HARMONIZE ATASOMEWA DUA, SHEHE ACHUKIZWA VIBAYA, ATUMA UJUMBE KWA BABA WA HARMONIZE, ACHA UISLAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2024

Комментарии • 657

  • @user-lk8ws3fz9x
    @user-lk8ws3fz9x 19 дней назад +42

    Mim ni mkristo lkn sule nimekuelewa Sana Tena unafaa Sana katika jamii🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @habogorimanaathumani6125
    @habogorimanaathumani6125 20 дней назад +43

    Mwenyezi Mungu Akuzidishie elimu Sheikh wetu Suley

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 19 дней назад +21

    Mashaallah kwa ukweli doctor sule Allah akujalie kila la kheri Na akujalie umri mlefu wenye kheri na baraka.

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 19 дней назад +30

    Mashaalah Mungu akuweke Dr.Sule uzidi ukupambania Uislam na kuwakemea wanaomtusi Mwenyezi Mungu . Allah akuzidishie hekima. Aamin Inshaallah.

    • @omarsaid_1607
      @omarsaid_1607 18 дней назад +1

      Amin

    • @omarsaid_1607
      @omarsaid_1607 18 дней назад +1

      Amefafanuwa kwa ufasaha,,,

    • @mwasimwajambo4686
      @mwasimwajambo4686 18 дней назад +1

      Ameen yarabby 🤲🤲🤲

    • @ZakiaSalum
      @ZakiaSalum 17 дней назад

      Allahumma Amina Yaa Rabbil aalamin

    • @shafiitwahiru
      @shafiitwahiru 15 дней назад

      Mashaallah tabalakallah Allah akuhifadhi inshaallah aamiin maalimu mzito.... barakallah fiihi

  • @bilalabas9636
    @bilalabas9636 20 дней назад +41

    Dr nataman Allah aurudishe nyuma umri wako ww ni genius

  • @Mwanatumu-gr7lp
    @Mwanatumu-gr7lp 16 дней назад +3

    maashaallha shekh Allah akujaalie kwa kuipambania dini yetu ya kiislam amiin inshaallha na Allah atuepushe na matendo maovu atujaalie mwisho mwema amiin

  • @RajabAthuman-md7zq
    @RajabAthuman-md7zq 20 дней назад +20

    Bangi hizo mbaya sana ad Kwa Allah Mungu hafananishwi na chochote bro

  • @yuhamrwambo3739
    @yuhamrwambo3739 20 дней назад +64

    Wallahi umenifurahish sana doc sule asipew mtu nafasi kuharibu dini kwasababu ya umaarufuwake,cheo chake au pesa yake SHEKHE

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 19 дней назад +2

      Mimi nimesha futa manyombo yake yoooote ktk cm yangu

    • @omarmwabege
      @omarmwabege 19 дней назад

      Allah akuongoze.sio zake Tu uwache nyimbo zote.​@@mohammedrajabumwamba1322

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 18 дней назад +1

      Doc Sule mauwayako haya mashallah umeongea point kubwa sana

    • @user-ih4kw5eb3d
      @user-ih4kw5eb3d 18 дней назад

      Kabisa vipeni vyake vyamsumbua vya freemason nendo ulaya uangalie milionia anampa mtu gari lakifahari nyumba napesa kwa kujifanya masikini kumbu ni tajiri mkubwa , jee yy hanaweza kumnunulia mtu gari ama honda nyumba yakiswahili, ni hawezi , nakama anaweza kwanini akangangania pesha kwenye sheree walipokua wanapewa chawa cjui laki tako nae akataka haibu

    • @omarsaid_1607
      @omarsaid_1607 18 дней назад +1

      Kweli kabisa

  • @user-oy8iz1mv4r
    @user-oy8iz1mv4r 20 дней назад +15

    MashaAllah umeongea mazuri Allah akupe kheri shekhe sule

  • @AliBakar-sx7lu
    @AliBakar-sx7lu 19 дней назад +21

    Na wewe mtangazaji ukivaa kiislam unapendeza Masha Laah .

    • @Sarah-tq2vc
      @Sarah-tq2vc 19 дней назад +1

      Kweli kabisaa

    • @alimomade2712
      @alimomade2712 18 дней назад

      Mash Allah Dr Sule umetema madini, lakini je kunyowa denge inafaa

    • @ShabanMohamedi-lb8hs
      @ShabanMohamedi-lb8hs 3 дня назад +1

      Nikwel ahakustahiki kusema hivyo jaman

  • @ramadhaniyusufu4088
    @ramadhaniyusufu4088 19 дней назад +20

    🇿🇦🇧🇮❤shekhe Sule mwite Live please umulize kamanisha Nini

    • @user-bh3wo8rz2u
      @user-bh3wo8rz2u 18 дней назад

      Amuite mubitu gani amemwambia kama amesikia atatoa shahada kam hataki atangamizwa kw nguv zamungu

    • @HakizimanaFiston
      @HakizimanaFiston 17 дней назад

      Hakuna chakumanisha

    • @samxx411
      @samxx411 17 дней назад +2

      Aitwe kwanini, kishakosea ikisha abembelezwe No..hajamkosea Sule alomkosoa ni Allah, anatakiwa yeye ndio anyenyekee kwa Allah, waislamu watamfundisha tu

    • @mansuleymc475
      @mansuleymc475 16 дней назад

      Kabisa

  • @chimami789
    @chimami789 18 дней назад

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah umeongea nime kuelewa ❤❤❤sheikh

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 19 дней назад +6

    Asallam maalequ Allahadulilah Maashalla Maashalla Maashalla Allahadulilah llove you so much Allah hjelp you Ishaallah

  • @user-uj2nv2ns1t
    @user-uj2nv2ns1t 16 дней назад +1

    Hata mimi naona bado anayo nafasi kubwa sana kumuomba msamaha Allah kama asemavyo Doctore . Alhaj Doctor sule. Harmonize (ALLAH) hafananishwi na kitu chochote au kiumbe chochote kile umaarufu unakutoa kwenye njia.Mdogo wangu Kaka yangu

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 19 дней назад

    MAASHAAALLAH Dr SULE Genius maashaaAllah nakupenda kwaajili ya Allah ndugu yangu sulle unaeleweka vizuri hawa watoboa pua wanafanya Kufuru

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 19 дней назад +1

    Subha Allah heee asant doct sule mungu akupewepesi inshaallah uzidi kutufafanulia dini

  • @user-fz3ib3gs5z
    @user-fz3ib3gs5z 19 дней назад +6

    MashaAllah Dr sule baraqallah fickum

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 19 дней назад +1

    Asante Sana Dr Sulle,Allah akupe baraka zake

  • @josephmwita737
    @josephmwita737 18 дней назад +1

    Mim n mkristo ila sule mwite nmekukubali na unastaili Kwa jamii yetu hii ya sasa...very genius and blessed man

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 15 дней назад

    Dr. Sulley I'm not only agree with your arguments but also I appreciate them. Big-up

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 19 дней назад +6

    Masha Allah shekh tukiwa acha Hawa wasanii wafanye wanachotaka ktk dini watatuharibia dini waambiwe wazi wazi kama hivi dokta sule unavyofanya maashaaa allah

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d 19 дней назад +2

    Hapo madam utaoga kwa Dr suleiman akunakitabu asokijua hadi vyamvunguni namkubali sana harmonize ameingia chakike ni amuombe Mungu msamaa na jumuia

  • @nanabwambale1253
    @nanabwambale1253 19 дней назад +10

    Bangi izo na madawa ya kulevya harmonaize Allah afananishwi na chochote punguza bangi za kimarekani

  • @user-nx4eg7sf8u
    @user-nx4eg7sf8u 18 дней назад +1

    Alhamdu lillah dr sulle, Allah akulinganie tusiwape nafasi watu fulani kumtukana mwenyezi mungu eti kisa umaarufu, umaarufu na muislam unaendana wapi?, wamepita watu maarufu waliojulikana na hawakusubutu kumtukana mwenyezi mungu

  • @user-og3sx6th9w
    @user-og3sx6th9w 15 дней назад

    Asanteeee sana doct sule umenifurahisha sna unavyoitetea uislam allaha akupe umri mrefu wenye faida

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c 19 дней назад

    Asante kwa kuliongelea hili. Mashekhe wetu ALLAH awajalie kheri

  • @farjallahubeydabdulrahman4845
    @farjallahubeydabdulrahman4845 19 дней назад +1

    Shukran Dr.Sule mpe vidonge vyake huyu harmonize mjinga kikweli anajiona ana mapeni ana kibri hana heshima kwa dini ya Allah

  • @rehemamaheri9358
    @rehemamaheri9358 17 дней назад

    Mashallah tabarakallah well explained Dr sule

  • @AishaJuma-pq4jc
    @AishaJuma-pq4jc 19 дней назад +1

    Dr sule shukran Kwa kufafanua na kutuelimisha zaidi kuhusu uislamu. Mashallah

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa425 20 дней назад +14

    Sheh nakukubari sana kwanasaha nzuri sisi waisram tunajivuniya kuwanamashehe waerevu kamawewe

  • @MalikiAthumani-bu8to
    @MalikiAthumani-bu8to 18 дней назад

    Mashallah Doctor Sule. Allah akuhifadhi Inshallah

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf 19 дней назад

    Masha Allah daktari sulley...
    Na mtangazaji umependeza sanaaa

  • @user-cn6re5zq9f
    @user-cn6re5zq9f 18 дней назад

    Wallahi shukran kwa Darsa lako, Allah (SWT) Akuhifadhi in Sha Allah

  • @user-wp6uc6sn4z
    @user-wp6uc6sn4z 13 дней назад

    Machaallah machaallah qu’Allah nous guide inchaallah merci infiniment

  • @SubiraYussuf-kw4uz
    @SubiraYussuf-kw4uz 14 дней назад

    ❤❤❤ daah Allah ni mpole kwa waja wake humruzuku amtakae na ndie mwenye nguvu

  • @user-zh6xn8jr2c
    @user-zh6xn8jr2c 14 дней назад

    Mashallah, jazakallah khairan sheikh Sule.❤

  • @hamadfaki7625
    @hamadfaki7625 19 дней назад

    Masha shekh Allah akupe shahada wakat wakufakwako kwarrhma zake juu ya kutetea upwekesho wa Allah

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 19 дней назад +2

    Shehe sulile na Kibali kwa manenoyako yenye unasema
    Mungu akubariki kwenye ilimu yako 🙏🙏

  • @farjallahubeydabdulrahman4845
    @farjallahubeydabdulrahman4845 19 дней назад

    Allah Akuhifdhi Akupe umri mrefu yenye baraka shukran jazakallaahu kheyr

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 20 дней назад +7

    Masha allah Dr sure unatufanunulia vizuri

    • @Fidia-ie3fi
      @Fidia-ie3fi 16 дней назад

      Asalam alehkumu ongera sana dr sule tz❤❤❤❤❤❤

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 16 дней назад

    Baba nimekuelewa sana!
    Bwana aendelee kukutumia ktk utoaji wa Elimu ya kumfahamu
    Mwenyezi Mungu!

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 19 дней назад +4

    Mm ni mkristo but neno uislamu ni matendo nikukubali mungu akupe hekima zaidi

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc 18 дней назад

    Mashaallah shekh allah akujalie umri mlefu

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 16 дней назад

    Masha Allah alhamndulillah docta suley umefanya vizuri na wangine hawatarudi kujirusha akili Allah akubariki sanaaaa

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 20 дней назад +9

    Wallah binadamu hatuko kamili ila kwa kumfananisha Mungu na kitu au mtu aki NO! Tujiangalie sana hata kama ni kiki au kazi tunafanya😢...mbego tv🎉🎉🎉🎉

    • @user-ve3wu5jn1l
      @user-ve3wu5jn1l 7 дней назад

      N kweli kiki zao wapeleke huko kwenye maujinga Yao . Huku alipofika sio sehem yake .

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m 18 дней назад +1

    Ostrs Gani...harmo...mdaa wteee unazani we ndo mungu ....harmo juuu

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc 19 дней назад

    Maa shaa Allah Dr Sule Allah akuweke

  • @AbuhariMohamedi
    @AbuhariMohamedi 19 дней назад +4

    Allah akuhifadh sana shekhe wang axhukuriwe mola kupata watu kam wewe kweny uislam : napata picha ya kwamba walim ni waridhi wa mitume

    • @MaryamIbrahim-wb4qn
      @MaryamIbrahim-wb4qn 10 дней назад

      Atubie amekufuru asiimlinganishe mwmungu na kitu Cho chote

  • @user-tq2fu8zm4l
    @user-tq2fu8zm4l 19 дней назад +3

    Asante sana shekhe pesa na afya isikupe kiburi unamfananisha Muumba wa mbingu saba pasi na nguzo iblis mwenyewe laana za MOLA ziwe juu yake hakuwai fika huko ww harmonize ni nani Allah atuongoze

  • @Maerys-xm8xt
    @Maerys-xm8xt 19 дней назад +2

    Doctor,umenikosha moyo wangu,Allah akulipe kheri,nawengine wasikilie apoooo.waambie na aw wajiita wa islam wanavaa uchi mbele ya watu. Waitutukanishie dini yet nzuri

  • @omarynjoya9885
    @omarynjoya9885 16 дней назад

    Masha Allah shekh mw mungu akupe maisha marefu ili kupambana na watu kama hawa

  • @abdulhakimhussein6039
    @abdulhakimhussein6039 9 дней назад

    Allah Akubaarik. Asante kbs

  • @BakalbutcheryBakal
    @BakalbutcheryBakal 9 дней назад

    Masha Allah jazakalahu kheir sheikh wetu

  • @mujingakabwiza5474
    @mujingakabwiza5474 20 дней назад +2

    Mashallha Mungu akulipe Ameen

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 16 дней назад

    Hongera dr. Sule! Niko pamoja na wewe sana tu!!! Umesema Ukweli namna inavo stahiki hasa kwa namna ya Hishma ya Uislamu!!!

  • @MwanarusiMwasaria
    @MwanarusiMwasaria 19 дней назад +1

    Mashallah Mungu akuhifadhi Shee wetu Inshallah.

  • @RashidiTuwa
    @RashidiTuwa 14 дней назад +1

    Nakuelewa sana Dr sule

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 19 дней назад +1

    Laila ha ilah ilikuaje aseme hivo,ya rabbi, Allah,msamehe Harmonize,eee,

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 20 дней назад +4

    Suleh você está certo ❤❤❤

  • @BaransananiyeAussi-zs3gg
    @BaransananiyeAussi-zs3gg 19 дней назад +1

    Allah ahlkuhifadh cheikh

  • @rahmakassanga9013
    @rahmakassanga9013 13 дней назад

    Inshallah mungu akuweke sheh sule uzidi kutuelimisha🙏🙏🙏

  • @ELBY11112
    @ELBY11112 8 дней назад +1

    Nampenda Harmonize ila kakosea kwa kauli lake
    Kweli anapaswa kutubu aombe toba la msamaaaa
    Ameniuzunisha kabisa
    Joshua hapa Namibia 🇳🇦

  • @CKMO
    @CKMO 20 дней назад +3

    Ahsante shekh sule ❤

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 14 дней назад

    MashaAllah sheikh wetu upambanie uislamu wetu napenda ujasiri wako kwa Dini ya islam

  • @MaulidMnyamisi
    @MaulidMnyamisi 19 дней назад +3

    Harmonize ni kioo cha jamii. Kitondo cha kumkufuru Mwz,mungu kitaigwa na sehemukubwa ya jamii. Ilikuinusuru jamii ifike mahalia watu kama hamonize wanastahili kushtakiwa kwa Mungu. Kitakacho mpata kiwe fundiaho kwa Wasanii watu yenye fikra kama hamonize.

  • @hustonsilver8453
    @hustonsilver8453 18 дней назад +1

    Doktor sule Allah akupe umri mrefu kwakweli wakuelewa kaelewa hata asie kua mwislam,hii ni ilimu kubwa na siu utaufuti tena,,,,,walikuwepo famous na watukuja famous sasa kutengeneze mazuri na hadith nzuri

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 17 дней назад

    Masha Allah hongera shekhe Mungu akulipe jazza njema hii I elimu kwa wote

  • @LegendAdan
    @LegendAdan 18 дней назад

    Sheikh shukran kwa mawaidha Allah atuongoze

  • @zuhumedia6184
    @zuhumedia6184 15 дней назад

    Doct sulle inshaallah mwenyezi mungu akujaalie uwe na umri mlefu wenye mafanikio wa kuwaongoa wengine

  • @yusufabdikadir4260
    @yusufabdikadir4260 17 дней назад

    Shekhe dr suley mwenye zimungu subuhana watalah akutangulie na kukujalia mafanikio makubwa na maisha marefu shukran huyo hamo rabundo nikafir Shekhe sitaki kusikia Habari zake

  • @user-ey3gj2qo7u
    @user-ey3gj2qo7u 16 дней назад

    Allah akuyifadh baba yng unapambania din yet kbs

  • @ZakiaSalum
    @ZakiaSalum 17 дней назад

    Maa shaa Allah Maa shaa Allah Maa Shaa Allah jazaka Allah kheir

  • @KhadijaKhadija-jh9of
    @KhadijaKhadija-jh9of 15 дней назад

    Masha Allah asante kw ujumbe shekh sule

  • @user-im9tc4gl9v
    @user-im9tc4gl9v 19 дней назад

    Mashallah Allah akulipe mazuri Kwa kuwaelimisha walio gizani.

  • @BaloziMgasu
    @BaloziMgasu 19 дней назад

    Mungu akupe maisha marefu shekh

  • @user-ik2fz3kg9y
    @user-ik2fz3kg9y 14 дней назад +1

    Mimi ni fans wa Harmonize lakini kakosea kabisa kiasi namimi nikakwazika kwa kweli Fanya tauba na ushahidie kwa mara nyingine ili Allah atupokey Pepopi Allah ndie mjuzi namwenye elmu

  • @karambashentertainment2255
    @karambashentertainment2255 13 дней назад

    Dr Sule nakukubali kauli zako Sahihi Hakuna dhihaka katika kumchezea Allah na Mwenye anaunga Mkono kumtetea Harmonize yeye pia ni Mmoja katika Tabia hiyo..Dini ya Allah sio ya Mchezo ukiona Munkari kataza kwa kupitia mikono yako ukishindwa Mdomo wako na Mwisho ukishindwa chukia ila hiyo ni udhaifu wa Imani ..I respect you Sir Allah akuzidishie japo sina Elimu ya hivyo sana Lakini harmonise atajifunza kitu hapa.

  • @swabrinahamed3620
    @swabrinahamed3620 4 дня назад

    safi sana dkta suleh

  • @BARAKAMIKIDADI-pw5wi
    @BARAKAMIKIDADI-pw5wi 18 дней назад

    Allah akupe umri mrefu sheikh Sule

  • @user-zw9jg7ne8k
    @user-zw9jg7ne8k 13 дней назад

    Subhanaallah, Allah amuongoze

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 19 дней назад +1

    Mungu Anaemuelezea Harmonize Wenda Mungu Anaewapa Utajili Wa Mwendo Kasi Wenda Ndie Mungu Kwa Upande Wao Lakini Mungu Aliye Juu Ajawai Kufanana Na Mtu Wala Kitu Isipokua Manabii Kama Nabii Yesu Amefanana Na Watu Ndiyo Sababu Hata Watu Uigiza Movi Kwa Mifano Ya Kuona Japo Tunajua Siku Izi Wanaibuka Sana Manabii Na Kujitangaza Cha Ajabu Kwenye Makanisa Yao Wanataja Jina La Yesu Badala Ya Kujitangaza Wao Kama Manabii Wapya Hata Hao Wanaitaji Kuambiwa Kweli Kwanini Harmonize

  • @FatumaLulu-bp7ms
    @FatumaLulu-bp7ms 19 дней назад

    Kiukweli kakosea sana amuombe ALLAH msamaha haraka sana...YA ALLAH Tujaalie mwisho mwema AMIIN.

  • @_chynnah
    @_chynnah 14 дней назад +1

    thanks sule ueongea point

  • @alfredpaulokijangwa1229
    @alfredpaulokijangwa1229 8 дней назад +1

    Ukimuona baba umeniona mimi... Mimi na baba tu kitu kimoja,... Huyu ni mwanangu mpendwa niliependezwa nae... Mimi ndie njia ya kweli na uzima, mtu haendi kwa baba bila kupitia kwangu... Nimekuelewa Sule ila unatetea kwa upande wa kiislam ila kwa upande wa wakrisho Mungu ana mwana.... Ila naomba nikuulize swali Sule... Ni kwanini mwanamke alikuwa anakandamizwa tokea zamani? Haufikirii kuwa kuna mambo waliyabadilisha juu chini chini juu na tukaaminishwa mambo ya uongo? Hauoni kama kuna ukuu wa mwanamke ulizimwa? Barikiwa Sule.

  • @HHKAHABBY
    @HHKAHABBY 10 дней назад

    Allah akulinde dr shule

  • @mtunduwathatambala9848
    @mtunduwathatambala9848 19 дней назад +1

    Sheikh wetu mungu akubaliki

  • @iddirajabu-vk7ej
    @iddirajabu-vk7ej 16 дней назад

    Allah akujaalie mwisho mwema,na si wote ummat Muhammad inshallah

  • @allykwaya
    @allykwaya 19 дней назад +2

    ALLAH AKULIPE HERI

  • @user-hp3ne8pp6h
    @user-hp3ne8pp6h 16 дней назад

    Allah akulipe kher khekh sule

  • @SwidikiKabemba
    @SwidikiKabemba 14 дней назад

    Swadaqta dr.sul Allah akuhifadhi

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 17 дней назад

    Asante Dr. Sulle🙏🏻🙏🏻

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 18 дней назад +4

    Kama angekua anajua Kama mwanamke ana thamani yeye angechezea mabinti za watu Kama anavyofanya yaani ktk watu jahil duniani huyu hana kiwango basi na Allah amshushie gharka zake AMIIN YARAB

    • @user-ts5bu7os5d
      @user-ts5bu7os5d 15 дней назад

      Dini yake inaaruhusu na wanawake tuache umalaya wa kakabalia masuper star,tunajiddalilisha wenyewe

  • @thomasvenance4770
    @thomasvenance4770 15 дней назад

    Dr.SULE BIG UP SANA

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 18 дней назад

    Mashaa Allah.. Dr. Sule ❤

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 17 дней назад

    Docta maneno mazuri.Allah barik.

  • @user-ew7yq4il1i
    @user-ew7yq4il1i 16 дней назад

    Umeongea pwenti sana shee sule mungu akuzidishie

  • @yusufkuto2020
    @yusufkuto2020 16 дней назад +1

    Hormonez acha upumbavu wa maisha katika hii dunia baba,kila mmoja na pesa zake katika hii dunia kakangu pesa za majini izo ndo zakusumbua kichwa mpaka unaamua kusema maneno ya kipumbavu kama ayo pole sanaa kakangu pesa za majini ndo zimekutawala brazaa ila mungu yupo nawe.

  • @SamwelMkwizu-tn7zn
    @SamwelMkwizu-tn7zn 14 дней назад

    Dr sule upo vizuri🙏

  • @emmaculatewambua-ou9nu
    @emmaculatewambua-ou9nu 19 дней назад +1

    Allah Akbar,nakukubali sana Dr.Sule

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 19 дней назад +10

    Bado mazinge sasa masha'allah dr sule, sasa mbengo tv mtafute mazinge au sheikh kishki