Ruvu Shooting 0-7 Simba | Highlights | ASFC 16/02/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • RUVU vs SIMBA: Mabingwa watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation, Simba SC wameichaka Ruvu Shooting mabao 7-0 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Katika ushindi huo Clatous Chama amepiga #Hattrick yake ya kwanza tangu kurejea Msimbazi, huku John Bocco akifunga mawili, Jimmyson Mwanuke moja na Ruvu Shooting wakajifunga moja.

Комментарии • 106

  • @alfredozavala7441
    @alfredozavala7441 2 года назад +12

    Congratulations from Mexico, I enjoy watching Tanzanian league highlights

  • @khatibramadhan8740
    @khatibramadhan8740 2 года назад +8

    Simba ikiendelea na kasi hii itafika mbali zaidi ya tunavo fikili mungu ibariki simba

  • @andrewoscar7762
    @andrewoscar7762 2 года назад +5

    Leo wachezaji wetu wa ndani wamenifurahisha Sana unatakiwa kua hvo ukipewa nafasi hata sekunde moja onyesha kua inakitu Mungu awabariki sana

  • @yakobopetro2116
    @yakobopetro2116 2 года назад +2

    I proud to be a part of a Simba 🦁 fans

  • @grederoperater7970
    @grederoperater7970 2 года назад +3

    This is Simba Nguvu Moja 💪

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад +3

    Asante Sanaa chama langu la Simba sports club ❤️🦁🦁🏆👊

  • @erastojackson8432
    @erastojackson8432 2 года назад +2

    You have played a wonderful and enjoyful football for to day💪

  • @zainamungi1318
    @zainamungi1318 2 года назад +3

    Simba rahaaa sanaaa

  • @geofbeka1669
    @geofbeka1669 2 года назад +6

    Duh, namna mtangazaji alivyopamba goli la kwanza Peter Drury hakamati

  • @tonikatima4977
    @tonikatima4977 2 года назад +3

    Wanafuga lakin hawaligi wmaaa simba nawapenda san🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 2 года назад +5

    Huyu mhilu ana press vzur ila ana shida 2 kubwa
    Kwanza ni positioning yake kweny box ni poor sana,anapishana tu na mipira kwenye box
    Pili,finishing yake bado haijawa nzuri,nadhan bado ana pressure ya kutofunga goli tang asajiliwe,ina mfanya awe na papara anapoona nafas clear ya kufunga

  • @nicholausmwinuka7640
    @nicholausmwinuka7640 2 года назад +4

    Wawa amekua genius sio poa

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 года назад +3

    Huyu Bocco jmn karudi huwiiinajengewe sana huyi chama ,Banda ,Osman saccko oooh wako vzuri mno simba jmm wanaupiga hadi unaogopa huwiiiii

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 2 года назад +14

    Innalilah waina ilyhi rajiun. Ya Allah tupe mwisho mwema

  • @Aimanankya-p5x
    @Aimanankya-p5x 8 месяцев назад +2

    🎉 hi simba

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 года назад +4

    HALAFU KUNA MIPUMBAVU INASEMA GOLI LA KWANZA BOCCO NI OFFSIDE
    SASA BASI KAMA HIYO MIJICHO YENU IKO NYUMA ANGALIENI VIZR MSHAMBULIAJI KATOKEA WAPI USISEME KAMA MPUMBAVU CHUNGUZENI KWANZA SIO MNAROPOKA TU MSHAMBULIAJI ALIKUA NYUMA YA MABEKI
    SIMBA SC 🦁💪, 1 TEAM, 1 DREAM AND 1 POWER 💪

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +11

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @lesportetlanutritionpourla9956
    @lesportetlanutritionpourla9956 2 года назад +4

    Goli la kwanza la Bocco na hilo la mwisho la Chama nayasubili kwenye kipyenga cha mwisho na VAR ya bongo

  • @asmaameir491
    @asmaameir491 2 года назад +2

    Mtangazaji yupo sawa

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 2 года назад +3

    peter banda 🔥🔥🔥

  • @janethkapange682
    @janethkapange682 2 года назад +7

    Tunafunga mengi mpka tunaona aibu sisi wenyewe😂😂

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 2 года назад +6

    tukiwa tunashida simba,Azam media muwe mnawaonyesha mashabiki wa yanga tuwaone sura zinavyochachuka maana huwa hawakosi mechi ya simba.

  • @jeremiakwelela6341
    @jeremiakwelela6341 2 года назад +3

    Simba hatali sana safari namziki

  • @wandemadenge8063
    @wandemadenge8063 2 года назад +1

    Tumetishaaaa

  • @jusmhaike4082
    @jusmhaike4082 2 года назад +4

    Banda is coming in now

  • @OmaryMatua
    @OmaryMatua 8 месяцев назад +2

    Waliteseka sana

  • @madarakamwakagugu1727
    @madarakamwakagugu1727 2 года назад +2

    Magoli mengi Sana...pole masau bwire

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 года назад +1

    Goli 7 daah!!! Kweli kichwa cha nyoka hakibebi mzigo, Huu ni msiba mwengine poleni Sana Ruvu Mungu awape Imani Ila taarifa Mjue Luis Miq anarudi msimbazi je itakuaje?????

  • @leticiajohn3114
    @leticiajohn3114 2 года назад +4

    Ety yanga Wana Lia jamni😀😀😀

  • @Elishajr3
    @Elishajr3 2 года назад +5

    Mtangazaji alikua na mood ya mziki 😂

  • @joramgobness5281
    @joramgobness5281 2 года назад +4

    Simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnjohnmollel7411
    @johnjohnmollel7411 2 года назад +2

    Hii ndoo Simba brother

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 2 года назад +3

    Banda bonge la Fundi haswa.

  • @nestoryndasanye4885
    @nestoryndasanye4885 2 года назад +4

    Ally antoni sonso ulazwe mahali pem pepon 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏻😥😥😥😥⚽️

  • @DOTTOISACK-s5f
    @DOTTOISACK-s5f 10 месяцев назад +1

    Waindad

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 2 года назад +1

    Hapo ingalikua poa Kama Hilo bango lingali chukuliwa na wachezaji mmoja wa Simba na mmoja wa ruvu

  • @isunga1964
    @isunga1964 2 года назад +1

    Dah inaumiza sana yake mbele yetu nyuma R.I.P SONSO😭😭

  • @joackimpeter6501
    @joackimpeter6501 2 года назад +2

    I like simba sport club

  • @mc_mackpesa
    @mc_mackpesa 2 года назад +2

    Simbaaaaaaaaaa
    #mackpesacomedy

  • @GeneralNdembo-rf9mp
    @GeneralNdembo-rf9mp 7 месяцев назад +2

    Kaz ilikuepo

  • @leahmatemba2193
    @leahmatemba2193 2 года назад +3

    Wonder kid🐒🐒🐒🐒

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 2 года назад +2

    ALAFU WALA HATULINGI.....SIMBA BHANA.

  • @issacklyakurwa2939
    @issacklyakurwa2939 Год назад

    Sifaaa

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 2 года назад +2

    Namuona masau bwire anatuma msg za mapenzi jukwaani🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 года назад +1

    JOGOO KAMEZWA NA MAGOYA YAKE

  • @theresiateddimboya1079
    @theresiateddimboya1079 2 года назад +2

    Sijuw hata niseme nini jamani dah ninafuraha

  • @SimonSanka-os2wc
    @SimonSanka-os2wc 5 месяцев назад +1

    Simba walifanya mistake kumuacha banda

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 2 года назад +2

    Uyu Banda jamn n hatar

  • @ZawadiMakongoro-j6f
    @ZawadiMakongoro-j6f Год назад +1

    Mmoja amshike chama amwambie bhasss😂😂

  • @cassykakobe5485
    @cassykakobe5485 2 года назад

    Leo bokooo duuh

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 года назад +4

    Tunaitaji kumfunga mtani Yanga magoli kama haya ili tuufunge zip mdomo wake mana anaongea Sana bila vitendo

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 2 года назад

      Bado kuna kitu hakipo sawa Simba. Kocha anatakiwa kukiweka sawaa ili timu ibalance

    • @nassirnassor8603
      @nassirnassor8603 2 года назад +1

      @@mohdhakim8216 nNi kweli hakuna Connection nzuri kati ya speed ya banda matokeo ya ufungaji

  • @hamisimkunda702
    @hamisimkunda702 2 года назад +3

    Banda fund

  • @سلطانسليمانبنجمعة
    @سلطانسليمانبنجمعة 2 года назад +1

    Sio mbaya, Congrats to Simba sc. But 2 Goals were offside for those who knows football.

  • @shadrackibrahim31
    @shadrackibrahim31 2 года назад

    Simba baba lao

  • @wandemadenge8063
    @wandemadenge8063 2 года назад +1

    Watajua awajui piga kelelee

  • @arveengeorge9577
    @arveengeorge9577 2 года назад +1

    Banda fundi

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 2 года назад +2

    😅😅😅hii ndo simba wazeee

  • @brownsutu2393
    @brownsutu2393 2 года назад

    Hii ilikua sionzurii aisee

  • @wandemadenge8063
    @wandemadenge8063 2 года назад

    🏄🏾

  • @mwannekatenzi3428
    @mwannekatenzi3428 2 года назад +2

    Simbaaaa

  • @ahmadothman9899
    @ahmadothman9899 2 года назад

    Waooo

  • @hamidamkoma4764
    @hamidamkoma4764 2 года назад

    Kipigo day

  • @khamissmohd1345
    @khamissmohd1345 2 года назад +1

    Mau mpemba

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 года назад +1

    Chsma 2 Bocco 3 kipindi cha kwanza chs pili tano tna kumi zinmluzika haha

  • @pendaelimolell3510
    @pendaelimolell3510 2 года назад +1

    Magoli mingi mpaka zinawakera utopoloooko

  • @barakamnai5515
    @barakamnai5515 2 года назад +1

    Uyu gorikipa shati hamna mtu hapa

  • @sempaysensey6486
    @sempaysensey6486 Год назад

    Sara

  • @damasfelix5198
    @damasfelix5198 2 года назад

    Vita

  • @MariamLucas-wd5uf
    @MariamLucas-wd5uf Год назад

    Balaka

  • @hamadali1696
    @hamadali1696 2 года назад +1

    Hawa jamaa waliteseka sana

  • @issacardavid417
    @issacardavid417 2 года назад

    Watajua hawajui kudadek

  • @TogolaniSenzia
    @TogolaniSenzia Год назад

    Muvi

  • @damasfelix5198
    @damasfelix5198 2 года назад

    Vita iliyo tokea kibirashi

  • @hancempakate6590
    @hancempakate6590 2 года назад

    Eeeeeeee waache wateseke

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 2 года назад

    Simba raha tupu utopolo wanateseka tu jaman🐸🐸😛😛

  • @revosway6063
    @revosway6063 2 года назад +1

    X

  • @otsamamusic2139
    @otsamamusic2139 2 года назад +1

    Hii ruvu ni uozo 😁😁 ,,,,vigoli vnngne vya mchongo ,,,,offside ya bocco ya kwanza na chama ya mwisho

    • @jackisonmagera4271
      @jackisonmagera4271 2 года назад

      Kajifunze mpira ndo uje upige kelele hk ndan

    • @madukaj.j.6999
      @madukaj.j.6999 2 года назад

      Jikaze

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      WEWE MUSIC KAZI YAKO KUIMBA MAMBO YA MPIRA HUYAJUWI TUACHIE SISI VIDUME.

    • @mahadshekh398
      @mahadshekh398 2 года назад

      Unateseka ukiwa wapi Utopolo. Somea urefa.Kwani Utopolo wote mmekuwa VAR.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      @@mahadshekh398 VAR ZA MITAANI 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ridhiwanikibonge793
    @ridhiwanikibonge793 2 года назад +1

    🛌🛌🛌🛌

  • @damasfelix5198
    @damasfelix5198 2 года назад

    Vita iliyo tokea tanga

  • @mosesmuhanuz1072
    @mosesmuhanuz1072 2 года назад +3

    Hapa hakuna mechi ni matokeo so msivimbe kichwa kuona mnaweza ruvu walikuja kukamilisha ratiba amini usiamini mechi ilikuwa na upofu mwingi

    • @2times273
      @2times273 2 года назад +1

      Hata ASEC ilikua hivo hivo

    • @khadijamisayo7476
      @khadijamisayo7476 2 года назад

      @@2times273 🤣🤣🤣

    • @andrewdukho8795
      @andrewdukho8795 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣😂🤣😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chichiflavour400
    @chichiflavour400 2 года назад +1

    AUDIO🔊🔊 Artists!
    Meja Kunta Ft D voice
    Song:Simba Nguvu Mona
    Link👉👉👉ruclips.net/video/0Yph8bd6mM8/видео.html

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +8

    Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl