ALLY KAMWE ATEMA CHECHE/AUGSBURG WAMECHEZA RAFU/ALIYEFUNGA GOLI NI JUMANNE BALEKE SIYO JEAN BALEKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe, maarufu Mwenyekiti wa Wasemaji Afrika, amezungumza na Mpenja TV baada ya mchezo wao wa kirafiki kumalizika nchini Afrika Kusini wakifungwa magoli 1-2 dhidi ya Augsburg ya Ujerumani.

Комментарии • 61

  • @josephnyota-hb4ck
    @josephnyota-hb4ck Месяц назад +3

    Clement mzinze achapwe viboko, sababu umri wake anastali adhabu ya viboko, mzinze mpira anaujua sana lakini papara nyingi atulie. Hongera Eng Jicho la bali unalo, Yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @faidha23
    @faidha23 Месяц назад +8

    Mpira ulikuwa mzur ila baat aikuwa kwetu lakini mzize mim huwa simuelew kabisa ivi lango huwa alioni au vipi maana anapata nafasi afu azitendei haki kabisa

    • @amonmfuruki939
      @amonmfuruki939 Месяц назад

      Mzize ni ugonjwa mbaya sana Yanga, mashabiki washamlalamikia mno ila mambo ni yale yale

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Месяц назад +1

    Safi sana Ally kamwe kuwa msemaji wa mfano kwa wasemaji wengine 🎉

  • @Mmenga_junior
    @Mmenga_junior Месяц назад

    Mim napenda sana mzize akicheza kutokea pembeni kama winger ndo anakuwa hatari sana

  • @user-uo6nw1gb8b
    @user-uo6nw1gb8b Месяц назад

    Mungu ibariki timu yangu pendwa Yanga, uwe nasi msimu huu

  • @AMINIELIHAALI-xv1rd
    @AMINIELIHAALI-xv1rd Месяц назад

    MZIZE ANAJUAAAAAAAAAAAA

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Месяц назад

    Amina Inshaallah

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Месяц назад

    Umekondaaa kwa daakika. ...

  • @KapataMkali
    @KapataMkali Месяц назад

    A week and half into pre season Yanga created a lot of chances, they made Augsburg look very ordinary. We just needed to iron out a few things and focus on finishing our chances. Always forward…

  • @ShaibuMkullu-ck6sl
    @ShaibuMkullu-ck6sl Месяц назад +2

    😂😂😂Ally kamwe!, daa

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Месяц назад +1

    Mimi kweli mzize simuelewi kabisa ila basi tu
    Yanga ni nzuri kwa ujumla

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je Месяц назад

      Dirisha liko wazi

  • @AsifuSule
    @AsifuSule Месяц назад +1

    Ali waambie hao makoloo tunawasubr tarehe 8

  • @user-fg8cf9lu9j
    @user-fg8cf9lu9j Месяц назад

    Uko mpoleeee ,,yaan ungeshindaa usingekuwa mpole hivi

  • @murshidyabdallah1356
    @murshidyabdallah1356 Месяц назад

    wee bado bwana mdogo

  • @fabianmbughi-z2m
    @fabianmbughi-z2m Месяц назад

    yanga tamu

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Месяц назад

    Umeishiwaaaa

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Месяц назад

    Mzize anatakiwa anaanza kipindi cha pili

  • @user-dd8oc6yw9n
    @user-dd8oc6yw9n Месяц назад

    🎉🎉

  • @dauditillya-gy5ge
    @dauditillya-gy5ge Месяц назад +1

    Mleten jumapili baleke sasa😅😅😅

  • @neemamwijage
    @neemamwijage Месяц назад

    Ungeshinda ww,ungeshinda ww,ungeshinda ww hapo ungekuwa unaiongelea sana simba maneno mengi yangekuwa ni simba wamekuweza na bado

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 Месяц назад

    Lkn mmefungwaaa

  • @alitante4279
    @alitante4279 Месяц назад

    Ndmn mzee magola anaitwa nyinyi ndo wahuni na matapeli , eti jumanne baleke

  • @LovelyFields-jp2co
    @LovelyFields-jp2co Месяц назад

    Yan hat mm huwa simwele w kbx

  • @KaresiamosiMwanjari
    @KaresiamosiMwanjari Месяц назад

    Kwaiyo tiyali j4 tiyali katambulishwa tiyali

  • @Medikombovuai
    @Medikombovuai Месяц назад

    Jumanne baleke

  • @chng1990
    @chng1990 Месяц назад

    Obuntu botho wanateseka muda huu

  • @deniskabavako9329
    @deniskabavako9329 Месяц назад +1

    Alikamwe anatia huruma😂😂😂

    • @sittandaki2135
      @sittandaki2135 Месяц назад +1

      Kivipi sasa mbona yupo vzri tu

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Месяц назад +1

      Kiuhalisia nyinyi makolokwinyo ndio mnaotia huruma 😂😂😂na bado mtaendelea kuteseka sana tu 😂😂😂

    • @chrisantusnditi8670
      @chrisantusnditi8670 Месяц назад

      Makolo msubiri trh 8, kelele za nini.Mnadhani nyie Ausburg ya bundersiliger 😂😂

  • @fabianmbughi-z2m
    @fabianmbughi-z2m Месяц назад

    tunainjoi

  • @LovelyFields-jp2co
    @LovelyFields-jp2co Месяц назад

    Hv nkwel anachoxm all kamw

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda Месяц назад

    Unaumwa

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Месяц назад

    Ally 😁😁😁😁amekua j4 baleke

  • @freddyjonasjonas
    @freddyjonasjonas Месяц назад

    Mumepigwa😂😂😂 tayali

  • @RashidiAlly-et1sg
    @RashidiAlly-et1sg Месяц назад

    Maneno mengiiii nani kafungwa sasa hio timu ulio cheza nayo mchezaji wa kikos cha kwanza ni mmoja tu

    • @khamisally9559
      @khamisally9559 Месяц назад

      Tarehe 08/08/2024 sio mbali. Ongeeni sana lakini mtajuta huu upuuzi wenu. It's just a matter of time.

  • @awessuhafidhimzee
    @awessuhafidhimzee Месяц назад

    kama ulizimia marahii utakufa kwa ubaya ubwela

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Месяц назад +1

      Alizimia kwa kolo kula 5, atakufa kwa kolo kula 10😂😂

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Месяц назад

      ​@@daudimichael7338😂😂 mwambie huyo

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Месяц назад

    Simba ikiacha wachezaji yanga ndio wanakimbilia tena wanawalipa pesa ya ajabu kwa simba wanakuwa washachuja wametemwa

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Месяц назад

      Mmewatema wao ndiyo wamewatema wakat bado mlikuw mnawahitaji

    • @issahpaul4510
      @issahpaul4510 Месяц назад

      Endeleen kuwatema na yanga wataendelea kuwachukua .....mtakuja kushtuka baada ya miaka 10 haumna kombe la ligi kuu kuanzia mwaka 2021

  • @khalfanabdallah5559
    @khalfanabdallah5559 Месяц назад

    Umefungwa wacha maneno wewe tunakusubiri lupaso

  • @joshuaerasto8677
    @joshuaerasto8677 Месяц назад

    Wahudumu wa hoteli ni akina nani, badala ya kuzungumzia team yako unazungumzia watu wengine

  • @husseinsaidlembeli453
    @husseinsaidlembeli453 Месяц назад

    Bwege ww.

    • @songombingo108
      @songombingo108 Месяц назад +1

      Acha ukuma wewe. Unamuita Bwege kwani amesema kipi kibaya. Fala wewe..

    • @DoreenDaniel-m2u
      @DoreenDaniel-m2u Месяц назад

      😂😂😂😂huondio mpira vinamuda bas

  • @IddGeka
    @IddGeka Месяц назад

    wambie dogo

  • @tingathebest
    @tingathebest Месяц назад

    Mmekula kilambo 😂😂😂😂

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m Месяц назад

    Sema ukweli umechapwa comedi wa yanga wewe

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m Месяц назад

    Mmecheza na ya pili wachezaji kibao hawajacheza wanane sifa tu zako wewe mdomo tu

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Месяц назад

    Unaongea utumbo mtupu!

  • @franccoz94
    @franccoz94 Месяц назад

    Very stupid, unafurahia kisa mzungu kakufungaa ,utaacha lini utumwaa

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Месяц назад

      Wewe ndio mtumwa 😂😂😂unajua kwa nini...kwa sababu mihemko yako ya kikolokwinyo ndio inayokufanya uwe mtumwa.... actually you're the one who is stupid because you're trying to avoid facts with your stupid emotions

  • @AsifuSule
    @AsifuSule Месяц назад

    Ali waambie hao makoloo tunawasubr tarehe 8

  • @bundalamabula6264
    @bundalamabula6264 Месяц назад

    Jumanne baleke