Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai
Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi
Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake
Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..
Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,
Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii. Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority. TB a was great Man of God.
TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.
Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo, Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?
Ubarikiwe sana mchungaji. Hekima uliyo ionyesha ni ya kipekee. T.B Joshua aliwahi kusema kwamba "Midomo ya watumishi wa Mungu ina mamlaka ya na mamlaka hiyo ni kujenga na wala sio kubomoa"
Huu ni upinzani wa ukristu wa wazi na Huduma ya T B Joshua Mama Evelyn T B Joshua Mungu atamtumia kwa kiwango cha juu yatapita tuu Wakristo kuweni macho ❤
Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.
Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.
😂😂😂😂 Kila mtu ayingiye uwanjoni ku ingiza goli.... Ubadiliko ya sauti ni kujifanya kama mtu amesha jua bibilia tayari... Uwo mahojiano ni hatari kwa wadanganyifu ya ulimwengu ya leo... Baadhi ya walewanao uwezo la kudangaya Kwa ajili ya kutendea biashara neno ya mwenyezi mungu, wakae stareh siku ya ukumu. Shukurani zaidi Mchungaji
Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha
Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua, 1. Mata T.B Joshua, 2. Mara Mwamposa 3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema Hizo ni mbinu, amkeni wakristu
Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.
Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya
@@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc
NI NJIA YA MPINGA KRISTO. WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE. NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI. TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.
Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.
Kuanzia Leo nakuita Dr Hananja
Hekima zako wengi hawana
Big up!! babu yangu Kwa majibu yaliyojaa hekima ndani yake
Nakuunga mkono atunukiwe na vyuo
Huyu mzee tuna hazina aisee nilimchukulia rahiss kumbeeee duuuu dhahabuu kuliko watu naowajua kanibariki sana
Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai
Asante sana mutumishi wa Bwana kwa ujumbe muzuri, karibu tena kwetu IOWA, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa hekima yako. Ninakukubali baba.
Mch Hananja Mungu akibariki sana! Wewe ni hazina kubwaaa👏👏👏🙏🙏🙏
Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi
Ameen barikiwa kwa kuungana na wengine na kuona hilo
Asante sana baba kwaufafanuzi mzuri, jamani mtaraniwa kusema vibaya watumishi wa bwana. Mungu tusamehe.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Una maneno ya hekima na busara sana.
Thank you baba umenena vyema, Mungu akubaliki
walidhani wataharibu ukristo ..ukristo utasimama kama Mungu alivyotupa imani
Mchungaji Hananja nafurahia majibu yako yakiçhungaji Mungu akupe Hekima yakutoa majibu.
This Man was an extraordinary he shook the world when he was alive and still shaking when he is dead
Exactly 💯
Very true
He was a true man of God
He was a high level witch doctor. Even Hitler did the same.
Asante sana Baba
Pastor unahekima sana Mungu akuzidishe zaidi.
Mungu akubariki mchungaji Ananja kwa hekima ya Kiungu
Asantee Baba Mchungaji kwa Hekima zako,wengi tungejua hivi
Tb Joshua is true man of GOD nimefadika sana ktk maombi hadi sasa. He told us before his death watch and pray 🤲🙏🙏🙏
T b Joshua was a true sevant of God, we miss you our father
Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake
Barikiwa Mch. Barikiwa sana
Asante sana mtumishi wa mungu kwa majibu ya hekima kama ya mfalme Suleiman mungu na akubariki sana.
TB JOSHUA 😘😘😘😘 NI PRACTICALLY YESU MWENYEW NDANI YA MWILI WA MWANADAM..
Weee Acha makufuru khaaaa😮
This man be protected for all costs ❤
Mungu akubariki mch Hananja
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki mutumishi
Umenena mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana,wanapigana na imani Yetu Ili kuzika ukristo na Imani zetu,hawataweza
Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..
Dr. Hananja, umebarikiwa na hekima kubwa, Mungu akubariki mnoo, endelea kuelimisha jamii
Asante kwa hekima yako.
Maombi yakusimanga, umeniuwa na cheko.
Pasta Mungu akubariki
Hananja ni mchungaji mwenye uwezo mzuri wa kusimamia kweli ya Neno la Mungu
Mzee nakukubali sana
Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,
Mungu akubariki mchungaji,Maombi yangu kwako...uanzishe mahubiri ya mtandaoni..ili wengi tupate kulijua Neno la Mungu kweli..na kweli ituweke huru
Hao wote ni watu wa mungu ndio maana ukweli wa kanisa unauchambua vilivyo na mwisho watu wanawatengenezea kesi kwa ukweli wao wa kumtangaza mungu
Nakuamini Ka
Bisa
Well said Mchungaji.
Huyu anajua,,barikiwa sana
Intelligent man
Ubarikiwe mchunganyi kwa hekima kubwa
❤❤❤❤❤much love
Heshima yangu kwako mtumishi
Well said 👏
Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii.
Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority.
TB a was great Man of God.
TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.
Kweli Kabisa
Yes, na mkakati mwingine ni kuua Imani ya kikristo!
Hapa wala hoja sio tbjoshua
uko sahihi kabisa,mtu mweusi awe chini kufuta legacy yake kabisa
Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo,
Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?
Ubarikiwe sana mchungaji. Hekima uliyo ionyesha ni ya kipekee. T.B Joshua aliwahi kusema kwamba "Midomo ya watumishi wa Mungu ina mamlaka ya na mamlaka hiyo ni kujenga na wala sio kubomoa"
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana.
Jamani jamani watanzania acheni kuwachafua watumishi wa Mungu
MCHUNGAJI HANANJA ANAAKIL SANA
Huu ni upinzani wa ukristu wa wazi na Huduma ya T B Joshua Mama Evelyn T B Joshua Mungu atamtumia kwa kiwango cha juu yatapita tuu Wakristo kuweni macho ❤
Kwakweli baba yangu nakushuru kwa hekima Mungu aliyokupa barikiwa kwa ufafanuzi na hekima iliyotukuka Mungu akutunze na akupe hekima iliyo ya juu sana
😂😂😂😂😂Ameen I love this pastor ❤❤
Asante mchungaji Mungu azidi kukubariki
Dr Rich.
Jmani achani maneno..Africa acheni kurubuniwa Ukiristo wet ahuuu wapi Africa!,,, waanatafuta kuendeleza ushoga Africa Mtafuteni Yesu wetu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿
Umenena vizuri Mchungaji HANANJA
Huyu mchungaji au chawa wa wasanii hovyo kabisa
We ndo feki
Nashukuru kwa hekimayako Mzee wetu ❤
HANANJA THE GREAT!
Mzee amezungumza kwa hekima sana
mtumishi uko vzr baba
Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.
Kwani waganga hawaponyi wala kubariki ?? Ndugu chunga sana yule mwovu asikupokonye
True..Mchungaji Hananja..
Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.
Hawa wote wanaomsema vibaya TB Joshua ni Wafuasi wa MPINGA KRISTO
😂😂😂😂 Kila mtu ayingiye uwanjoni ku ingiza goli....
Ubadiliko ya sauti ni kujifanya kama mtu amesha jua bibilia tayari...
Uwo mahojiano ni hatari kwa wadanganyifu ya ulimwengu ya leo... Baadhi ya walewanao uwezo la kudangaya Kwa ajili ya kutendea biashara neno ya mwenyezi mungu, wakae stareh siku ya ukumu.
Shukurani zaidi Mchungaji
Wivu tu unawasimbua
Amina mtumishi umenena vyema
Naisi ni miongoni mwa wachungaji wachache wanaojibu maswali bila unafiki💐💐
Hananja una akili sana kwa kusimama na ukristo Mungu akubariki.
Nawaza tuu kwa sauti! Haya yanayosemwa kuhusu mtumishi huyu Joshua hivi kwa wazungu kwao hayapoo! Waafrika na wakristo Mungu atupe jicho la tatu😭🙏
Baba Mzee hananja Mungu akutangulie unafaa kwa ushauli
Nakukubar sana
BBC waongo Sana wanachonganisha dini na WAUMINI
Uko sahihi wachonganishi Sana, wanataka tuharibikiwe na Mungu wetu ni mwema Sana hatarihusu hayo juu yetu
Asante Mtumishi kwa ku waelezea mazima kabisa
Una AKILI SANA Mch. HANANJA.
UNASEMA KWELI KABISA KABISA.
Ubarikiwe Mch umesema ukweli Binadamu wengine hawaonagi mema ni kutafuta mabaya tu
Nimecheka nimecheka hapo pa watumishi kuhaha,utadhani mganga kaona msekule😂😅
Baba mwenye hekima ambaye namsikiliza ❤
Alikuwa anabakwa akiwa wap? Malazote izo ? Kama sio unafki
Ubarikiwe pasta
Asante baba umenena vema.
Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha
The great Hananja
Hao ni mawakala wanatafuta kupotosha kanisa la Mungu,sio wakristo wala wanafunzi wa yesu kweli
Mungu akuweke muda mrefu ili uendelefe kutuelimisha nakutufundisha hekima mungu awe pamoja nawe daima
Mch huyo mwanamke atubu vinginevyo ana laana kwa kumchafua marehemu joshua
Mbona hawaandiki documentary ya Bonke??
Asante Asante baba kabisa, Hiyo ni roho ya wivu.
Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua,
1. Mata T.B Joshua,
2. Mara Mwamposa
3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema
Hizo ni mbinu, amkeni wakristu
Ntashangaa sana,hivi n nn mtu ameshakufa,SS inatusaidia nn hata alitenda machafu! Mtafutege kazi za kufanya!
Wewe mtumishi wa MUNGU kweli, wafundishe wachungaji wanaofundisha uganga badala ya NENO. Barikiwa sana Baba.
Points sana
😂😂😂😂😂Ila huyu Baba nampenda sanaaa
Uko vzur mchungaji weka nambazako tukutumie sadaka wafundishe wakristu wenzetu
Hekima za mchungaji Hananja
Undanganyivu unaolenga watumishi wa mungu hakufanya Yale!!!
Kabisa mtumishi wache wamseme mimi sitanyanyua mdomo nilipokea uponyaji
Tupo pamoja na mm nilipokea Uponyaji ambao madaktar bingwa walishindwa
Ukristo haufi kwa kashfa za Joshua. Walikuwa wapi? Mungu ndiye hakim wa Joshua ni Mungu. Ukristo daima
Hapa nikanisa linachafuliwa so wakirito tuwe macho hizi siku n za mwisho Huyu TB Joshua alisaidia weji sana Mungu tusaidie😢😢😢😢😢😢
Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.
Alikuwa wakala wa shetani
@@paschalsafari9747yesu alikuwa wakala wa shetani?duuh wew kwel duuh, rudi kuzimu muda wenu bado haujafika
Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya
@@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc
Siku za mwisho zinaambatana na watu wenye tabia hizi zinazoendelea hakuna jipya mtumishi.
Labda wanataka kufilisi na kuweka zuio katika kanisa
NI NJIA YA MPINGA KRISTO.
WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE.
NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA
MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI.
TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.
Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.