Tukio la Kubakwa/kulawitiwa kwa Binti wa Dar kwamfanya MCHUNGAJI HANANJA kusema haya, aongea Makubwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 35

  • @maryamsaleh4787
    @maryamsaleh4787 2 месяца назад +3

    Ni hakika baba lolote kwenye maisha linaweza kutokea ukijaliwa ufahamu hata wa kubeba zege basi shukuru sana kwa muumba sababu wapo wengi wamejikatia tamaa haya maisha ukiwa na akili ya kuwaza kesho yako tu basi umebarikiwa neema niishie kusema lolote kwenye maisha linaweza kutokea tutiane moyo na tukumbushane ukuu wa mungu Asante 🤚

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Месяц назад +1

    Nakuelewa sana mtumishi Mungu akutunze najifunza mengi sana kupitia wewe ( umri wa ujinga wanajilea wenyewe) mungu atusaidie 🙏

  • @linashayo2068
    @linashayo2068 2 месяца назад +6

    Sauti ndogo sana, from Amsterdam nawapata vizuri.

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 2 месяца назад +8

    Madini mengi kutoka kwa Mchungaji

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 2 месяца назад +4

    Mzee ana busara sana nipo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Aloyce-l6s
    @Aloyce-l6s 2 месяца назад

    Safi sana hananja umenifundisha sana god blees👋

  • @nelsongodbless192
    @nelsongodbless192 2 месяца назад +1

    Nakubali sns

  • @AISHAHUSSENI-m9i
    @AISHAHUSSENI-m9i Месяц назад

    Mchungaji unapenda ndumu Babu yangu

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Месяц назад

    Ahsant mch hananja Kwa kutupatia madini safi

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 2 месяца назад +1

    Leo sauti imekuwa chini sana

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 2 месяца назад +1

    Sauti ndogo nawatizama kutoka 🇬🇧

  • @The_mediator255
    @The_mediator255 2 месяца назад +1

    Bagamoyo , msata ,kigoma ,singida ,songea na tunduru ,namtumbo , Kuna maeneo makubwa sana

  • @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz
    @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz 2 месяца назад

    Mchungaji mbona afya kama amepungua sana au anaumwa? Maana kisukari ni changamoto sana kwa watu wengi sana.

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 2 месяца назад +1

    Mbona Sauti Ndogo Kama Ndio Mko Kwenye Uzinduzi Wa Chanel

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 2 месяца назад +1

    Unakimbia

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 месяца назад

    Sasa Mchj, mama kakasirika, lkn kaagiza watu kawarubuni wakambake msichana anaingilia unyumba wake. Hapa sheria inasemaje ikiwa kweli askari huyo kafanya deal hiyo. Na angekufa nani ashitakiwe daa inauma kweli. Shetani kazini tu. Pooole!

  • @AlbertMbuta
    @AlbertMbuta Месяц назад

    Huyu Ana madini nyie hamjajua

  • @ReyzDon
    @ReyzDon 2 месяца назад

    Kangalie move inaitwa Baba oliva ina mafunzo makubwa Sana kwenye jamii

  • @athumanijonathanofficial4709
    @athumanijonathanofficial4709 2 месяца назад

    Mzee wetu hazina la taifa hananja

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke 2 месяца назад +1

    SNS mbona kuna habari nyingi kua Hezbollah imeshambulia Israel kwenye media nyingi mbaka aljazeer hebu tukhabarisheni

    • @WiselightOfficial
      @WiselightOfficial 2 месяца назад

      Yaan aache kufuatilia vitu vinavyotea kwenye jamii yake akimbilie huko hezbollah unakotaka kusikiliza ili iweje sasa

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 месяца назад

      @@WiselightOfficial kwanza wakike wakiume ili nijue nakujibu vip

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 2 месяца назад

      We utakuwa ni masalia ya kiarabu ndo maana huna uchungu kabisa na dada yetu

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 2 месяца назад

    Yani Unafunga Safar Kwenda Kumuoji Mtu Na Vifaa Vyako Feki Avina Sauti Kabisa

  • @rainohazard2453
    @rainohazard2453 2 месяца назад

    Saut mnafeli

    • @febochannel4964
      @febochannel4964 2 месяца назад +1

      Yaan watu wakikosea kidg tu wamekuwa wanafeli tena

    • @OmanHubi-q5x
      @OmanHubi-q5x 2 месяца назад

      Oya sio leo tu mm nilijua cm langu mda mwengn 😂

  • @mauridejuma
    @mauridejuma 2 месяца назад

    ajawai kuniangusha