IFAHAMU NGUVU YA NOVENA YA SIKU 54, NA SISTA ALIYESHINDWA NOVENA HIYO UKIISALI KWA IMANI UTASHINDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Ni Novena yenye nguvu ya Siku 54 inayohitaji umakini wa hali ya juu na kujikabidhi kwa Roho Mtakatifu ili kuimaliza, Kuomba unachohitaji siku 27 kumshukuru Mungu kwa Siku 27 ambayo pia inahitaji kuwa na tahadhari 6 ili kufanikiwa ikiwemo kusahau na kuacha mashaka....
    www.radiombiu.co.tz
    #RmSautiYaFaraja

Комментарии • 10

  • @gracegeorge1286
    @gracegeorge1286 2 года назад +1

    Tumsifu Yesu kristo..nataka kuulizia kuhusu kusali novena ya siku 54 lazima uungame Kwa padre au unaweza tubu mwenyewe na kuisali kama upo mbali na kanisa

  • @datiuskato9211
    @datiuskato9211 3 года назад

    Kwaiyo nikichagua kwenda kusali na je nikisali kanisa moja ila misa mbili tofauti

  • @aminamacha4358
    @aminamacha4358 3 года назад

    Tumsifu yesu kristu father nashukuru mafunzo ya novena sijawahi kuisikia nimekusikiliza kwa makani sana sasa ugumu wangu sehem niliyopo nwaza kwati napotaka kusali novena hii nilazima kuungama najiuliza nilipo kuungama nitaungma namna gani ingali lugha hii ya kiaraabu siielewi wala sijui kuungama kwa kingereza sijui na novena na hitaji kusali nifanye nini ili niweze kuungama ?

  • @wilbrodmtingwa7013
    @wilbrodmtingwa7013 4 года назад +1

    Kwa wanandoa, wanaruhusiwa kufanya tendo takatifu la ndoa kipindi chote cha novena,au inakuwaje?

  • @datiuskato9211
    @datiuskato9211 3 года назад

    Na je hii novena inaanzaje

  • @charlottekibacha7725
    @charlottekibacha7725 3 года назад

    Tumsifu Yesu kristu
    Naomba mnisaidie hii novena ndio ile sala ama tendo ulochagua kufanya kwa hzo siku 54?au ipo imeandikwa sehem kama novena nyingne?!

    • @athumanaziz9571
      @athumanaziz9571 2 года назад

      @@slyviabazil3454 kwa mfano mie nataka kusali rosali takatifu matendo ya furaha ila nataka nisali yote matano jee naanza mwanzo wa rosali nasadiki baba yetu salamu maria atukuzwe alafu matendo kisha sala ya salamu malkia na litania au?? maana hapo rosali inakua imekamilika naomba unijibu

    • @magdalenamagdalenandenje6008
      @magdalenamagdalenandenje6008 2 года назад

      @@athumanaziz9571 ndy

  • @aminamacha4358
    @aminamacha4358 3 года назад

    Tumsifu yesu kristu father nashukuru mafunzo ya novena sijawahi kuisikia nimekusikiliza kwa makani sana sasa ugumu wangu sehem niliyopo nwaza kwati napotaka kusali novena hii nilazima kuungama najiuliza nilipo kuungama nitaungma namna gani ingali lugha hii ya kiaraabu siielewi wala sijui kuungama kwa kingereza sijui na novena na hitaji kusali nifanye nini ili niweze kuungama ?