maashaallha shekh Allah akujaalie kwa kuipambania dini yetu ya kiislam amiin inshaallha na Allah atuepushe na matendo maovu atujaalie mwisho mwema amiin
Kabisa vipeni vyake vyamsumbua vya freemason nendo ulaya uangalie milionia anampa mtu gari lakifahari nyumba napesa kwa kujifanya masikini kumbu ni tajiri mkubwa , jee yy hanaweza kumnunulia mtu gari ama honda nyumba yakiswahili, ni hawezi , nakama anaweza kwanini akangangania pesha kwenye sheree walipokua wanapewa chawa cjui laki tako nae akataka haibu
Aitwe kwanini, kishakosea ikisha abembelezwe No..hajamkosea Sule alomkosoa ni Allah, anatakiwa yeye ndio anyenyekee kwa Allah, waislamu watamfundisha tu
Hata mimi naona bado anayo nafasi kubwa sana kumuomba msamaha Allah kama asemavyo Doctore . Alhaj Doctor sule. Harmonize (ALLAH) hafananishwi na kitu chochote au kiumbe chochote kile umaarufu unakutoa kwenye njia.Mdogo wangu Kaka yangu
Masha Allah shekh tukiwa acha Hawa wasanii wafanye wanachotaka ktk dini watatuharibia dini waambiwe wazi wazi kama hivi dokta sule unavyofanya maashaaa allah
Alhamdu lillah dr sulle, Allah akulinganie tusiwape nafasi watu fulani kumtukana mwenyezi mungu eti kisa umaarufu, umaarufu na muislam unaendana wapi?, wamepita watu maarufu waliojulikana na hawakusubutu kumtukana mwenyezi mungu
Asante sana shekhe pesa na afya isikupe kiburi unamfananisha Muumba wa mbingu saba pasi na nguzo iblis mwenyewe laana za MOLA ziwe juu yake hakuwai fika huko ww harmonize ni nani Allah atuongoze
Doctor,umenikosha moyo wangu,Allah akulipe kheri,nawengine wasikilie apoooo.waambie na aw wajiita wa islam wanavaa uchi mbele ya watu. Waitutukanishie dini yet nzuri
Harmonize ni kioo cha jamii. Kitondo cha kumkufuru Mwz,mungu kitaigwa na sehemukubwa ya jamii. Ilikuinusuru jamii ifike mahalia watu kama hamonize wanastahili kushtakiwa kwa Mungu. Kitakacho mpata kiwe fundiaho kwa Wasanii watu yenye fikra kama hamonize.
Doktor sule Allah akupe umri mrefu kwakweli wakuelewa kaelewa hata asie kua mwislam,hii ni ilimu kubwa na siu utaufuti tena,,,,,walikuwepo famous na watukuja famous sasa kutengeneze mazuri na hadith nzuri
Shekhe dr suley mwenye zimungu subuhana watalah akutangulie na kukujalia mafanikio makubwa na maisha marefu shukran huyo hamo rabundo nikafir Shekhe sitaki kusikia Habari zake
Mimi ni fans wa Harmonize lakini kakosea kabisa kiasi namimi nikakwazika kwa kweli Fanya tauba na ushahidie kwa mara nyingine ili Allah atupokey Pepopi Allah ndie mjuzi namwenye elmu
Dr Sule nakukubali kauli zako Sahihi Hakuna dhihaka katika kumchezea Allah na Mwenye anaunga Mkono kumtetea Harmonize yeye pia ni Mmoja katika Tabia hiyo..Dini ya Allah sio ya Mchezo ukiona Munkari kataza kwa kupitia mikono yako ukishindwa Mdomo wako na Mwisho ukishindwa chukia ila hiyo ni udhaifu wa Imani ..I respect you Sir Allah akuzidishie japo sina Elimu ya hivyo sana Lakini harmonise atajifunza kitu hapa.
Mungu Anaemuelezea Harmonize Wenda Mungu Anaewapa Utajili Wa Mwendo Kasi Wenda Ndie Mungu Kwa Upande Wao Lakini Mungu Aliye Juu Ajawai Kufanana Na Mtu Wala Kitu Isipokua Manabii Kama Nabii Yesu Amefanana Na Watu Ndiyo Sababu Hata Watu Uigiza Movi Kwa Mifano Ya Kuona Japo Tunajua Siku Izi Wanaibuka Sana Manabii Na Kujitangaza Cha Ajabu Kwenye Makanisa Yao Wanataja Jina La Yesu Badala Ya Kujitangaza Wao Kama Manabii Wapya Hata Hao Wanaitaji Kuambiwa Kweli Kwanini Harmonize
Ukimuona baba umeniona mimi... Mimi na baba tu kitu kimoja,... Huyu ni mwanangu mpendwa niliependezwa nae... Mimi ndie njia ya kweli na uzima, mtu haendi kwa baba bila kupitia kwangu... Nimekuelewa Sule ila unatetea kwa upande wa kiislam ila kwa upande wa wakrisho Mungu ana mwana.... Ila naomba nikuulize swali Sule... Ni kwanini mwanamke alikuwa anakandamizwa tokea zamani? Haufikirii kuwa kuna mambo waliyabadilisha juu chini chini juu na tukaaminishwa mambo ya uongo? Hauoni kama kuna ukuu wa mwanamke ulizimwa? Barikiwa Sule.
Kama angekua anajua Kama mwanamke ana thamani yeye angechezea mabinti za watu Kama anavyofanya yaani ktk watu jahil duniani huyu hana kiwango basi na Allah amshushie gharka zake AMIIN YARAB
Hormonez acha upumbavu wa maisha katika hii dunia baba,kila mmoja na pesa zake katika hii dunia kakangu pesa za majini izo ndo zakusumbua kichwa mpaka unaamua kusema maneno ya kipumbavu kama ayo pole sanaa kakangu pesa za majini ndo zimekutawala brazaa ila mungu yupo nawe.
Mim ni mkristo lkn sule nimekuelewa Sana Tena unafaa Sana katika jamii🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mwenyezi Mungu Akuzidishie elimu Sheikh wetu Suley
Amin
Mashaallah kwa ukweli doctor sule Allah akujalie kila la kheri Na akujalie umri mlefu wenye kheri na baraka.
Mashaalah Mungu akuweke Dr.Sule uzidi ukupambania Uislam na kuwakemea wanaomtusi Mwenyezi Mungu . Allah akuzidishie hekima. Aamin Inshaallah.
Amin
Amefafanuwa kwa ufasaha,,,
Ameen yarabby 🤲🤲🤲
Allahumma Amina Yaa Rabbil aalamin
Mashaallah tabalakallah Allah akuhifadhi inshaallah aamiin maalimu mzito.... barakallah fiihi
Dr nataman Allah aurudishe nyuma umri wako ww ni genius
Uyó ni kafiritu.
@mpusssugimakKbr Allah akusamehe na akutoe ktk ujinga na ujahili
maashaallha shekh Allah akujaalie kwa kuipambania dini yetu ya kiislam amiin inshaallha na Allah atuepushe na matendo maovu atujaalie mwisho mwema amiin
Bangi hizo mbaya sana ad Kwa Allah Mungu hafananishwi na chochote bro
Wallahi umenifurahish sana doc sule asipew mtu nafasi kuharibu dini kwasababu ya umaarufuwake,cheo chake au pesa yake SHEKHE
Mimi nimesha futa manyombo yake yoooote ktk cm yangu
Allah akuongoze.sio zake Tu uwache nyimbo zote.@@mohammedrajabumwamba1322
Doc Sule mauwayako haya mashallah umeongea point kubwa sana
Kabisa vipeni vyake vyamsumbua vya freemason nendo ulaya uangalie milionia anampa mtu gari lakifahari nyumba napesa kwa kujifanya masikini kumbu ni tajiri mkubwa , jee yy hanaweza kumnunulia mtu gari ama honda nyumba yakiswahili, ni hawezi , nakama anaweza kwanini akangangania pesha kwenye sheree walipokua wanapewa chawa cjui laki tako nae akataka haibu
Kweli kabisa
MashaAllah umeongea mazuri Allah akupe kheri shekhe sule
Na wewe mtangazaji ukivaa kiislam unapendeza Masha Laah .
Kweli kabisaa
Mash Allah Dr Sule umetema madini, lakini je kunyowa denge inafaa
Nikwel ahakustahiki kusema hivyo jaman
🇿🇦🇧🇮❤shekhe Sule mwite Live please umulize kamanisha Nini
Amuite mubitu gani amemwambia kama amesikia atatoa shahada kam hataki atangamizwa kw nguv zamungu
Hakuna chakumanisha
Aitwe kwanini, kishakosea ikisha abembelezwe No..hajamkosea Sule alomkosoa ni Allah, anatakiwa yeye ndio anyenyekee kwa Allah, waislamu watamfundisha tu
Kabisa
MashaAllah MashaAllah MashaAllah umeongea nime kuelewa ❤❤❤sheikh
Asallam maalequ Allahadulilah Maashalla Maashalla Maashalla Allahadulilah llove you so much Allah hjelp you Ishaallah
Hata mimi naona bado anayo nafasi kubwa sana kumuomba msamaha Allah kama asemavyo Doctore . Alhaj Doctor sule. Harmonize (ALLAH) hafananishwi na kitu chochote au kiumbe chochote kile umaarufu unakutoa kwenye njia.Mdogo wangu Kaka yangu
MAASHAAALLAH Dr SULE Genius maashaaAllah nakupenda kwaajili ya Allah ndugu yangu sulle unaeleweka vizuri hawa watoboa pua wanafanya Kufuru
Subha Allah heee asant doct sule mungu akupewepesi inshaallah uzidi kutufafanulia dini
MashaAllah Dr sule baraqallah fickum
Asante Sana Dr Sulle,Allah akupe baraka zake
Mim n mkristo ila sule mwite nmekukubali na unastaili Kwa jamii yetu hii ya sasa...very genius and blessed man
Dr. Sulley I'm not only agree with your arguments but also I appreciate them. Big-up
Masha Allah shekh tukiwa acha Hawa wasanii wafanye wanachotaka ktk dini watatuharibia dini waambiwe wazi wazi kama hivi dokta sule unavyofanya maashaaa allah
Hapo madam utaoga kwa Dr suleiman akunakitabu asokijua hadi vyamvunguni namkubali sana harmonize ameingia chakike ni amuombe Mungu msamaa na jumuia
Bangi izo na madawa ya kulevya harmonaize Allah afananishwi na chochote punguza bangi za kimarekani
Kweli kabisaa bangi n nyingi sanaa
😂
Alhamdu lillah dr sulle, Allah akulinganie tusiwape nafasi watu fulani kumtukana mwenyezi mungu eti kisa umaarufu, umaarufu na muislam unaendana wapi?, wamepita watu maarufu waliojulikana na hawakusubutu kumtukana mwenyezi mungu
Asanteeee sana doct sule umenifurahisha sna unavyoitetea uislam allaha akupe umri mrefu wenye faida
Asante kwa kuliongelea hili. Mashekhe wetu ALLAH awajalie kheri
Shukran Dr.Sule mpe vidonge vyake huyu harmonize mjinga kikweli anajiona ana mapeni ana kibri hana heshima kwa dini ya Allah
Mashallah tabarakallah well explained Dr sule
Dr sule shukran Kwa kufafanua na kutuelimisha zaidi kuhusu uislamu. Mashallah
Sheh nakukubari sana kwanasaha nzuri sisi waisram tunajivuniya kuwanamashehe waerevu kamawewe
Mashallah Doctor Sule. Allah akuhifadhi Inshallah
Masha Allah daktari sulley...
Na mtangazaji umependeza sanaaa
Wallahi shukran kwa Darsa lako, Allah (SWT) Akuhifadhi in Sha Allah
Machaallah machaallah qu’Allah nous guide inchaallah merci infiniment
❤❤❤ daah Allah ni mpole kwa waja wake humruzuku amtakae na ndie mwenye nguvu
Mashallah, jazakallah khairan sheikh Sule.❤
Masha shekh Allah akupe shahada wakat wakufakwako kwarrhma zake juu ya kutetea upwekesho wa Allah
Shehe sulile na Kibali kwa manenoyako yenye unasema
Mungu akubariki kwenye ilimu yako 🙏🙏
Allah Akuhifdhi Akupe umri mrefu yenye baraka shukran jazakallaahu kheyr
Masha allah Dr sure unatufanunulia vizuri
Asalam alehkumu ongera sana dr sule tz❤❤❤❤❤❤
Baba nimekuelewa sana!
Bwana aendelee kukutumia ktk utoaji wa Elimu ya kumfahamu
Mwenyezi Mungu!
Mm ni mkristo but neno uislamu ni matendo nikukubali mungu akupe hekima zaidi
Mashaallah shekh allah akujalie umri mlefu
Masha Allah alhamndulillah docta suley umefanya vizuri na wangine hawatarudi kujirusha akili Allah akubariki sanaaaa
Wallah binadamu hatuko kamili ila kwa kumfananisha Mungu na kitu au mtu aki NO! Tujiangalie sana hata kama ni kiki au kazi tunafanya😢...mbego tv🎉🎉🎉🎉
N kweli kiki zao wapeleke huko kwenye maujinga Yao . Huku alipofika sio sehem yake .
Ostrs Gani...harmo...mdaa wteee unazani we ndo mungu ....harmo juuu
Maa shaa Allah Dr Sule Allah akuweke
Allah akuhifadh sana shekhe wang axhukuriwe mola kupata watu kam wewe kweny uislam : napata picha ya kwamba walim ni waridhi wa mitume
Atubie amekufuru asiimlinganishe mwmungu na kitu Cho chote
Asante sana shekhe pesa na afya isikupe kiburi unamfananisha Muumba wa mbingu saba pasi na nguzo iblis mwenyewe laana za MOLA ziwe juu yake hakuwai fika huko ww harmonize ni nani Allah atuongoze
Doctor,umenikosha moyo wangu,Allah akulipe kheri,nawengine wasikilie apoooo.waambie na aw wajiita wa islam wanavaa uchi mbele ya watu. Waitutukanishie dini yet nzuri
Masha Allah shekh mw mungu akupe maisha marefu ili kupambana na watu kama hawa
Allah Akubaarik. Asante kbs
Masha Allah jazakalahu kheir sheikh wetu
Mashallha Mungu akulipe Ameen
Hongera dr. Sule! Niko pamoja na wewe sana tu!!! Umesema Ukweli namna inavo stahiki hasa kwa namna ya Hishma ya Uislamu!!!
Mashallah Mungu akuhifadhi Shee wetu Inshallah.
Nakuelewa sana Dr sule
Laila ha ilah ilikuaje aseme hivo,ya rabbi, Allah,msamehe Harmonize,eee,
Suleh você está certo ❤❤❤
Allah ahlkuhifadh cheikh
Inshallah mungu akuweke sheh sule uzidi kutuelimisha🙏🙏🙏
Nampenda Harmonize ila kakosea kwa kauli lake
Kweli anapaswa kutubu aombe toba la msamaaaa
Ameniuzunisha kabisa
Joshua hapa Namibia 🇳🇦
Ahsante shekh sule ❤
MashaAllah sheikh wetu upambanie uislamu wetu napenda ujasiri wako kwa Dini ya islam
Harmonize ni kioo cha jamii. Kitondo cha kumkufuru Mwz,mungu kitaigwa na sehemukubwa ya jamii. Ilikuinusuru jamii ifike mahalia watu kama hamonize wanastahili kushtakiwa kwa Mungu. Kitakacho mpata kiwe fundiaho kwa Wasanii watu yenye fikra kama hamonize.
Awe BUBU TU
Doktor sule Allah akupe umri mrefu kwakweli wakuelewa kaelewa hata asie kua mwislam,hii ni ilimu kubwa na siu utaufuti tena,,,,,walikuwepo famous na watukuja famous sasa kutengeneze mazuri na hadith nzuri
Masha Allah hongera shekhe Mungu akulipe jazza njema hii I elimu kwa wote
Sheikh shukran kwa mawaidha Allah atuongoze
Doct sulle inshaallah mwenyezi mungu akujaalie uwe na umri mlefu wenye mafanikio wa kuwaongoa wengine
Shekhe dr suley mwenye zimungu subuhana watalah akutangulie na kukujalia mafanikio makubwa na maisha marefu shukran huyo hamo rabundo nikafir Shekhe sitaki kusikia Habari zake
Allah akuyifadh baba yng unapambania din yet kbs
Maa shaa Allah Maa shaa Allah Maa Shaa Allah jazaka Allah kheir
Masha Allah asante kw ujumbe shekh sule
Mashallah Allah akulipe mazuri Kwa kuwaelimisha walio gizani.
Mungu akupe maisha marefu shekh
Mimi ni fans wa Harmonize lakini kakosea kabisa kiasi namimi nikakwazika kwa kweli Fanya tauba na ushahidie kwa mara nyingine ili Allah atupokey Pepopi Allah ndie mjuzi namwenye elmu
Dr Sule nakukubali kauli zako Sahihi Hakuna dhihaka katika kumchezea Allah na Mwenye anaunga Mkono kumtetea Harmonize yeye pia ni Mmoja katika Tabia hiyo..Dini ya Allah sio ya Mchezo ukiona Munkari kataza kwa kupitia mikono yako ukishindwa Mdomo wako na Mwisho ukishindwa chukia ila hiyo ni udhaifu wa Imani ..I respect you Sir Allah akuzidishie japo sina Elimu ya hivyo sana Lakini harmonise atajifunza kitu hapa.
safi sana dkta suleh
Allah akupe umri mrefu sheikh Sule
Subhanaallah, Allah amuongoze
Mungu Anaemuelezea Harmonize Wenda Mungu Anaewapa Utajili Wa Mwendo Kasi Wenda Ndie Mungu Kwa Upande Wao Lakini Mungu Aliye Juu Ajawai Kufanana Na Mtu Wala Kitu Isipokua Manabii Kama Nabii Yesu Amefanana Na Watu Ndiyo Sababu Hata Watu Uigiza Movi Kwa Mifano Ya Kuona Japo Tunajua Siku Izi Wanaibuka Sana Manabii Na Kujitangaza Cha Ajabu Kwenye Makanisa Yao Wanataja Jina La Yesu Badala Ya Kujitangaza Wao Kama Manabii Wapya Hata Hao Wanaitaji Kuambiwa Kweli Kwanini Harmonize
Kiukweli kakosea sana amuombe ALLAH msamaha haraka sana...YA ALLAH Tujaalie mwisho mwema AMIIN.
thanks sule ueongea point
Ukimuona baba umeniona mimi... Mimi na baba tu kitu kimoja,... Huyu ni mwanangu mpendwa niliependezwa nae... Mimi ndie njia ya kweli na uzima, mtu haendi kwa baba bila kupitia kwangu... Nimekuelewa Sule ila unatetea kwa upande wa kiislam ila kwa upande wa wakrisho Mungu ana mwana.... Ila naomba nikuulize swali Sule... Ni kwanini mwanamke alikuwa anakandamizwa tokea zamani? Haufikirii kuwa kuna mambo waliyabadilisha juu chini chini juu na tukaaminishwa mambo ya uongo? Hauoni kama kuna ukuu wa mwanamke ulizimwa? Barikiwa Sule.
Allah akulinde dr shule
Sheikh wetu mungu akubaliki
Allah akujaalie mwisho mwema,na si wote ummat Muhammad inshallah
ALLAH AKULIPE HERI
Allah akulipe kher khekh sule
Swadaqta dr.sul Allah akuhifadhi
Asante Dr. Sulle🙏🏻🙏🏻
Kama angekua anajua Kama mwanamke ana thamani yeye angechezea mabinti za watu Kama anavyofanya yaani ktk watu jahil duniani huyu hana kiwango basi na Allah amshushie gharka zake AMIIN YARAB
Dini yake inaaruhusu na wanawake tuache umalaya wa kakabalia masuper star,tunajiddalilisha wenyewe
Dr.SULE BIG UP SANA
Mashaa Allah.. Dr. Sule ❤
Docta maneno mazuri.Allah barik.
Umeongea pwenti sana shee sule mungu akuzidishie
Hormonez acha upumbavu wa maisha katika hii dunia baba,kila mmoja na pesa zake katika hii dunia kakangu pesa za majini izo ndo zakusumbua kichwa mpaka unaamua kusema maneno ya kipumbavu kama ayo pole sanaa kakangu pesa za majini ndo zimekutawala brazaa ila mungu yupo nawe.
Dr sule upo vizuri🙏
Allah Akbar,nakukubali sana Dr.Sule
Bado mazinge sasa masha'allah dr sule, sasa mbengo tv mtafute mazinge au sheikh kishki
Mazinge ndio balaaaaa😂😂😂😂
Kwa kweri apa bado mazinge kwer