Spirit ya second half inabidi iwe priority Kwa wachezaji Kwa Full time pale Cairo,sio rahisi ila kwakuwa ni football tutapata matokeo ya kutuvusha inshaallah
Kapombe kaka yangu nakuomba update muda upumzishe Akili, mwili, na misuri umecheza metch nyingi sana . Lile GOLI LA pili ukishindwa kuruka na kuugusa mpira.. izra Patric apewe nafasi.. bocco apumzike awaache wenzake wapate nafasi
Tatizo la timu yetu.. beki za pembeni HAZINA speed sana ya kufukuzana.. nawashauri musipande wote na kama ukipanda wahi kurudi KWa haraka sanaa.. kapombe anageuzika KIURAHISI na anapokaba asimsindikize adui kurudi NYUMA ya goli KIPA wake.. apumzishwe metch kadhaa..bocco tulia WAACHE WENZAKO WAKINA chilunda nao wacheze
@@HamicKauno255 Acha ushabiki wa kishamba simba kubwa kuliko yanga mtake ndo hvyo mkatae ndo hvyo haya tumezndua uwanja sisi wakubwa wadogo sasa mnaruhusiwa kuja kuiga kaka zenu walivyofanya sawa?
Alisalim hana makosa dakika 25 za kwanza mabeki walkuwa hawana maelewano jamaa walianza mechi kwa kasi sana tubadilike wa Tanzania hakuna timu isiyofungwa wala kipa asofungwa huyu mnaemsema si ndo mlimsifia kule tanga au
Simba timu nzr...lkn inabd wasajili fullbek ambazo ztakuwa mbala wa kapombe na Hussein wapumzimke...kule mbele boko,saido na onana dirisha dogo waachwe umri umeenda hawaisaidii timu kwa onna ni ubshoo mwingi unamsumbua naye aondoke tu 8:108:10
Spirit ya second half inabidi iwe priority Kwa wachezaji Kwa Full time pale Cairo,sio rahisi ila kwakuwa ni football tutapata matokeo ya kutuvusha inshaallah
Bonge la mechi wallah🔥🔥🔥🔥
Mechi ilikua ya kupendeza.. 👏👏👏🙏
it Waz fantastic day and it Waz fantastic event in Africa
❤❤❤❤❤ boss tusajili 2 timu mbna ni nzury ila ni mapnguf madg madg
Kwa mkapa hatoki mtu tunawasubiri simba nguvu moja❤❤❤
Mnazingua sanaaa
We are eagerly waiting for them,,, kwa mkapa hatoki mtu🦁🦁🦁💪💪
Mungu ibariki Simba
Tunaruka nao round hiii
Highlights mnachelewa sana aise halafu ongezeni dk
Roundi hii patawaka moto lazma tumtoe mungu wetu sote
Azam kama mmeshindwa kazi acheni highlights gani za hivi sasa kama mmelazimishwa?
Poor defence for simba Sc😢😢😢
Ukweli Simba Wana defense ya hovyo
Mnyamaaa
Tunashinda yote tumwachie Mungu tukutane trh 29
Mnachelewa sana kuweka clip..
MECHI KUBWA KAMA HII HIGHLIGHTS MNAWEKA DAK 8?
Miamba miwili
Wew unaeisemea vibaya simba et simba mbov haikuhusu na hao azam tuta wakanda habar ndio hyo acha itufie simba dam yetu.
Shida ya mabeki wa simba kwann wanatoka wote mnatoka wote nyuma mnamwachia nani ujinga huo
Wanatoka wote kwasababu kocha aliwafundisha ivo,kosa sio wacheza,kosa ni kocha,anatakiwa abadilishe maelekezo kwenye ukabaji
Kapombe kaka yangu nakuomba update muda upumzishe Akili, mwili, na misuri umecheza metch nyingi sana . Lile GOLI LA pili ukishindwa kuruka na kuugusa mpira.. izra Patric apewe nafasi.. bocco apumzike awaache wenzake wapate nafasi
Helo tunaliona sisi ila kwa kocha hana kabisa mtazamo huo
huw
ajui wachezaji ww
Hata la kwanza goli lilifungwa mpira ulipitia upande wake
Tatizo la timu yetu.. beki za pembeni HAZINA speed sana ya kufukuzana.. nawashauri musipande wote na kama ukipanda wahi kurudi KWa haraka sanaa.. kapombe anageuzika KIURAHISI na anapokaba asimsindikize adui kurudi NYUMA ya goli KIPA wake.. apumzishwe metch kadhaa..bocco tulia WAACHE WENZAKO WAKINA chilunda nao wacheze
Kula maharage lala mpira muachie baba esther
Simba is too strong
This is simba br
By jt
Kipa katuangusha gali la pili
Mechi ya simba
🎉❤
Good
Hawa Al Ahly ni kusifia tu, watakiona mwezi kesho.
Simba anawatoa Al Ahli Kwa uweza wa Allah t
haaa 5:06
What about 2:31 ?
Hii Mech Makolo walikua Na bahat Saana aisee 😆Goli zilikiua Nyingii Sana 😂😅😁
Subirini na nyinyi dawa yenu inakuja
Kwan wao huon kama walikua na bahat we low IQ
Huyu ally Salim hatulii golini wanann lkn
Wayaaaa
Mechi ya Jana azam mnaweka leo duh
Wanakufa nying leo
Mamerodi
tanzania to the world
Imekwishaaa iyooo
❤
Kabla sijamcfu kibu chama nyieee jaman
Tunawakanda 3 kwao tunaenda kulimwaga droo
This is simba
Azam wangese. Bonge la mechi kama hili mnatuletea leo? Halafu dakika chache? Mafala ninyi
Patrick ousems mzee wa uchebe rudi simba
Arudi simba,tuwe tunafungwa 5 bila
Kuna mchezaji WA pembeni anatembea PEKE yake.. sijui Hana MTU WA kumkaba ATATUGHARIMU huyo.. metch ya marudiano MUWE makini
watakion chamtemakuni
kwauwezo wa mungi hatokimtu kwa mkapa
Iwe mvua,iwe jua lazima wakae.
Hii Simba nikubwa mno ila sjui kwann wacheZaji hawajitumi
Garcia Susan Martinez Joseph Miller Dorothy
Yan jamaa wamekosa magoli meng sna
Azam mnatuangusha mbona clip mnachelewa kutuwekea?
highlight zenu hazijawah kuwa HD
Safari hii lazima wakae
Hakika
Z9kk 2.0izo
Anatokaje mtuu kwauwezo huu
sio mbYa wasimbazi
Wanazngua san sahv
Sio pow mich yamoto sana wazee
🎉🎉🎉🎉
Waletw
Yan nyie azam mechi ya kihistoria kama hii mnawek clip ya dakik 8 mbon mnazngua
Yaan kama mechi yenyewe imejaa utumbo ulitaka wajaze utumbo tu au 😡
@@HamicKauno255
Acha ushabiki wa kishamba simba kubwa kuliko yanga mtake ndo hvyo mkatae ndo hvyo haya tumezndua uwanja sisi wakubwa wadogo sasa mnaruhusiwa kuja kuiga kaka zenu walivyofanya sawa?
@@dsgroup6093 mmezindua uwanja kwa sare ya kukoswa koswa kufungwa litimu libovu halijui kujilinda likipoteza mpira kumbe hujui soka ww
Yooo
Miamba miwili ilikutana hapa! Piga nikupige! Utopolo mmeona iyo?😂
Simba wabovu
Simba wabovu
@@NyawaegaBenjamin-oh4pr ila wee kibondeeee
sema mnachelew san kutoa highlight mnakela bhn
afusha
Kwamkapa
Azamu munakela
Alisalim hana makosa dakika 25 za kwanza mabeki walkuwa hawana maelewano jamaa walianza mechi kwa kasi sana tubadilike wa Tanzania hakuna timu isiyofungwa wala kipa asofungwa huyu mnaemsema si ndo mlimsifia kule tanga au
Ivi nyie azam hz ndo highlight za mechi nzm au shv mnaona mkiweka dk nyingi watu watafaidi kenge nyieee 🤪
❤🎉😂
Ndi iv
Ni halal kupumzka
😅
😂😂😂😂😂
Nyasi kama hii kenya iko kweli
😀😀😀
Waitoe wap
Simba timu nzr...lkn inabd wasajili fullbek ambazo ztakuwa mbala wa kapombe na Hussein wapumzimke...kule mbele boko,saido na onana dirisha dogo waachwe umri umeenda hawaisaidii timu kwa onna ni ubshoo mwingi unamsumbua naye aondoke tu 8:10 8:10
Dah ilikuwa mechi nzuri sana
Simba change!
Al Ahly kapoteza bao mingi sana
Nyingi sio mingi you kenyan
@@Thekidp3702 who cares? You Tanzanian
We do 😅😅
Unyama sas😮😢
😅
Azam mnazingua wahamiaji wenu
John Boko na Saido wanaigalimu team sana
Amjasema mtasema
NaikumbukAhii