2,080,000/= za UVIKANJO kigango cha Njombe zatolewa/ matendo ya huruma kwa watoto yatima kipengere.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 янв 2022
  • UVIKANAJO ni Umoja wa Vijana wakatoliki Jimbo la Njombe, hawa ni sehemu ya umoja huo walio chini ya kigango cha njombe Mjini, hawa ni sehemu tu ya vijana walio ende kutembelea kituo cha watoto yatima kilichopo katika Parokia ya Mt. Maria Konsolata kipengere tr 16.01.2022. vijana hawa wametoa fedha pamoja na vitu mbalimbali vyenye thamani ya Tsh. milioni mbili na elfu themanini. (2080,000/=)Mungu awabariki kwa majitoleo yenu.

Комментарии •