya kuxikia utambulixho wa yanga tena ukiongozwa na haji xande manara
Mbona huna rahaaa aliy kamwe
Daima mbele nyuma mwiko
TIMU INA WASEMAJI WAWILI😂😂😂😂
safi sana
Am young 4rever
Alikamwe tunakulewa tunakupenda sana
💯💯
Semaji hauna baya wew
Yanga Bingwa ✅
Kamweeeeee😅 kwakwel nimefalh sanaa
Haondoki jamani hiyo ni kiki tu
Ngao hii haina penalt
Ali kamwe brother yanga hii umebeba furaha zetu watu wengi sana plz ukitaka kutoka tuombe kwanza ushauli ss maana utatutesa wengi mno tumekuzoea bhn
Yanga raha
Ali kamwe msemaji wetu ..tunakupenda bwana
Hongela hiya ndo yanga
Kaka amani iwe kwako unaupiga mwingi sana apo jangwan