UTACHEKA BABA WA ZUCHU MTOTO AKISIMULIA VITUKO NA MIUJIZA YA ZUCHU BABY
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- TUNASHUKURU KWA WEWE UNAYEFUATILIA VIDEO ZETU, HAKIKA KAZI YETU NI KUKUFANYA UBURUDIKE IVYO KAMA BADO UJA SUBSCRIBE KWENYE CHANEL HII BASI BONYEZA NENO HAPO CHINI SUBSCRIBE KILA VIDEO TUTAKAYOWEKA IWEZE KUKUFIKIA ASANTE
Uyu mtoto amefanana na zuchu original kabisa sura hadi sauti na kipaji pia ubarikiwe baby zuchu talent yako ifike mbali
Uyu mtoto sauti ni kama ya Zuchi uyu mtoto ni baraka May God bless you too
Hongera sana.
Kweli kabisa dada mimi ni mkongo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ninge sema mingi lakini
Ni kweli kabisa anaimba vzuri sana
@@sarahmastaki1428 dah mtoto yupo vizur
Zuchu naww c umpokee mtoto uyo anakupenda unashindwa ata kumuhalika chai looh!
Kwakweli mungu nimkubwa
Mtoto zuchu mungu namemupatiya
kipagi kya mayisha yake!
muchukulu Mungu 🙏🌹
Mungu amsimamie katika kukuza kipaji chake mtoto yupo vizuri
Uyu mtot sauti ni kama va zuchui uyu mtoto zuchu baby Love 💘💘
Kamtoto sura kama baba ake lovely cute
love from Burundi. mze najifunza sana. tena 5 years i will testify
Hivyo ndivyo mungu anatuma malaika wake mtoto zuchu mungu akupaliki
Baba unajua kuspeek mzee nmekubali Amna kinacho shindikana chini ya jua MKUBWA MUNGU
Baba ametoka maisha ya chin kweli
Hatimaye anaenda kutoboa
Zuchu na kupendaka sana DRC
Kwanza ana fanan san nauyo zuchu pia ana kipaji mwenyezi Mungu amrinde na makhasid❤❤❤
Mungu akulindie mwanao ...yote hayo ni mipango ya Mungu Yaani kipaji ulikitaka wewe kumbe Mungu alikipeleka kwa mwanao ...Good.
Baba ana kipaji Hana bahati, mtoto ana kipaji na bahati
@@henricamikambi6147na angetoa mimba angepoteza ndoto zake mazima😅
Mmshike mkono mpaka atimize ndoto take,mashalaaa!!! woooooooow 🥀
Ongera kaka Mungu amfikishe mbali
Mashaaallah mnafanana
Its a bless bro..God bless ur daughter much love from +254
Uyu mtoto yuko vizur mungu azidi kumpa nguvu afike mbali sana
Hongerani wazazi was zuchubaby, kwa kupata mtoto nwenye kipaju
Ongereni sana wazazi mungu amewaona na mungu azidi kumchunga🎉🎉🎉🎉
Masha all ah jicho la hasidi lisikuone zuchu baby
Ahi see uyu mtoto mungu amjalie mana kipaji anacho hila nawaomba sana wazazi wake wawe makini sana namatepeli
Mungu anakupenda zuchu baby damu ya yesu ikufunke wambaya wasikuone
Mmmmh
Mmmh
Aaaa we huyo ni mwislam acha bange damu kwani mwanga mchawi ndo anahusika na mambo ya damu
Yan baba na mtto mnafanana had Raha,,,,mama yake Yuko wapi jmn
Wewe mzazi,
mpeleke mtoto akasome dini yake ili amjue Allah asiishie kwenye dunia tu
Karama amepewa na mwezi Mungu siyo mbaya kuwa ktk Karama anayoitumia
Hata dini yake ni muhim
God gives you talent to use it
Kwani watu wote watakua kwenyedini we mtoto kazaliwa na kipaji hicho we unataka aende kwenye dini
Wazushi nao bhana, wakishaona mtu anafanikiwa kimaisha wanamhukumu kuhusu mahusiano yake na Mungu, kila msanii lazima akomaliwe, 👹👹mbona hamuwakomalii akina ‘Choka mbaya’🤷🏼♂️🤷🏼♂️🤷🏼♂️
Wanafanana Sana na zuchu
mtoto yupo vizuri kweli mashaallah
Mmefanana mashaallah
Ndio maana bola ukipata mimba uizae maana hujuwi mungu anakupa nani
Mmefanana na Mtoto wako adi raha Mungu akutunzie mwanao
Yaani baba na mama nyote 7×6 hamkujua mpaka muulizane🤣 huyu mtoto asome jamani ameishakuwa baraka kwa wazazi
😂😂😂😂😂Aky ww
Zuchu na babaake mashaallah wanafanana kama vijiko (spoon) 😅😅😅
Yani hakuna haja ya DNA
😂 😂 😂 😂 😂 Full copy😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂
Que Dieu continue de faire prospérer son talent pour glorifier son nom
Mashalaaah munafanana
Jamani mwaaaaaaaa mmefanana mungu awabariki
Mungu amjalie afya njema naazd kufanya vzr
I love this girl mashallah mungu amzidishiye
Lakini umthamini mkewe katika ndoa yako ndipo mtoto atajisikia huru kwenu nyote,na mmtegemee Muumba🌷
Mungu azidi kuwakuzia uyu mtoto jamani
Love ❤️ you baby 🍼 zuchu
Mashallah Tabaraka Allah..
nazuchu mwenyewe amuangalie uyu mtoto mana kufanana kumezidi mungu amkuze salama wasalimini
Congrats 👏 baby
Eeee mwenyezi mungu mlinde uyu mtoto na husda za watu anakipaji xnaa
Mnafanana jmn 💖🔥🇨🇩
Mung akufikukishe mbali mwanang❤
Mashaallah kazuchu
Bon courage à la star ❤ 💪💪💪
C'est bien
Mungu akubaliki sana mtt nzuli
Good child,,,big up
Zuchu anakipaji sana
Mashallah mnafanana san
🌹
Angemkataa angeaibika wamefanana htr yaan mmh?
Mungu azidishe kipaji cha baby zuchu.😊
Hongera wazazi
Mungu wa muujiza sana wanao kudharau leo usikate tamaa kesho yako wanakupa heshima 🎉🎉🎉
Wonderful
Mungu akubaliki
Mungu hawabariki wazazi wake❤❤❤
Mungu ambariki kipaji chake aje seale wazazi
Fireeee
this is such a great talent
Nyie mnaotoa mimba !!!! Mjifuze kitu.zuchu angetolewa tungemjuaje??
kwakwel tusinge mjua
Mwenyezi Mungu azidi kumuinua
I love watching zuchu babies comedy
Mashallah ❤❤❤❤❤
Hongera sana
hongereni mashallah
Uzr wa mzazi kukaa karibu na mwanawe
Mnafanana cn jomon 😍😍😍😍
Love you baby zuchu🥰🥰😘
Mungu amwongoze kwa kila jambo
Wee kazaliwa siku moj na mdogo wangu 😛😛😛😍
Zuchu dear mtoto wako mbn mzuri na anakipaji muendeleze mtoto oke sweart
🎉
Kila mmoja ananjia yake ya kufanikiwa kwenye maisha ndo ushatusua hivyo maisha
Duh! Mmefanana Kama mayai
Mashallah
Nimependa sana
Zuchu mkubwa acheze kama yy mtoto amempenda
Fair
Hongera sana kwa kukuza kipaji cha mtoto
mungu amsaidie huyu mtoto kipaji chake kikue jamani
Keep it up good work
Mungu.akulide.zuchubbytoto
Nice zuchu baby ❤❤❤
Zuchu amefanana na babke
Vimacho vakichina
Yaani huyo ndo baba yake Zuchu ? . Hivi
Ni kwelii?. Anavyoongea kama anaigiza vileee.
Yua fanana babake
❤❤❤
Kweli zuchu mpende TU
Mashallah.
She shares birthday with my son
Wamefanana
Ila nampenda san huyo mtoto kwakwl anakipaji kikubwa san
Usisahau kumsomesha dini
Nice
Jamani mm nilizani nimtoto wa zuchu mkumbwa jamani
Good job
Wamefanana mweee