🚨Mpya kutoka Simba,Kikosi Kinarejea kambini,Ahmedally Awajibu kuhusu tiketi kuisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Комментарии • 23

  • @ChristinahOkongo
    @ChristinahOkongo Месяц назад +1

    Kiukwel Ahmed Mungu aendelee kukulinda na kukutunza ndani ya simba yetu,❤❤❤,tunakupenda saaana

  • @ChristinahOkongo
    @ChristinahOkongo Месяц назад +1

    Kwenye nyakat za mapito na magum unajua kutufarij ndugu zako,kweny furaha tena wajua kutupa furaha pia,hakuna semaj km wew asee,pokea ❤❤❤ wang Ahmed Ally my brother,SIMBA NGUVU MOJA FOREVER.

  • @ChristinahOkongo
    @ChristinahOkongo Месяц назад

    Kwenye nyakat za mapito na magum unajua kutufarij ndugu zako,kweny furaha tena wajua kutupa furaha pia,hakuna semaj km wew asee,pokea ❤❤❤ wang

  • @kingdullah7843
    @kingdullah7843 Месяц назад

    semaj ❤❤

  • @HamisZaidun
    @HamisZaidun Месяц назад

    Simba nguvu moja 🦁🦁🦁

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Jeshi la mtu mmoja

  • @user-qn8ig9ey6b
    @user-qn8ig9ey6b Месяц назад

    Mkule lazima naweye ulewe kumalizika tiketi na kujaa uwaja ni vitu viwili tofauti siokila alienunua tiketi lazima asafiri laahasha hatawewehapo ushawahi kukosa safari wakati ushakata tiketi

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j Месяц назад

    Ubaya ubwelaaaa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Месяц назад

    Ahamedi ,,,wewe ni zaidi ya semaji 🎉🎉,yule tango pori anahaha

  • @HalidKilale-c1g
    @HalidKilale-c1g Месяц назад

    Ndio maana tunasema Simba inamashabiki wengi kuliko timu yeyote. Hili linajidhibitisha zahiri

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад +1

    AHMED WEWE NI ZAIDI YA WASEMAJI NI KIONGOZI BORA..KUNAWACHAMBUZI ,WALIUNGA MKONO UTOPOLO KUINGIZA MASHABIKI BURE.....WEWE 1 MMOJA ZAIDI YA WALE WOTE....

  • @HalidKilale-c1g
    @HalidKilale-c1g Месяц назад

    Ubaya ubwela mnyama kashaamua mwenye wivu ajinyonge..

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 Месяц назад

    Kwl ni majuhaa hao umala hawana hoja wamuachie kamwe huyo mungine juha chanal zimegama ana mambo mengi hana jipya😅😅😅😅

  • @rhodaomolo4954
    @rhodaomolo4954 Месяц назад

    Simba ni timu kubwa ndo kithibitisho wake hapo sio kama yanga bado hawajajaza na walianza kutangaza tiketi

  • @user-ft6ps7gx9j
    @user-ft6ps7gx9j Месяц назад +1

    Ubaya ubwela

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 Месяц назад

    Semajii la cafu wewe ni hari tiketi zimeisha zote , hii ndiyo maana ya semaji ukitoa tamko tuu sisi Mashabiki tunatii.

  • @HalidKilale-c1g
    @HalidKilale-c1g Месяц назад

    Ahamedi wewe ndo semaji la caf huna baya.kwanza unaongea kwa nizamu ya Hali ya juu hubwatuki wala humsemi mtu unasemea Simba yako tu...

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Месяц назад

    Ahamedi huyo ameongea kwautulivu mkubwa sana

  • @user-qn8ig9ey6b
    @user-qn8ig9ey6b Месяц назад

    Mkule lazima naweye ulewe kumalizika tiketi na kujaa uwaja ni vitu viwili tofauti siokila alienunua tiketi lazima asafiri laahasha hatawewehapo ushawahi kukosa safari wakati ushakata tiketi

  • @user-su7es4vm8t
    @user-su7es4vm8t Месяц назад

    Ubaya ubwela

  • @user-qn8ig9ey6b
    @user-qn8ig9ey6b Месяц назад

    Mkule lazima naweye ulewe kumalizika tiketi na kujaa uwaja ni vitu viwili tofauti siokila alienunua tiketi lazima asafiri laahasha hatawewehapo ushawahi kukosa safari wakati ushakata tiketi

  • @user-qn8ig9ey6b
    @user-qn8ig9ey6b Месяц назад

    Mkule lazima naweye ulewe kumalizika tiketi na kujaa uwaja ni vitu viwili tofauti siokila alienunua tiketi lazima asafiri laahasha hatawewehapo ushawahi kukosa safari wakati ushakata tiketi