Jamani Anko Jay simulizi tamu yenye mafundisho mazuri. Wadada mwanamme akutaki timua Mungu atakupatia wa kufanana na we. Tatizo unangangania unaishia kufa na kuharibu maisha. Ili Mungu akupatie nafasi toka uone mkono wa Mungu🙏🏾🙏🏾
Simulizi nzuri sana,shukrani sana team s.mix n wafutiliaji wa hizi simulizi, kama umeamua kupenda penda tu n moyo n kubaliana n mapungufu ya mwenzio, bc u nvr Mungu ana kusudio gani
Hongera Anko jay kwa kutochoka kutupa burudani safi kwani masikio nahisia huwa na huzidi sana kufuatilia kila kinacho endelea ikifika ni zamu yakulia na kuteseka basi hisia zinafuata mkondo ifikapo ni katika kufurahia na kufuatilia mapenzi na furaha husia pia zinabadilika na kuwa katika kipindi hicho hata kama nichahuzuni na hofu hisia huegemea upande huo ila yote ni burudani tosha burudani ambalo halipatikani kwinginecila kwa nyumba ya simulizi mix
Hakika unapo chikiwa kuna wengine wapo tayari kukupa furaha na kukufuta machozi maana kila mmoja duniani anae mfaa kwa kila kitu na kukuheshimu pia kukuachia tabasamu la kila saa na kila wakati zaidi MUNGU hajawahi chokeshwa na wanao mtegemea na kumfanya awe kila kitu maishani mwao
Hakuna uhalisia haiwezekani ukope m 50 bila uthamini, jifunzeni kwa watunzi wanaoumiza kichwa kutunga mambo halisi yanayotokea.kingine cha ajabu Wazazi wa Enok hawakumsumbua tena kuhusu mtoto alipokuwa na Recho. Mm bado wapaswa kufikiri sana kabla ya kurusha simulizi. jifunze kwa Lisaa Mwalla, Edgar Mbogo na wengineo
@@avelinabaluhya2804 mama avelina,hujanielewa nia yangu aboreshe angalau kuwe na uhalisia kwa nyakati zetu, kuna njia nyingi za kumsaidia mwandishi aboreshe anachokifanya, kwa kuonyesha wapi amekosea pia anaweza kuwaomba waandishi wenye vipaji wamsaidie kumnoa huenda miaka ijayo akawa mwandishi mzuri tu, lakini unafki wa kusifu kitu ambacho sio nikumpoteza mtu katika lengo analopaswa kufikia.niwachache mno walio makini katika hili, akili mgand-ni vigumu kujua, ukiwa mwandishi huyu atafanyia kazi ushauri wangu ipo siku atashru, maana ataboresha, atakua anafikiria kabla, na hakika story itapambana vilivyo.Tabu itakuwa kwa wasikilizaji ambapo akili zao hazifikirii sawasawa badala ya kumsaidia mwandishi wetu ajiongeze aboreshe awe juu na mtunzi mahiri, wao humdidimiza kwa kuacha kumweleza ukweli ajue aboreshe wapi, lakini pia silaumu sana akili hutofautiana ndio maana shule, ktk vyuoni kuna mtihani na LAZIMA KUNA WA KWANZA NA WA MWISHO, pia kuna watu umri mkubwa lakini bado ufahamu mdogooo, na kuna mdogo ufahamu mkubwa, na utawatambua kwa comment zao TUNATAKA KUONYESHA KOSA NI LIPI ILI MTU AWE BORA AREKEBISHE PALIPOKUWA NA UPUNGUFU
Kaka boss hongera sana umenilewesha na simulizi zako na kaka lucas lumbas nitashukia tazania tule bata ❤❤❤
Karibu tukupokee🌹
Yaaaan kamawewe hushabiki Wa anko jy bas nenda hoc ukapate matibabu kwamana Sisi tunatibiwa hapa anko j🎉🎉❤
🎉🎉🎉 asant san tunajifunza meng kweny haya maish🙏🙏🙏
Bonge la simuliz yaaan ni🔥🔥🔥 by anko jay mwenyew
Jamani Anko Jay simulizi tamu yenye mafundisho mazuri. Wadada mwanamme akutaki timua Mungu atakupatia wa kufanana na we. Tatizo unangangania unaishia kufa na kuharibu maisha. Ili Mungu akupatie nafasi toka uone mkono wa Mungu🙏🏾🙏🏾
Uncle jay 🔥🔥🔥 nainjoi simulizi zako, receive your flowers while you're alive🌹🌹🌹🌹🌹🌹
❤
Jamn mbona mmetusahau sanaaaaa et tunaomba doctor Mayra sehem ya pili tunaomba jamn please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli kbs
Kweli tunaomba dr malta sehemu ya pili
Et bora ungempenda anko j 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we kaka wew umenishinda tabia big up
Nice I like it
Waoooh simuliz nzuri xaan na msimuliaji wetu anko j ni 🔥🔥🔥✌️✌️🥰❤️
Kali sana omg nime Sikiliza more than once omg this is one of my favorites stories uncle J never disappointed me❤❤❤
Simulizi nzuri sana,shukrani sana team s.mix n wafutiliaji wa hizi simulizi, kama umeamua kupenda penda tu n moyo n kubaliana n mapungufu ya mwenzio, bc u nvr Mungu ana kusudio gani
Anko jay mwenyewe tunainjoi simulizi mix like zenu vipenzi wangu 🥰🥰🥰🥰
Yaani Hadi raha mpenz
Yaani bonge la simulizi hili Asante sana Ankojay kwa simulizi nzuri
Woow! AnkoJ ndani ya nyumba..I'm no.1 thanks Smix kwa kibao chengine 🙏🏻
Punguzeni mziki
Woow leo nimekua mtu wa sita ,,twendeni nalo wasikilizaji wenzangu... tunainjoi sana Anko jay
Sijui nilichelewaje kumsikia huyu mkaka jaman anko j Mungu abariki kazi yako
Comments juu yko ANKO JAY mungu akupe maisha mema Amiiiiin ❤️❤️❤️
Hongera Anko jay kwa kutochoka kutupa burudani safi kwani masikio nahisia huwa na huzidi sana kufuatilia kila kinacho endelea ikifika ni zamu yakulia na kuteseka basi hisia zinafuata mkondo ifikapo ni katika kufurahia na kufuatilia mapenzi na furaha husia pia zinabadilika na kuwa katika kipindi hicho hata kama nichahuzuni na hofu hisia huegemea upande huo ila yote ni burudani tosha burudani ambalo halipatikani kwinginecila kwa nyumba ya simulizi mix
Kwli siku zote mungu nimwema
Asante kwa good story Anko
Umenifurahisha leo anko jay 😂 😂 nakupenda bure yaan
Hakika unapo chikiwa kuna wengine wapo tayari kukupa furaha na kukufuta machozi maana kila mmoja duniani anae mfaa kwa kila kitu na kukuheshimu pia kukuachia tabasamu la kila saa na kila wakati zaidi MUNGU hajawahi chokeshwa na wanao mtegemea na kumfanya awe kila kitu maishani mwao
Asante anko Jay
Amazing sana ila tunaomba part 2 ya doctor mayla
Anko Jay mwenyewe naenjoi san
Anko jay kwenye hii simulizi umezingua bn mbn izo zingine unasimulia vizuri anko jay jmn
Hayaaaa weee
AMAZING ANKO JAY 🔥🔥🔥🔥
Ndo Nini jina langu kuwepo hapa na nipo Dibai kweli😂😂😂😂 hebu nikaoshe vyombo mie
Nzur jamani 1:17 1:18
Simulizi hii kiboko,yani mm hupenda sana simulizi zako anko jay
Asante Anko Jay
Mungu anajibu maombi hatakama kwa kuchelewa na baada ya dhiki ni faraja siku zote wat a nice story
Ume enjoy
Asantee;Anko j inafundisho🚶♀️🏃🏽♀
Amazing story ♥️♥️♥️♥️
Anko j kwa kujisifia sas jamn khaa 😊 Alf sijuh unapigag miayo makusud
Thank you jjj
Simulizi nzuri sanaaaaa
Khaa uncle J .🤣🤣🥰
Nann km ako Jay jamani nakupenda bure
😂😂🎉🎉🎉Anko jay
Asnt anko jay😍😍
Nzuli yenye ma funzo ,asantr Ankoj
Inamafunzo asante sana 🥰🥰🥰
Ank J tunaomba muendelezo wa farida
Thank you Anko j🥰🥰
Enock atavuna alichopanda
Ila uncle J, Kuna sauti ya Sara unayoiigizia inachekesha sana😅😅😅
yooo ukuna sara lakini
Leo yutaijoy sana ❤❤❤❤❤
N nzurii
Hakuna uhalisia haiwezekani ukope m 50 bila uthamini, jifunzeni kwa watunzi wanaoumiza kichwa kutunga mambo halisi yanayotokea.kingine cha ajabu Wazazi wa Enok hawakumsumbua tena kuhusu mtoto alipokuwa na Recho. Mm bado wapaswa kufikiri sana kabla ya kurusha simulizi. jifunze kwa Lisaa Mwalla, Edgar Mbogo na wengineo
Hata na hii ina ladha yake ,siyo lazima kufanana,hata na hao wanaofanya vizuri sasa walianzia mahali fulani na sasa wamepanda,tupokee na kuwatia moyo
@@avelinabaluhya2804 mama avelina,hujanielewa nia yangu aboreshe angalau kuwe na uhalisia kwa nyakati zetu, kuna njia nyingi za kumsaidia mwandishi aboreshe anachokifanya, kwa kuonyesha wapi amekosea pia anaweza kuwaomba waandishi wenye vipaji wamsaidie kumnoa huenda miaka ijayo akawa mwandishi mzuri tu, lakini unafki wa kusifu kitu ambacho sio nikumpoteza mtu katika lengo analopaswa kufikia.niwachache mno walio makini katika hili, akili mgand-ni vigumu kujua, ukiwa mwandishi huyu atafanyia kazi ushauri wangu ipo siku atashru, maana ataboresha, atakua anafikiria kabla, na hakika story itapambana vilivyo.Tabu itakuwa kwa wasikilizaji ambapo akili zao hazifikirii sawasawa badala ya kumsaidia mwandishi wetu ajiongeze aboreshe awe juu na mtunzi mahiri, wao humdidimiza kwa kuacha kumweleza ukweli ajue aboreshe wapi, lakini pia silaumu sana akili hutofautiana ndio maana shule, ktk vyuoni kuna mtihani na LAZIMA KUNA WA KWANZA NA WA MWISHO, pia kuna watu umri mkubwa lakini bado ufahamu mdogooo, na kuna mdogo ufahamu mkubwa, na utawatambua kwa comment zao TUNATAKA KUONYESHA KOSA NI LIPI ILI MTU AWE BORA AREKEBISHE PALIPOKUWA NA UPUNGUFU
Yaani simulizi mwaaaah
Kwann unasema ivo
Jamani raha kwenda mbele uuuuiiiiii!!!!
wazaz somo hilo jamn mda mwgn watoto wakike hatufai,mpez haramu jaman
Anko jay unasaut nzur❤❤🎉🎉
Anko Jay mwenyewe
Nice❤❤❤
jaman majuto nimjukuuu hawakukosea , lbda wanaume wanambigu yao ila kama ndio mbingu ya mwenyezi mungu, wajiadae kutubu kiukwe ukwel😢😢😢😢
Tamu sana naina funzo kubwa, naisikiza nikiwa na relax kwa kitanda 🇰🇪
M💞pya tena
Nice
Anko J jamani kwa kujisifu haya tu😄😄😄
anko jay kwa misifa
Mapenzi Yanafanya hata tunakosana na wazazi na marafiki jamani naomba mnielekeze nyumbani kwawo mapenzi🥰🥰🥰🥰🥰💯🌹🌹🌹🇨🇩🇨🇩🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Karibu nikusindikize🌹
Nyumban kwao tanga
❤
❤❤❤
Kuonga tena au basi
Hii ya leo umefanya masihara meng Sana iyo saut ya Sarah jamn kwel anko J
🌹
Ninzuri tuwe makini ktk mapenzi yetu n
Wacha nisikize kwanza
Niakuelewa ank j.
Nawoow 🤔🤔🤔sauti hiyo
Mimi sauti y Sara tu hoi
Mh. Anko saut ya Sara IPO hivyo kwel jmn
anko j tunaomba simuliz ya milele mbona ivyo jaman
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🇰🇪
Kenya juuuu
❤❤❤❤
💞🌹
🌹
Jay nimekulota 😂 last night 😩
Thanks so much ❤❤
🌹
Anko hiyo sauti ya sara kweli
Hellow simulizi mix
Kujja geto 😂 😂
Unakufa ukweli
L
Mkalimu,mcheshi kn anko jay😂😂
Tupo
Sauti yako inatumaliza
Shatani hanatesa wanadum
hacha chocha anko 🤣🤣🤣
❤❤❤❤🎧🙏🙄🙄🇰🇪
Yaani huku raha sana shostie
Ankoj uyooo
Asante anko jay
❤❤❤❤
Sauti yako inatumaliza
Thank you anko jey 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤