MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
SHORT AND CLEAR NI NYIMBO AMBAYO INAELEZEA MAISHA YA BWANA WETU YESU KRISTO HASA LAKINI ZAIDI IMEJIKITA KATIKA JINSI AMBAVYO ALIKUA ANAULIZA NA KUJIBU MASWALI .
USISAHAU KU SUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUPOKEA NOTIFICATION YA VIDEO MPYA KUTOKA KWANGU MUNGU AKUBARIKI
NDUGU ZANGU NAWASHUKURUNI SANA SANA, ASANTENI KWA PONGEZI, NAMI NAFANYIA KAZI KILA USHAURI MLIONIANDIKIA!!
MUNGU AWABARIKI KWA KUNIHESHIMISHA, NAWATAKIA MEMA!!
Emmanuel Mgaya masanja hongera sana na Mungu azidi kukuinua
Ubarikiwe mtumishi..hakika nyimbo zako zinanibariki hapa dodoma.
Emmanuel Mgaya masanja hongera sana mgaya kwa kazi nzuri
Short and klia
BE BLESSED MJUKUU WA MUNGU
Jamani RUclips wafanye tuwe tuna like Mara kumi
Kama umeipenda hii nyimbo kama mm plz gonga like...short & clear
Dah safi sana mtumishi wa Mungu nimependa wimbo
Masanja ur fabulous na mm naomba like yangu
daah aise nibonge la ngoma nimebalikiwa kabsa
Wanao penda hii nyimbo kama mimi wagonge like hapa tujuane!
Irumva Donciella
Kanum! B
Unataka kucheza kigalatia😂😂
Masanja ww ni mbunifu Mungu akutunze
Irumva Donciella p
Hime ni fundisha vingi sana
Mungu ambariki sana
Sikutazama kabla huu wimbo nimetazama Leo ni zaidi ya wimbo pia nizaidi ya filamu so ubunifu mzuri sana MUNGU akubaliki kwa aina ya ubunifu wako injili lazima isonge mbele.
uyo ndio masanja mbunifu anatoa kile usicho kifikilia
masanja nimeikubali nyimbo yako
mikasa tv kweli Kabsa
Unaonaje ukiigiza full movie ya yesu gonga like hapa
Umeona eeeeh
SHORT & CLEAR NICE ONE LIKE TULIA TULIA KWA BWANA..........GONGA LIKE KAMA UMEGUSWA KAMA MIM
kama umerudia mara mingimingi kama mimi gonga like tujuane
Waaaaaoh Masanja ubarikiweeew
Kupitia wimbo huu ,,unapelekea kukumbuka maneno ya Yesu gonga kukubali(though this song influence to remember the words of Jesus click like)
Duh! Haposawa endelea mbele
Dah kweli we jamaa Ni shida nimeurudia Hadi nimeishiwa bando short Anadclear barikiwa sana
Nimefurahi umesema "Wimbo huu na siyo Nyimbo hii" kama wasiojua kiswahili wanavyosema. Najisikia kichefuchefu kusikia "Nyimbo hii"
Barikiwa mtumishi imebarikiwa namahubiri yako
Nakukubali sana hebu gong like nyiiing hapa
Dj4sTv decoration kawsuda
ubarikiwe sana .Fanya kazi ya Mungu na NEEMA zitakujilia
Nimebarikiwa.sanaaaaaaaa
daaa kwel umezaliwa na ubunifuuuu gonga like hapa
short and clear😂😂😂😂😂😂😂🙏🏽
honger mtumishi wa mungu!
Kama unairudia-rudia hii kui wochi mwanawane gonga like Nikuone (Short and Clear) uwiii hahaha tomaso nimependa naonaaaa....
Cheza kiyunani kama mimi au siyo pamoja sana masanja
Kama utaiangalia 2020 gonga like APA chin⬇️⬇️
Unaticha sana wangu ubarikiwe
Good job ....My God bless you !!! brother Masanja mkandamizaji toka nikujue hujawahi niangusha.
Nakuelewa brother
Lakini masanja akili zako Mungu ndio anazijia mwenyeweeee aiseee stay blessed broo
Nelson shukran w
Wanyama
😚😃😃Mungu akubariki sanaaa.
Haaaaaa haaaaaa oyaaa wee Anae mkubali huyu jamaa agonge like hapa
Kwani ilifikaje hapa?
Mungu akubariki sana wa khunyumba
Nategemea kuona viewers 5M na zaidi
nyimbo iko tamu atafikisha
Gonga likeeeeee jmn nmeipenda sana hii video
je ni halali kuangalia huu wimbo mara kumi SHORT AND CLEAR
de mau TV Hahahahhahahha
de mau TV mi mwenyewe kila nikipata MB nauangalia
Masanja wewe ni baraa katika nyimbo zako zote hii ni komesha nikiisikiliza najisikia vizur na haka kabeet kazuri Sana utafikili watu wa Kenya Mungu akubaliki Sana Kama umebalikiwa sema amina
All of you who are watching this video be blessed and inspired
Thanks masanja be blessed bro
Aamen mtumishi maneno ulioyoyatumia nimeyaelewa saaaana
Nikajua mapigo ya Mr ong'eng'o 👏👏👏👏👏👏 safi sana
Kama unamkubari masanja gonga like
Wooooow uyoo ni ye ye yesuuuuu ni ji ji ji Jesus nimeupenda brother bllesed
Uliimba yimbo nyingi tena nzuri ila huu nikiboko yao ....... barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Ujumbe huu umefika 🙏
Ulieangalia kwa kurudia gonga like
Nakupenda sana was kunyumba hongera sana
Mungu aliejuu azid kukuinua zaid maana nimeamin Mungu anakutumia sawasawa barkiwa sana short And clear
I am in Kenya I have appreciate it. Be blessed brother.
Daaaah baba umetisha sana yan sikutegemea kitu kama hiki toka kwa MUNGU akuinue zaidi..
Hiv kwa nn tusiwe na sinema ya Yesu ya Kitanzania, ni wazo tu, after all Yesu hakuwa mzungu alikuwa ni brown
Yesu alikuwa?
aisee Masanya yaani unazidi kumuaibisha shetani . safi sana MUNGU ndio anakuongoka maana kazi unazofanya sio kwa uwezo wako . na mwanadamu yeyote pasipo mungu haiwezi hio kazi .
Eeeh Mwenyezi Mungu tujalie vinywa visivyo na maneno mengi Kama Bwana wetu Yesu kristo.... yaani Short and clear... Asante mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya
Noma sans
Masanja wewe hakika Ni star mbunifu sanaaa,
Kumbe unaweza ukaigiza Move ya Yesu vizuri na watu wakawaelewa Sana ila tu unatumia lugha staha isiyo na matani ndani Yake,
Pia Unaweza ukaigiza Move mbali mbali zinaweza zikawa fupi fupi kwa lengo la kufundisha zinazotoka kwenye BIBLIA from Old to New testament!
Short and clear kweli . Likes basi ili twende sawa
Kaka we ni mmbunifu sana, na unaakiliiiiiiiiiii,,,, nimaombi yangu kwa Mungu asikupite na uishi miaka mingii, maaaana naenjoi saaanaaa na kazi zakoo.
Kama umetabasamu au kucheeeka kama Mimi gonga dole LA like plz
Hakika masanja umefanya ubunifu mkubwa. Hongera Sana Mungu azidi kukuinua
Tunahitaji vitu kama hivi katika tasnia ya Mziki wa Injili🙏Saafi kabisa Masanja God Bless You🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sam Marcus Asante Sana
Mbarikiwe kazi yenu ni njema
masanja umetisha hii niite tz one kwa jina la yesu
Masanja eee tupo pamoja Kijiji hadi mtaa Mzee kazi nzuriiii
Jamani masanja.. iyo biti ya kijaluo😁😁
Jama,jama! katitu za kiluo kabisaaa
Short and clear.
we masanja japo wimbo umenibariki ila nimekuwa nikicheka kuanzia mwanzo wa wimbo mpaka mwisho nimekuelewa nivile tu nawe unielewe short and clear.we bonge la mbunifuu barikiwaaaaaaaa shoti endee kiliaaa.
Daaaaah bonge la song. Miaka kama yote nakuelewa sana.hapa nacheza kigalatia,. Kiyaudi, na kiyunani
Hahahahaaa
Yaaaani hapa ni shangwe tu
Bro,we first kwa comment yako
@@DiCulture ni fireeeee
@@heppyshila31 💃
Hongera sana mtumishi wa Mungu zidi kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana atakupeleka viwango vingine vya juu na kukupa mafunuo mapya ya kujenga ufarume wa mbingun ubarikiwe
mh Allah wondoe waja wako katka ukafiri
Umeonaaa
Wewe achana na sisi,beba mzingo yako mwenyewe
Tulia wewe Mungu hafundishwi kazi na mwanadamu,kafiri unamuona wewe ila Kwa Mungu ni mtumishi wake na anamuheshimu.
Amina
Nakukubali sana masanja ila kuinga mambo ya yesu umekosea sana ila nitazidi kuwa wako daima
I love this song i will be waiting for the full movie
who else thinks this should be a movie 🙌🙋 😍😍😍😍😍😍
kwakwel ulichokifanya Masanja Mungu ndo anajua. Make naipenda hii nyimbo mpaka nataka kulia.schoki kuangalia kila Mara. Barikiwa sana bro
Nyimbo hii unaweza ikakushikia dhamana polisi,n mahakaman
Yote kwa yote nyimbo nzuri Sana m bunifu sana wee mtu
hahahaaa kaka Emmanuel mungu akubariki sana short and.......
Daaaaah jaman Bro. Masanja aiseee kazi njema sana😂😂😂😂.
**KUBALI TU**
Safi sana masanja nyimbo ya ubunifu na kuitangaza injili video nzuri sana kabisa ya uwalisia kweri kipaji chako kizuri sana
Huu wimbo ni zaidi ya ubunifu!
Endelea kubarikiwa pastor
Kinyamagoha Amelye T
Nyimbo nzur mno
Haya wajina, mungu akubariki bro, kwa kazi nzuri hakika ujumbe umefika
Hongera mtumishi nimefurahishwa kile Mungu ameweka ndani yako,safi sana
Dah Ila Nakuelewa sana, unaisambaza Injili kwa aina yake kabisa. Mungu na akuinue.
Nakupongeza San Kaka mungu akujarie zaid umebuni kitu kizur San hongera san
Kaka hongera nimvivu kukoment ilahii OK big up to you brother
Nimeipenda sana hii ila tutungie nyingine ya Ibada ya Elia na Manabii wa Baali
umetisha Baba oko Yani Good Sana
Umeitendea haki kaka.....hongera pia kwa director onessimo
Umetisha sana Masanja mkandamizaji. Wewe ni noma sana. Ni mbunifu wa kutisha. Nimeusikiliza wimbo ni mtamu haswa.
Mzeee umetish bonge la bit nimelipenda
Safiii Hahaha huyu ndio masanja pongezi sana kaka
Big up sana brother #mgayaemanueli you are so creative and you will always remain on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uimbaji Kama sehemu ya huduma,Ila hapa Ni zaidi ya ubunifu!Emma.Mungu aendelee kukuinua
Hiyo cheza kigalatia imeniacha hoi sana BE BLESSED MASANJA
Hii ndio kali ya Mwaka. Hakika umevunja rekodi kwa hii Song na Video. Hafu napafananisha na maeneo ya Mwanza hayo mawe na ziwa. Kazi nzur sana nimeipenda hakika kipawa unacho duuh
Kiukweli Ngosha, unatumia akili pana sana kutengeneza kazi zako. Karibu sana Magu-Mwanza
Naam,,,, chezakigalatia, au kiyaudi short and clear, basi kiyunani, nauzidi mtumwa wa Bwana.🇹🇿
Hahahaaaa! Step ya kiyunani sijaona mtumishi. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa ujumbe huu wa injili.
Masanja noma
Yani nguo za kiislam. Na vilemba kumbe muonekano uislam toka enzi na enzi.mabadiliko yamekuja nyuma tu
Naona mpaka mjomba yesu anagonga sebene safi sana
😘😘😘 i love this song short and clear
Uko vizur Sana
Nouma sanaaa Mr massanja,karibu shy mitaa ya buluba sec.school,jirana na uzunguni, Wimbo mzuri jah bless us,
So creative and inspiring... The whole Bible is summarized... Great job Masanja. From 254... Mob love
Unazidi kutisha, safiiii sana
Powa sana mchungaji
Wanaume wakiwa katika mavazi halis ya kiume.... nimebarikiwa sana na wimbo huu
Nimependa yaan umechukua uhakisia kabisa, barikiwa sana kaka Masanja, INJILI LAZIMA IHUBIRIWE, na wataelewa tu
Mzee huu wimbo mie niliuona tu,,, nikajua nomaa. ...umeua sana masanja, ,, gonga like twende zetu
Hahahahha ,dah wimbo mzuri sana sana sana,yan napata msg huku naburudika kwa kucheka SHORT AND CLEAR. Dah masanja we kiboko
Happyness Sulle ftby 6&h)
Safii nzur
Masanja ww ni moto
god bless you brother i can't stop listening this song short and clear from united states
Dah hivi brother unapoandika lisongi hua unakua kwenye mood gan maana ni very short and clear
Wow wow wow! Short an Clear
Glory an Honour to u Jesus
Hakika masanja Mungu azidi kukuinua
Levina Muhonge nic
hongera Sana waliobadilisha huu na kuwa wa gospel naamini sas nitakuwa nausikiliza Kama gospel na sio beat ya kidunia dah mungu ni mwema kahamisha wimbo niloufuta akanidushia Tena mungu akubarik masanja
Wangapi wamekuja kuona nyimbo baada ya kuona mavazi tu...??
Jamaa anajitahidi kutafuta pesa za wasio jijua zinaingia mfukoni mwake ..hongera kwa ubunifu wa kurafuata pesa
ka wimbo kazuri
kana vionjo vya old is gold
kamejaa ubunifu
BIG UP STREET PASTORS
Kuimba ni Ibada hongera sana Mungu azidi kukufanya uwe kioo cha jamii Masanja!
Yn kweli kila mtu ana karama yake mungu akupe atua nyingine