Simba 2-2 Al Ahly | Highlights | African Football League 20/10/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 112

  • @LaishaKarata
    @LaishaKarata 11 месяцев назад +8

    Spirit ya second half inabidi iwe priority Kwa wachezaji Kwa Full time pale Cairo,sio rahisi ila kwakuwa ni football tutapata matokeo ya kutuvusha inshaallah

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 11 месяцев назад +6

    Bonge la mechi wallah🔥🔥🔥🔥

  • @georgekinyanjui110
    @georgekinyanjui110 11 месяцев назад +2

    Mechi ilikua ya kupendeza.. 👏👏👏🙏

  • @jacksonnyagali751
    @jacksonnyagali751 2 месяца назад +1

    it Waz fantastic day and it Waz fantastic event in Africa

  • @OliverMapapa
    @OliverMapapa 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤ boss tusajili 2 timu mbna ni nzury ila ni mapnguf madg madg

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 6 месяцев назад

    Kwa mkapa hatoki mtu tunawasubiri simba nguvu moja❤❤❤

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 11 месяцев назад +3

    Mnazingua sanaaa

  • @georgenathanael
    @georgenathanael 6 месяцев назад

    We are eagerly waiting for them,,, kwa mkapa hatoki mtu🦁🦁🦁💪💪

  • @LoyceMjinja
    @LoyceMjinja 11 месяцев назад +1

    Mungu ibariki Simba

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw 6 месяцев назад +4

    Tunaruka nao round hiii

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 11 месяцев назад +2

    Highlights mnachelewa sana aise halafu ongezeni dk

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 6 месяцев назад +1

    Roundi hii patawaka moto lazma tumtoe mungu wetu sote

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 11 месяцев назад +6

    Azam kama mmeshindwa kazi acheni highlights gani za hivi sasa kama mmelazimishwa?

  • @radsonowoko1953
    @radsonowoko1953 11 месяцев назад +4

    Poor defence for simba Sc😢😢😢

  • @hemedkadili6934
    @hemedkadili6934 6 месяцев назад +1

    Mnyamaaa

  • @Deus-lf2ks
    @Deus-lf2ks 6 месяцев назад +1

    Tunashinda yote tumwachie Mungu tukutane trh 29

  • @christianmaganga8413
    @christianmaganga8413 11 месяцев назад +1

    Mnachelewa sana kuweka clip..

  • @zundahbartazal4861
    @zundahbartazal4861 11 месяцев назад +3

    MECHI KUBWA KAMA HII HIGHLIGHTS MNAWEKA DAK 8?

  • @kelvinpeter5666
    @kelvinpeter5666 11 месяцев назад +3

    Miamba miwili

  • @DianaAbdalah-d8z
    @DianaAbdalah-d8z 4 месяца назад +1

    Wew unaeisemea vibaya simba et simba mbov haikuhusu na hao azam tuta wakanda habar ndio hyo acha itufie simba dam yetu.

  • @hamzanurdini6789
    @hamzanurdini6789 11 месяцев назад +3

    Shida ya mabeki wa simba kwann wanatoka wote mnatoka wote nyuma mnamwachia nani ujinga huo

    • @DBIRobotics
      @DBIRobotics 11 месяцев назад

      Wanatoka wote kwasababu kocha aliwafundisha ivo,kosa sio wacheza,kosa ni kocha,anatakiwa abadilishe maelekezo kwenye ukabaji

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад +31

    Kapombe kaka yangu nakuomba update muda upumzishe Akili, mwili, na misuri umecheza metch nyingi sana . Lile GOLI LA pili ukishindwa kuruka na kuugusa mpira.. izra Patric apewe nafasi.. bocco apumzike awaache wenzake wapate nafasi

    • @mrben227
      @mrben227 11 месяцев назад +3

      Helo tunaliona sisi ila kwa kocha hana kabisa mtazamo huo

    • @khamisking-bk4ri
      @khamisking-bk4ri 11 месяцев назад +1

      huw
      ajui wachezaji ww

    • @officialYvaH3232
      @officialYvaH3232 11 месяцев назад +1

      Hata la kwanza goli lilifungwa mpira ulipitia upande wake

    • @abdallahmdiliko8088
      @abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад

      Tatizo la timu yetu.. beki za pembeni HAZINA speed sana ya kufukuzana.. nawashauri musipande wote na kama ukipanda wahi kurudi KWa haraka sanaa.. kapombe anageuzika KIURAHISI na anapokaba asimsindikize adui kurudi NYUMA ya goli KIPA wake.. apumzishwe metch kadhaa..bocco tulia WAACHE WENZAKO WAKINA chilunda nao wacheze

    • @eliachogo5167
      @eliachogo5167 11 месяцев назад

      Kula maharage lala mpira muachie baba esther

  • @BhekumuziZondi-cv8ig
    @BhekumuziZondi-cv8ig 6 месяцев назад

    Simba is too strong

  • @MimiWewe-ib8wy
    @MimiWewe-ib8wy 6 месяцев назад

    This is simba br
    By jt

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 11 месяцев назад +3

    Kipa katuangusha gali la pili

  • @NdaroMfaume
    @NdaroMfaume Месяц назад

    Mechi ya simba

  • @JumaMisalaba
    @JumaMisalaba 6 месяцев назад

    Good

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba1113 11 месяцев назад +1

    Hawa Al Ahly ni kusifia tu, watakiona mwezi kesho.

  • @DaudJuma-k7n
    @DaudJuma-k7n 6 месяцев назад +2

    Simba anawatoa Al Ahli Kwa uweza wa Allah t

  • @MeyjrOfficial
    @MeyjrOfficial 2 месяца назад +2

    haaa 5:06

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 11 месяцев назад +1

    Hii Mech Makolo walikua Na bahat Saana aisee 😆Goli zilikiua Nyingii Sana 😂😅😁

  • @officialYvaH3232
    @officialYvaH3232 11 месяцев назад +1

    Huyu ally Salim hatulii golini wanann lkn

  • @TifuLatinho-ff1ec
    @TifuLatinho-ff1ec 4 месяца назад

    Wayaaaa

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 11 месяцев назад +1

    Mechi ya Jana azam mnaweka leo duh

  • @MbwanaMkumba
    @MbwanaMkumba 6 месяцев назад +1

    Wanakufa nying leo

  • @AlifaMzakiru
    @AlifaMzakiru 10 месяцев назад +2

    Mamerodi

  • @fareedtz7864
    @fareedtz7864 7 месяцев назад

    tanzania to the world

  • @AbdulAlmas-n7m
    @AbdulAlmas-n7m 11 месяцев назад

    Imekwishaaa iyooo

  • @Alam-rd5ri
    @Alam-rd5ri 6 месяцев назад

  • @shanmlawa
    @shanmlawa 11 месяцев назад +1

    Kabla sijamcfu kibu chama nyieee jaman

  • @MlumbaIssa
    @MlumbaIssa 6 месяцев назад

    Tunawakanda 3 kwao tunaenda kulimwaga droo

  • @EfraimTryphone
    @EfraimTryphone 15 дней назад

    This is simba

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 11 месяцев назад

    Azam wangese. Bonge la mechi kama hili mnatuletea leo? Halafu dakika chache? Mafala ninyi

  • @ramadhanabdallah5526
    @ramadhanabdallah5526 11 месяцев назад

    Patrick ousems mzee wa uchebe rudi simba

    • @DBIRobotics
      @DBIRobotics 11 месяцев назад

      Arudi simba,tuwe tunafungwa 5 bila

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад +3

    Kuna mchezaji WA pembeni anatembea PEKE yake.. sijui Hana MTU WA kumkaba ATATUGHARIMU huyo.. metch ya marudiano MUWE makini

  • @SamwelKusekwa
    @SamwelKusekwa 13 дней назад

    watakion chamtemakuni

  • @khamishamada3104
    @khamishamada3104 6 месяцев назад

    kwauwezo wa mungi hatokimtu kwa mkapa

  • @thebetimojahalisi9317
    @thebetimojahalisi9317 6 месяцев назад

    Iwe mvua,iwe jua lazima wakae.

  • @OmaryKiduka
    @OmaryKiduka 7 месяцев назад

    Hii Simba nikubwa mno ila sjui kwann wacheZaji hawajitumi

  • @FelixShingleton-l4k
    @FelixShingleton-l4k 10 дней назад

    Garcia Susan Martinez Joseph Miller Dorothy

  • @saidbrother4900
    @saidbrother4900 6 месяцев назад

    Yan jamaa wamekosa magoli meng sna

  • @ramadhanimbade8022
    @ramadhanimbade8022 11 месяцев назад

    Azam mnatuangusha mbona clip mnachelewa kutuwekea?

  • @upendokasagala4035
    @upendokasagala4035 6 месяцев назад

    Safari hii lazima wakae

  • @KiliopaCristofa
    @KiliopaCristofa 6 месяцев назад

    Anatokaje mtuu kwauwezo huu

  • @PeterOletibili
    @PeterOletibili 11 месяцев назад +1

    sio mbYa wasimbazi

  • @CecyPeter
    @CecyPeter 6 месяцев назад

    Wanazngua san sahv

  • @twahiryabdallah
    @twahiryabdallah 6 месяцев назад

    Sio pow mich yamoto sana wazee

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 11 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @mikemnyamwezi7856
    @mikemnyamwezi7856 6 месяцев назад

    Waletw

  • @dsgroup6093
    @dsgroup6093 11 месяцев назад +1

    Yan nyie azam mechi ya kihistoria kama hii mnawek clip ya dakik 8 mbon mnazngua

    • @HamicKauno255
      @HamicKauno255 11 месяцев назад

      Yaan kama mechi yenyewe imejaa utumbo ulitaka wajaze utumbo tu au 😡

    • @dsgroup6093
      @dsgroup6093 11 месяцев назад

      @@HamicKauno255
      Acha ushabiki wa kishamba simba kubwa kuliko yanga mtake ndo hvyo mkatae ndo hvyo haya tumezndua uwanja sisi wakubwa wadogo sasa mnaruhusiwa kuja kuiga kaka zenu walivyofanya sawa?

    • @HamicKauno255
      @HamicKauno255 11 месяцев назад

      @@dsgroup6093 mmezindua uwanja kwa sare ya kukoswa koswa kufungwa litimu libovu halijui kujilinda likipoteza mpira kumbe hujui soka ww

  • @TifuLatinho-ff1ec
    @TifuLatinho-ff1ec 4 месяца назад

    Yooo

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 11 месяцев назад +1

    Miamba miwili ilikutana hapa! Piga nikupige! Utopolo mmeona iyo?😂

  • @othumaryemanuel296
    @othumaryemanuel296 11 месяцев назад +1

    sema mnachelew san kutoa highlight mnakela bhn

  • @MUSSA-r8j
    @MUSSA-r8j 13 дней назад

    afusha

  • @Malack-p7j
    @Malack-p7j 6 месяцев назад

    Kwamkapa

  • @erastomathias911
    @erastomathias911 11 месяцев назад +1

    Azamu munakela

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo 11 месяцев назад

    Alisalim hana makosa dakika 25 za kwanza mabeki walkuwa hawana maelewano jamaa walianza mechi kwa kasi sana tubadilike wa Tanzania hakuna timu isiyofungwa wala kipa asofungwa huyu mnaemsema si ndo mlimsifia kule tanga au

  • @emmanuelmashauri1430
    @emmanuelmashauri1430 11 месяцев назад +1

    Ivi nyie azam hz ndo highlight za mechi nzm au shv mnaona mkiweka dk nyingi watu watafaidi kenge nyieee 🤪

  • @bulaitoniadisoni-g7i
    @bulaitoniadisoni-g7i 2 месяца назад

    ❤🎉😂

  • @WANUVUAI
    @WANUVUAI 7 месяцев назад

    Ndi iv

  • @TumsifuSylas
    @TumsifuSylas 9 месяцев назад

    Ni halal kupumzka

  • @MeyjrOfficial
    @MeyjrOfficial 2 месяца назад

    😅

  • @saidallympate3477
    @saidallympate3477 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @cfcforlife9118
    @cfcforlife9118 11 месяцев назад +3

    Nyasi kama hii kenya iko kweli

  • @peteromary8764
    @peteromary8764 11 месяцев назад +1

    Simba timu nzr...lkn inabd wasajili fullbek ambazo ztakuwa mbala wa kapombe na Hussein wapumzimke...kule mbele boko,saido na onana dirisha dogo waachwe umri umeenda hawaisaidii timu kwa onna ni ubshoo mwingi unamsumbua naye aondoke tu 8:10 8:10

  • @SukeJohn-gl9pu
    @SukeJohn-gl9pu 6 месяцев назад

    Dah ilikuwa mechi nzuri sana

  • @dennardleonard1228
    @dennardleonard1228 11 месяцев назад +4

    Simba change!

  • @killion9406
    @killion9406 11 месяцев назад +1

    Al Ahly kapoteza bao mingi sana

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 7 месяцев назад

      Nyingi sio mingi you kenyan

    • @killion9406
      @killion9406 7 месяцев назад

      @@Thekidp3702 who cares? You Tanzanian

    • @adrianmanja7540
      @adrianmanja7540 6 месяцев назад

      We do 😅😅

  • @JeremiaFransi
    @JeremiaFransi 4 месяца назад

    Unyama sas😮😢
    😅

  • @JesusForlife-ok3wf
    @JesusForlife-ok3wf 11 месяцев назад

    Azam mnazingua wahamiaji wenu

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 11 месяцев назад

    John Boko na Saido wanaigalimu team sana

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 11 месяцев назад

    Amjasema mtasema

  • @amirihabibu8892
    @amirihabibu8892 6 месяцев назад

    NaikumbukAhii