Daah hongereni munajua stor kar director anajua benroy boreshen tencnology kdg2 mutakuwa km watu wambele huko munajua kuipangilia stor jins inavyo anza kma moves za nje
Nice one my Africans brother you guys did a nice job, but do you guys truly fight kung-fu in real life because it will be interesting oo😂❤ make I come lean😅
Tobias nakupenda from Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Dah hamjawah kunianguxha wanangu nawapenda sana big up xana benroy picture tuko pamoja
iko powa safi sana nara uko powa ongeza nkidogo uwezo
Kazi safii wakuu😘😘
Mnajitahidi sana ndugu zangu Mungu awabariki sana
Kazi ni mzuri sana❤❤
Hongereni jamani👏 mmeweza🔥
Kwa kwl hii kazi nzuri
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Nimejifunza sana msonjo from kenya ❤ big love jamaaa ,
Nakubali sana benloyar pamoja na tim yako
I didn't know you guys have a such nice African action movies like this, you guys are amazing ❤much love from Ghana 🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭
Thank you
Benroyal movies mashabiki tunafurahia Kwa kazi nzr
Bongo kumbe mkiwa serious anaweza
Napenda hawa jama ,Bonny thubaa , na marimu I love it this guy's good 👍 action ❤❤❤❤
Mambo moto moto 🔥🔥🔥🔥🇰🇪
Daah hongereni munajua stor kar director anajua benroy boreshen tencnology kdg2 mutakuwa km watu wambele huko munajua kuipangilia stor jins inavyo anza kma moves za nje
Safi sana🔥🔥🔥
Kazi nzuri saaaana imeisha lakin nataman niendeleee kuangalia😢
Mbona location naona kama green city home kabisaaaaaaaa. Safi sana
Safi sana❤❤❤
You're so smart Tobias 👍👍
Mko vizuri sana mnastahili mituzo mikubwa ya Africa
Safi sanaa nime ikubalii ngomaaa❤
Your are good for movies big up.
Mnafanya vizuri sana hasa bonny anajua Mpaka basii sisi on fire 🔥
Dah movie kali sana kumbe kuna watu wanajuwa kufanya eeh nala nakukubal usiach keep it up
Nyie jamaa mnajua halafu mnajua tena hongereni sana 👏👏👏👏👏
Nmekuwa wa kwanza kulike na kucomment naombeni likes zangu jaman
Aaa I wish ninge kua hapo ukimchungulia 😂😂❤ nawapenda sana
Sisi, Best of the best and i never seen.
Mko sawa
Wooow
love from kenya
🔥🔥🔥💯💯💯
Nyie jamaa nawakubali sana,hamuna mbaya,mnajuwa mpaka mnakera,story zenu ni nzuri,na zenye kufahamika,hongereni sana
May God bless you man❤❤❤❤
Hongerani sana kwa kazi nziri❤❤❤
Mmeupiga mwingi aiseee
First
❤❤❤ and like it
Haahaahaahaahaahah mali iko poa sana
😂😂😂😂😂❤❤🔥🔥💪
I'm first
Wa kwanzaaa
Nimefurahi sana mlivyo iwekahivi shukurani
👍👍
Very creative actors and they measure what they say I'm proud of u
Been watching part 1 & 2 of this movie ... I liked it ...good job guys☺️
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Actually I real love and enjoy watching Benroyal movie well done keep up good work ,
Movie nzuri sanaaa
So nice movie big up boys
Aisee wako vzur sana wazid kubarikiwa na waweze kutoa zingne zenye kufundisha
Congratulations guys woow good job 💪
Ilahawa wajamaa wamejuwa kunifurahisha eti wew hapa nayeye hapa nabunduki hapa 😅😅😅😅😅😅😅😅
Nice one my Africans brother you guys did a nice job, but do you guys truly fight kung-fu in real life because it will be interesting oo😂❤ make I come lean😅
Niko.hapa.kutoka.kenya.yaani.mnajua.ata.mnajua.tena😊
ⁿⁱᶜᵉ ᵐᵒᵛⁱᵉ
nice
Nawakubali xana wanangu natamani Hadi na Mimi niwe muigizaji mzur kama nyie brother's
Daaah jamaa umetsha jamaa dah jama noma sana jamaa stor imenyooka jamaaaa😂😂e
Your a genius on schenes and action your the best in Tz
🇹🇿Inapepea mdogo mdogo.🇹🇿
Mawaona mbaka wa nyumba. Uko vizur sana jaman
I am in love with thobias guy aki from Kenya....he is very cute😮
Wow so nice🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Benroyo nataka kufanya moves nanyny
Hii kazi naiona ina part 2 kabisa
Ongereni
Nice job😊
fantastic
Thanks
I am glad, Africans are making movie
SISI the best series ever ❤
From rwanda My favorite channel
wooow Africans, proud of you brothers
Boniiiiiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉kongole
Good job miamba ya mbeya❤❤
Wooowww beautiful
May u use englishas that one. But all in guys u ar well talented
Nice this 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Love from pader, uganda
Good movie
Nimeangalia alama ya kengere but sijui ni ipi hiyo
Wanangu moves zenu nasifuayilia mnoo na mkovizuri sanaaa
Kama ningekuwa rais ningewapa tuzo bora kwa move hii nimependa sana. Lakini Tobi nafurai sana kumwona
Safi Sana kazi nzul Niko pamoja nanyi
Mko vizuri wazee
🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
Hii movie ni 🔥🔥
Nawakubali
Waisaaaaa 😅😅😅😅
This is my favourite series ever #sisi big up sana mzee
I want part 3 guys please ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbeya sweet
you are the best
Wow mko vizr san hongeren🤞❤️
Hii ndio yenyewe sasa
Ben naona finder zangu bado zinanoga kwenye gari yako
Lete jina bhana weee
Kazi zenu mnafanya vizuri sana sana, Ingieni mkataba na Azam tv au na kampuni zingine, mshakuwa wakubwa sasa.
Kwan ukubwa nikuonekana azam?