NERIA: SIMULIZI FUPI, part 03 ( MWISHO )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Binti Neria Anatengwa Na Familia Yake Sababu Ya Muonekano Wake, Anapitia Changamoto Nyingi Katika Maisha Yake, Karibu Kusikiliza Simulizi Hii Ya Kusisimua

Комментарии • 356

  • @user-od9ud8il3n
    @user-od9ud8il3n 6 месяцев назад +6

    Pole sana Neria hayo nimapito tu...Mungu ndo muweza wa yote ...Asante anko Jay kwa simulinzi nzuri jmni .

  • @maryoommaryoom
    @maryoommaryoom Год назад +38

    Tulio kuwa tuna subiria RUclips tujuwane hapa ❤❤❤

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Год назад +9

    Pole neria mungu akupe aman n upend kweny ndoa yako❤

  • @user-sk4sm7si5w
    @user-sk4sm7si5w 8 месяцев назад +5

    Pole sana dada neria mungu akusaidie xana

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +17

    Whos laugh last laughs the best na mwisho wa dhambi ni mauti.and finally YOU CAN FIGHT DESTINY BUT YOU CAN NOT CHANGE DECTINY..thank ANKOJAY kwasimulizi iliyo na mafunzo...lakini angetwambia hilo kijani tujaribu...tumbunguze uchawi jamani😅😅😅😅i love❤❤❤❤❤ this....natamani siku moja niote ndoto za kweli kama huyu binti.Alafu hizi likes zinaobwa na mtu wa kwanza ku comment zina faida gani nami nianze kuziitisha

  • @JulianaMwatela
    @JulianaMwatela 17 дней назад +2

    Niwangapi tuko part 3 mafunzo Mazuri sana neria wewe ni mwanamke jasiri sana 😢😢😢😢😢😢😢

  • @kevenkeven7381
    @kevenkeven7381 Год назад +7

    Kweli nata like zangu kutoka kwa anko jay from🇧🇮🇧🇮🥰🥰🥰

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +8

    Pole sana Neria n mapito Mungu atakulipia yote ayo n mma ko 2

  • @agnesssimba6929
    @agnesssimba6929 Год назад +9

    Ahsante sana kwa simulizi nzuri ,inafundisha sana jamani kama Kuna wenye roho mbaya kama mama Neema huku na wamesikiliza hii simulizi nafiri ataacha mara moja

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад +9

    Asante Anko J na Lissa kwa simulizi nzuri yenye mafunzo pole dada Neria umepitia machungu makubwa.

  • @julianakiwelu3922
    @julianakiwelu3922 Год назад +2

    Pole san neria kwa papito ulio pitia pamoja na mumeo kwa paito ila mungu ni mwaminifu aliwakomboa katika jaribu nimejifunza mengi kupitia hiii story kila jaribu linapoingia linapa kutokea poleni sana mungu awalinde

  • @oumamoses-hs9ej
    @oumamoses-hs9ej Год назад +5

    Asante sana anko jay Kwa simulizi mzuri sana na yenye mafunzo mazuri

  • @agnesagnesi3639
    @agnesagnesi3639 Год назад +7

    Asante anko jay tulikuwa tunaisubilia kwa hamu sana

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Год назад +25

    Asante Anko Jay kwa simulizi nzuri tu sana na inafuza tu sana na mwenye kusimuliya kabarikiwa na sauti nzuri tu sana 😀 Thank you Anko Jay ❤

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 Год назад +6

    Hatimae tumekumbukwa leooo💃💃💃❤️❤️❤️♥️♥️

  • @mwanamksisoppah9325
    @mwanamksisoppah9325 10 месяцев назад +4

    Mafunzo mazuri ❤❤ Neria ulikuwa na subra ❤

  • @maryrungwe
    @maryrungwe Год назад +6

    Mungu akubaliki sana anko jey tumeisubili sana

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +7

    Yan ni 🔥 asante Lissa Mwalla mumbalkiwe sana tena sana na Anko Jay ❣️
    🪑🎧🤭😂🤣

  • @floridajulius7771
    @floridajulius7771 Год назад +7

    Too interesting and touching story I learned alot

  • @biashahassan4421
    @biashahassan4421 Год назад +7

    Leo nimekua wa kwanza asante Anko Jey nimefurahi sana

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      😂 kwa sababu huku mnaona mlioo lipia Tu

    • @deogratuskakuru
      @deogratuskakuru Год назад +1

      Hii simulizi imenitoa Hadi machozi maisha ya duniani ni safari ndefu Sana tunapitia mengi jaman🙏

    • @user-hh1di8ox8y
      @user-hh1di8ox8y 2 месяца назад

      ❤❤❤

  • @erickmary9878
    @erickmary9878 Год назад +4

    Wow wow wow ngoja nikae kwakutulia 💃💃💃💃💃 Asantee akojay kwakutujari🫂

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +4

    Mungu azdi kuwapa furaha nyote mlioko kwa.ii kaz In Sha Allh

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +6

    Ongera dda Neria kwa yote uliyopitia Mungu azdi kukupa furaha katika ndoa yko In Sha Allh

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Год назад +4

    Hatimaye Leo Ankojay katuletea mwish wa neria tuliisubir Kwa hamu sanh❤❤❤❤

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +8

    Piga keleleeeee, asantee anko

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Месяц назад

    Asante sana dada Lisa mwala pia ankoJay tunakushukuru sana Kwa kutusimulia story nzuri yenye mafunzo ndani yake hakika tunapata kujifunza mengi ❤❤❤ We love you so much ankoJay

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 Год назад +4

    Asante Ankojay kwa muendelezo w Bitu Neria

  • @user-ly9ed6we1r
    @user-ly9ed6we1r Год назад +4

    Daaah uncle hapa umenipatia funzo katika maisha yangu be blessed ❤

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +7

    Nilikuwa nasubilii hapa ankojay simulizi tamuu na tunainjoi 🥰🥰🥰

  • @maryammussa9735
    @maryammussa9735 10 месяцев назад +4

    🎉🎉🎉mauwa yako ankojay

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +3

    Asante anko jay Kwa simulizi tamu mungu akubariki sana shukran

  • @peninahmmbone4648
    @peninahmmbone4648 Год назад +5

    Asante sana Anko J kwa sehemu hii ya mwisho from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with Love❤❤❤

  • @janethsambu1723
    @janethsambu1723 Год назад +6

    Miaka buku anko jay😍😍😍

  • @salmasulleykrl71
    @salmasulleykrl71 Год назад +5

    Nimewahi jamn acha nisikilize kwanza ❤❤❤❤❤

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Год назад +5

    Asante Anko jay kwa mwenderezo

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 6 месяцев назад +1

    Hongera kwa kaz nzur msimuliaji na mwandishi

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +6

    Jamani,kosa ufanyiwe na kusingiziwa kuwa umefanya wewe kaa,kazi za shetani ni kizunguzungu tu

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 6 месяцев назад

      Jaman yanaumiza sana

    • @DorcasMuomba-gd3sw
      @DorcasMuomba-gd3sw 4 месяца назад +1

      Yanaumiza sana ila mwisho waubaya ni aibu 🎉🎉🎉
      Mateso ya mwenye haki nimengi ila Mungu humuponya nahayo yote

    • @VictoriaFuka-iz6fi
      @VictoriaFuka-iz6fi 2 месяца назад

      😂😂😂😂 kayombo kanichekesha Bora atulie na mwanamke mmoja aisee

  • @user-rs1pf1zi9d
    @user-rs1pf1zi9d 4 месяца назад +2

    Mungu anakupa tatizo anakupa na akili ya kutatua. Playston amelogwa na kupitia changamoto kwa sababu tu ya mapenzi yake kwa neila.
    Na neila kapitia changamoto na kumuokoa playston kwa sababu anampenda...........
    Pongezi pia baba neila
    Pongezi kwa mama mkwe❤.
    Ila nimesikitika sijasikia kilichompata yule aliyemtoa bikla neila kule shule... Nilitaman amuone neila akiwa na mwanamme kuliko yeye. Na angeenda kuomba kazi kwa neila hahaha...anko jay mungu akabaliki kazi yako.... Pamoja na sauti taaaaaaam. Inayomfanya mtu asichoke kuiskiliza... Together😢😂❤

    • @user-rs1pf1zi9d
      @user-rs1pf1zi9d 4 месяца назад

      Kaka ake neira.. Kaka mwenye upendo bila kumsahau naima shoda ake wa kwanza neira ❤. Joeri rafiki wa kiume mwenye hekma❤.
      But bila kumsahau mama jemsi❤.
      .... Wenye roho kama ya neira❤. Mungu awabariki...
      Mimi ninayo ila sijamfikia neira😂😂😂😂. Nimeipenda sana hiii simulizi. Imenifanya niliye nicheke nitabasam niudhunike na kufulaiiiii❤

  • @janemrema4019
    @janemrema4019 11 месяцев назад +1

    Jmn hii simulizi la huyu dada dah nimeli nimecheka nimeuzunika dah mungu anatoa watu mbili jmn nyiee ❤

  • @ElizabethNdaga
    @ElizabethNdaga 8 месяцев назад +3

    Daaaaaah adi nimetowa machozi pole sana neria 😢😢

  • @fatmahmkuzi
    @fatmahmkuzi 9 месяцев назад +3

    Kweli maisha yanataka uvumilivu na utengemee mungu sana mana wakulao sio wa mbali ni wakaribu tu mana ndo wanakujuwa vizuri 😢😢😢 nimelia sana ila do yandunia😭😭😭

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Год назад +8

    Thank so much Anko J I appreciate you Man. Ukiwa na disguise and dysfunctional family kama hii unahitaji rehema za mola tu kuishi nao. Vinginevyo utamwaga damu ya Mtu.

  • @EditaJoseph-zo9dv
    @EditaJoseph-zo9dv Год назад +4

    I'm happy now ankojay umekata kiu ya wengi ❤❤❤

  • @mariamathman3572
    @mariamathman3572 Год назад +6

    That why i love you😊 Asante sanaaa Anko J hatuangushani ipo siku utafika mbali kwa wema wako iko love kwako😊🥰 free kiss for you😘😘😘😘

  • @chrispinurio1020
    @chrispinurio1020 Год назад +3

    Leo wa 10

  • @halmejo5907
    @halmejo5907 Год назад +3

    Venye nilikua naisubiria kwa hamu❤asante anko j mungu akubariki pia🥰

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +3

    Asante sanaaaaa Anko J kwa kutufuraiaha na kutupa part 3

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +2

    Ahsante anko Jay Mungu akubariki

  • @deborahgodda7052
    @deborahgodda7052 Год назад +4

    Asante sana dada Lisa kwa simulizi hii nzuri yenye mafunzo makubwa na Ankojay kwa sauti yako nzuri na ya kuvutia.

  • @judyauko8134
    @judyauko8134 Год назад +7

    Anko J...mimi huwa sijali kuwa wa kwanza au wa mwisho. Langu kubwa ni simulizi zako za kusisimua na kuelimisha. Nawashukuru sana pamoja na mwandishi wa simulizi hii. Lots of respect from Mombasa, Kenya ❤❤

  • @FATUMARASHID-q9p
    @FATUMARASHID-q9p 15 дней назад

    Pole. Sana huyo. Ni mama. Malaya😅 neria pole huyo ni mchawi. .malaya mshike mumeo maombi🎉❤❤

  • @user-wv7st1fc7p
    @user-wv7st1fc7p Год назад +2

    Asante sana jamani kazi njema ankojay. Nelia Mungu akupe maisha marefu kwa moyo wako

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 Год назад +3

    Ankojay shukran sana mungu akubariki We love you ❤❤❤

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 Год назад +6

    Asante sana Ankojay, naendelea kusuppport kazi yako... Endelea kuleta simulizi tamu 🥰🥰🥰

  • @aishaaisha5466
    @aishaaisha5466 Год назад +4

    Asante anko jey

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +4

    Finally anko Jay ,simulizi yenye mafunzo mengi, kweli malipo ya ubaya,,,

  • @user-qt1xx3tn3c
    @user-qt1xx3tn3c Год назад +5

    Iseee niliisuburia San kwa hamu hii part 3bado tuu kidogo niinunue

  • @mwambambokani9082
    @mwambambokani9082 10 месяцев назад +2

    Nakupend sana NERIA ❤❤❤

  • @TinahAdhiambo
    @TinahAdhiambo Год назад +3

    Asante Anko Jay much love from 🇰🇪

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад +4

    Asante sana Anko Jay Mungu akubariki ❤ from Kenya 🇰🇪

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 Год назад +2

    ❤❤sante ankjay 😊😊

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 6 месяцев назад +1

    Nawatakia maisha marefu na amani tele kwa wamama mkwe kama mam mkwe wa Neria

  • @husnamwinyi8295
    @husnamwinyi8295 3 месяца назад

    😢😢Wooo hongera sna Neria ana roho ya utu n uvumlvu snaa shukuran kwa anko Jay

  • @leylahashhash3481
    @leylahashhash3481 9 месяцев назад +1

    LISSA MWALLA....utunzi wako ni wa moto sana ubarikiwe mana mpk tamthilia kwenye tv tumeziweka kando

  • @hawasaid2670
    @hawasaid2670 Год назад +5

    Pole sana my love 😢😢😢

  • @josephineuwizeye8250
    @josephineuwizeye8250 10 месяцев назад +3

    Félicitation à toi Neria être patiente!!!!

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +1

    Nawapenda sanaa japo c wajui wala c waon💓💓💓

  • @user-ku3ud4qb7c
    @user-ku3ud4qb7c Год назад +2

    Adi nlkua naiotaa aki
    Asante anko jay

  • @catheafricanbabe8408
    @catheafricanbabe8408 Год назад +3

    Wow asante sana anko ❤❤❤❤

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Год назад +3

    Imenifunza mengi Asante sana anko wahenga walisema usimcheke kilema kbla hakijakufika unaona sasa dada neria ulichekwa sana kwa kovu la kufanyiwa na dadako mwisho wa yote makovu yakawarudia 😂😂acheni Mungu aitwe Mungu jmn Mungu aendelee kuibariki ndoa yako dada

  • @jacintahsulubu5602
    @jacintahsulubu5602 Год назад +4

    Finally😊😊😊

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Год назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉nakupenda pia ankoj mapesa asante xn ❤❤❤❤

  • @ColethaMwenda-qd1ck
    @ColethaMwenda-qd1ck Год назад +50

    Nimekuwa wakwanza naomba like zenu jamn

  • @olyoly9992
    @olyoly9992 Год назад +2

    Waah asante sana kaka Jay be blessed haki

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 6 месяцев назад +1

    Ghaaaaa,,,ghaaaaaaa,,,,familia ngumu sana ,mam neema na mdogo wake Neria ghaaaaaaa,niseme tena ghaaaaaa

  • @nuruluther9879
    @nuruluther9879 Год назад +4

    Such a great story 👏❤

  • @DokasiaRugenze-kq9jj
    @DokasiaRugenze-kq9jj Год назад +1

    Pole sana neria Kwa mapito unayopitia dasa!! inasikitisha sana Kwa mapito hayo pole sana friend neria😢😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @brigdk
    @brigdk Год назад +2

    Asante sana anko mungu akubariki

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +3

    Anko kweli tumeingoja sana ❤

  • @SandsPhonerepair-rd8yy
    @SandsPhonerepair-rd8yy 7 месяцев назад

    Bidada nelia poleni sana kwa maisha ulioyapitia yamenikumbusha mengimwenzio kwa ninayopitia Nina Imani nami yataisha ilimuladi nimuamini mwenyezi mungu

  • @julianakiwelu3922
    @julianakiwelu3922 Год назад +1

    Asnt sana anko jey kwa afundisho

  • @user-yv9sz1jn5n
    @user-yv9sz1jn5n 9 месяцев назад

    Kazi nzuri anko asante sana Na pole sana dada Neria kwa mapito

  • @AdmiringGrazingCows-im1kh
    @AdmiringGrazingCows-im1kh 2 месяца назад

    ❤❤❤❤hongera sana anko key ❤❤

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +5

    Neria ulitakiwa huko mahakamani usiende peke yako

  • @elizabethbarasa5832
    @elizabethbarasa5832 Год назад +11

    Salute you Anko J, thanks 👍👍👍 for part 3.Blessings

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 Год назад +3

    Finallly😊😊😊

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 11 месяцев назад +1

    Nimejifuza kitu daaah ila nimeliaaa San 😭😭😭😭😭 Asante San anko j na sauti yako zuri kuliko ❤❤❤

  • @deborahgodda7052
    @deborahgodda7052 Год назад +2

    Asante sana tumejifunza sana

  • @user-kw4wn7rj1h
    @user-kw4wn7rj1h Год назад

    Pole sana neria hakika mungu ni mwema mungu ndio kila kitu kwetu sa na mamb ya ushirikina hayana nguvu mbele ya mungu

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Год назад +4

    Wow Anko Jey thanks for giving us a story from beautiful angel NERIA much love ❤

  • @kurusumunassoro1657
    @kurusumunassoro1657 Год назад +2

    Woohoo japo nimechelewa lakini sisana

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 Год назад

    Asante sana ankojey simulizi zinakuga nzuri sana zinaelemisha bay the way ankojey 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤

  • @AmaniHerman
    @AmaniHerman 5 месяцев назад

    Mapenzi shkamoo

  • @user-yv2cg9rd4s
    @user-yv2cg9rd4s Год назад +3

    Daah hakika wanadamu hawatabiriki hata kama mama mtu anamtenga mwanae juu alimzaa namtu ambae hakumpenda ila alimpendea maisha yake nakumfanya kuwa kama kitega uchumi ama chuma ulete nihatari sana ila haya ndio maisha yawengi wasio penda mema wala kujiheshimu ila kitu kimoja ninacho kijuwa niyakuwa mwisho wa ubaya ni aibu

  • @saniashaban
    @saniashaban 9 месяцев назад

    Nimeipenda iyo simulizi nakila amutegemeyaye mungu n'a mungu umusaidiya

  • @user-xr2lb6vb6i
    @user-xr2lb6vb6i 4 месяца назад +1

    tunakupenda sana boss wetu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Год назад +2

    Asanteee saaana anko j

  • @annakinyi218
    @annakinyi218 Год назад +3

    Okay dear love story

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад

    Thenxs alot Mr Jay be blessed 🙏🙏🥳🥳,,,japo ni uchungu bt siku zote kila chenye mwanzo kina mwisho na siku zote tunapaswa kuwa watu wa kusamehe

  • @MayasaMayasa-ns5qy
    @MayasaMayasa-ns5qy 3 месяца назад

    Duh hyo neria Kwa kugara gara hna baya