Mr ankojay you are the best story teller ever ninapenda simulizi zako na huwa nakufuatilia sanaaa,mungu akujaalie miaka mingi ili nasi tufaidi simulizi zako.....
Yani Hawa wadada wanifurhisha mioyo Yao kama mm Salma kwani wanaupendo wa dhati kwa mume wao nimependa mnooooooo simulizi hongera sa mtuzi na family yetu wanawske tujifuze kitu kwenye hii simulizi hongera Sana ❤❤❤❤
Ata mimi anko Jay wetu kesho naja unibandike sura kwa simulizi kama Binti Cinderella sawa ankooooo na na mimi ni uze sura maana hao dada huwa ni warembo sana tena sana
Twasema Asante pia kwa kutusimulia anko wetu kipenzi twakupenda sana Jabali wetu King 👑 mungu azidi kukubariki sana congratulations My brother tumeinjoi tu sana asante sana kuwa na wakati mwema
sijui kama bado wanawake kama salha wamebakia wengi kipindi hiki ila nimempenda salha juu alijuwa tuu apende asipende alman lazima amfuate annah kama alivyo mwahidi hivyo kuliko kuibiwa akaamua safu alman tupo hapa sisi sote ni mali yako imagine hii sio ngumu hata mimi husema kama yupo na aje tuu bora mbuzu ale urefu wakamva yake
Eti me nachelewaga wapi jamani mliowah❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hatimae na mm nimewahi kidogo jmn naombeni like zangu
Naomb like moja tu 😂😂
Bint kaolewa na million 20 duuuuuuuuuuh alman umeoa mke na kazi million 20 aiseeh wanaume tafuteni pesa fain milion 8 hatari na nusu
Yaani Mimi nimekuwa addicted na simulizi... ankojay utaniua mwenziyo
Me pia Leo nimewai🎉
Natumai waendelea vyema anko atlist sauti yaleo inakanafuuu wapendwaaaa❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇮
Wap wakenyaaaa😂😂
@@philipipasiani8754 tupooooooo🤣🤣🤣🤣
@@philipipasiani8754tupoo
Wakwanza mim leo 🎉🎉❤❤❤❤ Asante anko jay naomba like yako hapa anko wetu😊😊😊🎉🎉
Nieni like zangu jameni Leo nimewahi
Jamani like zangu leo wa pili kuingia mjengoni,,,,asante anko mapesa kwa utamu❤❤❤❤🎉
Anko j unajua kunnikosha 💋💋💋😍😍
Waoooooooooooh nimekuwa watatu kidogo nimewahi 😂😂😂❤❤❤❤❤
Nakupenda san anko jay like zenu jaman
Al man noma aise dah ni jasir mnoooo
Sijachelewa ahsante anko Jay simulizi na polesana kwakuumwa❤❤❤
Hatupoi jmn kila kukicha kitu kpy hmn kujistress asnt Anko j😊
Hii simuliz ilitoka miez 6 iliyopita nami ndio ninaisikiliza sasa na mie wa kwanza kabisaaa
Mr ankojay you are the best story teller ever ninapenda simulizi zako na huwa nakufuatilia sanaaa,mungu akujaalie miaka mingi ili nasi tufaidi simulizi zako.....
Ahsanteee Anko J kwa simulizi ❤❤❤ ya DADA WA BANK kafanyj..
❤❤❤❤😂wa 52 leo
no.1 today
ingawa mm niwameisho lakini Niko ngangari 😍😍😍 wacha2 dadahuyo m
Tatizo la moyo lazima wapatikize vyuma vya kusukuma moyo, Mungu atusaidie 🙏
Kitu kumoyo hasa hii
Samahani Anko j🙄🙆. Hauna group la WhatsApp. Napendezwa na kazi zako Anko J
❤❤❤. Asante anko jay KWA simulizi nzuri
Asante sana kwa simuliz nzur. Ubarikiw
Uncle Jay much love
Haya Ankojay ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 asante sana kwa simulizi mpya
Mungu akubariki anko jay maana wengine kwa siku bila kusikiza story zako hatuwi sawa cz twajifunza na twaburudika😊
Wa kwanza leo
Uncle mungu akubariki nilikua naboeka mwwenzenu saii nagua ugonjwaa wasimulizi bila hio kambae nafiwaaaa
Yani Hawa wadada wanifurhisha mioyo Yao kama mm Salma kwani wanaupendo wa dhati kwa mume wao nimependa mnooooooo simulizi hongera sa mtuzi na family yetu wanawske tujifuze kitu kwenye hii simulizi hongera Sana ❤❤❤❤
Salma
Waaa. 59 sijachelewaaaaa anko. J
Vp hali yakoooo❤
Hawa wadada ankjay huwa unawatoa wapi❤❤ ni warembo mno 😊😊boys tafuteni pesa😂
😂😂😂😂😂 nimecheka aiseee
@@ankojay_ usichek sanaa turudishie grp anko
Ukiona manyoya ujue ...
😂😂😂😂ata mm mwenzio uwa bashindwa kuelewa,,,kiukwel hawa warembo ni photo tuuu,,,,ama ni wasichana kiukwel ndo uekwa apa kwa smlz
@@ankojay_ ebu tufafanulie kka etu juu ya hawa warembo
Wakwanza kwa dada wa bank maua tafadhal
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢
Asante Anko J ubarikiwe kwa smlz tamu
shukrani anko ila zaidi sifa kwa MUNGU kwa kukuponya
Waaaaah kwan mm wa 126 😊
Mambo si ndo haya sasa anko jay mapesa huwa abatishi acha tupurudike😂😂❤❤❤
Jamani story ya cinderella daa, kiboko maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwel hata mie niliipenda sana
Nimekubali simuliz Nzur san
nimewai mauwa yako❤❤❤❤
Tangazo tangazo wanaonitafuta niko huku kwa anko jay nasikliza simuliz tamu sana
Ankojay.mmmsimulizizakozanifunza.sana.siwezichelewakuzisikilizaGod.bless you.somuch
Hongera saaaaana papa jay❤❤❤❤❤
Mm wa mwisho na utamu n uleule
❤❤❤❤nimechelewa leo 😊😊😊
Big up Ankojay ❤ from 🇰🇪🇰🇪
Santi anko❤❤❤❤❤
sauti ya mjomba wake halmani.. ni kama sauti ya BABU WA KISEMVULE😆😆😆😆, ANKO JAY MHUNI SANA, NA INAONEKANA ANKO JAY.. UNAKULA SANA MADEMU.
Jmn watu hamulali 😂😂😂 muna lala muki muwaza ankojay tu jmn ila na wapenda sana jmn 😊 pia ankojay mapesa na kukubali sana 🎉❤😊😊
😂😂😂😂hapa lali mtu apa😂😂😂
😂😂😂tukikosa kusikia sauty ya Anko J kwa cku mtu anashinda vbaya aiseee
Ambao tupo pmj kwa anko j gonga like
Nice simuliz anko
Thank Anko Jay kwa simulizi tamu😍😍😍😍endelea kupata nafuu Anko
Tena nimewahi sana
Nzuri saana upo vizuri kwelii ankojay
Such kind of Love, wanawake kama Salha walienda wapi? Maana hee eti kushare mapenzi na mtu zii sidhani
Waaa nime chelewa aki
Hongera ankoy mungu akuzidishie sauti
Ata mimi anko Jay wetu kesho naja unibandike sura kwa simulizi kama Binti Cinderella sawa ankooooo na na mimi ni uze sura maana hao dada huwa ni warembo sana tena sana
😂😂😂😂ama kweli kimeumana dada uvumilivu umekushinda bora umeongea mwaya❤❤
Jamani jamani , eti nami niuze sura😅😅😅😂😂 haki nimecheka😅😅😂
Ancojay mashalla ❤❤❤❤
Asante Uncle J ❤
Anko Jay hujambo ungemfananisha Na mkeo ama huna muke tukutafutie Sisi mashabiki zako😂😂😂😂😂
Jamani wadada tuwe wa kweli tusigonganishe magari. Ukweli unamuweka Mtu huru ona Salha amezua tafrani ambayo itaumiza Watu wasio na hatia.
jaman ankojay asante kutusifia wadada wa bank 🏦 thank you so much ❤❤❤❤❤
Ubarkiwe uncle je
Mm pia nko hongereni sana🎉🎉🎉❤
Daah mapenzi haya shikamoo mapenzi asante anko Jay nimeinjoy his story jamani data one love anko
Thank you simulizi
Nime enjoy sana 😂 upewe urinzi kwa kazi yako
Hahaha Anko J jamani ety wanapenda kutiana
Wakwanza mnipe likes za team strong 😂😂😂❤❤❤❤
Simulizi tamu sana chukuwa🎉🎉❤❤
Nolisha kata tamaa asante anko
Mfanenishe na shabiki wako mpendwa shadya salum
Nmewah asante
Woyooooo 😂 DADA WA BANK nikarembo jamani ..pua kama firimbi 😂😂😂😂 Ahsante Anko jay tunaenjoy sie shabiki zako❤
Ndiyo jamani tumesoma ndo utuandikie mara sita jaman binthassan9191😍😍😍😗😂😂😂😂
@@Rukia-pv7by 🤣🤣🤣🤣🤣network imezingua ilikua imekataa kufika
Filimbi jamn khaa😂😂😂
I love it 🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako ank j
Simulizi tammmm sana
❤❤❤❤❤ vert Nice
thanky you
Nimeipenda sana❤
Yan ck nikiwa wakwnz mnipe zawad😂😂😂🎉
He Niko kwenye Kumi bora
Anko jay wangu❤
Twasema Asante pia kwa kutusimulia anko wetu kipenzi twakupenda sana Jabali wetu King 👑 mungu azidi kukubariki sana congratulations My brother tumeinjoi tu sana asante sana kuwa na wakati mwema
Nakukubali sana moyoni mwangu kwa kazi zako nzuri sana congratulations 👏👏🎉🎉 big up My brooo much 💞 anko Jay family
Mimi wa mwisho ila tuendelee
sijui kama bado wanawake kama salha wamebakia wengi kipindi hiki ila nimempenda salha juu alijuwa tuu apende asipende alman lazima amfuate annah kama alivyo mwahidi hivyo kuliko kuibiwa akaamua safu alman tupo hapa sisi sote ni mali yako imagine hii sio ngumu hata mimi husema kama yupo na aje tuu bora mbuzu ale urefu wakamva yake
Big up broooo
Tena nimewahi sanaaa
❤❤❤❤❤
Simulizi tam kweli kwel
Jamani mapenz yanauma
Wakwanza leo
dada wa bank ❤❤❤
U knw wat ur voice 🫠🫠 cant explain u have a romantic voice ❤
Hapo mwenye ndoa nibi mdogo kama nae hakuolewa na uja uzito