Highlights | Al Ahly SC 1-1 Simba SC | African Football League 24/10/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2023
  • Simba imelazimisha sare ya bao 1-1 mbele ya Al Ahly ya Misri katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya #AfricanFootballLeague uliopigwa kwenye Dimba la Cairo nchini Misri.
    Simba wametangulia kwa goli la Sadio Kanoute dakika ya 68 kabla ya Ahly kuchomoa kwa goli la Mahamoud Kahraba dakika ya 75.
    Matokeo haya yanaisukuma nje Simba kwa hasara ya goli la ugenini kufutia sare ya 2-2 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliochezwa Jijini Dar es Salaam.

Комментарии • 43

  • @ShamgedaDawido-fb7nh
    @ShamgedaDawido-fb7nh 3 дня назад

    Simba vs geita gold

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 2 месяца назад +1

    Simba nguvu moja❤❤❤

  • @user-dz3ud9ot3f
    @user-dz3ud9ot3f 7 месяцев назад

    1 be up

  • @abasitwahiru8898
    @abasitwahiru8898 7 месяцев назад +8

    Wapili ku comment naombeni like zangu sema simba hawana cha kujitetea tena ccl

  • @richardmichael7523
    @richardmichael7523 7 месяцев назад +3

    Tumebaki kujiamini zaidi tu pindi tunapopata mpira. Pia tuhakikishe kila nafasi inayopatikani inatumika ipasavyo. Mmeonyesha kuwa timu za Afrika Kaskazini sio za kutisha tena.

  • @EvelynDeusi
    @EvelynDeusi 2 месяца назад

    Unyamaa

  • @AtanasMnkondya-qq7vh
    @AtanasMnkondya-qq7vh 7 месяцев назад +1

    Simba dude kubwa

  • @user-zn9zl4kh1w
    @user-zn9zl4kh1w 7 месяцев назад

    Simba sijawazoea na jez za blue 💙 naona kama wengine. Wamecheza wote mashetan wekundu❤

  • @PaulMkwama
    @PaulMkwama 3 месяца назад +1

    Mzinga nimwamba kwelikweli anatialaa sana kutafsili mpila mnaopanga twaomba sana uyu mwamba awekwenye gem kama izi apa

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 3 месяца назад +1

    safalii atu kubali

  • @hemedkadili6934
    @hemedkadili6934 3 месяца назад

    Safar hii awa tutakufa naooo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 месяца назад +1

    Simba anampa mechi ngumu mnoo Ahly😅

  • @ericksamwel4814
    @ericksamwel4814 3 месяца назад

    Maoni yangu kwenye mechi ijayo club bingwa huko Cairo Simba wanakuwa kama hawajiamin mipira ya Kona hawaruki kama wameduwaa hvi Hawana making nzr ya 1v1 kwenye ukabaji na kushambulia tunakuwa kama hatujiamin hivyo game ijayo tupige ball kwa speed na kujiamin tusiwe woga

  • @masikimhina158
    @masikimhina158 2 месяца назад

    Hii mechi simba walifanya makosa mengi sn na ahly walishindwa kuyatumia so inabidi kuwa makini sana kwenye mechi yetu ijayo kwa kweli

  • @user-js8vk6ze7v
    @user-js8vk6ze7v 4 месяца назад

    Simbanibora

  • @PhysicalSecuritySystem
    @PhysicalSecuritySystem 3 месяца назад +1

    Simba tujipange

  • @AmosJakson
    @AmosJakson 3 месяца назад

    Jaman tujipange mpaka tutoboe

  • @shanmlawa
    @shanmlawa 7 месяцев назад

    Nyie

  • @JamilaHauzigwa
    @JamilaHauzigwa 2 месяца назад

    Yallab akatuongoze hapo kesho kutwa

  • @CarizaidangoteDangote-et2xo
    @CarizaidangoteDangote-et2xo 7 месяцев назад

    Kwanini

  • @user-qb9zh6vj1w
    @user-qb9zh6vj1w 2 месяца назад

    Simba mabeki tatizo

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw 3 месяца назад

    Tunaishi nao

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 6 месяцев назад +1

    Mechi za Simba dhid ya Hawa ariahal ni big mechi kuliko ya yanga na hii tim

  • @MartinKombe-oc7ie
    @MartinKombe-oc7ie 2 месяца назад

    Simba nguvu moja

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 2 месяца назад

    Hapa makolo msijifanye mlijitahid

    • @monifrank347
      @monifrank347 2 месяца назад

      Nyie mbona mulipasuka😂

  • @user-xh7py6mp8h
    @user-xh7py6mp8h 2 месяца назад +1

    Mbn wepec

  • @omarymwazema5332
    @omarymwazema5332 4 месяца назад

    muone saidoo alivyosimama

  • @hamtvonline7281
    @hamtvonline7281 7 месяцев назад

    Ukiangalia hii game Simba Kam wamekubali wafungwe licha ya kuwa wanauwezo ...Yan hawaonesh asa Kam wanaitka game

  • @fmleli.tz2004
    @fmleli.tz2004 7 месяцев назад

    Off side goli la AFC

    • @groovy5357
      @groovy5357 7 месяцев назад

      na goli lao la kipindi cha kwanza haikuwa offside @3:03

    • @CloudfrankIkumbo-ys8bu
      @CloudfrankIkumbo-ys8bu 7 месяцев назад +1

      @@groovy5357 aisee hii gem wao walikuwa na viwango vya juu

  • @swadahamningo1948
    @swadahamningo1948 3 месяца назад

    Tutakukumbuka baleke

  • @anthonykamugisha9159
    @anthonykamugisha9159 7 месяцев назад +1

    Nikweli Robertinho ni mpuuzi kweli, watu woote anaowatumia pale mbele hakuna mtaalamu kama Philili lkn mpumbavu hajui

    • @nshaijatedy5512
      @nshaijatedy5512 7 месяцев назад

      Nenda ue kocha sasa tuone

    • @hemedkagodah1436
      @hemedkagodah1436 7 месяцев назад

      Sema mpila haupo hvo hata angekaa phir baleke bench ungeongea tu phir ajawa kwenye form aletwe baleke pale

  • @johnsonideuly5710
    @johnsonideuly5710 2 месяца назад

    N; ;. Mb nn; n n n

  • @michaelamon2437
    @michaelamon2437 3 месяца назад +1

    Kibu alizingua sana hii mechi badala atoe pasi kati anakimbilia kufunga na pili sub ya ya chama na kennedy juma ndio walifeli kabisa yaani