Mt. Kizito Makuburi - Simba wa Yuda (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 19 апр 2019
- WIMBO: SIMBA WA YUDA
WAIMBAJI: KMKMAKUBURI
MTUNZI: JUSTINE SALISALI
AUDIO & VIDEO: HOLY TRINITY STUDIOS
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome Видеоклипы
Kiukweli makubur mpo juu mungu azidi kuwainua mpaka mshangae mbarikiwe
2024 here we are happy Easter ..kwenu nyote
Mungu awabaliki sana kwa nyimbo nzur
Jaman mnanikonga moyo wng hii kwaya sana barikiwen sana kwa utume wenu
Ee amefufuka yesu nimzima simba wayuda kashinda kifo nguvu zakuzimu amezishinda ongereni kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Nyagasani Imana icyiganza cyawe cyibe kuruhanga rwacu, Umwuka wera wawe uduhe kuwuhumekaho bundi bushya Amena
Watching from manga girls high school kenya 🎉
Watching from manga girls high school 🎉
Good it's good for evribordy for everyone thanks you
Roman mpo juuu kuliko kwaya za dini zote ulululululululululu
JAMANI MTAKE MSITAKE HAKIKA SIMBA WA YUDA NI WIMBO MMEUTENDEA HAKI.HONGERENI SANA
barikiweni sana wanamakuburi...wimbo mzuri sana..uimbaji ni talanta yenu..taji lawangojea mbinguni.. I always love your moves..I love you kmk
Kwa kweli mpo juu sana. Tune ni excellent, mpangilio wa stage ni new model, pia hata uchezaji ni mzuri sana. Mwisho wanakwaya wanatabasamu la ukweli.
Congratulations for a job well done 👍✅
One of the choirs I know, I have sung with them. The place of shooting, Christ the the King Tabata. I have served there. Well done makuburi.
Simba wa yuda kweli si mchezo
Hongerani sana kmk Mungu awabariki na kazi njema ya utume
Hadi rahaaaa! Utafkiri ndio umefika mbinguni
Pasaka hiyoo inakaribia huu wimbo mahara pake ❤️
Hakika nabarikiwa sn na wimbo huu,kwan cku haiish bila kuuckiliza! Mungu awabarik sn na azid kuwainua kila iitwapo leo
Leo amefufuka, ni pasaka nyingine tena🎉
Hongereni kwa utume uliotukuka
Ni kweri, amefufuka.huo ndio msimamo was diini ya kikristo. Halleluaya.
champions league winners.. team mt.kizito makuburi,,, kwenye lango ni mtunzi salisali, defence tano mgongoni ni gwiji zacharia.. katikati mwa kiwanja yumo Drummer Mwesiga.. kwenye mabawa Mashibe yupo..attack nayo si mwingine bali ni baba lao Mshobozi... makocha na team managers si wengine bali ni wana -HT.. Tamu sanaah
🎉
Mukasa babayooo...and Mr. Salisali 💪. Good job there KMK you are blessing souls. God bless you.
Tushangilie na apewe sifa milele na milele
Sawa majirani naona hamna kazi mbovu mbaliwe Sana
Hongeren san jamni Wana wa MUNGU,mzidi kubariliwa san
mtakatifu kizito choir cku zote mpo juu mawinguni..!!! huu wimbo naupenda mpk bas..!!! Mungu awe nanyi ktk uimbaji wenu, Nipeni Like zenu, the first one to comment... =!!😂😁👏👏👏👏👏
Olympia no hatari
Thanks xan
Mpo vizr xanaaaa
Kizito makuburi thank you so much for the best friend ❤️❤️
Hongereni sana kwa nyimbo zenye jumbe nzuri kila toleo hakika binafsi nabarikiwa sana.
Mungu awabariki kwa utume wenu.
Jamaa kweli hii ndio SIMBA WA YUDA ninatamani sikumoja niione(face to face) hii kwaya....inayo imba vizuri namna hii...may our almighty GOD bless all of you
Daah Ngoma jmn❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤😊 zitanifikisha mbinguni
Tanzanians you have talented voices mostly in praising God.
Tumshangilie bwana ameshindaa Amina kubwaaa🙏
Iam always happy to listen to your beautiful songs proud to be a catholic I admire you my sister's and brothers in Christ be blessed greetings from Diocese of Lodwar Turkana Kenya
Waoooooooh🥰🥰🥰🥰🥰 Ukisikiliza Hii Nyimbo unajihisi upo Mbinguni 😍 Mbarikiwe snaaa kama Mnavyo tubariki🙏🙏🙏🙏
Good it's good for evribordy good bless ev
Nyinyi watu...so blessed. God is singing with you. Ubaya wenyu ni kuwa mtu akisha sikiliza nyimbo zenyu...anasahau kwaya nyinginezo... hii ndio kwaya kweli. Mnajitolea kweli kweli
Mungu awatie nguvu awape uzima mzidi kumtumikia
J.Salisali Hongera sana ,KMK Mungu awabariki sana
Barikwa
Kwaya ya Mt kizito
MN
Very nice song imeningusa sana,naomba tu mwalimu nipe note sake.
GOD S Children Inc is bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏😊😊😊😊😊🙏 bless to everyone good job
Nimependeleya sana wimbo huu na namuomba MUNGU mwenyezi awabariki nyinyi wote katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo ule ambaye alishinda mauti na kufufuka toka wafu . AKSANTINI .
Jamani MNAIMBA Kama MPO MBINGUNIIIIII NIMEWAPENDA BUREE MBARIKIWE SANA, ila Kuna mkaka anacheza vizuri hummuuuuuuui, ALIYE vaaa shati la kitengeeeeee ambalo linafanana na sare za kina dada, hongera Sana broooo💪,. Unanifurahisha KWELI
Wow what a beautiful song may God bless you servants of the most High
Kwaya kizito
Barikiwasana wanahaubi
Hongereni mumefunika endeleeni kuhubili injili kwa nyimbo amina mbarikiwe
Hamjawahi kukosea kiukweli mungu awabariki sana. ni j salono kinondoni mocko
Hamna mpinzani nataman kuja kujiunga pamoja nanyi mnaimba ongeren
Barikiwa sana kwa kazi nzuri ya huimbaji
Nyimbo inapendeza sana
Waaaaaaaaaaaaa anayeimba anasali mara mbili.Nyinyi mmesali mara 10.Mbarikiwe sana mpaka mshangaeeeeeeeeeee
Hongera sana wanakwaya KMk Dsm kwa nyimbo zenu tamu
Napenda wimbo wa ufufuo wa Yesu
Ni vizuri kabisa
Mungu awabariki sanaaaaaa
Mungu awabariki kwa Ujmbe mzuri🏳️🏳️🏳️
Asanteni sana ndugu zetu wa makuburi kwa uinjilishaji.
Good work Makuburi tunawapenda
Kwakweli mungu awabariki
💝👌🎷🎧🎧🎤haalilililililiiii SHALOM 👊💗 to Him
congrats 👏👏👏 God 🙏 u ❤️❤️
💃💃Amefufuka Bwana Yesu 💃💃
Sichoki kumtukuza Mungu na nyinyi nyimbo zenu hazifungamani na dhehebu hongereni Mt.Kizito very well job done
Waalikwe kwenye kampeni ingependeza
Kila kitu hapa ni mufti kabisa,, Rabana awabariki daima dawamu.
Wapendwa mnainjilisha mno,bwana awabariki.
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Kweli amefufuka
Jamani nimehisi tayari niko kwenye makao ya milele, aisee😘😁
Hongereni Sana wimbo mzuri Sana JINA LA BWANA LIHIMIDIWE MILELE
Nyie Ni Motoooo
Pongez sana
This is a good 👍👍🎉🎉🎉❤❤ song
Kweli amefufuka🙏 Catholic forever 😘
Ombi langu Mimi ni kuimba nanyi tafadhali
Have come here to celebrate the resurrection of the LORD.. Happy Easter enjoy My fellow
Ahsanteni sana mtakatifu kizito,napenda sana utumizi ule wa vyombo halisi vya muziki.
Kweli amefufuka .Nice song to celebrate Jesus resurrection
Nabarikiwa sana na kwaya hii
Angelic voices🙏🙏 please be including lyrics for Us who don't understand yo language, am enjoying this without a clue of what the song is all about 🙈 very beautiful voices.. Really..❤ 🇿🇲
Hellen,they are praising the risen Lord who’s resurrection won the battle over death.
Buenos días, muy hermosa su alegría, su Santo Misa me enamoré de ella, Dios los bendiga los ayude, saludos desde Miahuatlán Oaxaca México atentamente José Ángel García Jiménez
Good work
Mungu awabariki wapendwa
Simba wa Yuda is one of the best, very much touching and inspiring song that anyone wouldn't want to let it go when listening. Once again it's the best work of our colleagues Kwaya of Mt. Kizito, who have kept evangilizing us day and night. May the Blessing of our Almighty God be upon you NOW and FOREVER...Amen!
Nawapenda bure
Hii kwaya itakuwa na mahali spesheli pake Mbinguni. Barikiweni sana
Wah Mavazi yao ya pendeza kweli, kweli 😍😍😋😋😘😘😘😍😍
the singers faces are inscrutable yet they come out as genuinely enjoying singing and dancing! It is simply amazing 😍🤩
Mmefunika wimbo mzuri
"Nami nakuambia, wewe ndiye Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitalishinda " Mathayo 16: 18.
Yesu aliyaongea maneno haya mwishoni mwa uwepo wake hapa duniani, alijua fika sehemu ya kazi yake imetimia, sasa anaelekea Golgota kujitoa sadaka.
Yes ! Tuko hapa leo miaka 2000 baadae, kanisa limesimama, maneno ya Mungu hayapotei kamwe. Vita ni kubwa lakini tunaendelea kusonga . Proudly Catholic! Na atakaporudi mara ya pili hakika atalikuta kanisa lake!
I'm from Namibia.I watch this video often.i do really like it so much.
Brothers & Sisters of Tanzania I'm Odilia your sister a Cameroonian,
watching you from Washington D.C. you made my day today.
Thank you very much in Christ
📿😚🙏☧😂
Just wow 💖💖🤸♀️🤸♀️🤸♀️💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
Hakika nashindwa hata nianzie wapi kuwapa hongera yawimbo huu unaniacha hoi kwamaneno ya kusifu na hizo sauti menu mnaimba kwa madaha na nyuso za furaha jinsi mlivyommwagia sifa Bwana Yesu.Asanteni sana .Mungu awe nanyi.
The song deserves 10m viewers
Kwa kweli mnaimba vizuri sanaaa cd ntazipata je?
My goodness. Tanzanians are the happiest people on earth. This country in Africa is the best anyone could admire. I love you all and am sorry the President who was working at a high speed to take you to a high level is no longer there. Keep it up guys god is always with you, Never give up.
Hongereni sana na mbarikiwe..wimbo mtamu kweli kweli..
THIS IS A VERY NICE SONG!