Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..
NI NJIA YA MPINGA KRISTO. WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE. NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI. TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.
TB Joshua alikuwa mtumishi wa kweli wa Mungu, mm mwenyewe nilikuwa na shida nyingi nasumbuliwa na mizimu kupitia huyu nilipokea uponyaji, nilimaliza chuo nikakaa bila kazi muda mwingi kupitia huyu mtu nilipata kazi ya mshahara wa mil1.7 Kwa mwezi kupitia tv tu. Daima sitakaa nimsahau huyu mtumishi.
Jamani waandishi mkiwa mnarusha habar nashaur mrudie hiyo habar kuisoma au kuisikiliza ndio urusha, sasa hapa unatuambia kuwa TB joshu alitutoka tangu 2012 jambo ambalo sio kweli, ukweli ni kwamba yule jamaa alipishana na JPM mwaka mmoja. Toa taarifa sahihi.
Tatizo la wakrsto ni moja tu linalo waloga wakrsto nikwamba watu wanangangana na kutangaza thehebu na siyo ukrsto, waislamu wao wanatangaza uislamu wao
Hii ni vita ya kinabii na kitume , na huuu ni udhihirisho wa Siku za Mwisho , hao wanaosema hayo , hivi wewe unatoa mimba ya kwanza mpka yatatu ? Leo unazungumza ni ujingatu
Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi
Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii. Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority. TB a was great Man of God.
TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.
Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo, Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?
Neno la Mungu litaendelea kusimama hata kama TB Joshua amelala,walijua kanisa lake litafungwa kwavile yeye hayupo ndio kwanza mafuriko ya watu kutoka pande zote za dunia na hakuna anayewezakuvunja kazi hii!
Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai
Ukichunguza mamilioni ya wanawake waliokua wakimuendea TB joshua atawabaka wangapi au alikua na nguvu za kiume za kiwango gani.hamna binadamu wa hivyo nafsi inakinai chakula au kinywaji hata kiwe kizuri kwa kiwango gani.kwa umaarufu cheo haiba na pesa aliyokua nayo mchungaji hakuna mwanamke yeyote ambae angeombwa akachomoa.Ukiwa na pesa hata ukiwa na sura mbaya unaonekana HB mtanashati.labda wambake wao.
Yani Watu wa Africa tunasumbuliwa vitu 3 Umaskini,Ujinga na Fikra hasi. Yani Hawa watu wa BBC uwa nawaita Bible Bandit Church Uwa Ni shirika la Shetani ambao wanasubiri watumishi wa Mungu hasa wa Kiafrica wenye uwezo mkubwa kuliko wao kiroho wafe au wawaue ndo wake na documentary za kuingiza pesa nyingi izo pesa wamewekeza kwa waafrica tena ili wazidi kuwachafua wenzao. Angalia Hawa ndio wanaoeneza ushoga kwa Kasi Africa kwa pesa alafu angalia mashoga walikuwa wakienda kwa TB Joshua kufunguliwa na wengi hasa wa kutoka Africa kusini walihacha ushoga. Ilikuwa Ni Vita ya away Wa BBC naTB Joshua. Angalia vijana wakiislam waliohacha kupambana na chi zao waliofunzwa na magharibi ugaidi.Alafu bado eti Ni wachunguzi. ?😊N😊😊
Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha
Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.
TBJOSHUA alikuwa hakika Mtumishi wa Mungu. BBC imetoa Uongo mkubwa ulioongonzwa Bisola mwanamke wa Roho ya Jezabeli. Sasa ukweli unatoka uongo unajitenga.
Mchungaji hatujaharibikiwa kwa kwenda kule. Mimi nilikwenda kule kwa ajili ya uponyaji nilipona. Na kiwango cha imani kilipanda. Mtumishi yeyote wa ukweli wa Mungu aliye hai lazima apitie hayo yote. Accussations, intimidations, etc. Kama aliyopitia Bwana Yesu. Hiyo vita ni ya ukristo sio ya TB Joshua. Wanataka kuanzisha dini moja dunia nzima, sasa laxima watafute mbinu za kuwapata waumini. Na wenye imani haba na wale walio kuwa affected na vita hivi watapatikana. Prophet TBJoshua ni nabii wa ukweli wa Mungu. Na amevuna nafsi nyingi sana dunia nzima kwa Yesu Kristo.Sasa zile nafsi zilizovunwa ndio tatizo. ZilitakiwA kubaki kwa shetani. Sio vita ya TB Joshua ni vita against ukristo.
Wewe bora kujitolewa kwa hio kiza, hakuna kitu cha Bure kutoka shetani… najua walioenda huku na baada waliongezeka bahati mbaya.. usidanganywe huyu alikuwa mchawi mkubwa kabisa.
Nini maana hasa ya BBC kutoa documentary baada kifo cha TB Joshua?? Hapa kuna ubaguzi wa rangi. Wazungu hawataki mwafrika yoyote kuwa maarufu. Nothing good comes from Africa. Kwa nini hao BBC wasitoe documentary kuhusu mfalme Daudi mzungu mwenzao??
Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.
Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya
@@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc
Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.
Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake
NITAMPIGA MCHUNGAJI NA KONDOO WATATAWANYIKA. NINACHOKIONA MIMI NGUVU YA UKRISTO AFRICA IMEKUWA KUBWA SANA LENGO HAPA NI KUUDHOFISHA MWILI WA KRISTO KATIKA ZILE NGUZO TANO.
Hata watoe documentary ya aina gani haitabadilisha kitu. TB Joshua atabaki kuwa ni Prophet wa Mungu alie Hai. Sababu pia alikuwa ana wadeliver malesbians na mashoga.let him rest in peace and power.
Hayo yote ni uongo Hii ni kazi ya mpinga Kristo kuua kanisa!!! Kama kweli aseme lini na wapi walikutana!!!! Alipata hiyo mimba lini Shetani hana mwili Huchukua mwili wa viumbe mbalimbali ikiwemo wanadamu Hao wanawake ni mashetani watu. KANISA KATAENI UONGO HUO NA TUSIMAME IMARA TB JOSHUA ALIKUWA MTUMISHI MWAMINIFU WA MUNGU!!!! HAO NI MASHETANI WAPENDA PESA
Kweli Mtumishi siku zote mbona hawakusema ?? Wamwache Senior Prophet apumzike kwa amani. Hii yote ni kulichafua kanisa ili kuwapunguzia watu imani. TBJ ni mtumishi wa kweli wa Mungu.Tunampenda hata amekufa.
Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua, 1. Mata T.B Joshua, 2. Mara Mwamposa 3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema Hizo ni mbinu, amkeni wakristu
Chunguza sana mchungaji biblia yesu alisemwa mengi sio ajabu TB Joshua kusemwa vibaya kibiblia unatakiwa kumsema mtu marehemu...wanatumika na shetani kuchafua kanisa...
"Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utakapoweza toa boriti kwenye jichonla mwenzake....."! Kweli masengrnyo, fitina, uchochezi na uchonganishi vimetamalaki, upendo, undugu na umoja umeparaganyika kwenye makanisa!
Paster tukubali tu yule anayetuwinda usiku na mchana ghadhabu imepanda dhidi yenu mnaofanya kazi ya kupukutisha minyororo yake kutoka kwa wanadamu ili aongeze kasi yake ya kuwavuta kwake.
Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.
Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,
Huu ni moja ya mchakato wa kudhoofisha imani ya ukristo duniani ili agenda ya shetani ipate nafasi,,,,Ndo mana papa mwenyewe amebariki ushoga,,,,Lengo imani ya kweli ya ukristo ife,,,,,Kumtangaza Tb joshua kwa kiasi hicho manaake Wakristo wasiamini watumishi wao wa mungu kabisa
Hivi unabakwaje juma tatu unabakwa ijumaaa unabakwa wiki unabakwa mwezi unabakwa mwaka unabakwa miaka toa mimba ya kwanza ya pili ya tatu sasa wewe sio mtumishi ni agent unarubuni ,umetumwa yusufu aliposhikwa na potifa alibaki na shati ,sasa iweje unashiriki akifa unasema while you coparated
Thank you baba umenena vyema, Mungu akubaliki
Asante sana mtumishi wa mungu kwa majibu ya hekima kama ya mfalme Suleiman mungu na akubariki sana.
Asante sana Baba
Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..
Kuanzia Leo nakuita Dr Hananja
Hekima zako wengi hawana
Big up!! babu yangu Kwa majibu yaliyojaa hekima ndani yake
Nakuunga mkono atunukiwe na vyuo
Huyu mzee tuna hazina aisee nilimchukulia rahiss kumbeeee duuuu dhahabuu kuliko watu naowajua kanibariki sana
Maombi yakusimanga, umeniuwa na cheko.
Pasta Mungu akubariki
Barikiwa Mch. Barikiwa sana
Nashukuru kwa hekimayako Mzee wetu ❤
NI NJIA YA MPINGA KRISTO.
WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE.
NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA
MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI.
TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.
Heshima yangu kwako mtumishi
Na huu ujinga upo kwa Pascal Casian na kikosi kazi, kila siku ni stori za Freemason na kutukana wachungaji wengine😂😂
Mjinga yule Kila mtumishi kwake ni freemason.. unajua simwelewagi.. 😊😊
Mzee amezungumza kwa hekima sana
Tatizo kubwa kwa sababu ni mwa Africa angekuwa mzungu angezungumzwa vizuri
Polen wakristo kuchafuliwa ila BBC wangempumzisha marehemu maana wanamsakama saana
Hawatusumbui hawa BBC maana tumeishawajua lengo lao ni kueneza ushoga na usagaji
Ukristo haufi kwa kashfa za Joshua. Walikuwa wapi? Mungu ndiye hakim wa Joshua ni Mungu. Ukristo daima
AMEN AND AMEN NAKUPENDA BURE😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂NAKUFA NA KICHEKO
Undanganyivu unaolenga watumishi wa mungu hakufanya Yale!!!
Umemaliza aposto nakubal sanaa
Mch hananja ni mnafiki sana!! Mbona hakuongea kuhusu ubaya wa TB joshua wakat akiwa hai? Hawa wote ni wale wale! Ipo siku wataumbuka kwa mauongo
Mtangazaji awe makini kuwa na taarifa sahihi, TBJ alikufa 2021 sio 2012.
wanataka kumchafua Tb Joshua il aonekane hakufaa nawakat alpokuwa hai hawakusema wala kujtokeza
TB Joshua alikuwa mtumishi wa kweli wa Mungu, mm mwenyewe nilikuwa na shida nyingi nasumbuliwa na mizimu kupitia huyu nilipokea uponyaji, nilimaliza chuo nikakaa bila kazi muda mwingi kupitia huyu mtu nilipata kazi ya mshahara wa mil1.7 Kwa mwezi kupitia tv tu. Daima sitakaa nimsahau huyu mtumishi.
Siyo mgongano wa matukio!!!
😂😂😂😂😂
😊
Jamani waandishi mkiwa mnarusha habar nashaur mrudie hiyo habar kuisoma au kuisikiliza ndio urusha, sasa hapa unatuambia kuwa TB joshu alitutoka tangu 2012 jambo ambalo sio kweli, ukweli ni kwamba yule jamaa alipishana na JPM mwaka mmoja. Toa taarifa sahihi.
Calt NGONO ndio njia ya kupata upako wa jipepo😮
Huyu Jamaa angekua mkweli tu, angetuonyesha ushuuda wa kuponywa kimujiza na tb j. Badala ya kumtetea kwa mdomo.
Tatizo la wakrsto ni moja tu linalo waloga wakrsto nikwamba watu wanangangana na kutangaza thehebu na siyo ukrsto, waislamu wao wanatangaza uislamu wao
Amefarik 2012 ???oyaaa imechunguza vizuri kweli
Umeiskia e ? Kakosea😅😅😅
Hii ni vita ya kinabii na kitume , na huuu ni udhihirisho wa Siku za Mwisho , hao wanaosema hayo , hivi wewe unatoa mimba ya kwanza mpka yatatu ? Leo unazungumza ni ujingatu
Huyu mchungaji kichwa
BBC AIBU YENU.MMEJIDHALILISHA .AKILI ZA BBC KAMA HAO WALIOWAHOJI.CHOMBO CHA HOVYO KABISA
HAHAHAHA kazi ipo aisee
Maombi ya kusimangwa 😂
Ilo kengere la nn sasa
hekima unayo mchungaji
Waambie baba
Hananja ni mchungaji mwenye uwezo mzuri wa kusimamia kweli ya Neno la Mungu
Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi
Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii.
Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority.
TB a was great Man of God.
TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.
Kweli Kabisa
Yes, na mkakati mwingine ni kuua Imani ya kikristo!
Hapa wala hoja sio tbjoshua
uko sahihi kabisa,mtu mweusi awe chini kufuta legacy yake kabisa
Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo,
Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?
Mchungaji Hananja nafurahia majibu yako yakiçhungaji Mungu akupe Hekima yakutoa majibu.
Neno la Mungu litaendelea kusimama hata kama TB Joshua amelala,walijua kanisa lake litafungwa kwavile yeye hayupo ndio kwanza mafuriko ya watu kutoka pande zote za dunia na hakuna anayewezakuvunja kazi hii!
Tb Joshua is true man of GOD nimefadika sana ktk maombi hadi sasa. He told us before his death watch and pray 🤲🙏🙏🙏
Hao ni mawakala wanatafuta kupotosha kanisa la Mungu,sio wakristo wala wanafunzi wa yesu kweli
Mungu akuweke muda mrefu ili uendelefe kutuelimisha nakutufundisha hekima mungu awe pamoja nawe daima
walidhani wataharibu ukristo ..ukristo utasimama kama Mungu alivyotupa imani
Hananja una akili sana kwa kusimama na ukristo Mungu akubariki.
Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai
BBC waongo Sana wanachonganisha dini na WAUMINI
Uko sahihi wachonganishi Sana, wanataka tuharibikiwe na Mungu wetu ni mwema Sana hatarihusu hayo juu yetu
Nimecheka nimecheka hapo pa watumishi kuhaha,utadhani mganga kaona msekule😂😅
Ukichunguza mamilioni ya wanawake waliokua wakimuendea TB joshua atawabaka wangapi au alikua na nguvu za kiume za kiwango gani.hamna binadamu wa hivyo nafsi inakinai chakula au kinywaji hata kiwe kizuri kwa kiwango gani.kwa umaarufu cheo haiba na pesa aliyokua nayo mchungaji hakuna mwanamke yeyote ambae angeombwa akachomoa.Ukiwa na pesa hata ukiwa na sura mbaya unaonekana HB mtanashati.labda wambake wao.
😅😅 umeongea point nzuri Sana 😊
Yani Watu wa Africa tunasumbuliwa vitu 3
Umaskini,Ujinga na Fikra hasi.
Yani Hawa watu wa BBC uwa nawaita Bible Bandit Church
Uwa Ni shirika la Shetani ambao wanasubiri watumishi wa Mungu hasa wa Kiafrica wenye uwezo mkubwa kuliko wao kiroho wafe au wawaue ndo wake na documentary za kuingiza pesa nyingi izo pesa wamewekeza kwa waafrica tena ili wazidi kuwachafua wenzao.
Angalia Hawa ndio wanaoeneza ushoga kwa Kasi Africa kwa pesa alafu angalia mashoga walikuwa wakienda kwa TB Joshua kufunguliwa na wengi hasa wa kutoka Africa kusini walihacha ushoga.
Ilikuwa Ni Vita ya away Wa BBC naTB Joshua.
Angalia vijana wakiislam waliohacha kupambana na chi zao waliofunzwa na magharibi ugaidi.Alafu bado eti Ni wachunguzi.
?😊N😊😊
Wapuuzi kweli
Hakika Hawa watu wanaibua makaburi Kama waliuona anawatesa au anawbaka walitakiwa wamwendee na kumwambia
Sasa BBC hawahawa wanaotetea ushoga wana nini la maana la kutwambia bwana!!!!
Hawa wote wanaomsema vibaya TB Joshua ni Wafuasi wa MPINGA KRISTO
Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha
This Man was an extraordinary he shook the world when he was alive and still shaking when he is dead
Exactly 💯
Very true
He was a true man of God
He was a high level witch doctor. Even Hitler did the same.
Mch Hananja Mungu akibariki sana! Wewe ni hazina kubwaaa👏👏👏🙏🙏🙏
Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.
Mch huyo mwanamke atubu vinginevyo ana laana kwa kumchafua marehemu joshua
Kabisa mtumishi wache wamseme mimi sitanyanyua mdomo nilipokea uponyaji
Tupo pamoja na mm nilipokea Uponyaji ambao madaktar bingwa walishindwa
TBJOSHUA alikuwa hakika Mtumishi wa Mungu. BBC imetoa Uongo mkubwa ulioongonzwa Bisola mwanamke wa Roho ya Jezabeli. Sasa ukweli unatoka uongo unajitenga.
Mchungaji hatujaharibikiwa kwa kwenda kule. Mimi nilikwenda kule kwa ajili ya uponyaji nilipona. Na kiwango cha imani kilipanda. Mtumishi yeyote wa ukweli wa Mungu aliye hai lazima apitie hayo yote. Accussations, intimidations, etc. Kama aliyopitia Bwana Yesu.
Hiyo vita ni ya ukristo sio ya TB Joshua. Wanataka kuanzisha dini moja dunia nzima, sasa laxima watafute mbinu za kuwapata waumini. Na wenye imani haba na wale walio kuwa affected na vita hivi watapatikana. Prophet TBJoshua ni nabii wa ukweli wa Mungu. Na amevuna nafsi nyingi sana dunia nzima kwa Yesu Kristo.Sasa zile nafsi zilizovunwa ndio tatizo. ZilitakiwA kubaki kwa shetani. Sio vita ya TB Joshua ni vita against ukristo.
Wewe bora kujitolewa kwa hio kiza, hakuna kitu cha Bure kutoka shetani… najua walioenda huku na baada waliongezeka bahati mbaya.. usidanganywe huyu alikuwa mchawi mkubwa kabisa.
Umenena ukweli...
Ukiona mtu haoni shida kudhihaki jambo asilojua basi Hilo sio hali ya kawaida@@otaibonny8835
Ameni
Mnakuwa chawa mpaka katika ishu za TB
Huyu mzee ukiweza kumuelewa basi ujue akili yako imekomaa
Not always
Wivu tu unawasimbua
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Una maneno ya hekima na busara sana.
Nini maana hasa ya BBC kutoa documentary baada kifo cha TB Joshua??
Hapa kuna ubaguzi wa rangi. Wazungu hawataki mwafrika yoyote kuwa maarufu. Nothing good comes from Africa.
Kwa nini hao BBC wasitoe documentary kuhusu mfalme Daudi mzungu mwenzao??
Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.
Alikuwa wakala wa shetani
@@paschalsafari9747yesu alikuwa wakala wa shetani?duuh wew kwel duuh, rudi kuzimu muda wenu bado haujafika
Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya
@@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc
Siku za mwisho zinaambatana na watu wenye tabia hizi zinazoendelea hakuna jipya mtumishi.
Hao wote ni watu wa mungu ndio maana ukweli wa kanisa unauchambua vilivyo na mwisho watu wanawatengenezea kesi kwa ukweli wao wa kumtangaza mungu
Asante sana mutumishi wa Bwana kwa ujumbe muzuri, karibu tena kwetu IOWA, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Alikuwa anabakwa akiwa wap? Malazote izo ? Kama sio unafki
Jamani jamani watanzania acheni kuwachafua watumishi wa Mungu
Labda wanataka kufilisi na kuweka zuio katika kanisa
Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.
Kwani waganga hawaponyi wala kubariki ?? Ndugu chunga sana yule mwovu asikupokonye
T.B Joshua alinipinga sana ushoga,.. ndio maana wanamchafua
Kweli ukigusa ushoga watakula na wewe saani moja
Walidhani kulala kwa TB Joshua kanisa litakosa nguvu sasa wanaona huduma inaendelea.
T b Joshua was a true sevant of God, we miss you our father
Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake
Ushauri usifate mkumbo Kwa mihemko KATIKA urimwengu wa roho utaaribikiwa
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa hekima yako. Ninakukubali baba.
Asante sana baba kwaufafanuzi mzuri, jamani mtaraniwa kusema vibaya watumishi wa bwana. Mungu tusamehe.
NITAMPIGA MCHUNGAJI NA KONDOO WATATAWANYIKA.
NINACHOKIONA MIMI NGUVU YA UKRISTO AFRICA IMEKUWA KUBWA SANA LENGO HAPA NI KUUDHOFISHA MWILI WA KRISTO KATIKA ZILE NGUZO TANO.
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki mutumishi
Hata watoe documentary ya aina gani haitabadilisha kitu. TB Joshua atabaki kuwa ni Prophet wa Mungu alie Hai. Sababu pia alikuwa ana wadeliver malesbians na mashoga.let him rest in peace and power.
Huu ni mpango wa mpinga kristo lazima kanisa litikiswe kwanza ili wafanya yao inahitaji akili kubwa kuelewa mpango wa BBC.
Hayo yote ni uongo
Hii ni kazi ya mpinga Kristo kuua kanisa!!!
Kama kweli aseme lini na wapi walikutana!!!!
Alipata hiyo mimba lini
Shetani hana mwili
Huchukua mwili wa viumbe mbalimbali ikiwemo wanadamu
Hao wanawake ni mashetani watu.
KANISA KATAENI UONGO HUO NA TUSIMAME IMARA
TB JOSHUA ALIKUWA MTUMISHI MWAMINIFU WA MUNGU!!!!
HAO NI MASHETANI WAPENDA PESA
Kweli Mtumishi siku zote mbona hawakusema ?? Wamwache Senior Prophet apumzike kwa amani. Hii yote ni kulichafua kanisa ili kuwapunguzia watu imani. TBJ ni mtumishi wa kweli wa Mungu.Tunampenda hata amekufa.
Huo ni upumbavu wa wazungu kwa sababu wanataka kuendelza ushoga .. wapumbavu Sana
Umenena vizuri Mchungaji HANANJA
Huyu mchungaji au chawa wa wasanii hovyo kabisa
We ndo feki
MCHUNGAJI HANANJA ANAAKIL SANA
Nakubali mzee sio mnafki kabisa unaongeaga ukweli.😅
Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua,
1. Mata T.B Joshua,
2. Mara Mwamposa
3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema
Hizo ni mbinu, amkeni wakristu
Chunguza sana mchungaji biblia yesu alisemwa mengi sio ajabu TB Joshua kusemwa vibaya kibiblia unatakiwa kumsema mtu marehemu...wanatumika na shetani kuchafua kanisa...
NAKUPONGEZA MCH.HANANJA KWA UKWELI WAKO KUHUSU TB JOSHUA.WALIOHUDUMIWA NA TB JOSHUA ,WANAFAHAMU WALICHOTENDEWA.
AMINI UKIAMINICHO.
Ntashangaa sana,hivi n nn mtu ameshakufa,SS inatusaidia nn hata alitenda machafu! Mtafutege kazi za kufanya!
w mtangazaji kwanza inaonekana hujui chochote umeisikia habar juu juu tu yani tb joshua kafarik 2012😅😅😅😅
"Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utakapoweza toa boriti kwenye jichonla mwenzake....."! Kweli masengrnyo, fitina, uchochezi na uchonganishi vimetamalaki, upendo, undugu na umoja umeparaganyika kwenye makanisa!
Paster tukubali tu yule anayetuwinda usiku na mchana ghadhabu imepanda dhidi yenu mnaofanya kazi ya kupukutisha minyororo yake kutoka kwa wanadamu ili aongeze kasi yake ya kuwavuta kwake.
Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.
Hananja kanipa kitu ambacho nilikuw cjui ,, anasema mpiga picha na kinand hawana mapepo , ukishik mkono unaambiw sio huyo ,, kumbe unarak kuwaaribia dili 😅😅
Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,
Uko vzur mchungaji weka nambazako tukutumie sadaka wafundishe wakristu wenzetu
Huu ni moja ya mchakato wa kudhoofisha imani ya ukristo duniani ili agenda ya shetani ipate nafasi,,,,Ndo mana papa mwenyewe amebariki ushoga,,,,Lengo imani ya kweli ya ukristo ife,,,,,Kumtangaza Tb joshua kwa kiasi hicho manaake Wakristo wasiamini watumishi wao wa mungu kabisa
Hivi unabakwaje juma tatu unabakwa ijumaaa unabakwa wiki unabakwa mwezi unabakwa mwaka unabakwa miaka toa mimba ya kwanza ya pili ya tatu sasa wewe sio mtumishi ni agent unarubuni ,umetumwa yusufu aliposhikwa na potifa alibaki na shati ,sasa iweje unashiriki akifa unasema while you coparated
Mungu akubariki mchungaji Ananja kwa hekima ya Kiungu
Baba mwenye hekima ambaye namsikiliza ❤
Angetumia fedha kuwa huru,mabaya yote aliyoficha yamejulikana,hakuna siri chini ya jua