DADA WA BANK - SIMULIZI MPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 226

  • @IsaberaEster
    @IsaberaEster 7 месяцев назад +7

    Eti me nachelewaga wapi jamani mliowah❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SHOSETemu
    @SHOSETemu Год назад +11

    Hatimae na mm nimewahi kidogo jmn naombeni like zangu

  • @merrymazuri2713
    @merrymazuri2713 Год назад +12

    Naomb like moja tu 😂😂

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +5

    Bint kaolewa na million 20 duuuuuuuuuuh alman umeoa mke na kazi million 20 aiseeh wanaume tafuteni pesa fain milion 8 hatari na nusu

  • @puritylobun5313
    @puritylobun5313 Год назад +5

    Yaani Mimi nimekuwa addicted na simulizi... ankojay utaniua mwenziyo

  • @Saada-y6v
    @Saada-y6v Год назад +7

    Me pia Leo nimewai🎉

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +18

    Natumai waendelea vyema anko atlist sauti yaleo inakanafuuu wapendwaaaa❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇮

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 Год назад +15

    Wakwanza mim leo 🎉🎉❤❤❤❤ Asante anko jay naomba like yako hapa anko wetu😊😊😊🎉🎉

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 Год назад +10

    Nieni like zangu jameni Leo nimewahi

  • @salmasasha
    @salmasasha Год назад +14

    Jamani like zangu leo wa pili kuingia mjengoni,,,,asante anko mapesa kwa utamu❤❤❤❤🎉

  • @laweluagustino6703
    @laweluagustino6703 Год назад +5

    Anko j unajua kunnikosha 💋💋💋😍😍

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +7

    Waoooooooooooh nimekuwa watatu kidogo nimewahi 😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @mercymathias
    @mercymathias Год назад +5

    Nakupenda san anko jay like zenu jaman

  • @THEDONSIMULIZI
    @THEDONSIMULIZI Год назад +3

    Al man noma aise dah ni jasir mnoooo

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Год назад +7

    Sijachelewa ahsante anko Jay simulizi na polesana kwakuumwa❤❤❤

  • @zahraseif3330
    @zahraseif3330 Год назад +5

    Hatupoi jmn kila kukicha kitu kpy hmn kujistress asnt Anko j😊

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 месяцев назад +3

    Hii simuliz ilitoka miez 6 iliyopita nami ndio ninaisikiliza sasa na mie wa kwanza kabisaaa

  • @Charleschege-x8g
    @Charleschege-x8g Год назад +8

    Mr ankojay you are the best story teller ever ninapenda simulizi zako na huwa nakufuatilia sanaaa,mungu akujaalie miaka mingi ili nasi tufaidi simulizi zako.....

  • @victoriangasa
    @victoriangasa Год назад +3

    Ahsanteee Anko J kwa simulizi ❤❤❤ ya DADA WA BANK kafanyj..

  • @LizaLiza-v2m
    @LizaLiza-v2m Год назад +7

    ❤❤❤❤😂wa 52 leo

  • @happynesskatunzi9491
    @happynesskatunzi9491 Год назад +4

    no.1 today

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c Год назад +1

    ingawa mm niwameisho lakini Niko ngangari 😍😍😍 wacha2 dadahuyo m

  • @WinniePretty-t1v
    @WinniePretty-t1v Месяц назад

    Tatizo la moyo lazima wapatikize vyuma vya kusukuma moyo, Mungu atusaidie 🙏

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty Год назад +8

    Kitu kumoyo hasa hii

  • @babashangazi7646
    @babashangazi7646 Год назад +5

    Samahani Anko j🙄🙆. Hauna group la WhatsApp. Napendezwa na kazi zako Anko J

  • @aliionlinetv8397
    @aliionlinetv8397 Год назад +1

    ❤❤❤. Asante anko jay KWA simulizi nzuri

  • @Abuuhdizzo
    @Abuuhdizzo Год назад +2

    Asante sana kwa simuliz nzur. Ubarikiw

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Год назад +3

    Uncle Jay much love

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +2

    Haya Ankojay ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 asante sana kwa simulizi mpya

  • @JabuAli
    @JabuAli Год назад +6

    Mungu akubariki anko jay maana wengine kwa siku bila kusikiza story zako hatuwi sawa cz twajifunza na twaburudika😊

  • @JoyceSama-bo7jv
    @JoyceSama-bo7jv Год назад +3

    Wa kwanza leo

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn Год назад +2

    Uncle mungu akubariki nilikua naboeka mwwenzenu saii nagua ugonjwaa wasimulizi bila hio kambae nafiwaaaa

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Год назад +2

    Yani Hawa wadada wanifurhisha mioyo Yao kama mm Salma kwani wanaupendo wa dhati kwa mume wao nimependa mnooooooo simulizi hongera sa mtuzi na family yetu wanawske tujifuze kitu kwenye hii simulizi hongera Sana ❤❤❤❤

  • @saumukambi8562
    @saumukambi8562 Год назад +2

    Waaa. 59 sijachelewaaaaa anko. J
    Vp hali yakoooo❤

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 Год назад +8

    Hawa wadada ankjay huwa unawatoa wapi❤❤ ni warembo mno 😊😊boys tafuteni pesa😂

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +2

      😂😂😂😂😂 nimecheka aiseee

    • @dhuhasaid636
      @dhuhasaid636 Год назад

      @@ankojay_ usichek sanaa turudishie grp anko

    • @donaldchacha
      @donaldchacha Год назад

      Ukiona manyoya ujue ...

    • @rizmwMwriz-mf2cu
      @rizmwMwriz-mf2cu Год назад

      😂😂😂😂ata mm mwenzio uwa bashindwa kuelewa,,,kiukwel hawa warembo ni photo tuuu,,,,ama ni wasichana kiukwel ndo uekwa apa kwa smlz

    • @rizmwMwriz-mf2cu
      @rizmwMwriz-mf2cu Год назад

      @@ankojay_ ebu tufafanulie kka etu juu ya hawa warembo

  • @zawadtwahirusuleyman1392
    @zawadtwahirusuleyman1392 Год назад +10

    Wakwanza kwa dada wa bank maua tafadhal

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 Год назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu Год назад +2

    Asante Anko J ubarikiwe kwa smlz tamu

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc Год назад +1

    shukrani anko ila zaidi sifa kwa MUNGU kwa kukuponya

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +3

    Waaaaah kwan mm wa 126 😊

  • @jokhajj
    @jokhajj Год назад +2

    Mambo si ndo haya sasa anko jay mapesa huwa abatishi acha tupurudike😂😂❤❤❤

  • @ShukuraniMapunda-lz3un
    @ShukuraniMapunda-lz3un Год назад +1

    Jamani story ya cinderella daa, kiboko maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LucyEmanuel-t6h
    @LucyEmanuel-t6h Месяц назад

    Nimekubali simuliz Nzur san

  • @tabiasalum3381
    @tabiasalum3381 Год назад +3

    nimewai mauwa yako❤❤❤❤

  • @GraceDavid-nq4zc
    @GraceDavid-nq4zc 8 месяцев назад

    Tangazo tangazo wanaonitafuta niko huku kwa anko jay nasikliza simuliz tamu sana

  • @BethJj-p9c
    @BethJj-p9c Год назад

    Ankojay.mmmsimulizizakozanifunza.sana.siwezichelewakuzisikilizaGod.bless you.somuch

  • @AdmiringGrazingCows-im1kh
    @AdmiringGrazingCows-im1kh 2 месяца назад

    Hongera saaaaana papa jay❤❤❤❤❤

  • @JulianaFabian-w5h
    @JulianaFabian-w5h 7 месяцев назад

    Mm wa mwisho na utamu n uleule

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +2

    ❤❤❤❤nimechelewa leo 😊😊😊

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Год назад +3

    Big up Ankojay ❤ from 🇰🇪🇰🇪

  • @Ivyagua
    @Ivyagua Год назад +3

    Santi anko❤❤❤❤❤

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv Год назад +1

    sauti ya mjomba wake halmani.. ni kama sauti ya BABU WA KISEMVULE😆😆😆😆, ANKO JAY MHUNI SANA, NA INAONEKANA ANKO JAY.. UNAKULA SANA MADEMU.

  • @rehemanifasha5524
    @rehemanifasha5524 Год назад +2

    Jmn watu hamulali 😂😂😂 muna lala muki muwaza ankojay tu jmn ila na wapenda sana jmn 😊 pia ankojay mapesa na kukubali sana 🎉❤😊😊

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 Год назад

      😂😂😂😂hapa lali mtu apa😂😂😂

    • @rizmwMwriz-mf2cu
      @rizmwMwriz-mf2cu Год назад +1

      😂😂😂tukikosa kusikia sauty ya Anko J kwa cku mtu anashinda vbaya aiseee

  • @chrispinurio1020
    @chrispinurio1020 Год назад

    Ambao tupo pmj kwa anko j gonga like

  • @IreneFuraha-y6z
    @IreneFuraha-y6z Год назад +1

    Nice simuliz anko

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 Год назад +2

    Thank Anko Jay kwa simulizi tamu😍😍😍😍endelea kupata nafuu Anko

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 месяцев назад +1

    Tena nimewahi sana

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura7268 Год назад

    Nzuri saana upo vizuri kwelii ankojay

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Год назад +2

    Such kind of Love, wanawake kama Salha walienda wapi? Maana hee eti kushare mapenzi na mtu zii sidhani

  • @judikadzo8712
    @judikadzo8712 Год назад +2

    Waaa nime chelewa aki

  • @KevinKibet-k5v
    @KevinKibet-k5v Год назад +1

    Hongera ankoy mungu akuzidishie sauti

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +2

    Ata mimi anko Jay wetu kesho naja unibandike sura kwa simulizi kama Binti Cinderella sawa ankooooo na na mimi ni uze sura maana hao dada huwa ni warembo sana tena sana

    • @LispaKadzoKalu
      @LispaKadzoKalu Год назад

      😂😂😂😂ama kweli kimeumana dada uvumilivu umekushinda bora umeongea mwaya❤❤

    • @sososonia1956
      @sososonia1956 Год назад

      Jamani jamani , eti nami niuze sura😅😅😅😂😂 haki nimecheka😅😅😂

  • @saadamohammed7431
    @saadamohammed7431 Год назад +2

    Ancojay mashalla ❤❤❤❤

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 Год назад +3

    Asante Uncle J ❤

  • @NawMi121-lj8cf
    @NawMi121-lj8cf Год назад +4

    Anko Jay hujambo ungemfananisha Na mkeo ama huna muke tukutafutie Sisi mashabiki zako😂😂😂😂😂

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Год назад +2

    Jamani wadada tuwe wa kweli tusigonganishe magari. Ukweli unamuweka Mtu huru ona Salha amezua tafrani ambayo itaumiza Watu wasio na hatia.

  • @MaryamMasudi-n3v
    @MaryamMasudi-n3v Год назад +1

    jaman ankojay asante kutusifia wadada wa bank 🏦 thank you so much ❤❤❤❤❤

  • @HamadaliBakar
    @HamadaliBakar 11 месяцев назад

    Ubarkiwe uncle je

  • @SaumuIbrahim-vh8bc
    @SaumuIbrahim-vh8bc Год назад

    Mm pia nko hongereni sana🎉🎉🎉❤

  • @Holiness-to3wp
    @Holiness-to3wp Год назад +2

    Daah mapenzi haya shikamoo mapenzi asante anko Jay nimeinjoy his story jamani data one love anko

  • @MK14PETITNOIRjg8gi
    @MK14PETITNOIRjg8gi Год назад

    Thank you simulizi

  • @ajabburundi6043
    @ajabburundi6043 Год назад +2

    Nime enjoy sana 😂 upewe urinzi kwa kazi yako

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu Год назад +1

    Hahaha Anko J jamani ety wanapenda kutiana

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +51

    Wakwanza mnipe likes za team strong 😂😂😂❤❤❤❤

  • @omerrashed9080
    @omerrashed9080 Год назад +1

    Simulizi tamu sana chukuwa🎉🎉❤❤

  • @fatumahaji-ei5hk
    @fatumahaji-ei5hk Год назад +2

    Nolisha kata tamaa asante anko

  • @mwanajumamohammed4356
    @mwanajumamohammed4356 Год назад +2

    Mfanenishe na shabiki wako mpendwa shadya salum

  • @GraceBakari-wo8ly
    @GraceBakari-wo8ly Год назад +2

    Nmewah asante

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +4

    Woyooooo 😂 DADA WA BANK nikarembo jamani ..pua kama firimbi 😂😂😂😂 Ahsante Anko jay tunaenjoy sie shabiki zako❤

    • @Rukia-pv7by
      @Rukia-pv7by Год назад

      Ndiyo jamani tumesoma ndo utuandikie mara sita jaman binthassan9191😍😍😍😗😂😂😂😂

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 Год назад

      @@Rukia-pv7by 🤣🤣🤣🤣🤣network imezingua ilikua imekataa kufika

    • @zainabamir1431
      @zainabamir1431 Год назад +1

      Filimbi jamn khaa😂😂😂

  • @anoldminja8901
    @anoldminja8901 4 месяца назад

    I love it 🔥🔥🔥🔥

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Год назад +2

    🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako ank j

  • @AdmiringGrazingCows-im1kh
    @AdmiringGrazingCows-im1kh 2 месяца назад

    Simulizi tammmm sana

  • @maggiesadock
    @maggiesadock Год назад +3

    ❤❤❤❤❤ vert Nice

  • @happynesskatunzi9491
    @happynesskatunzi9491 Год назад +3

    thanky you

  • @davidraphael6315
    @davidraphael6315 10 месяцев назад

    Nimeipenda sana❤

  • @zenasalum3107
    @zenasalum3107 Год назад +1

    Yan ck nikiwa wakwnz mnipe zawad😂😂😂🎉

  • @esterIsabel-y4e
    @esterIsabel-y4e 8 месяцев назад

    He Niko kwenye Kumi bora

  • @ClaraMuyengi-ud4be
    @ClaraMuyengi-ud4be Год назад +1

    Anko jay wangu❤

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +1

    Twasema Asante pia kwa kutusimulia anko wetu kipenzi twakupenda sana Jabali wetu King 👑 mungu azidi kukubariki sana congratulations My brother tumeinjoi tu sana asante sana kuwa na wakati mwema

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад

    Nakukubali sana moyoni mwangu kwa kazi zako nzuri sana congratulations 👏👏🎉🎉 big up My brooo much 💞 anko Jay family

  • @ZinaTanzani
    @ZinaTanzani Год назад +2

    Mimi wa mwisho ila tuendelee

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc Год назад +1

    sijui kama bado wanawake kama salha wamebakia wengi kipindi hiki ila nimempenda salha juu alijuwa tuu apende asipende alman lazima amfuate annah kama alivyo mwahidi hivyo kuliko kuibiwa akaamua safu alman tupo hapa sisi sote ni mali yako imagine hii sio ngumu hata mimi husema kama yupo na aje tuu bora mbuzu ale urefu wakamva yake

  • @ElishaHaonga-h4v
    @ElishaHaonga-h4v 11 месяцев назад

    Big up broooo

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 месяцев назад

    Tena nimewahi sanaaa

  • @DorahMohamed
    @DorahMohamed Год назад +5

    ❤❤❤❤❤

  • @THEDONSIMULIZI
    @THEDONSIMULIZI Год назад +1

    Simulizi tam kweli kwel

  • @BelyseHabonimana-e5w
    @BelyseHabonimana-e5w 3 месяца назад

    Jamani mapenz yanauma

  • @roothaa3843
    @roothaa3843 Год назад +2

    Wakwanza leo

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i Год назад +1

    dada wa bank ❤❤❤

  • @angelbeda6164
    @angelbeda6164 Год назад +1

    U knw wat ur voice 🫠🫠 cant explain u have a romantic voice ❤

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Год назад

    Hapo mwenye ndoa nibi mdogo kama nae hakuolewa na uja uzito