SARA: SIMULIZI YA SAUTI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 119

  • @melissaivanyi
    @melissaivanyi 8 месяцев назад +3

    Kaka boss hongera sana umenilewesha na simulizi zako na kaka lucas lumbas nitashukia tazania tule bata ❤❤❤

    • @mporipori99
      @mporipori99 8 месяцев назад

      Karibu tukupokee🌹

  • @KuvunaGonda-l4f
    @KuvunaGonda-l4f 8 месяцев назад +3

    Yaaaan kamawewe hushabiki Wa anko jy bas nenda hoc ukapate matibabu kwamana Sisi tunatibiwa hapa anko j🎉🎉❤

  • @ReginaBenjamin-ij2ec
    @ReginaBenjamin-ij2ec 7 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉 asant san tunajifunza meng kweny haya maish🙏🙏🙏

  • @bashirushabani6726
    @bashirushabani6726 Год назад +3

    Bonge la simuliz yaaan ni🔥🔥🔥 by anko jay mwenyew

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Год назад +5

    Jamani Anko Jay simulizi tamu yenye mafundisho mazuri. Wadada mwanamme akutaki timua Mungu atakupatia wa kufanana na we. Tatizo unangangania unaishia kufa na kuharibu maisha. Ili Mungu akupatie nafasi toka uone mkono wa Mungu🙏🏾🙏🏾

  • @khadijachitenje
    @khadijachitenje Год назад +7

    Uncle jay 🔥🔥🔥 nainjoi simulizi zako, receive your flowers while you're alive🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 Год назад +12

    Jamn mbona mmetusahau sanaaaaa et tunaomba doctor Mayra sehem ya pili tunaomba jamn please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 Год назад +9

    Et bora ungempenda anko j 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we kaka wew umenishinda tabia big up

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 Год назад +2

    Waoooh simuliz nzuri xaan na msimuliaji wetu anko j ni 🔥🔥🔥✌️✌️🥰❤️

  • @elizafelix1
    @elizafelix1 Год назад +2

    Kali sana omg nime Sikiliza more than once omg this is one of my favorites stories uncle J never disappointed me❤❤❤

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +4

    Simulizi nzuri sana,shukrani sana team s.mix n wafutiliaji wa hizi simulizi, kama umeamua kupenda penda tu n moyo n kubaliana n mapungufu ya mwenzio, bc u nvr Mungu ana kusudio gani

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +15

    Anko jay mwenyewe tunainjoi simulizi mix like zenu vipenzi wangu 🥰🥰🥰🥰

  • @puritylobun5313
    @puritylobun5313 Год назад +1

    Yaani bonge la simulizi hili Asante sana Ankojay kwa simulizi nzuri

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +6

    Woow! AnkoJ ndani ya nyumba..I'm no.1 thanks Smix kwa kibao chengine 🙏🏻

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +5

    Woow leo nimekua mtu wa sita ,,twendeni nalo wasikilizaji wenzangu... tunainjoi sana Anko jay

  • @leahmajaliwa6575
    @leahmajaliwa6575 Год назад +1

    Sijui nilichelewaje kumsikia huyu mkaka jaman anko j Mungu abariki kazi yako

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we Год назад +2

    Comments juu yko ANKO JAY mungu akupe maisha mema Amiiiiin ❤️❤️❤️

  • @عهُد-ب6ظ
    @عهُد-ب6ظ Год назад +1

    Hongera Anko jay kwa kutochoka kutupa burudani safi kwani masikio nahisia huwa na huzidi sana kufuatilia kila kinacho endelea ikifika ni zamu yakulia na kuteseka basi hisia zinafuata mkondo ifikapo ni katika kufurahia na kufuatilia mapenzi na furaha husia pia zinabadilika na kuwa katika kipindi hicho hata kama nichahuzuni na hofu hisia huegemea upande huo ila yote ni burudani tosha burudani ambalo halipatikani kwinginecila kwa nyumba ya simulizi mix

  • @HafashimanaDorine
    @HafashimanaDorine 8 месяцев назад +1

    Kwli siku zote mungu nimwema

  • @termankalendo1439
    @termankalendo1439 Год назад +1

    Asante kwa good story Anko

  • @salma1134
    @salma1134 Год назад +2

    Umenifurahisha leo anko jay 😂 😂 nakupenda bure yaan

  • @عهُد-ب6ظ
    @عهُد-ب6ظ Год назад +2

    Hakika unapo chikiwa kuna wengine wapo tayari kukupa furaha na kukufuta machozi maana kila mmoja duniani anae mfaa kwa kila kitu na kukuheshimu pia kukuachia tabasamu la kila saa na kila wakati zaidi MUNGU hajawahi chokeshwa na wanao mtegemea na kumfanya awe kila kitu maishani mwao

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Год назад +1

    Asante anko Jay

  • @agnesagnesi3639
    @agnesagnesi3639 Год назад +1

    Amazing sana ila tunaomba part 2 ya doctor mayla

  • @faudhahamisi7588
    @faudhahamisi7588 Год назад +1

    Anko Jay mwenyewe naenjoi san

  • @rosenanyaro319
    @rosenanyaro319 Год назад +1

    Anko jay kwenye hii simulizi umezingua bn mbn izo zingine unasimulia vizuri anko jay jmn

  • @saumukambi8562
    @saumukambi8562 10 месяцев назад +1

    Hayaaaa weee

  • @Adonai810
    @Adonai810 Год назад +4

    AMAZING ANKO JAY 🔥🔥🔥🔥

  • @rachelmosha8860
    @rachelmosha8860 8 месяцев назад +1

    Ndo Nini jina langu kuwepo hapa na nipo Dibai kweli😂😂😂😂 hebu nikaoshe vyombo mie

  • @ZuwenaMasudi-t6r
    @ZuwenaMasudi-t6r 10 месяцев назад +2

    Nzur jamani 1:17 1:18

  • @moonekeenei9783
    @moonekeenei9783 Год назад +1

    Simulizi hii kiboko,yani mm hupenda sana simulizi zako anko jay

  • @temeliy4673
    @temeliy4673 Год назад +2

    Asante Anko Jay

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 Год назад +1

    Mungu anajibu maombi hatakama kwa kuchelewa na baada ya dhiki ni faraja siku zote wat a nice story

  • @janethdaud201
    @janethdaud201 Год назад +1

    Asantee;Anko j inafundisho🚶‍♀️🏃🏽‍♀

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +2

    Amazing story ♥️♥️♥️♥️

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Год назад +2

    Anko j kwa kujisifia sas jamn khaa 😊 Alf sijuh unapigag miayo makusud

  • @sarahsamson9362
    @sarahsamson9362 Год назад +3

    Thank you jjj

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 Год назад +2

    Simulizi nzuri sanaaaaa

  • @lucyannalimonama4076
    @lucyannalimonama4076 Год назад +2

    Khaa uncle J .🤣🤣🥰

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Год назад +2

    Nann km ako Jay jamani nakupenda bure

  • @fatimejamal1686
    @fatimejamal1686 8 месяцев назад +1

    😂😂🎉🎉🎉Anko jay

  • @mwanamisiabdalla5551
    @mwanamisiabdalla5551 Год назад +1

    Asnt anko jay😍😍

  • @nizigiyimanajaja9814
    @nizigiyimanajaja9814 Год назад +1

    Nzuli yenye ma funzo ,asantr Ankoj

  • @kezia5777
    @kezia5777 Год назад +2

    Inamafunzo asante sana 🥰🥰🥰

  • @slyla2565
    @slyla2565 Год назад +1

    Ank J tunaomba muendelezo wa farida

  • @rehemanoor5754
    @rehemanoor5754 Год назад +3

    Thank you Anko j🥰🥰

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +3

    Enock atavuna alichopanda

  • @mariethamasika9125
    @mariethamasika9125 Год назад +7

    Ila uncle J, Kuna sauti ya Sara unayoiigizia inachekesha sana😅😅😅

  • @shukranimbeleci4477
    @shukranimbeleci4477 Год назад +2

    Leo yutaijoy sana ❤❤❤❤❤

  • @HalimaHikman
    @HalimaHikman 3 месяца назад

    N nzurii

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 Год назад +5

    Hakuna uhalisia haiwezekani ukope m 50 bila uthamini, jifunzeni kwa watunzi wanaoumiza kichwa kutunga mambo halisi yanayotokea.kingine cha ajabu Wazazi wa Enok hawakumsumbua tena kuhusu mtoto alipokuwa na Recho. Mm bado wapaswa kufikiri sana kabla ya kurusha simulizi. jifunze kwa Lisaa Mwalla, Edgar Mbogo na wengineo

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 Месяц назад

      Hata na hii ina ladha yake ,siyo lazima kufanana,hata na hao wanaofanya vizuri sasa walianzia mahali fulani na sasa wamepanda,tupokee na kuwatia moyo

    • @ataamansi8941
      @ataamansi8941 Месяц назад

      @@avelinabaluhya2804 mama avelina,hujanielewa nia yangu aboreshe angalau kuwe na uhalisia kwa nyakati zetu, kuna njia nyingi za kumsaidia mwandishi aboreshe anachokifanya, kwa kuonyesha wapi amekosea pia anaweza kuwaomba waandishi wenye vipaji wamsaidie kumnoa huenda miaka ijayo akawa mwandishi mzuri tu, lakini unafki wa kusifu kitu ambacho sio nikumpoteza mtu katika lengo analopaswa kufikia.niwachache mno walio makini katika hili, akili mgand-ni vigumu kujua, ukiwa mwandishi huyu atafanyia kazi ushauri wangu ipo siku atashru, maana ataboresha, atakua anafikiria kabla, na hakika story itapambana vilivyo.Tabu itakuwa kwa wasikilizaji ambapo akili zao hazifikirii sawasawa badala ya kumsaidia mwandishi wetu ajiongeze aboreshe awe juu na mtunzi mahiri, wao humdidimiza kwa kuacha kumweleza ukweli ajue aboreshe wapi, lakini pia silaumu sana akili hutofautiana ndio maana shule, ktk vyuoni kuna mtihani na LAZIMA KUNA WA KWANZA NA WA MWISHO, pia kuna watu umri mkubwa lakini bado ufahamu mdogooo, na kuna mdogo ufahamu mkubwa, na utawatambua kwa comment zao TUNATAKA KUONYESHA KOSA NI LIPI ILI MTU AWE BORA AREKEBISHE PALIPOKUWA NA UPUNGUFU

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Год назад +1

    Yaani simulizi mwaaaah

  • @denicejastin-sv3bi
    @denicejastin-sv3bi Год назад +1

    Kwann unasema ivo

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Год назад +2

    Jamani raha kwenda mbele uuuuiiiiii!!!!

  • @DAUDFARES
    @DAUDFARES 7 месяцев назад

    wazaz somo hilo jamn mda mwgn watoto wakike hatufai,mpez haramu jaman

  • @JoyceJoseph-t3b
    @JoyceJoseph-t3b 5 дней назад

    Anko jay unasaut nzur❤❤🎉🎉

  • @asiamodriq2933
    @asiamodriq2933 Год назад +1

    Anko Jay mwenyewe

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 Год назад +1

    Nice❤❤❤

  • @DAUDFARES
    @DAUDFARES 7 месяцев назад

    jaman majuto nimjukuuu hawakukosea , lbda wanaume wanambigu yao ila kama ndio mbingu ya mwenyezi mungu, wajiadae kutubu kiukwe ukwel😢😢😢😢

  • @mushken65
    @mushken65 Год назад +2

    Tamu sana naina funzo kubwa, naisikiza nikiwa na relax kwa kitanda 🇰🇪

  • @rehemacharles4290
    @rehemacharles4290 Год назад +2

    M💞pya tena

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад +1

    Nice

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +1

    Anko J jamani kwa kujisifu haya tu😄😄😄

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 Год назад +1

    anko jay kwa misifa

  • @salamabwanamoya8746
    @salamabwanamoya8746 Год назад +2

    Mapenzi Yanafanya hata tunakosana na wazazi na marafiki jamani naomba mnielekeze nyumbani kwawo mapenzi🥰🥰🥰🥰🥰💯🌹🌹🌹🇨🇩🇨🇩🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷

  • @CeciliaChuwa-q2k
    @CeciliaChuwa-q2k Год назад +1

    ❤❤❤

  • @dionisiadionis9903
    @dionisiadionis9903 Год назад +1

    Kuonga tena au basi

  • @linahmeena
    @linahmeena Год назад +1

    Hii ya leo umefanya masihara meng Sana iyo saut ya Sarah jamn kwel anko J

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Год назад +2

    Ninzuri tuwe makini ktk mapenzi yetu n

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 Год назад +3

    Wacha nisikize kwanza

  • @sawamisawami6766
    @sawamisawami6766 Год назад +1

    Niakuelewa ank j.

  • @nawmijdodk733
    @nawmijdodk733 Год назад +1

    Nawoow 🤔🤔🤔sauti hiyo

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt 10 месяцев назад +1

    Mimi sauti y Sara tu hoi

  • @mishelygodlisten1171
    @mishelygodlisten1171 Год назад +1

    Mh. Anko saut ya Sara IPO hivyo kwel jmn

  • @GraceDavid-nq4zc
    @GraceDavid-nq4zc 5 месяцев назад

    anko j tunaomba simuliz ya milele mbona ivyo jaman

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 Год назад +3

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🇰🇪

  • @ElizaSada
    @ElizaSada Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @roseyusuph9319
    @roseyusuph9319 Год назад +1

    💞🌹

  • @loryappolyne8865
    @loryappolyne8865 Год назад +1

    Jay nimekulota 😂 last night 😩

  • @suzanpeter8944
    @suzanpeter8944 Год назад +1

    Thanks so much ❤❤

  • @SamsonMzehe
    @SamsonMzehe 5 месяцев назад

    Anko hiyo sauti ya sara kweli

  • @shanikiwele3111
    @shanikiwele3111 Год назад +1

    Hellow simulizi mix

  • @SamsonMzehe
    @SamsonMzehe 5 месяцев назад

    Unakufa ukweli

  • @OdilaramadhaniRamadhani-kp6lj
    @OdilaramadhaniRamadhani-kp6lj Год назад +1

    L

  • @sarahkaniki1732
    @sarahkaniki1732 11 месяцев назад +1

    Mkalimu,mcheshi kn anko jay😂😂

  • @salmahaji5832
    @salmahaji5832 Год назад +2

    Tupo

  • @roznaaa5995
    @roznaaa5995 Год назад +2

    Sauti yako inatumaliza

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +2

    Shatani hanatesa wanadum

  • @linetnyairabu9493
    @linetnyairabu9493 Год назад +2

    hacha chocha anko 🤣🤣🤣

  • @faizajumwa4696
    @faizajumwa4696 Год назад +2

    ❤❤❤❤🎧🙏🙄🙄🇰🇪

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Год назад +2

    Ankoj uyooo

  • @mayasamayasa1205
    @mayasamayasa1205 Год назад +1

    Asante anko jay

  • @Kuwait-tf2mj
    @Kuwait-tf2mj 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @roznaaa5995
    @roznaaa5995 Год назад +2

    Sauti yako inatumaliza

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤