Ruvu Shooting 0-7 Simba | Highlights | ASFC 16/02/2022
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2024
- RUVU vs SIMBA: Mabingwa watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation, Simba SC wameichaka Ruvu Shooting mabao 7-0 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Katika ushindi huo Clatous Chama amepiga #Hattrick yake ya kwanza tangu kurejea Msimbazi, huku John Bocco akifunga mawili, Jimmyson Mwanuke moja na Ruvu Shooting wakajifunga moja.
Congratulations from Mexico, I enjoy watching Tanzanian league highlights
Simbawakovizurisana
Simba ikiendelea na kasi hii itafika mbali zaidi ya tunavo fikili mungu ibariki simba
Leo wachezaji wetu wa ndani wamenifurahisha Sana unatakiwa kua hvo ukipewa nafasi hata sekunde moja onyesha kua inakitu Mungu awabariki sana
I proud to be a part of a Simba 🦁 fans
This is Simba Nguvu Moja 💪
Asante Sanaa chama langu la Simba sports club ❤️🦁🦁🏆👊
You have played a wonderful and enjoyful football for to day💪
Simba rahaaa sanaaa
Duh, namna mtangazaji alivyopamba goli la kwanza Peter Drury hakamati
Wanafuga lakin hawaligi wmaaa simba nawapenda san🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huyu mhilu ana press vzur ila ana shida 2 kubwa
Kwanza ni positioning yake kweny box ni poor sana,anapishana tu na mipira kwenye box
Pili,finishing yake bado haijawa nzuri,nadhan bado ana pressure ya kutofunga goli tang asajiliwe,ina mfanya awe na papara anapoona nafas clear ya kufunga
Wawa amekua genius sio poa
Huyu Bocco jmn karudi huwiiinajengewe sana huyi chama ,Banda ,Osman saccko oooh wako vzuri mno simba jmm wanaupiga hadi unaogopa huwiiiii
Innalilah waina ilyhi rajiun. Ya Allah tupe mwisho mwema
🎉 hi simba
HALAFU KUNA MIPUMBAVU INASEMA GOLI LA KWANZA BOCCO NI OFFSIDE
SASA BASI KAMA HIYO MIJICHO YENU IKO NYUMA ANGALIENI VIZR MSHAMBULIAJI KATOKEA WAPI USISEME KAMA MPUMBAVU CHUNGUZENI KWANZA SIO MNAROPOKA TU MSHAMBULIAJI ALIKUA NYUMA YA MABEKI
SIMBA SC 🦁💪, 1 TEAM, 1 DREAM AND 1 POWER 💪
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
Goli la kwanza la Bocco na hilo la mwisho la Chama nayasubili kwenye kipyenga cha mwisho na VAR ya bongo
Mtangazaji yupo sawa
peter banda 🔥🔥🔥
Tunafunga mengi mpka tunaona aibu sisi wenyewe😂😂
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
tukiwa tunashida simba,Azam media muwe mnawaonyesha mashabiki wa yanga tuwaone sura zinavyochachuka maana huwa hawakosi mechi ya simba.
Simba hatali sana safari namziki
Tumetishaaaa
Banda is coming in now
Waliteseka sana
Magoli mengi Sana...pole masau bwire
Goli 7 daah!!! Kweli kichwa cha nyoka hakibebi mzigo, Huu ni msiba mwengine poleni Sana Ruvu Mungu awape Imani Ila taarifa Mjue Luis Miq anarudi msimbazi je itakuaje?????
Ety yanga Wana Lia jamni😀😀😀
Mtangazaji alikua na mood ya mziki 😂
Simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ndoo Simba brother
Simbaaaaaaaaaaaaa goooooooooooo iiiiiiiiii
Banda bonge la Fundi haswa.
Ally antoni sonso ulazwe mahali pem pepon 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏻😥😥😥😥⚽️
Waindad
Hapo ingalikua poa Kama Hilo bango lingali chukuliwa na wachezaji mmoja wa Simba na mmoja wa ruvu
Dah inaumiza sana yake mbele yetu nyuma R.I.P SONSO😭😭
I like simba sport club
Simbaaaaaaaaaa
#mackpesacomedy
Kaz ilikuepo
Wonder kid🐒🐒🐒🐒
ALAFU WALA HATULINGI.....SIMBA BHANA.
Sifaaa
Namuona masau bwire anatuma msg za mapenzi jukwaani🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈
😂😂😂😂😂
JOGOO KAMEZWA NA MAGOYA YAKE
Sijuw hata niseme nini jamani dah ninafuraha
Simba walifanya mistake kumuacha banda
Uyu Banda jamn n hatar
Mmoja amshike chama amwambie bhasss😂😂
Leo bokooo duuh
Tunaitaji kumfunga mtani Yanga magoli kama haya ili tuufunge zip mdomo wake mana anaongea Sana bila vitendo
Bado kuna kitu hakipo sawa Simba. Kocha anatakiwa kukiweka sawaa ili timu ibalance
@@mohdhakim8216 nNi kweli hakuna Connection nzuri kati ya speed ya banda matokeo ya ufungaji
Banda fund
Sio mbaya, Congrats to Simba sc. But 2 Goals were offside for those who knows football.
Ok, tufanye 5 bila. UTOPOLO mna shida nyie
I'm not a Tanzania neither do I support any of the two teams. I'm giving justice of my own opinion.
U are right
Simba baba lao
Watajua awajui piga kelelee
Banda fundi
😅😅😅hii ndo simba wazeee
Ambayo haijarogwa🤣🤣🤣
Hii ilikua sionzurii aisee
🏄🏾
Simbaaaa
Waooo
Kipigo day
Mau mpemba
Chsma 2 Bocco 3 kipindi cha kwanza chs pili tano tna kumi zinmluzika haha
Magoli mingi mpaka zinawakera utopoloooko
Uyu gorikipa shati hamna mtu hapa
Sio golikipa, timu nzima
Sara
Vita
Balaka
Hawa jamaa waliteseka sana
Watajua hawajui kudadek
Muvi
Vita iliyo tokea kibirashi
Eeeeeeee waache wateseke
Simba raha tupu utopolo wanateseka tu jaman🐸🐸😛😛
X
Hii ruvu ni uozo 😁😁 ,,,,vigoli vnngne vya mchongo ,,,,offside ya bocco ya kwanza na chama ya mwisho
Kajifunze mpira ndo uje upige kelele hk ndan
Jikaze
WEWE MUSIC KAZI YAKO KUIMBA MAMBO YA MPIRA HUYAJUWI TUACHIE SISI VIDUME.
Unateseka ukiwa wapi Utopolo. Somea urefa.Kwani Utopolo wote mmekuwa VAR.
@@mahadshekh398 VAR ZA MITAANI 🤣🤣🤣🤣🤣
🛌🛌🛌🛌
Vita iliyo tokea tanga
Hapa hakuna mechi ni matokeo so msivimbe kichwa kuona mnaweza ruvu walikuja kukamilisha ratiba amini usiamini mechi ilikuwa na upofu mwingi
Hata ASEC ilikua hivo hivo
@@2times273 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣😂🤣😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
AUDIO🔊🔊 Artists!
Meja Kunta Ft D voice
Song:Simba Nguvu Mona
Link👉👉👉ruclips.net/video/0Yph8bd6mM8/видео.html
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl