Mo Dewji 'atinga' kambini Simba, azitaja bilioni 20

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Mwekezaji wa Simba SC na Rais wa heshma Mohamed Dewji amefika katika kambi ya klabu hiyo, azitaja shilingi bilioni 20 na kuwaita mashabiki dimbani Benjamin Mkapa Jumapili.

Комментарии • 254

  • @agriciusruchius3199
    @agriciusruchius3199 2 года назад +3

    Safi Sana boss this is simba 💪💪💪usikatishwe tamaa na watu wabaya hasa wa upande wa pili bosi hawaitakii mema timu yetu. SIMBA SC NGUVU MOJA. ❤️❤️🦁🦁💪

  • @eneawkadege6062
    @eneawkadege6062 2 года назад +4

    Mo boss wa Simba lakini anaongea Kwa nisamu kubwa kueshimu club hii Kwa ujumla pamoja na mashabiki pia nae inapazwa aheshimiwe na mashabiki 👍🔥

  • @niknik8276
    @niknik8276 2 года назад

    What I love about Mo is his humbleness, respect and devotion to the society. May god continue to bless him abundantly and live longer. I need to see him do great.

  • @SikituKalibubuke
    @SikituKalibubuke 2 месяца назад +1

    Nakubaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moooooooooooooooo dewj

  • @zahoronassoro4758
    @zahoronassoro4758 9 месяцев назад +1

    Vumilia BOSS iko siku mungu atatujalia kelele zote zitaisha

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 2 года назад +5

    Haya muendelee kuropoka sasa Boss wa nchi huyo apo 😂😂😂😂😂😂

  • @iam_lasco
    @iam_lasco 2 года назад +6

    Mo ana akili sana na ana maono ya mbali kwa klabu yetu ya simba🦁❤️..#Nguvumoja

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 2 года назад +2

    Boss wetu SSC

  • @mwanaidian2994
    @mwanaidian2994 2 года назад +2

    Midomo kimyaaaaaaaa,ongeeeni mengne mjibiweeeee.Big boss in da building

  • @CSMAPESA
    @CSMAPESA 2 года назад +3

    niliwekeza bilion 20 kabla ya hapo niliwkeza bilion 25 jumla 85 mmmh lazma uwe tajir kama unazdisha masifur hv

  • @semenimasalu8776
    @semenimasalu8776 2 года назад +1

    Asante baba tupo pmj Simba nguvu moja

  • @ahmedalmiskry6374
    @ahmedalmiskry6374 Год назад

    Ahsante Mo
    Wewe ni mkuku wa boti
    Mkuku ni gogo kumbwa lililochongwa ili kutengeneza bot bila ya mkuku huwezi kutengeneza bot
    Unaeka mkuku ndio unapanga mbao zako na kuzisanifu mpaka unapata chombo ambacho cha uhakika kinacho elea kwenye maji
    Hongera sana Kiongozi
    Na waungwana husema kutowa si utajiri kutowa ni moyo.
    Mwenyezi mungu akujaalie barka kwenye biashara yako
    Amiin

  • @khamisikapopo9356
    @khamisikapopo9356 2 года назад +1

    Hakuna Kama MO simba number one

  • @nifurahamwakabuli2590
    @nifurahamwakabuli2590 2 года назад +1

    Mo Mo Mo the King talk nifuraha sana

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 года назад +1

    GSM kakimbia hameona dalili sio nzuri. Yatakaa moyo

  • @AminiMuhammed-pi6dx
    @AminiMuhammed-pi6dx Месяц назад +1

    Mbona hii ya mwaka 2022

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад +2

    Do!! Umeshatumia bilion 25 na umetoa billion 20 safi saana unaipenda kweli simba ila kibiashara sidhani kama utarudisha hizo hela mpaka unakufa we toa tu natoanatoa mpaka ndio mapenzi ya dhati safi saana mo komaa utachukua club bigwa siku moja wa dunia

  • @zanzibar.
    @zanzibar. 2 года назад +3

    Walio na pesa zao wanahojiw na wenye pesa zao

  • @bakarimkunyulia6687
    @bakarimkunyulia6687 2 года назад +2

    Midi muhuni Sana 25+20=85

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 2 года назад +1

    Ukweli Nikwamba Kuwekeza Ndani Yasimba Nikhasara. Tuwe Waelewa.

  • @shabanimshamu9012
    @shabanimshamu9012 2 года назад +1

    Moo hongera sana jitihada zako zipo wazi

  • @HassaanMarco
    @HassaanMarco Месяц назад

    Daaaah,mo hongera sana mungu akupe maisha malefu

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o Месяц назад

    Safi Sana bos wanaokuchukia ote wasenge

  • @FransSesa-yi5ht
    @FransSesa-yi5ht 2 месяца назад

    Pamoja sana rais wetu wa msimbaz tuheshimishe

  • @moseskyaman9323
    @moseskyaman9323 2 года назад

    Khasante MO kwa kutuunguzia kiingilio this is simba

  • @jumandagara1755
    @jumandagara1755 2 года назад +1

    Mo,,,,, Nguvu moja aaaaaa 💪💪💪💪💪

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi5677 2 года назад +2

    GSM ataikimbia hadi YANGA siyo ligi kuu2

  • @hulilodonard5524
    @hulilodonard5524 2 года назад +1

    Safi sana Raisi wa heshima

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 Месяц назад

    Mungu azidi kukulinda, ❤❤❤kilalkher

  • @JumaWamlola
    @JumaWamlola 2 месяца назад +1

    Baba usi sikize mambo ya chai

  • @jonasdonart3408
    @jonasdonart3408 2 года назад +1

    Kweli Sana boss simba

  • @kassimuissa-gd4cx
    @kassimuissa-gd4cx 2 месяца назад

    Mo safii Sana tujengee Simba yetu

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 2 года назад +1

    Nakubr Sana

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад +1

    Huyu ndio tajiri sasa siyo wale UTOPOLO tajiri wao kaingia mitini na mkataba wao feki wakuungaunga

  • @sherizyedward2031
    @sherizyedward2031 2 года назад

    The great one ananena simba nguvu moja

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 4 месяца назад +1

    Tatizo LA mo atutolele viongoz wasimba awafai

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 2 года назад +1

    Mo unajua kutufurahisha wanasimba,,Nguvu moja

  • @allyahmed8415
    @allyahmed8415 2 года назад

    Mimi ni simba lakini we won't catch Al ahly like the way he says #but hio kauli ya kuwekeza simba ni hasara sio nzuri tumehuzunika sana wana simba, tunachangia hela japo kdg kdg kwa mapenzi.

  • @johnjohnmollel7411
    @johnjohnmollel7411 2 года назад

    Safi sanaa tajiri na kumi na 15 Africa mashariki nakati

  • @richardmakene7780
    @richardmakene7780 2 года назад +2

    Tumia pesa zako boss ujaaazma kwa mtu tuko na wew ss wanasmba

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo1192 5 месяцев назад

    Mo, mimi ninakushukuru sana kwa kuendelea kuwekeza na pia kwa kujitoa kwa kujitoa kwako kwenye Simba Sports Club.

  • @user-hh4ex7ps7h
    @user-hh4ex7ps7h 4 месяца назад

    Basilisheni viongozi ACHENI bwebwe lazivyo Kila siku Simba itasambaratika mnakubatia viongozi hawana faida hamuonani watani wetu

  • @MrBm369
    @MrBm369 2 года назад +1

    The big boss

  • @habibunundanunda6227
    @habibunundanunda6227 2 года назад

    Big boss SIMBA NGUVU MOJA ☝️

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 2 года назад +1

    Uko sawa Bo's 🦁💪

  • @GilbethChamembe
    @GilbethChamembe 2 месяца назад

    Moooo pambana maana sisimashabiki wasimba macho yetu wooote tunakuhangaliha ww mungu hakubaliki sana

  • @hassanabo4214
    @hassanabo4214 2 года назад +1

    timu iliitaji mabadiliko makubwa cna ukiiangalia kwakuletwa wachezaji wenye viwango kulingana na timu ilivyokua

  • @sleimannassor8931
    @sleimannassor8931 2 года назад +2

    kakosea jamani alitaka kusema 45 ila tupo pamoja boss mo

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze405 2 года назад +1

    Mo anaongea ukweli mtupu Simba bado inajiendesha kwa hasara huo ndio ukweli hakuna kupindisha maneno mwenye kutaka kupotosha maneno yake muache apotoshe ila ukweli mchungu lakini una Afya.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 года назад

    Mkuu ahsante!! Pamoja.

  • @jeromemuhando5074
    @jeromemuhando5074 2 года назад

    Tha bg boss congraturarion.

  • @BarakaJackson-nu3jz
    @BarakaJackson-nu3jz 2 месяца назад

    Turudishie furaha wana simba

  • @fabianimashindike3272
    @fabianimashindike3272 4 месяца назад

    MO umeongea vizuri sana ila mwangalie huyo anaye kuhoji ni mnafiki asije akakuchonganisha na wana simba kama alivyo wachonganisha azam na yanga kwa mahojiano yake na mayele

  • @wijotv
    @wijotv 2 года назад

    Simbaaaaa safiiii

  • @mosessmayunga9974
    @mosessmayunga9974 2 года назад +1

    Mathematics nilijuaga Ni ngumu kwangu 2 kumbe hata kwa wengine Ni hivohivo

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 2 года назад

    Asante sana boss wetu Mo 👏👏👏

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 года назад

    Simba 💪💪💪

  • @peterfesto3150
    @peterfesto3150 2 года назад +1

    Yessss big tupo pamoja

  • @zainabsaid9264
    @zainabsaid9264 2 года назад +3

    Yaani huyu Mohammed anaongopa mpaka anasahau unasema anatumia bilioni 25 Kala hajawekeza bilioni 20 jumps inakuwa 85 au mimi nimemsikia vibaya..nisaidieni jamani

  • @LabaraniNduya-g4f
    @LabaraniNduya-g4f Месяц назад

    Wewe hona pesa

  • @nasorohemedi7334
    @nasorohemedi7334 2 года назад

    Simba ina wanachama, wapenzi na mashabiki wasiopunguwa milioni 3. Kama kila mmoja atachangia 10,000 tu hela ya ujenzi wa uwanja inapatikana. Shime tuchangie

  • @petercosta1317
    @petercosta1317 2 года назад

    Simba imekuwa tishio saivi kwa sababu ya mo kuwekezaa tunaweza kusaji wachezaji wazuri akiendelea kidogo tutakua mbali sn

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад +2

    UTOPOLO endeleeni kubwabwaja tu eti Mo kajitoa leo mnamuona huyo apo

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 4 месяца назад

    Mtamuua kwa mawazo jamani mwee🙏🙏🙏💚💛💪

  • @bennykatonkola496
    @bennykatonkola496 2 года назад +2

    Uwezi fanya interview bila kutaja billion Muhindi wa mchongo

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 4 месяца назад

    Mashabiki jitokezeni nyie,yaani mpaka huruma aisee,bila mashabiki hakuna timu,m'mekula ng'ombe mzima mkia uliobaki umalizieni mkiwa wote,msiachane maana mawazo ya wengi sio sawa na mtu m'moja,jahazi mzame nalo mkiwa wote🙏🙏🙏💚💛💪💪💪💪💚💚💚💚mtasusaje?shabiki wa kweli hasusii,kajazeni uwanja,huu mchezo hauhitaji hasira🤣🤣🤣nyie kavu nn

  • @husseinhussen6836
    @husseinhussen6836 2 года назад +1

    bos,hatuna,washambuliaji

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 2 года назад +1

    Wanao kejeli juu ya huu uwekezaji na hizi billions mbona hamuumii uwekezaji wa timu za ulaya na Bado mabandani hamkosi mechi

  • @bictonykeraryo3900
    @bictonykeraryo3900 2 года назад +2

    Baba, mo dewji, ubarikiwe, ulalapo, uamkapo, utembeapo, na ukaapo kwenye kiti.
    Mimi umekuwa mbunge wangu, nakufahamu, haukuwa mtu wa maneno, ulikuwa mtu wa vitendo.
    Wanaosema, niwasio kujua, nimewahi kuwa mlinzi wako nikiwa na kampuni ya ulinzi ikiitwa kirumi security, nakufahamu fika, usiwe na moyo wa kupinda kwa maneno ya watu.
    Tembea kifua mbele mo, wachezaji wasimba wakusikie, wakuelewe fika.
    Simba mkimpoteza mo dewji, mmekosa yote, huyu bwana mimi hanijui ila mimi mo namfahamu akiwa mbunge singida, na nilipokuwa mlinzi kiwanda chake cha nguo morogoro.
    Nawaomba wachezaji simba wajitahidi kututoa nao matongotongo, maana hawatalia nguo, kiatu, sokisi, wala njaa, kila kitu mo anacho.

  • @osianamwaiteleke5985
    @osianamwaiteleke5985 2 года назад +1

    Et 85 bilioni broo wadanganye watu wa hait sio bongo

  • @brenthylland2507
    @brenthylland2507 2 года назад

    Tajili safi sana

  • @noelakamala628
    @noelakamala628 2 года назад

    Big brain always is think big be bless brother and that's how sharks on the meat thinks not like tilapia. Itachukua miaka Kumi Kwa mpumbavu kukuelewa Tena Kwa kiboko na makwezi. 🤔🤔🤔🧐🧐🤔🤫🤫🤫🤫🤫 Usimuamshe alie lala.

  • @OscarMsaku-x1y
    @OscarMsaku-x1y Месяц назад

    Mo mo mo saruti kwako oyeeeeeee

  • @michaeljohn571
    @michaeljohn571 2 года назад +1

    nyie wehu muacheni boss wetu

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 2 года назад

    Saafe sana Boss

  • @mashaloyuzo1296
    @mashaloyuzo1296 2 года назад

    Rais simba nguvu moja

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 года назад

    This is Simba

  • @babafetty136
    @babafetty136 2 года назад

    akuna muhind anayefanya biashara ya hasaraaa usaidii simba bali mnasaidiana kumbuka ulivyoizamn Africa Lyon ulikuaa bilionea but tangu uwekeze simba mambo yako yanaenda sawa

  • @joannajaszczolt6192
    @joannajaszczolt6192 2 года назад +2

    Mo wewe ni mtu ambayo unajitahidi

  • @JacksoniAlfonce
    @JacksoniAlfonce Месяц назад

    Xaw

  • @palepale7768
    @palepale7768 2 года назад

    Hongereni sana

  • @susanlazaro8956
    @susanlazaro8956 2 года назад +6

    Team Simba woteee wekeni like zenu Hapaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @zakalianyauniqo514
    @zakalianyauniqo514 Год назад

    Achanana mo mutumbaya sana anamiliki pesa atawatuwanajiuliza

  • @maulidkiswaga1906
    @maulidkiswaga1906 2 года назад +1

    Uyu nae kama dem anasusasusa sana

  • @AidanLivinn
    @AidanLivinn Месяц назад

    Boss

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 месяца назад

    Qatar al thani mansoor anaitaka simba, mo achia...c hasara ? Unang'ang'ania nn

  • @assengakelvin4805
    @assengakelvin4805 Год назад

    simba oyee

  • @mshamhemedy8567
    @mshamhemedy8567 Год назад

    Asante MO

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 2 года назад

    Mhhh!! Mhe Bilionea 😁😀😀 Dahh haya bhaana Danganya tuu uwanja niwako 😁😀😀

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 месяца назад

    Gb 64 laana yake kwa kumueka ndani, tunamuomba mungu mfungwe 8-0.

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 месяца назад

    kama unapata hasara simba c uondokee.. warabu wanaitaka from Qatar.. wee huna elaa

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 месяца назад

    Kama umeuwa viwandani vya chai ndio utaweza kuendesha simba nayo simba itakufa

    • @khadijahussein5298
      @khadijahussein5298 Месяц назад

      Shindwa kwa nguvu za mungu ee mungu pambana na maadui wt na wanga na wachawi na hasadi zao Washindwe waangamie Simba oyee

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 месяца назад

    Hatujii uwanjani tenaa.. free gb 64.

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 2 года назад +1

    Hii suti ndo zile alizo sema manala kwamba ukiichana unapata mapazia

  • @AbdallaOthman-ny8hp
    @AbdallaOthman-ny8hp 4 месяца назад

    ajitahidi kubosha timu na wachezaji muda mwengine hawajitumi

  • @salimnondoTv
    @salimnondoTv 2 года назад

    broo moo broo tunakukubali sana plz usituache mkono

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 года назад

    Haka tu kajamaa katajiri mbona kadogodogo tu😍🤣🤣🤣🤣

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 2 года назад

    Namkubali sana moo

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 месяца назад

    Hata mkisemaa buree hatujii...free gb 64

    • @OinothMunga
      @OinothMunga 4 месяца назад

      Timu yetu ndugu 😂😂😂😂

  • @emmyjosia4488
    @emmyjosia4488 2 года назад +1

    PAMOJA KIONGOZI,WE WILL BE OVER THERE