BONGO MOVIE ACTION MOVIE 🔥🎬🎬2024 - Filamu ya mapigano | Bongo movie mpya
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- -Lazima utoe machozi ukitazama Filamu hii
-Benroyal movie iliyoshinda tuzo
-Operation red sea
-Operation M22
-Bongo movie ya kivita
-Dj Mack
-Dj Afro
diamond platnumz,new action movies,action movies,benroyal pictures,benroyal pictures movies,trending,zuchu,harmonize,rayvanny,samia suluhu hasan,simba,yanga,utaniua,yatapita,zuwena,ayrastarr,messi,ronaldo,rihanna,chris brown,drake,jay melody,ibraah,wcb wasafi,wasafi media,stamina,machozi,manchester,yammi tz,nandy,mahabaalikiba,chademaman,flavour,marioo,aslay,billnass,kontawa,maua sama,kajala,paula,juma lokole,mwijaku,bongo movie,mtu,jina,benroyal mtu full movie
#benroyalmovies #juakaliseries #chekatu #actionmovie #diamondplatnumz #zuchu
Oyaaa hii ni Kali Tena sana . Naombeni likes zangu wasee
Mbeya mko powa sana dar bado sana
Benroyal wewe ni noma haisee upo vizuri sana. MALI, FFL, na hii Sasa naenda Mjini haisee wewe upo vizuri keep it up brother Ben
Big up sana ❤❤❤napenda sana kazi zenye 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇰🇪
Nahii ukopoa pia hamjawahi angusha jahazi zote zinaelimisha series ya usiamin imenikomboa San kwenye maisha yangu nilikutana nao wanao jiita Qnet watu hatali San endeleeni kuwaumbua ❤❤❤❤
Kitu ambacho sichoki kusema colour colour ni nzuri. From zanzibar tz
Ben royal never dissapoint always at the top then Mali tafadhali imalizeni
Mali iliisha kaka
❤❤❤, nimeipenda Sana, naipata kutoka +254 🇰🇪
Hamna mpinzani nawakubali sana
Nakukubali sana bingwa
Aloo namsikia mwanangu nala mzalendo namkubal sana
Ben royal picture mnajua sana mpaka basi
Kumbe huyu white nae ni mzuri kwenye ngumi eee,skuwah kumuona akicheza madude hivi
Sema MR mark una staili ya teke moja ivi noma
Nawakubali sana
Hongereni sana
Good work guys nawapenda from Arusha Tanzania 🇹🇿
Wnangu mnajua adi mnapitiliza aisweee congratulations
AISEEE BENROYAL UMEPIGAJE HAPOO BONGE LA KITU KUTOKA KWA DIRECTOR OF ALL THE TIME YAHAN 🔥🔥🙌🙌
Roda mm ama wa tanzania😂😂❤❤❤❤much from kenya🎉🎉🎉🎉🎉
Aaa kikosi👊
Master g ni mbunifu sana kwenye kutafuta sauti yake binafsi
Netflix ya bongo iko mbeya,, mbeya to the world
Nice job
Mmetish🎉🎉🎉❤
Nawakubali sana nawafwatilia vizuri hatali zot 2024 sio poa
Wa kwanza mmi kutoka Kenya 🇰🇪
Nawakubali Sana filamu yenu ya MALI nakupenda zaidi nawafata tokea tanzania congo
Congratulations benroyal kazi kubwa hiii🏆✌️
Ben na team yako mnafanya kitu kikubwa Sanaa na zile tuzo mlistahiri kuchukua hataaa zote.....
From namibia I like your movie to much braaaa
kali sana nimependa kazi yenu kudos❤❤❤❤ movie nzuru yenye mafunzo ndani yake❤❤❤❤❤
Oa bon unajua kinoma mwanangu nakubali sanaaaa🎉🎉🎉🎉
📢 give your life to god the fine and near
Hongeren wakuu🙌❤❤❤❤
Ila nala
Kazi nzuri sana
Much love and happy from Kenya ❤❤Guys like back 😢
Nimeipenda nataman siku nifanye kazi na nyinyi ivi mko mkoa ngani
Ni Mbeya city 🏙️ Tanzania 🇹🇿 but popote ulipo kazi inakufikia,,,,,,,,,,
Wapo mbeya
Mbeya moja hyo ndug
Mbeya
Kazi safi ❤❤
Maaskari Wanoko Hao Ndio Tupo Pamoko...|...Sio Wale Wanaojifanya Wakali Kama MOTO!! AHAHA
Big up sana kamanda 🔥💪🏿🔥
Saf sana hii🎉🎉🎉🎉
BIG UP TO YOU... KAZI NZURI SANA...👋👋👋👋👋
Nmeipenda
Unajua adi umepiliza Benroyal🙏🙏🙏🙏
very good,this why i love ben roys pictures so much❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kabisa🔥🔥🔥
Nimeipenda xana aisee mnajua
Asante sana kwa movie ❤
Ila Nala mzalendo ni mkali 🎉❤
Nice
Yani ben bro hauna baya ❤❤❤❤
Kazi mzuri sana
😂😂mamaaaae bongo
Jmn nimependa hii mov ❤😊 huyu kaka alomsaidia wakina roda naomba namba yako 😊😅
Kaz nzur watu wangu nawapenda sana mubarikiwe kutoka Kenya ❤❤❤
Appreciate +1000+appreciation
Iyi movie inabidi iyende Netflix 🔥🔥🔥🔥😭😭🔥🔥🔥
Mali vipi iliishia hapo ama vipi following from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Huyu mdogo wangu anacheza na kilo huwa namkubali sana 🥋 respect kwa team nzima
❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya tunaikubali KAZI likes zikuje kwa wingi
Loved to see the saga unfold the actions scenes👊🏿
Nikiangalia Netflix Tanzania ni hawa ❤
❤❤❤ nimpenda mchezo mlionesha watu wanaokimbilia mjini eti kunamaisha mazri atauwenazo kuishi mjini nihakili yakichwani
Safi kabisa inaerimisha , inaburudisha na inatujenga pande zote (me na ke) PONGEZI KWENU BEN....PICTURE
Mnastahili maua yenu, kazi nzuri sana
Dude lingine hilo
sema marasta kanikosha sana kama cybolg
Hiii nimeipenda bonge la ujumbe 😂😂😂😂
Nimependa
You are the Best in Tanzania. I really appreciate your works.
❤❤
Leo kwa mar ya kwanz polis wamewAh nmezoea kuon stering anamalz😅😅😅
Kazi nzuri
nyie jama hua mnajua sema location zetu tz na vifaa bado sana
Siwezi kosa move ya Huyo jamaa wa shart ya yellow nakupenda Bure brother
🙌🏾
nikisema BEN deserve sth ROYAL sijui kama tunaelewana #fuegooo🔥🔥🔥
Kodo we mjinga unalitendea haki bando langu,, Koh mmeona we na mwalimu mpige mtu kabra ya FFL 😂😂😂,, tunasubir kule kitu atakufanya😂😂 ila action unacheza
💪🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎉🎉🎉
Akika munawakilisha
Kwangu mimi, hii ndiyo sinema bora zaidi ya Kiafrika. Hongera sana. Mimi ni hasani Chauke kutoka Afrika Kusini.❤ "Pesa ziko wapi?".
You people are the one that should be on top in film industry. Your work is always amazing. ❤❤❤❤
Thank you so much 😀
Jamani jamani ili zigo ni shidaaa,🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Leave a like here
MALI tumalizien 😢😢
Benrayal mko poa sana mna fanya vizuri sana mbeya mko bomba sana
More blessed benroyal we're appreciate ur bro👊
Kumbe cheupe nae yumoo kwenye mkono japo kapigwa😂😂
Nakubaliii 💯💯✅
Wanagu man mbeya man
Who is watching know,,,like this time
Kama una mkubali peter mwasomola gonga like
Nice one
Much love from +254
Munaweza Ila
Juudi mbele
Nipe like zangu
Hongera nyingi Sana mkuu... Tulionana Kunduchi Beach, Dar es Salaam pale soko la dagaa skupata Muda wa kuongea mengi na wewe ila kupitia hii kazi now I understand that you deserve it BENROYAL 🔥🤝🙏
Watching the movie from Maua, Meru County of Kenya.
Move nzuri zaidi
Sir benard edson