Mo Dewji 'atinga' kambini Simba, azitaja bilioni 20
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- Mwekezaji wa Simba SC na Rais wa heshma Mohamed Dewji amefika katika kambi ya klabu hiyo, azitaja shilingi bilioni 20 na kuwaita mashabiki dimbani Benjamin Mkapa Jumapili.
Safi Sana boss this is simba 💪💪💪usikatishwe tamaa na watu wabaya hasa wa upande wa pili bosi hawaitakii mema timu yetu. SIMBA SC NGUVU MOJA. ❤️❤️🦁🦁💪
Mo boss wa Simba lakini anaongea Kwa nisamu kubwa kueshimu club hii Kwa ujumla pamoja na mashabiki pia nae inapazwa aheshimiwe na mashabiki 👍🔥
What I love about Mo is his humbleness, respect and devotion to the society. May god continue to bless him abundantly and live longer. I need to see him do great.
Nakubaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moooooooooooooooo dewj
Vumilia BOSS iko siku mungu atatujalia kelele zote zitaisha
Haya muendelee kuropoka sasa Boss wa nchi huyo apo 😂😂😂😂😂😂
Mo ana akili sana na ana maono ya mbali kwa klabu yetu ya simba🦁❤️..#Nguvumoja
Boss wetu SSC
Midomo kimyaaaaaaaa,ongeeeni mengne mjibiweeeee.Big boss in da building
niliwekeza bilion 20 kabla ya hapo niliwkeza bilion 25 jumla 85 mmmh lazma uwe tajir kama unazdisha masifur hv
Asante baba tupo pmj Simba nguvu moja
Ahsante Mo
Wewe ni mkuku wa boti
Mkuku ni gogo kumbwa lililochongwa ili kutengeneza bot bila ya mkuku huwezi kutengeneza bot
Unaeka mkuku ndio unapanga mbao zako na kuzisanifu mpaka unapata chombo ambacho cha uhakika kinacho elea kwenye maji
Hongera sana Kiongozi
Na waungwana husema kutowa si utajiri kutowa ni moyo.
Mwenyezi mungu akujaalie barka kwenye biashara yako
Amiin
Hakuna Kama MO simba number one
Mo Mo Mo the King talk nifuraha sana
GSM kakimbia hameona dalili sio nzuri. Yatakaa moyo
Mbona hii ya mwaka 2022
Do!! Umeshatumia bilion 25 na umetoa billion 20 safi saana unaipenda kweli simba ila kibiashara sidhani kama utarudisha hizo hela mpaka unakufa we toa tu natoanatoa mpaka ndio mapenzi ya dhati safi saana mo komaa utachukua club bigwa siku moja wa dunia
Walio na pesa zao wanahojiw na wenye pesa zao
Midi muhuni Sana 25+20=85
Ukweli Nikwamba Kuwekeza Ndani Yasimba Nikhasara. Tuwe Waelewa.
Moo hongera sana jitihada zako zipo wazi
Daaaah,mo hongera sana mungu akupe maisha malefu
Amiin
Safi Sana bos wanaokuchukia ote wasenge
Pamoja sana rais wetu wa msimbaz tuheshimishe
Khasante MO kwa kutuunguzia kiingilio this is simba
Mo,,,,, Nguvu moja aaaaaa 💪💪💪💪💪
GSM ataikimbia hadi YANGA siyo ligi kuu2
Safi sana Raisi wa heshima
Mungu azidi kukulinda, ❤❤❤kilalkher
Amiin
Baba usi sikize mambo ya chai
Kweli Sana boss simba
Mo safii Sana tujengee Simba yetu
Nakubr Sana
Huyu ndio tajiri sasa siyo wale UTOPOLO tajiri wao kaingia mitini na mkataba wao feki wakuungaunga
The great one ananena simba nguvu moja
} plop} oo{{6yh
Tatizo LA mo atutolele viongoz wasimba awafai
Mo unajua kutufurahisha wanasimba,,Nguvu moja
Mimi ni simba lakini we won't catch Al ahly like the way he says #but hio kauli ya kuwekeza simba ni hasara sio nzuri tumehuzunika sana wana simba, tunachangia hela japo kdg kdg kwa mapenzi.
Safi sanaa tajiri na kumi na 15 Africa mashariki nakati
Tumia pesa zako boss ujaaazma kwa mtu tuko na wew ss wanasmba
Zake au za urithi
Mo, mimi ninakushukuru sana kwa kuendelea kuwekeza na pia kwa kujitoa kwa kujitoa kwako kwenye Simba Sports Club.
Basilisheni viongozi ACHENI bwebwe lazivyo Kila siku Simba itasambaratika mnakubatia viongozi hawana faida hamuonani watani wetu
The big boss
Big boss SIMBA NGUVU MOJA ☝️
Uko sawa Bo's 🦁💪
Moooo pambana maana sisimashabiki wasimba macho yetu wooote tunakuhangaliha ww mungu hakubaliki sana
Amiin
timu iliitaji mabadiliko makubwa cna ukiiangalia kwakuletwa wachezaji wenye viwango kulingana na timu ilivyokua
kakosea jamani alitaka kusema 45 ila tupo pamoja boss mo
Ulikuwa nae huyu msanii ty
Mo anaongea ukweli mtupu Simba bado inajiendesha kwa hasara huo ndio ukweli hakuna kupindisha maneno mwenye kutaka kupotosha maneno yake muache apotoshe ila ukweli mchungu lakini una Afya.
Mkuu ahsante!! Pamoja.
Tha bg boss congraturarion.
Turudishie furaha wana simba
MO umeongea vizuri sana ila mwangalie huyo anaye kuhoji ni mnafiki asije akakuchonganisha na wana simba kama alivyo wachonganisha azam na yanga kwa mahojiano yake na mayele
Simbaaaaa safiiii
Mathematics nilijuaga Ni ngumu kwangu 2 kumbe hata kwa wengine Ni hivohivo
Asante sana boss wetu Mo 👏👏👏
Simba 💪💪💪
Yessss big tupo pamoja
Yaani huyu Mohammed anaongopa mpaka anasahau unasema anatumia bilioni 25 Kala hajawekeza bilioni 20 jumps inakuwa 85 au mimi nimemsikia vibaya..nisaidieni jamani
Miyayusho huyoo
Upo makini sanaaa
Wewe hona pesa
Simba ina wanachama, wapenzi na mashabiki wasiopunguwa milioni 3. Kama kila mmoja atachangia 10,000 tu hela ya ujenzi wa uwanja inapatikana. Shime tuchangie
Simba imekuwa tishio saivi kwa sababu ya mo kuwekezaa tunaweza kusaji wachezaji wazuri akiendelea kidogo tutakua mbali sn
UTOPOLO endeleeni kubwabwaja tu eti Mo kajitoa leo mnamuona huyo apo
Mtamuua kwa mawazo jamani mwee🙏🙏🙏💚💛💪
Uwezi fanya interview bila kutaja billion Muhindi wa mchongo
Mashabiki jitokezeni nyie,yaani mpaka huruma aisee,bila mashabiki hakuna timu,m'mekula ng'ombe mzima mkia uliobaki umalizieni mkiwa wote,msiachane maana mawazo ya wengi sio sawa na mtu m'moja,jahazi mzame nalo mkiwa wote🙏🙏🙏💚💛💪💪💪💪💚💚💚💚mtasusaje?shabiki wa kweli hasusii,kajazeni uwanja,huu mchezo hauhitaji hasira🤣🤣🤣nyie kavu nn
bos,hatuna,washambuliaji
Wanao kejeli juu ya huu uwekezaji na hizi billions mbona hamuumii uwekezaji wa timu za ulaya na Bado mabandani hamkosi mechi
Baba, mo dewji, ubarikiwe, ulalapo, uamkapo, utembeapo, na ukaapo kwenye kiti.
Mimi umekuwa mbunge wangu, nakufahamu, haukuwa mtu wa maneno, ulikuwa mtu wa vitendo.
Wanaosema, niwasio kujua, nimewahi kuwa mlinzi wako nikiwa na kampuni ya ulinzi ikiitwa kirumi security, nakufahamu fika, usiwe na moyo wa kupinda kwa maneno ya watu.
Tembea kifua mbele mo, wachezaji wasimba wakusikie, wakuelewe fika.
Simba mkimpoteza mo dewji, mmekosa yote, huyu bwana mimi hanijui ila mimi mo namfahamu akiwa mbunge singida, na nilipokuwa mlinzi kiwanda chake cha nguo morogoro.
Nawaomba wachezaji simba wajitahidi kututoa nao matongotongo, maana hawatalia nguo, kiatu, sokisi, wala njaa, kila kitu mo anacho.
Et 85 bilioni broo wadanganye watu wa hait sio bongo
Tajili safi sana
Big brain always is think big be bless brother and that's how sharks on the meat thinks not like tilapia. Itachukua miaka Kumi Kwa mpumbavu kukuelewa Tena Kwa kiboko na makwezi. 🤔🤔🤔🧐🧐🤔🤫🤫🤫🤫🤫 Usimuamshe alie lala.
Mo mo mo saruti kwako oyeeeeeee
nyie wehu muacheni boss wetu
Saafe sana Boss
Rais simba nguvu moja
This is Simba
akuna muhind anayefanya biashara ya hasaraaa usaidii simba bali mnasaidiana kumbuka ulivyoizamn Africa Lyon ulikuaa bilionea but tangu uwekeze simba mambo yako yanaenda sawa
Mo wewe ni mtu ambayo unajitahidi
Xaw
Hongereni sana
Team Simba woteee wekeni like zenu Hapaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
👍👍👍👍
Achanana mo mutumbaya sana anamiliki pesa atawatuwanajiuliza
Uyu nae kama dem anasusasusa sana
Demu ni wewe kiande mkubwa.
Boss
Qatar al thani mansoor anaitaka simba, mo achia...c hasara ? Unang'ang'ania nn
simba oyee
Asante MO
Mhhh!! Mhe Bilionea 😁😀😀 Dahh haya bhaana Danganya tuu uwanja niwako 😁😀😀
Gb 64 laana yake kwa kumueka ndani, tunamuomba mungu mfungwe 8-0.
kama unapata hasara simba c uondokee.. warabu wanaitaka from Qatar.. wee huna elaa
Kama umeuwa viwandani vya chai ndio utaweza kuendesha simba nayo simba itakufa
Shindwa kwa nguvu za mungu ee mungu pambana na maadui wt na wanga na wachawi na hasadi zao Washindwe waangamie Simba oyee
Hatujii uwanjani tenaa.. free gb 64.
Hii suti ndo zile alizo sema manala kwamba ukiichana unapata mapazia
Ya kwako iko wapi
ajitahidi kubosha timu na wachezaji muda mwengine hawajitumi
broo moo broo tunakukubali sana plz usituache mkono
Haka tu kajamaa katajiri mbona kadogodogo tu😍🤣🤣🤣🤣
Namkubali sana moo
Hata mkisemaa buree hatujii...free gb 64
Timu yetu ndugu 😂😂😂😂
PAMOJA KIONGOZI,WE WILL BE OVER THERE