Ijue Idara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Chuo cha Ufundi Arusha (ATC)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2023
  • Chuo kinatoa mafunzo kwa wale wanaotaka kufanya mitihani ya National Vocational Awards I - III
    (NVA I - III) katika fani za:
    1. Biashara (Business Operation Assistant)
    2. Utalii (Tour Guiding)
    3. Ukataji na Uchongaji wa Madini (Gemstone Cutting and Polishing)
    4. Uchoraji wa Ramani (Civil Draughting)
    5. Maabara Msaidizi (Laboratory Assistant)
    6. Tehama (Information and Communication Technology)
    7. Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics)
    8. Ufundi wa Umeme wa Magari (Auto Electrical)
    9. Ufundi wa Umeme wa Majumbani (Domestic Electrical Installation)
    10. Ufundi Electroniki (Electronics)
    11. Ufundi Ujenzi (Masonry and Brick Laying)
    12. Ujenzi na ukarabati wa barabara (Road Construction and Maintenance)
    13. Ufundi Selemara (Carpentry and Joinery)
    14. Ufundi wa Viyoyozi na Majokofu (Refrigeration and Air Conditioning)
    15. Ufundi Mitambo (Fitter Mechanics)
    16. Ufundi wa Uchomeleaji na Uhunzi wa Vyuma (Welding and Metal Fabrication)
    17. Ufundi Bomba (Plumbing and Pipe Fitting)
    18. Ufundi wa Uchongaji wa Vyuma na Vipuli (Fitting and Machining)
    19. Ufundi wa Mitambo ya Uzalishaji wa Umeme wa Maji (Hydropower Plants Maintenance)
    20. Ufundi wa Umeme wa Jua (Solar Energy)
    21. Ufundi wa Umeme wa Upepo (Wind energy)
    22. Ufundi wa Umeme na Nishati Asilia(Electrical and Bi0-Energy)
    23. Ufundi wa Umeme wa jadidifu (renewable energy)
    MAFUNZO HAYA YANATOLEWA KWA MAKUNDI YAFUATAYO:
    a) Vijana waliomaliza Kidato cha nne (Form Four) na kupata cheti cha kidato cha nne cha Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).
    b) Wafanyakazi viwandani wenye ari ya kujiendeleza
    Kwa maelezo zaid tembelea tovuti ya Chuo www.atc.actz
    #MasomoYaUfundi
    #Vetacourse
    #arusha_technical_college
    #Chuo_cha_Ufundi_Arusha

Комментарии •