MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
    SHORT AND CLEAR NI NYIMBO AMBAYO INAELEZEA MAISHA YA BWANA WETU YESU KRISTO HASA LAKINI ZAIDI IMEJIKITA KATIKA JINSI AMBAVYO ALIKUA ANAULIZA NA KUJIBU MASWALI .
    USISAHAU KU SUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUPOKEA NOTIFICATION YA VIDEO MPYA KUTOKA KWANGU MUNGU AKUBARIKI

Комментарии • 1 тыс.

  • @Feelfreechurch
    @Feelfreechurch  5 лет назад +550

    NDUGU ZANGU NAWASHUKURUNI SANA SANA, ASANTENI KWA PONGEZI, NAMI NAFANYIA KAZI KILA USHAURI MLIONIANDIKIA!!
    MUNGU AWABARIKI KWA KUNIHESHIMISHA, NAWATAKIA MEMA!!

  • @michael_deogratius7654
    @michael_deogratius7654 5 лет назад +17

    Jamani RUclips wafanye tuwe tuna like Mara kumi

  • @francismiho226
    @francismiho226 5 лет назад +98

    Kama umeipenda hii nyimbo kama mm plz gonga like...short & clear

  • @NuruVitusi-mq3kn
    @NuruVitusi-mq3kn 9 месяцев назад +1

    Dah safi sana mtumishi wa Mungu nimependa wimbo

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 лет назад +3

    Masanja ur fabulous na mm naomba like yangu

  • @davidmafyice5572
    @davidmafyice5572 3 года назад +1

    daah aise nibonge la ngoma nimebalikiwa kabsa

  • @irumvadonciella6960
    @irumvadonciella6960 5 лет назад +177

    Wanao penda hii nyimbo kama mimi wagonge like hapa tujuane!

  • @kelvinaron5596
    @kelvinaron5596 4 года назад +1

    Sikutazama kabla huu wimbo nimetazama Leo ni zaidi ya wimbo pia nizaidi ya filamu so ubunifu mzuri sana MUNGU akubaliki kwa aina ya ubunifu wako injili lazima isonge mbele.

  • @mikasatv1597
    @mikasatv1597 5 лет назад +144

    uyo ndio masanja mbunifu anatoa kile usicho kifikilia

  • @prodwemanho3622
    @prodwemanho3622 3 года назад

    SHORT & CLEAR NICE ONE LIKE TULIA TULIA KWA BWANA..........GONGA LIKE KAMA UMEGUSWA KAMA MIM

  • @fridaahid2700
    @fridaahid2700 5 лет назад +5

    kama umerudia mara mingimingi kama mimi gonga like tujuane

  • @apdavie9370
    @apdavie9370 5 лет назад +1

    Waaaaaoh Masanja ubarikiweeew

  • @lusajolamsonmgala6184
    @lusajolamsonmgala6184 5 лет назад +116

    Kupitia wimbo huu ,,unapelekea kukumbuka maneno ya Yesu gonga kukubali(though this song influence to remember the words of Jesus click like)

    • @paschaldume1015
      @paschaldume1015 5 лет назад +2

      Duh! Haposawa endelea mbele

    • @bitricemunice1520
      @bitricemunice1520 5 лет назад

      Dah kweli we jamaa Ni shida nimeurudia Hadi nimeishiwa bando short Anadclear barikiwa sana

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 5 лет назад

      Nimefurahi umesema "Wimbo huu na siyo Nyimbo hii" kama wasiojua kiswahili wanavyosema. Najisikia kichefuchefu kusikia "Nyimbo hii"

  • @estermkaze5589
    @estermkaze5589 3 года назад +1

    Barikiwa mtumishi imebarikiwa namahubiri yako

  • @SKILLS360TV
    @SKILLS360TV 5 лет назад +186

    Nakukubali sana hebu gong like nyiiing hapa

  • @sundaymziwanda3162
    @sundaymziwanda3162 Год назад +1

    Nimebarikiwa.sanaaaaaaaa

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid1616 5 лет назад +131

    daaa kwel umezaliwa na ubunifuuuu gonga like hapa

  • @selemanjames4697
    @selemanjames4697 3 года назад +2

    honger mtumishi wa mungu!

  • @bupivevo
    @bupivevo 5 лет назад +134

    Kama unairudia-rudia hii kui wochi mwanawane gonga like Nikuone (Short and Clear) uwiii hahaha tomaso nimependa naonaaaa....

  • @amashamtama8422
    @amashamtama8422 5 лет назад +1

    Cheza kiyunani kama mimi au siyo pamoja sana masanja

  • @paulkichele8165
    @paulkichele8165 5 лет назад +27

    Kama utaiangalia 2020 gonga like APA chin⬇️⬇️

  • @byokokika710
    @byokokika710 5 лет назад +1

    Unaticha sana wangu ubarikiwe

  • @estherjoachim9845
    @estherjoachim9845 5 лет назад +4

    Good job ....My God bless you !!! brother Masanja mkandamizaji toka nikujue hujawahi niangusha.

  • @upendomvambali1583
    @upendomvambali1583 5 лет назад +1

    Nakuelewa brother

  • @nelsonshukran2917
    @nelsonshukran2917 5 лет назад +42

    Lakini masanja akili zako Mungu ndio anazijia mwenyeweeee aiseee stay blessed broo

  • @dianagat9694
    @dianagat9694 5 лет назад +1

    😚😃😃Mungu akubariki sanaaa.

  • @mwanadamtz1298
    @mwanadamtz1298 5 лет назад +116

    Haaaaaa haaaaaa oyaaa wee Anae mkubali huyu jamaa agonge like hapa

  • @eliudhaule96
    @eliudhaule96 5 лет назад +1

    Mungu akubariki sana wa khunyumba

  • @patricklary8239
    @patricklary8239 5 лет назад +65

    Nategemea kuona viewers 5M na zaidi

  • @joeljeremiah4899
    @joeljeremiah4899 5 лет назад

    Gonga likeeeeee jmn nmeipenda sana hii video

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid1616 5 лет назад +14

    je ni halali kuangalia huu wimbo mara kumi SHORT AND CLEAR

  • @richardjoseph8213
    @richardjoseph8213 5 лет назад

    Masanja wewe ni baraa katika nyimbo zako zote hii ni komesha nikiisikiliza najisikia vizur na haka kabeet kazuri Sana utafikili watu wa Kenya Mungu akubaliki Sana Kama umebalikiwa sema amina

  • @mwombekikatabalo9046
    @mwombekikatabalo9046 5 лет назад +52

    All of you who are watching this video be blessed and inspired
    Thanks masanja be blessed bro

    • @leoniabeda2711
      @leoniabeda2711 5 лет назад +1

      Aamen mtumishi maneno ulioyoyatumia nimeyaelewa saaaana

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 3 года назад

    Nikajua mapigo ya Mr ong'eng'o 👏👏👏👏👏👏 safi sana

  • @amanmichael1698
    @amanmichael1698 5 лет назад +44

    Kama unamkubari masanja gonga like

  • @idrisafadhili2984
    @idrisafadhili2984 5 лет назад

    Wooooow uyoo ni ye ye yesuuuuu ni ji ji ji Jesus nimeupenda brother bllesed

  • @eliudniyongabo8396
    @eliudniyongabo8396 5 лет назад +10

    Uliimba yimbo nyingi tena nzuri ila huu nikiboko yao ....... barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Ujumbe huu umefika 🙏

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 лет назад +4

    Ulieangalia kwa kurudia gonga like

  • @angelherman5464
    @angelherman5464 5 лет назад

    Mungu aliejuu azid kukuinua zaid maana nimeamin Mungu anakutumia sawasawa barkiwa sana short And clear

  • @joelekiru7970
    @joelekiru7970 5 лет назад +6

    I am in Kenya I have appreciate it. Be blessed brother.

  • @stevenkambeytz2459
    @stevenkambeytz2459 5 лет назад

    Daaaah baba umetisha sana yan sikutegemea kitu kama hiki toka kwa MUNGU akuinue zaidi..

  • @prophetraphasonkelvin9181
    @prophetraphasonkelvin9181 5 лет назад +14

    Hiv kwa nn tusiwe na sinema ya Yesu ya Kitanzania, ni wazo tu, after all Yesu hakuwa mzungu alikuwa ni brown

  • @Andy_tz
    @Andy_tz 5 лет назад

    aisee Masanya yaani unazidi kumuaibisha shetani . safi sana MUNGU ndio anakuongoka maana kazi unazofanya sio kwa uwezo wako . na mwanadamu yeyote pasipo mungu haiwezi hio kazi .

  • @lwitikophilipopelela1891
    @lwitikophilipopelela1891 5 лет назад +14

    Eeeh Mwenyezi Mungu tujalie vinywa visivyo na maneno mengi Kama Bwana wetu Yesu kristo.... yaani Short and clear... Asante mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya

  • @paulshadrack9991
    @paulshadrack9991 5 лет назад

    Masanja wewe hakika Ni star mbunifu sanaaa,
    Kumbe unaweza ukaigiza Move ya Yesu vizuri na watu wakawaelewa Sana ila tu unatumia lugha staha isiyo na matani ndani Yake,
    Pia Unaweza ukaigiza Move mbali mbali zinaweza zikawa fupi fupi kwa lengo la kufundisha zinazotoka kwenye BIBLIA from Old to New testament!

  • @jenny20254
    @jenny20254 5 лет назад +44

    Short and clear kweli . Likes basi ili twende sawa

  • @neemasanga4536
    @neemasanga4536 4 года назад

    Kaka we ni mmbunifu sana, na unaakiliiiiiiiiiii,,,, nimaombi yangu kwa Mungu asikupite na uishi miaka mingii, maaaana naenjoi saaanaaa na kazi zakoo.

  • @teodosiakihwili4742
    @teodosiakihwili4742 5 лет назад +3

    Kama umetabasamu au kucheeeka kama Mimi gonga dole LA like plz

  • @professorshab3142
    @professorshab3142 5 лет назад

    Hakika masanja umefanya ubunifu mkubwa. Hongera Sana Mungu azidi kukuinua

  • @sammarcus2075
    @sammarcus2075 5 лет назад +43

    Tunahitaji vitu kama hivi katika tasnia ya Mziki wa Injili🙏Saafi kabisa Masanja God Bless You🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @emanuelkashinje7338
    @emanuelkashinje7338 5 лет назад

    Masanja eee tupo pamoja Kijiji hadi mtaa Mzee kazi nzuriiii

  • @fidesbenard2701
    @fidesbenard2701 5 лет назад +4

    Jamani masanja.. iyo biti ya kijaluo😁😁

    • @jaelnalindi7488
      @jaelnalindi7488 5 лет назад

      Jama,jama! katitu za kiluo kabisaaa
      Short and clear.

  • @peterphilips270
    @peterphilips270 5 лет назад

    we masanja japo wimbo umenibariki ila nimekuwa nikicheka kuanzia mwanzo wa wimbo mpaka mwisho nimekuelewa nivile tu nawe unielewe short and clear.we bonge la mbunifuu barikiwaaaaaaaa shoti endee kiliaaa.

  • @emanuelmarko8433
    @emanuelmarko8433 5 лет назад +76

    Daaaaah bonge la song. Miaka kama yote nakuelewa sana.hapa nacheza kigalatia,. Kiyaudi, na kiyunani

  • @edwimtibenda2725
    @edwimtibenda2725 5 лет назад

    Hongera sana mtumishi wa Mungu zidi kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana atakupeleka viwango vingine vya juu na kukupa mafunuo mapya ya kujenga ufarume wa mbingun ubarikiwe

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright4743 5 лет назад +4

    mh Allah wondoe waja wako katka ukafiri

  • @jonhsoncrispo2462
    @jonhsoncrispo2462 5 лет назад

    Nakukubali sana masanja ila kuinga mambo ya yesu umekosea sana ila nitazidi kuwa wako daima

  • @m.biangwamalenso3291
    @m.biangwamalenso3291 5 лет назад +8

    I love this song i will be waiting for the full movie
    who else thinks this should be a movie 🙌🙋 😍😍😍😍😍😍

  • @modekessy1790
    @modekessy1790 5 лет назад

    kwakwel ulichokifanya Masanja Mungu ndo anajua. Make naipenda hii nyimbo mpaka nataka kulia.schoki kuangalia kila Mara. Barikiwa sana bro

  • @almabenson4136
    @almabenson4136 5 лет назад +9

    Nyimbo hii unaweza ikakushikia dhamana polisi,n mahakaman
    Yote kwa yote nyimbo nzuri Sana m bunifu sana wee mtu

  • @lameckgeophley3379
    @lameckgeophley3379 5 лет назад

    hahahaaa kaka Emmanuel mungu akubariki sana short and.......

  • @Pastorlenhardkyamba
    @Pastorlenhardkyamba 5 лет назад +7

    Daaaaah jaman Bro. Masanja aiseee kazi njema sana😂😂😂😂.
    **KUBALI TU**

  • @harrywarren61
    @harrywarren61 5 лет назад

    Safi sana masanja nyimbo ya ubunifu na kuitangaza injili video nzuri sana kabisa ya uwalisia kweri kipaji chako kizuri sana

  • @kinyamagohaamelye9466
    @kinyamagohaamelye9466 5 лет назад +5

    Huu wimbo ni zaidi ya ubunifu!
    Endelea kubarikiwa pastor

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +1

    Nyimbo nzur mno

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko1013 5 лет назад +3

    Haya wajina, mungu akubariki bro, kwa kazi nzuri hakika ujumbe umefika

  • @jaysureson_og3708
    @jaysureson_og3708 5 лет назад

    Hongera mtumishi nimefurahishwa kile Mungu ameweka ndani yako,safi sana

  • @kelvinmpinga5703
    @kelvinmpinga5703 5 лет назад +10

    Dah Ila Nakuelewa sana, unaisambaza Injili kwa aina yake kabisa. Mungu na akuinue.

  • @sylvesteraspenas847
    @sylvesteraspenas847 5 лет назад

    Nakupongeza San Kaka mungu akujarie zaid umebuni kitu kizur San hongera san

  • @josephmpiluka6381
    @josephmpiluka6381 5 лет назад +3

    Kaka hongera nimvivu kukoment ilahii OK big up to you brother

    • @kephamapogo5333
      @kephamapogo5333 5 лет назад

      Nimeipenda sana hii ila tutungie nyingine ya Ibada ya Elia na Manabii wa Baali

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 5 лет назад

    umetisha Baba oko Yani Good Sana

  • @Mhepe
    @Mhepe 5 лет назад +8

    Umeitendea haki kaka.....hongera pia kwa director onessimo

  • @jacksonjoswam8731
    @jacksonjoswam8731 5 лет назад

    Umetisha sana Masanja mkandamizaji. Wewe ni noma sana. Ni mbunifu wa kutisha. Nimeusikiliza wimbo ni mtamu haswa.

  • @jumamakori9936
    @jumamakori9936 5 лет назад +9

    Mzeee umetish bonge la bit nimelipenda

  • @mafdalenasanga7784
    @mafdalenasanga7784 5 лет назад

    Safiii Hahaha huyu ndio masanja pongezi sana kaka

  • @abdulimlula
    @abdulimlula 5 лет назад +4

    Big up sana brother #mgayaemanueli you are so creative and you will always remain on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @standardoiltz2259
    @standardoiltz2259 5 лет назад

    Uimbaji Kama sehemu ya huduma,Ila hapa Ni zaidi ya ubunifu!Emma.Mungu aendelee kukuinua

  • @barakamathayo3430
    @barakamathayo3430 5 лет назад +6

    Hiyo cheza kigalatia imeniacha hoi sana BE BLESSED MASANJA

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 5 лет назад

    Hii ndio kali ya Mwaka. Hakika umevunja rekodi kwa hii Song na Video. Hafu napafananisha na maeneo ya Mwanza hayo mawe na ziwa. Kazi nzur sana nimeipenda hakika kipawa unacho duuh

  • @kalundemedia242
    @kalundemedia242 5 лет назад +3

    Kiukweli Ngosha, unatumia akili pana sana kutengeneza kazi zako. Karibu sana Magu-Mwanza

  • @peternjelutv1273
    @peternjelutv1273 5 лет назад

    Naam,,,, chezakigalatia, au kiyaudi short and clear, basi kiyunani, nauzidi mtumwa wa Bwana.🇹🇿

  • @alfredzunda4655
    @alfredzunda4655 5 лет назад +10

    Hahahaaaa! Step ya kiyunani sijaona mtumishi. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa ujumbe huu wa injili.

    • @JoseJose-ww3mn
      @JoseJose-ww3mn 5 лет назад

      Masanja noma

    • @hasinamohammed6469
      @hasinamohammed6469 5 лет назад

      Yani nguo za kiislam. Na vilemba kumbe muonekano uislam toka enzi na enzi.mabadiliko yamekuja nyuma tu

  • @ibrahimdeogratious4487
    @ibrahimdeogratious4487 5 лет назад

    Naona mpaka mjomba yesu anagonga sebene safi sana

  • @amosemmanuel9947
    @amosemmanuel9947 5 лет назад +46

    😘😘😘 i love this song short and clear

  • @geofreydaudi8741
    @geofreydaudi8741 5 лет назад

    Nouma sanaaa Mr massanja,karibu shy mitaa ya buluba sec.school,jirana na uzunguni, Wimbo mzuri jah bless us,

  • @albertmuliro5526
    @albertmuliro5526 5 лет назад +3

    So creative and inspiring... The whole Bible is summarized... Great job Masanja. From 254... Mob love

  • @dennisisrael2187
    @dennisisrael2187 4 года назад

    Unazidi kutisha, safiiii sana

  • @msambyajohnlwango7491
    @msambyajohnlwango7491 5 лет назад +3

    Powa sana mchungaji

  • @rweenysamuel8146
    @rweenysamuel8146 5 лет назад

    Wanaume wakiwa katika mavazi halis ya kiume.... nimebarikiwa sana na wimbo huu

  • @johnfikiri2171
    @johnfikiri2171 5 лет назад +5

    Nimependa yaan umechukua uhakisia kabisa, barikiwa sana kaka Masanja, INJILI LAZIMA IHUBIRIWE, na wataelewa tu

  • @doublelifetv4699
    @doublelifetv4699 5 лет назад +1

    Mzee huu wimbo mie niliuona tu,,, nikajua nomaa. ...umeua sana masanja, ,, gonga like twende zetu

  • @happynesssulle580
    @happynesssulle580 5 лет назад +17

    Hahahahha ,dah wimbo mzuri sana sana sana,yan napata msg huku naburudika kwa kucheka SHORT AND CLEAR. Dah masanja we kiboko

  • @malijanihamadi8310
    @malijanihamadi8310 5 лет назад +1

    Masanja ww ni moto

  • @crislubris1727
    @crislubris1727 5 лет назад +10

    god bless you brother i can't stop listening this song short and clear from united states

  • @danielmalamba5730
    @danielmalamba5730 5 лет назад

    Dah hivi brother unapoandika lisongi hua unakua kwenye mood gan maana ni very short and clear

  • @levinamuhonge6573
    @levinamuhonge6573 5 лет назад +9

    Wow wow wow! Short an Clear
    Glory an Honour to u Jesus

  • @bonphaceraphael5771
    @bonphaceraphael5771 5 лет назад

    hongera Sana waliobadilisha huu na kuwa wa gospel naamini sas nitakuwa nausikiliza Kama gospel na sio beat ya kidunia dah mungu ni mwema kahamisha wimbo niloufuta akanidushia Tena mungu akubarik masanja

  • @rosekihanga3905
    @rosekihanga3905 5 лет назад +23

    Wangapi wamekuja kuona nyimbo baada ya kuona mavazi tu...??

  • @saidsaid4548
    @saidsaid4548 5 лет назад

    Jamaa anajitahidi kutafuta pesa za wasio jijua zinaingia mfukoni mwake ..hongera kwa ubunifu wa kurafuata pesa

  • @abunerimjasiriamaliwamwang6171
    @abunerimjasiriamaliwamwang6171 5 лет назад +11

    ka wimbo kazuri
    kana vionjo vya old is gold
    kamejaa ubunifu
    BIG UP STREET PASTORS

    • @joycekidulile5546
      @joycekidulile5546 5 лет назад

      Kuimba ni Ibada hongera sana Mungu azidi kukufanya uwe kioo cha jamii Masanja!

    • @nicegabriel1541
      @nicegabriel1541 5 лет назад

      Yn kweli kila mtu ana karama yake mungu akupe atua nyingine