Highlights | Al Ahly SC 1-1 Simba SC | African Football League 24/10/2023
HTML-код
- Опубликовано: 23 окт 2023
- Simba imelazimisha sare ya bao 1-1 mbele ya Al Ahly ya Misri katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya #AfricanFootballLeague uliopigwa kwenye Dimba la Cairo nchini Misri.
Simba wametangulia kwa goli la Sadio Kanoute dakika ya 68 kabla ya Ahly kuchomoa kwa goli la Mahamoud Kahraba dakika ya 75.
Matokeo haya yanaisukuma nje Simba kwa hasara ya goli la ugenini kufutia sare ya 2-2 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliochezwa Jijini Dar es Salaam.
Simba vs geita gold
Simba nguvu moja❤❤❤
1 be up
Wapili ku comment naombeni like zangu sema simba hawana cha kujitetea tena ccl
Kivipi?
kweli mji upo shwari
kweli nchi ipo shwari kabisa
Tumebaki kujiamini zaidi tu pindi tunapopata mpira. Pia tuhakikishe kila nafasi inayopatikani inatumika ipasavyo. Mmeonyesha kuwa timu za Afrika Kaskazini sio za kutisha tena.
Unyamaa
Simba dude kubwa
Simba sijawazoea na jez za blue 💙 naona kama wengine. Wamecheza wote mashetan wekundu❤
Mzinga nimwamba kwelikweli anatialaa sana kutafsili mpila mnaopanga twaomba sana uyu mwamba awekwenye gem kama izi apa
safalii atu kubali
Wanasimba tuombe mungu 2
Safar hii awa tutakufa naooo
Simba anampa mechi ngumu mnoo Ahly😅
Maoni yangu kwenye mechi ijayo club bingwa huko Cairo Simba wanakuwa kama hawajiamin mipira ya Kona hawaruki kama wameduwaa hvi Hawana making nzr ya 1v1 kwenye ukabaji na kushambulia tunakuwa kama hatujiamin hivyo game ijayo tupige ball kwa speed na kujiamin tusiwe woga
Hii mechi simba walifanya makosa mengi sn na ahly walishindwa kuyatumia so inabidi kuwa makini sana kwenye mechi yetu ijayo kwa kweli
Simbanibora
Simba tujipange
Jaman tujipange mpaka tutoboe
Nyie
Yallab akatuongoze hapo kesho kutwa
Inshallah tutashinda
Kwanini
Simba mabeki tatizo
Tunaishi nao
Mechi za Simba dhid ya Hawa ariahal ni big mechi kuliko ya yanga na hii tim
Simba nguvu moja
Hapa makolo msijifanye mlijitahid
Nyie mbona mulipasuka😂
Mbn wepec
muone saidoo alivyosimama
Ukiangalia hii game Simba Kam wamekubali wafungwe licha ya kuwa wanauwezo ...Yan hawaonesh asa Kam wanaitka game
Off side goli la AFC
na goli lao la kipindi cha kwanza haikuwa offside @3:03
@@groovy5357 aisee hii gem wao walikuwa na viwango vya juu
Tutakukumbuka baleke
Nikweli Robertinho ni mpuuzi kweli, watu woote anaowatumia pale mbele hakuna mtaalamu kama Philili lkn mpumbavu hajui
Nenda ue kocha sasa tuone
Sema mpila haupo hvo hata angekaa phir baleke bench ungeongea tu phir ajawa kwenye form aletwe baleke pale
N; ;. Mb nn; n n n
Kibu alizingua sana hii mechi badala atoe pasi kati anakimbilia kufunga na pili sub ya ya chama na kennedy juma ndio walifeli kabisa yaani